Dada pili ubarikiwe sana yaani naingiwa nasimanzi nikisikilza hawatu maana sasa pia mimi nimzazi kwakweli hawanaouza adhabubyao haipatikani hapa duniani maana nizaidi ya makatili hebujiulize mtuhashiwi bunduki walakisu lakini anajipa azabu kama vile watumwna mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu
Mwenyezi Mungu akubariki dada Pilli,unachokifanya ni kazi ya Mungu na kwa hilo atakulipa inshaAllah 🙏,yaani natamani nipate uwezo na mimi kusaidia hawa wenzetu walioteleza maana nami Nina mtoto anapitia changamoto hiyo.