Joti una sifa zote za kuwa best comedian Kwa hapa kwetu TANZANIA kwani una uwezo wa kuvaa uhusika wa aina tofauti na ukawa kwenye ubora wako Ukiwa mtoto(ANDUNJE) Ukiwa msela(NISHAI) Ukiwa demu(KIBOGA) Ukiwa mpemba(AMIIII JEI) Ukiwa mzee(BABU) na kila uhusika wako unajua ujiweke vipi hilo ndio kubwa linalo kufanya uwe bora na Mashati yako ya ILALA BOMA😁😁 viatu vya KARUME😁😁😁😁 Una kila sababu za kumaliza bando langu
Kiukweli kabisa hata Mimi Siku nikimkuta Msugua Kucha anamshika Mke wangu ntaua maana kila siku nakuta Mke wangu amependeza tu Kucha ila Boya anayemsafisha simuoni. Sasa Ama zangu ama zake.
Mke wangu huko uliko siku nakuchukua yaani najimilikisha ndio itakuwa mwisho wa kupakwa rangi na masela hata kama wanajitafutia riziki ila sintoweza kuvumilia hilo. Na biashara ya shanga sitaki kuisikia na hao wengine waliotajwa humo. 😃
Hiyo miuno ya joti sasa kama mwali aliyetoka unyagoni 🤣🤣🤣 na nyimbo yake ....wazunguuu ni wetuuu, wazunguuu ni wetuuu wametuletea shanga hadi za shingoni daaah we mwamba ni funga kazi, saluuut broooo ur no 1comedian in Tz 🔥🔥🔥