-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Dar24 #Dar24Media
Mabondia wawe mabalozi wapi,mnawanyonga sana,wengi wao wana hali ngumu sana tofauti na juhudi zao,mapromota acheni uroho wa pesa muwathamini mabondia nao watatiwa moyo,vinginevyo nyie ndio wakatishaji tamaa kwa wanamasumbwi wetu,jifunzenzeni kwa wenzenu wa huko ulaya,
Mwakinyo upo vizuri, ila usimdharahu huyo bondia, yupo vizuri kuliko unavyo dhania ! Maana hata mwonekano wako unaonyesha kumdharau, be careful, that is not like Hargenton !
Watanzania mfilipino hajui hata kiingereza ana mtu anaetafsiri, mwakinyo akienda huko nae akiongea kiswahili misimseme ovyo , kuongea kiingereza sio ujanja sana ni matter ya lugha tu