Akika Kaka sijui tunachukuliwa je na viogozi wetu awa, pia sielewi ata watu wanao pogeza utawala huu, mbaya kuliko, ccm mungu Alie hai anawaona ukweli tumechoka sana sana.
Damu isio hatia ikimwagika inaleta ghadhabu ya mungu hiyo amani haiwezi kupatikana kama nchi ikinyamazia kuuwawa wasio hatia mungu ataleta ghadhabu kwa nchi nzima Nzima kama hatutapiga kelele kupinga udhalimu huu mkuu
Kweli elimu hii imetufikia hata sisi tuliopo kwenye visiwa vya bahari ya pasifiki iliyo kusini kwenye hivi vijisiwa vidogo vidogo. Hakika tuna huzuni nyingi kwa taifa letu. Kumbe amani hakuna. Watu ni kama mateka ktk nchi yao. Looh! Tutasali sala basi ili ukombozi uje
Yaani ccm hadi leo hawajapata ki2 kipya Cha kutuliwazanacho zaidi ya amani,na kuna wapuuz wanainguzwa kwenye mfumo wao shenzi kabisa ngoja auwawe mamaako ndipo utagundua km aman haipo hapa tz
Dah.. Aloo hata sijui hizi dakika karibia 42 zimepitaje, haukinahi kusikilizwa... Kumbe walau kuna watu bado wenye uwezo.. hongera sana, hadi umegusia allegory of the cave ya Plato 👏🏼👏🏼👏🏼
Kimsingi aman hatuna ila wachache wamewakalia wengi chini ya mateso afu waliojuu ndo wanatangaza aman huku wameshika slaha za kuwatuliza waliokaliwa wasipige kelele
Ni hivi ukisikia ccm na washirika wao wakisema amani , wanakuwa wanawambia wananchi wasiwabuguze katika kula nchi. Wanakuwa wanazuwia wanchi kudayi mabadiliko yatokayo waharibia uraji. Amani kwa watawala ni kula nchi bila kusumbuliwa. Amani ya watawala ni kuendelea kuwa madarakani bila kupigiwa kura kuchaguliwa.
WAKATI WA MKOLONI TULITIBIWA BUREE MAMA ALINIAMBIA UKIWA MJA MZITO UKUFIKIA KUJIFUNGUA UNAENDA SEHEMU MAALUM YA KUPIGA SIMU HOSPITAL YA OCEAN ROAD. AMBULANCE INAKUJA NA MADAKTARI NA VIFAA VYOTE VYA HUDUMA. FREE OF CHARGE 👌👌👌👌MKOLONI
Nchi inalaana kubwa mamtu yanateseka sana ma hospital lakini hayana akili yakufikilia kodi zao zinagawanwa tu magali yakifahali ila akili zakufikili hata kodi zao zinatumikaje kwenye mikutano ya ccm yamejazana tena yanashangilia kwafulaha kubwa yaani sio bule laana nikubwa nchi hii
Unajua bwana Mushi mwanaharakati , Kiukweli wa TZ wamefungwa kitambaa cheusi machoni hawana ujanja hataukiwahubiri vipi ni bure tu mangekimambi ameongea mwisho amejiachia hata wewe hutaweza Sisi wa TZ tuna subiria Na bii Musa ( Moses atuvushe ktk bahari ya Sham. Yani ni MUNGU tu atusaidie wenzetu walio serekalini wana nenepa tu kazi yao ni kuhubiri Amani na UTULIVU. Ambavyo havipo, ( wa TZ tusipo kua kama wale wakoma waliosema Twende tukaandamane maana tusipo andamana tutakufa na tukikaa apa tutakufa 😂😂😂😂😂😂
Dr Slaa alisema kwamba viongozi wa upinzani ndiyo wanaongoza shughuli ya utekaji !! Video yake ipo kwenye RU-vid na amekwenda mbali zaidi kaandika kitabu kuelezaea njinsi upinzani unavyotekana. kwa hiyo serikali wanapo pa kuanzia uchunguzi juu shughuli nzima ya utekaji. wajukuu wa waliopigania uhuru wa tanganyika bado wapo na wapo tayari kuilinda tanzania kwa gharama yeyote. mungu ibariki tanzania na watu wake.
Jamaa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana huyo Slaa yupo upande upi kama sio yupo serikalini na yupo chini ya hao Ccm unadhani ataongea nini kibaya kuhusu serikali yake kama sio kuitetea tu,hayo aliyoyazungumza Huyo Slaa ni Propaganda tu ili kuwapunguza nguvu hao wapinzani,ila nakushauri Ccm haitokusaidia chochote bro
Ila wewe ndio boga kabisa, kwahiyo wapinzani wameizid serikali? Kwann serikali isingechukua hatua dhidi Yao. Kwahiyo unazidi kutuambia serikali dhaifu inashindwa kukabiliana na uhalifu ndan ya nchi
Ninashauri, ili kila mtanzania apate huduma ya Afya, wananchi ndiyo walipa Kodi. Tukitengeneza utaratibu wa kulipa angalau shs 50/ Kwa kila Lita ya mafuta hatuwezi kuimaliza changamoto ya matibabu Kwa watanzania. Tafakari na ufanye hesabu .
Ukipunguza kumnufaisha Japan au kuimarisha uchumi wake kwa Viongozi wetu kununua magari ya kifahari kila mwaka au kila baada ya miaka kadhaa,.Tukipunguza sherehe zisizokuwa na tija kwa wananchi, Viongozi wakipunguza matumizi makubwa ,kuacha kujengeana majumba ya kifahari, kulipana wake wa wastaafu ambapo sio sahihi. Baada ya yote hayo tunaweza kutumia fedha kwa matibabu elimu na kilimo .Kuna fedha nyingi zinatumika tu kwa manufaa ya Viongozi na wapambe fulani.
Unacho ongea ni ukweli mtupu tasisi zote za selekali ya Tanzania huduma ovyo kinacho tangazwa ni tafauti na kilichopo nakushukulu kwakuwa umeyaona nakuyasema kuliko kusifia vya uongo
Shule zenyewe sio bure michango ni sawasawa na ada tu .Watoto wanaambiwa wapeleke fedha za chakula Shilingi laki moja na alfu 30.Shule ya msingi wapeleke debe moja mahindi moja maharage. Mara michango ya Computer ya Mwalimu alafu ati Elimu bure
Tatizo nyie manyumbu wa mhammad hamna elimu kazi yenu ni kwenda Saud arabia kuabudu sanamu ya jiwe na kuchangia matilioni ya pesa za kigeni ili warabu watajilike nyie mnabaki maskini 😂😂wajinga ndio waliwao
Akida wewe unastahili kuombewa kwa kuwa umepofuka kiasi cha kutoweza kuona hali mbaya ya maisha ya wananchi wakati Samia na chawa wake wanaliibia Taifa kwa matrilioni.
Alafu kuna watu wajinga humu kazi yao kusifia upuuzi, wakiumwa kazi yao kulia huku mitandaoni wachangiwe lakini utawakuta kusifia udanganyifu wa Viongozi wetu