Тёмный
No video :(

MWALIMU YANGA AMPA MAKAVU FEITOTO KUWAFUNGA MIDOMO/ANANUKA MAZIWA TABIA ZA KIKE/ATUOMBE MSAMAHA 

Scope Media
Подписаться 58 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

#alikamwe #azizki #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangaleo #yangasc #yangatv

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 62   
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 3 месяца назад
Big mwalim yanga nakukubali sana..
@RehemaKomba-pv2le
@RehemaKomba-pv2le 3 месяца назад
Wewe unaongea point sana big up
@nuhu-sanda
@nuhu-sanda 3 месяца назад
Mwalim weeeeeeeee Asante sana
@careemdulla1629
@careemdulla1629 3 месяца назад
Hongera sana Mwalimu Yanga
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 месяца назад
Wewe Mwalimu Naomba Namba Yako Nikutunze kwakweli Unanikosha Kweli Insha'Allah Nitakutafuta
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 3 месяца назад
Nkubali mwalimu yanga
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 3 месяца назад
Yap,yap,😂😂😂😂big up Teacher Yanga😂😂😂😂
@WilliamGama-zt3pj
@WilliamGama-zt3pj 3 месяца назад
yanga inatisha
@user-ke8iq9ue1h
@user-ke8iq9ue1h 3 месяца назад
feitoto mshukuru Mwenyezi ndiye afanyaye yote ,,ukiwa Zanzibar unaonyesha ukija kusugua mdomo hata eti
@SyMEENA
@SyMEENA 3 месяца назад
Very good football analyst,...hongera!
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 3 месяца назад
Uko vzr saaana....point unachoongea
@hamzanangameta6243
@hamzanangameta6243 3 месяца назад
Alivyofunga midomo watu niliwaambia ubigwa YANGA anachukua! Wakanibishia
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 3 месяца назад
Tena mwl huyo siyo Feitoto ni lijitu lizima halijitambui akafie huko Azam ni mjinga tu hawezi kuonyesha uwanja mzima na kuwafunga midomo mpaka akazira medali huyo kachanganyikiwa
@JumaMkumba-dm1rq
@JumaMkumba-dm1rq 2 месяца назад
Leo tena na mama wazir
@haidarysalehe9056
@haidarysalehe9056 3 месяца назад
BINGWA WA BARAAAAAA SIO WALE WA MECHI MBILI ETI BINGWA😂😂😂😂😂😂😂
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 месяца назад
Kiukweli Nilaana Ilikuwa Asifanye Kile Kitendo Kwakweli Niutavu Waadabu Hata Alizomewa Yaye Engenyenyekea Kuonnesha Ungwa Kama Kuwaonesha Msamaha Sio..Kufumbusha Mdomo
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 3 месяца назад
Toka zako
@augustinemainde
@augustinemainde 3 месяца назад
Simba Wana kombe la Muungano😂😂😂😂😂
@user-nf6pe5zs7p
@user-nf6pe5zs7p 2 месяца назад
Fei to hajui alifanyalo amejipa lana mwenyewe
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 месяца назад
Kapata pesa kajisahau achana nae mwalimu
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 3 месяца назад
Mwambie ukweli uyo mtt ni kenge ana nidhamu
@albertvalentino130
@albertvalentino130 3 месяца назад
Hizo timu nyingine,eti wanatamba na kombe walilochukua kwa kucheza mechi mbili " big Shem to them " -- yule mtoto ni zwazwa tu,kwanza anagundu --- ameondoka,sisi tunaendelea kubeba mandooo tu --- yeye anamedali gani ? Uzwazwa tu unamsumbua tu "
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 месяца назад
Daa huyu Yahe nampenda mnoo.na niliwahi kumpambania akatafute maisha mbele nikitegemea angeenda nje ya nchi kumbe alikuwa na ushawishi wa hapo bongo namsikitikia.amekosea kitendo alichofanya hata mi nimeumia.mbona Ali kamwe kasma hongera kwa Azam huo ni uzalendo.kweli nimeumia hana rispect.amesahau alikotoka
@user-xi9wq2em7e
@user-xi9wq2em7e 3 месяца назад
Fei toto ni bwege tu.
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 3 месяца назад
Na wewe ndio bwege mwenziwe
@lucaskasonde4558
@lucaskasonde4558 3 месяца назад
Bado hamjasema fei toto ngoja awanyooshee.....😂😂😂😂😂 ninyi mnazomea 😅😅😅😅
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n 3 месяца назад
Fei ni zwazwaaaa
@user-vs5ow5jt1w
@user-vs5ow5jt1w 3 месяца назад
Wape za uso hao shenz
@careemdulla1629
