Mohd N bachu unabahatii sana umeyakoroga kabla baba zako wa wadgo KI'ILMU HAWATANGULIA,Leo umepata NUSRA hao wanauchungu nawe wa DHATI hawako tayari kukuona UNAANGAMIA KIELIMU,LA !!! INSHAALLAH ZINGATIA
Bismillah mwenyezimungu hawapendi wanafiQ ushauri ni mziri nawala sio wakupuuzia ila baadhi ya ma Sheikh wana chukki wana hasad wana ubishi nakadhalika mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema 🤲
Ewe babu yanggu! Hakika niliitamani sana itokee siku hii umfahamishe huyo kijana, bado yupo chini bado hajafikia upeo wakufanya mijadala ya ushindani wakati akiwa ni dhalili katika ELIMU, ya RABBI msamehe kwa mapungufu yake shekhe Muhammad Bachu.
Shekh kurwa muache kijana hatafuti ushindi bali anafundisha hao watu wa maulidi ,dini yao ni hayo maulidi ,lazima wakatazwe hizo bidaa Muhammad hajashindwa .mjadala use haukuwa na mshindi wale walikwepa mjadala kwa hila tuu si kwa hoja
@@user-rb8ir9co9kHizo zote ni riwayat za hadithi na maulamaa wengi wamequote katika vitabu. Ulamaa wengi wamequote hadithi dhaifu katika vitabu vyao. Mbona hawakuitwa waongo? Mawahabi someni dini haitaki ubishi.
Sheikh mbona sikuwelewi nasaha zako kwasababu bachu hajatukana uslamu bali hanalataza bidaa za kitabu ya barzanji ya maulidin HINA URONGO mwingi KWA hivyo masheikh wanamaziye sisi watu wa mombasa tumepata faida kubwa MUNGU hazidi kumpa bachu nguvu AMIN sheikh kesho utaulizwa humefanyiya dini kweli au unahangaliya maslai yako ya duniya ogopa mungu
Umejifundisha nini kwa Bachu labda ujifundishe kutukana wanazuoni kama yeye. Kama kweli bachu amekufunza asingekimbia mjadala bachu anajifanya ajua kila ndio alipoulizwa hakuweza kusema sijui. Alijuwa tu akisema hivo huko mbele atakamwa ndio akaukatiza mjadala na kuondoka. Kwa hivo mzee amempa nasaha mzuri
ushauri mzuri naamini utatusaidia sote si kwa shekhe bachu tu, mm naamini mzee katumia hekima na busara tu nahisi anaamini huenda akawa zaidi ya Mzee Bachu Allah amrehemu.
Bismi llahi arahmani rahiym mzee fuata njia ya wanaoelekea kwa Mwenyeezi Mungu wala usiwafuate wanaomzushia uwongo Mtume Muhammad (s a w) wala wanaotafuta maslahi ya hii dunia.
Hakuna kufata njia ya ushirikina ya kuabudu miungu mitatu ya rububia na uluhia mambo ambayo mtume haku yafundisha wa maswahaba wala allah.mzee wetu sheikh wetu hapo kwa huo msimamo wako tuko na wewe pamoja ahlul sunnah waljamaatul twarica.kijana alitandikwa hadi akaona ngombe iko na vichwa vitano nikimaanisha huyu bacho anae pewa wasia na sheikh akapige magoti mambrua ama aende kwa sheikh msabaha la hatakwenda basi yajayo yanafurahisha.. 6:26
@@gj3741 ndio kuwa yeye bado hajaiva kwa mijadala akapige goti aombe kufundishwa jamaa ni debe tupu ni mishindo tuu ndio babu yetu sheikh anamtaka akaanze aalif kwa kijiti awache ku google nafikiri ishanielewa.
Sheikh tumesikia kauli yako, Sasa tunachoomba tupeni ufafanuzi wa hayo maswali ambayo kayauliza ili tupate kufaidika Tunaomba tufafanulieni hayo maswali aliyoulio yauliza
Huyu jamaa hata maana ya Sufi hajui. Wamezoea kufindishwa lugha za matusi tu. Ukimwambia aelezee Sufi ni nini atakwambia MASUFI ni watu wa Maulidi. Basi anajua hivyo tu. Mawahhabi kweli hamna kitu kichwani.
Waallaah ww kumbe ni mjinga pia ulisikia wapi hao wanaosoma maulidi wajifananisha na mtu jaamani kasomeni yani wee nahisi ni mhabi unange ujiga kasomeni kazi ubishi tuu
Na Wala Musitegemee Asikilize Mtu,Kwa Sababu Hili Jambo Lau BachuH AlhamdulillAH "Analifanyia KAZI KiLillaH Basi Hilo Sio jukumu Kwenu au Kwao,Sababu Anaemuadudu Amemruhusu,We Tusomeni Qur'an KIjana Mwamtusi Bure Na Tutapata Laana Juu Ya Kusuppot Ujinga,Kama Kwenye Dini Mtu Hana Hoja Ni Sawa Kwake Kunyamaza Ki Haq,Anatakiwa Asiinue Kinywa Chake, Hawezi Sikiliza Mtu Bach,Hafanyi Kwa Ajili Ya Huyo Kurya,Na Kurya Hana Mamlaka Kwa Bachu Zaidi Ya Nassor Bachu Ambae Ni Babake,Aboud Rogo Wote Hawa Wametangulia Mbele Za Haki Na KIjana Ameamua Kulitafiti,Kurya Ulishindwa Juu Ya Khowf,Kwaivyo Wacha Kututisha,We Ni Mtu Mzima,Kwanza Jitahidi Kutubia,Wacha Kuchimbua Mimeng'enyeko mingine Itakuangukia Kisha Itakuwa Madhara Yapo Kwako,
Ninachoshauri Hapa Ni Kitu Kimoja Ya Kuwa AllaH Afatwe Na Si Watu Watetee Haki Za Watu Waache Haki Za AllaH ,Hizo Ndo Zinatufanya Tunaruzukiwa,Sasa Hizo Haq Ndo Uislam Na Lazima Tumelazimika Kukisoma Qur'an, "Soma Kwa Jina Lako Mola Wako Mlezi Ambae Ameumba". Sasa Barazanji Ni Mola Wetu!.
