Ukitaka kupendwa na Allah unapaswa kuacha yote aliyokataza Allah na kufuata aliyoamrisha ,kufanya hivyo ni ucha Mungu, na Mungu anampenda mwenye mwenye kumcha.
Sheikh Yusuf abdi si hawa wanawake wa zama hizi kuhusu sifa ya pili na sifa ya tatu sio wanawake wetu hawa hao walikuwa wanawake wa zama za mitume na maswahaba
Shekh alikuwa anajaribu kueleza sifa ambazo mwanaume anafaa kukua nayo katika ndoa. Lakini wanawake hawazipendi,ila wakishaa buruzika wamefikisha miaka 35 sasa wanakubali ati mda umepita. Wanawake wanapenda wanaume ma bwege.
Basi kuhubiri uasherati tuuu na mambo ya mapenzi tu ya wanawake hayo ndio majaliwa yetu waislam! Alhamdulilah tujipe pole sana maana hatutafika mbali kwa fatwa hizi
kwenye suala la matumizi itategemea kipato cha mwanaume kwani ukisema hivyo utamaanisha mwanaume mwenye hana pesa hapendwi kwa kuwa ana budget sana...au vip mnieleweshe....na kwanini zisitajwe sababu zinazosheheni kwa wote yaani wenye uwezo na wasio na uwezo
Ustadh ameleza vizuri ,kila kitu ni mapenzi na silazima uwe tajiri,Yale Yale matumizi ya kimaskini ni kulewana na kuyatoa kifuraha,manake kuna maskini wengine pia hutuna wake
Ni muhimu mwanaume kupendwa na mkewe.kwani we hujui mbora kati ya wanaume ni yule bola kwa mkewe au wake zake ?,na mtume ni bora kwa wanaume wote.Usisahau mwenyezi mungu anapenda waliokuwa bora.
Sasa Allah atakupenda vipi ikiwa nyumbani hakuna Amani,hio kuwa na upendo Ndio Allah hitia baraka,we wataka Allah akupende na kumpenda mkeo hutaki,mbona we taka Allah akupende
Hawa Masheikh ndio wanaleta fitna ktk ndoa, alitakiwa aeleze NI wanawake wapi wenye hizi sifa za kupendwa, Siku hizi hata wakikatazwa usifanye au usiende mahali wanaenda, viburi, jeuri, tiktok muda wote na wanaiga yote ya tiktok, mashindano na majibizano na waume zao, hasa Wanawake wafanyakazi, wasomi au wafanyabiashara na wakafanikiwa ktk mambo yao ndio kabisaaa kila siku wanataka kujiachisha tu
Sheikh wangu angalia hii hizi video uelewe vizuri gusa hizo link. 1. #Shortvideo mwanamke mwenye sifa tano hizi Anapendwa Na Kila mwanaume ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MglWC_xs1bk.htmlsi=EXS2Lrg0GvgZ5kB5 2.Angalia hii video ambayo ndio video nzima ukiangalia hii utafaidika sana kwan Sheikh hajaleta fitna yoyote ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-GrdptwuFi3c.htmlsi=q94TzcwSTxK0GZgY
Nyinyi musipende kukashif watu yeye anaalimisha jamii kuelimika sio ivyo napia kuusu wanawake ni nyinyi kuwafanya wanawake wabadilike au wewe ndyo uliemusababisha mukeo sio wanawake wote tengua Kaili yako
Sasa kwani mtu anachanganya kuzungumzia kila jinsia kuna muda nyie wanaume mnakuaga kunavitu mnafanya avitulizishi kwaiyo ukiwa na mtu anakiburi anakulufishia kwenye cm meseji za ajabu akiongea uyu nataniana nae sasa wanaume ili ni tatizo pia kwenu na japo kua ukweli wapo wanawake wenye awajui thamani ya mume sibishi