Hon, Father of Tanzania, we respect you and take your wisdom! Only that we aren't sure if the freedom you assured us is guaranteed when our CAG is suppressed!
Nilichokipenda kuhusu Mwalimu ni yeye alivyo huru kujibu chochote na kuonyesha msimamo wake bila wasi wasi na kuruhusu wengine kumhoji bila shida yeyote
U're right. But also it's better to get the original version first cos translaters may change the meaning which is not good as these originals are rare to find, then translation can follow.
"Being nominated by CCM , the rulling political Party in Tanzania to run for presidential election does not mean that a nominee will be a president. He should have the good qualities which can persuade people to vote for him." This is what he said. Am sorry if my English is poor, as you real know English is the second language here in Tanzania.
Nilikuwa nasema huko na sasa nasema tena..WASIKILIZENI WANANCHI..DUH..kumbe mybpresdent anafanyia kazi wito wa Marehemu Mzee wetu Julius Kambalage Nyerere
daa uyu mzee sijui kama alikua na asira kwakweli ulukua na hekima sana na usamini mawazo ya kila mtu ila baba sikuizi ukitoa maono na mawazo yako unaitwa mchochezi
Ni kweli, Watawala wa siku hizi hawana uvumilivu kama unaoonyeshwa na Mwl Nyerere. Angekuwa Magufuli, baada ya interview hiyo nusu ya hao waandishi wa habari wangepotezwa. Na kwa utawala wa Sasa wa Rais Samia, Polisi machawa wa Samia wangepata mradi wa kuwabambika kesi za uchochezi wengi wa waandishi hao. Hata kama si kwa ajili ya haya maswali ya ana kwa ana bado wangetafuta namna Ili wawanase mtegoni.
Yaani mzee baba alikuwa na uhakika hizo ni porojo so hakuwa na haja ya kuzijibu wala kuteseka. Aliwaacha watu waendelee kuporojize.. Mytake: Kama unauhakika ni porojo usihangaike nazo
Alikuwa mzuri wa kutetea hoja zake na aliondoa ukabila hapo sifa yake apewe japokuwa katika sehemu nyengine hakuwa hodari amezidiwa lakn Nyerere ni Zaidi ya MAGUFULI
Huyu mzee namwelewa sana , hana uchama wala dini hajawahi vaa jez ya ccm hana unafki, but Leo viongoz wetu kabla hawajaanza utasikia chadema oyee, au ccm oyeeee
Mugabe aliwaponda Wazungu kwa kumtukuza zaidi Mandela kuliko Mwalimu Nyerere.Mwalimu Nyerere ndiye mkombozi wa kweli barani Afrika na siyo yule aliyewasaliti waafrika kule Afrika Kusini kwa kuwaachia wazungu uchumi wote nchini humo.
Pamoja na mazuri mengi ya Magufuli na hasa katika utendaji, lakini alikosa sifa moja muhimu ya kupendwa na Nyerere, nayo ni ile ya kutumia viongozi wahuni kuendesha nchi na ambao hawajali haki za msingi za watu wengine, hususani uhai wa watu. Kwa sababu hii ninao uhakika kwa asilimia 100 kuwa wangetofautiana kwa kiasi kikubwa kabisa na Mwalim Wakati wa Serikali ya Magufuli vitendo vya mauaji ya raia na watu kutekwa na kupotezwa vilishamiri lakini Magufuli hakukemea vitendo hivyo, ndiyo maana inasemekana kuwa vitendo hivyo vichafu vilikuwa na baraka yake
Tukimuongezea President Magufuli.mda na mabadiliko kwenye elimu yetu na bila kubuguziwa na hawa wapinzani wanaopinga kila kitu kizuri cha maana Tanzania ingeipita Singapore
Unamsikia Mzee wa busara? Hadi raha, tunatakiwa tutoe maoni kwa kuzingatia ushauri mzuri wa Baba wa taifa, MATUSI njanga kubwa sana, uzalendo ni kitu muhimu sana. Rushwa inatembea mno, halafu masikini jeuri hawapo. Maoni ya watu ni kitu cha msingi sana.
uyu mwalimu nimtu wakipekee kutokea nchini Tanzania ivii watoto wa mwalim wako wapi au nao wameungana na jiwe kwamaslai yao wanashindwa kumuwenzi baba yao wai wanahofiya kufaa daaa hatali san
this guy was good politician but not a good leader. he failed in every corner, nationalization didn't work,uhujumu crackdown didn't bring any fruits,education was too poor,his fucked up policy of ujamaa failed,his hatred toward entrepreneurs didn't do any favour to the nation.smart thing he did was jumping off titanic(tanzania)when it was sinking.may God roast his soul in hell.