Muhammad alisha mtukana sheikh Msabah kupitia utube. Wakati Msabah alimsomesha Sheikh Nassor Bachu ambae ni baba yake huyo Muhammad. Baadhi ya masomo. Na Muhammad hakufanya heshima akamtukana mwalim wa Baba yake. Wallahy wangemjua tabia za Muhammad za jeuri hadi kwa familia yake na hamsikilizi hata Mama yake mzazi. Muhammad ni mkaidi tabia yake. Allah amhidi amuongoze ili awe Maalim mzuri.
Alhamdu lillaah Rabbil-'alamiyn. Tunakushukuru sana sheikh. Huyo mtoto wa Bachu kama anataka mafanikio lazima afuate maneno ya hekma unayompa. Akijidai mjuaji shauri yake.
Mtumzima dawa Allah mzee wetu amezungumza maneno yenye hekima na busara na adabu ya kiislamu na maneno wa watu wazimu ukiona wanakuhusia jambo uje wameshaona Madhara yk Allah ana hukumu na hukumu ya Allah nzito hai dawa mola akuongoe Inshallah
@@usseneandurabe9733 sina muda na kubishana na mpuuzi, kama huna kazi ya kufanya bac njoo nikupe kazi ya kufanya ,ndio nyinyi hamtaki kuambiwa ukweli, subhanallah
Hizo adithi zako hazijengi et na yawazekana umetumwa na watu wa bidaa hakuna atakayetoka katika sunna ya Mtume Muhammad S.W.S kuja kweny upuuz wenu bakin na maulidi zenu na wew nakushaur uende ukasome upate elimu sahihi usiangalie uzee wako
Swadaqta Nilitanguliya Kumfahamisha Hilo Unajuwa Maghurafi Hawaogopi Kuzuwa Kwa Maneno Anayoongea Hana Ukweli Hata Mmoja Anawezaje Kuwa Ghurafi Na Shkh Bachu Sio Ghurafi
naaam sheikhe kweli bachu ana maarifa anakurupuka na mitandao na kelele za vjana ambao awajitambui nashukur sheikhe kurwa kwa ushaur natumai sheikhe bachu mtoto amekuelewa tumuombe allah sw atuswamehe asalam aww
She kweli hamujafikia huko ktk kumsifu mtume. Muhimu hiyo ibada munayoifanya mumeitoa wapi? Kuweni na hekma ya kuifuata dini sahihi. Alaykumu bisunnaty wasunaty khulafai raashiduun. Wacheni kupotosha watu na kuleta uzushi kwenye dini
Maneno yako mazuri shehe wetu lakini muhamed bachu yupo on point ulitakiwa shehe useme nimaarifa gani ambayo bachu alikosea lakini kila tukifatilia mjadala yake bachu huwa anaonyesha point katika vitabu lakini wanao shindana nae hawatuonyeshi point
Sasa bachu akasome nini na maswali yake kidogo tuu watu washindwa kujibu dini itakua mi uongo nini apo wasema musa kaulizwa na mtu swali lakin kajibiwa na mungu 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndugu zangu katika imani. Muhammad bado hajakua na elimu ya kutosha. Na hao anaowasomesha ndio wanaomtia kwenye ushabiki wa kumpigia makofi ya kumpongeza.
Shekh kweli umetoa ushauli, ila badoo, ungetaka kumshauri basi ungeomba namba yake ya sim na umwongeleshe kwa faragha. Sio kutangaza ktk midia kama hivi.
Shekh umezungumza nasaha nzuri kwa kijana wetu Shekh M. Bachu maana hata ukitaka kuwakosowa wakubwa lazima utangulize hekima na busara kubwa sasa yeye amekosa hivyo.
Mimi naona nyinyi mashekh nyote mnakosea sana, huyu muhammad bachu kakosea utaratibu na kila mwenye akili timamu anajua muhammad bachu alivofanya sio sahihi,lakini na wewe shekh pia umekosea,wewe kama una lengo lakumtafuta bachu ungekuja unguja usingemkosa.kueni makini msichambane mitandaoni mnajishusha hadhi jamaniiii
mzee unaona Bora maulid kuliko mtume wasema bachu Hana elmu kumbuka maulid yamekuja baada yakarne Saba baada yakufa mtume je nyinyiwatu wamaulidi Mambo haya mumeyatowa wapi tufundishen basii
Ni kweli lkn hata hawa wote waliokomenti ni masufi tuu ila bachu katoa alichokipata na kwa muungu ndio kinachotakiwa siku zte ukisema ukweli hupendwi huo si wasia wa dini bali hakufanya baya na akifa atakufa kwa njia ya haki hao wte aliokutana nao hawana ilimu ya bachu
HAJADHALILISHWAAAA!!!! MAWAHABI WANAONA KAMA BACHOU KADHALILISHWA ILA HUU USIA MZURI AUFANYIEKAZIIII HUYU MZEE NI MWANAFUNZI WA BABAYAKE WALA SIO SUFI ILA SIFIKIRII KAMA ATAMSIKILIZA HATA MM NAMSIHI ASIVAE KOTI LA USHEKHE AKASOMEEEEEE.