@careemdulla1629 3 месяца назад
Jamani Fei Toto ni mjinga msipoteze muda wenu kumfatilia ametangaza vita na sisi Yanga Africa sasa ameyatimba na bado hajazomewa asubiri ligi ianze ndio atatutambua..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@danielmkumbo783
@danielmkumbo783 3 месяца назад
😊😊
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 2 месяца назад
Wewe unanuka mavi
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 3 месяца назад
Hii.....!
@Saidimussa-123
@Saidimussa-123 3 месяца назад
unatish
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n 3 месяца назад
Hahaaaaa kisugu chiziiiiii😂😂
@nassorseif404
@nassorseif404 3 месяца назад
Naenda zako uko mafanikio ya fei yanawaumiza
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 3 месяца назад
Hato fanikiwa ww kama nan
@kassidpandu866
@kassidpandu866 3 месяца назад
Fei anawaumiza sana utoporo poleni sana na baaadooo
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 месяца назад
Anawaumiza Yanga kwa lipi wewe kolo?
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 3 месяца назад
Hulijui? Wanga tu nyinyi
@AlexThobias-wn6tw
@AlexThobias-wn6tw 3 месяца назад
Hakuna mchambuzi ni mcha tumbo nimecheka kisport
@kayandaabwe2976
@kayandaabwe2976 3 месяца назад
Ww kila mtu mdogo yako???
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 3 месяца назад
Mkubwa hayoo mwalimu ni mwili umekataa
@janifajani8875
@janifajani8875 3 месяца назад
Kwani hawa watu wanalipwa mishipa yashingo inavo watoka😅😅😅😅
@Mamcute-ec7rg
@Mamcute-ec7rg 3 месяца назад
Nambar zinaongea aliwaomba radhi kimya ndio mlivyo wapenzi wa yanga na cmba mungu amjalie Kila laheri kijana wetu
@matiankomola2391
@matiankomola2391 3 месяца назад
Mtengenezeni kijana wenu kuwa nq unyenyekevu utamfikisha mahali pa zuri, asiingie kwenye mapambano na Umati wa Watu. Kuwafumba midomo umma wa watu ni kiburi siyo malezi mema.
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 3 месяца назад
Huyu ni mwalimu wa ujinga au
@user-ro8ff3jj3q
@user-ro8ff3jj3q 3 месяца назад
Mwl wewe kumbe nimwalimu vidudu Huji hata msemo unaposema mti wenye matunda hupigwa mawe Huyo Feisal ni nzuri sana kuliko wengine hapo yanga, Wacha ujinga
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 3 месяца назад
Tusije Tukasahau Mjinga Mwenyewe. Kwa Taarifa Zako Miti Mingine Inapigwa Mawe kwasababu Juu Yake Kuna Nyoka.
@aminasalim8708
@aminasalim8708 3 месяца назад
😅🎉😂​@@nurdinmfamau3493
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 3 месяца назад
Mbona hamuongei kama kaipeleka Azam club bingwa?
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 3 месяца назад
Kolo mmoja
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 3 месяца назад
Wataka furaha ipi ww mkwanja were anaoingiza kulipo alipo kuwepo huk
@kassidpandu866
@kassidpandu866 3 месяца назад
weee Mwehu sana pale kawanyamazisha utoporo mbona nyie Mkimzomea sana mmesahau? Tunajua mnamchukia lakini anawajibu kwa vitendo tu
@anyeresa928
@anyeresa928 3 месяца назад
Acha kusupoti ujinga bro ..kua
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 месяца назад
Anajibu kwa vitendo gani we kolo?
@user-fe8gq8dy1g
@user-fe8gq8dy1g 3 месяца назад
Anawajibu kwa vitendo gan kwa mfano?
@EzlaFumbo
@EzlaFumbo 3 месяца назад
Kwa vitendo gan wakat wamekoxa kombeee
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 3 месяца назад
Halafu unasemaj fei anatukana ww na yeye anetukana nani unamwambia mtoto hajamaliz kunyonya mamaake
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 3 месяца назад
Huyo ni shabiki ana haki ya kuzomea lkn sio mchezaji
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 3 месяца назад
Dogo hujui ukisemacho ww, makelele tu.
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 3 месяца назад
Kanye ulale huna jipya
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 3 месяца назад
Wewe hanisi wewe unasema nini wewe
Далее