Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga
Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.
Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.
@@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba
Hakuna aliyebushi sahihi. Inavyoonesha walisaini kweli Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao Tena mnawakana wanayanga wenzenu Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda
Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100
Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali
Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence
Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni
Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.
Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe
Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!
Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua
Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.
Mmeyatimba ujanjaujanja mwingi,kama munaweza muipinge mahakama kenge nyie ,haiwezekani mtu mmoja afoji saini ya watu watatu,pia kama viongozi makini kwanini kesi tangu 2022 ndio ijulikane leo,mpaka muda wa rufaa umeisha nyinyi hamjakata rufaa mmejichanganya.
Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..
Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale? Weee unataka kuwauza kkkk Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend
Mwanasheria gani anasema wamegushi kabla jeshi alijasema na anasema wamefanya kosa la jinai kabla vyombo husika havijasema,yeye ni polisi yeye mahakama.chuo gani Cha Sheria kasoma.