Wasichaguliwe watu kuwa viongozi kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika. Hapo msomi anafafanua kwa kutumia lugha zote mbili. Pata picha ya bunge letu 40% ya wabunge hasa wa viti maalum wangetoka kapa. Short and clear, understandable . Watu werevu wako kando. Hiki kikao ni very sensitive. Wangekuwemo serikalini hawa tungekuwa mbali sana.
Hongereni sana mawakili wetu. Wasomi wanahitajika hata kwa viongozi wa vitongoni. Kipofu ataongozaje wenye macho kama sio kuwapeleka shimoni? Mungu wabariki watetezi wa uhai wa watu wetu.
Wasomi wazuri tunao. Serikali yetu haitaki kuwatumia hawa watu. Inaona hawa watu ni maadui wa taifa. Come on.. ndio maana nchi nyingi za Afrika ziko nyuma kimaendeleo
Kuna shida mahali. Uhuru wa kujieleza umeminywa. Kwa sababu wataalam kama hawa hawajaweza kutoa mawazo yao kikamilifu. Leo kupitia podium ya TLS ndio tunawaona. Tunahitaji vyombo zaidi viwajibike vikiwemo vyombo vya habari na taasisi za kiraia
Wanasheria ndio watatuokoa kwani ni wasomi polisi sio wasomi ni watu wa nguvu tu na kuna mgongano wa masilai ukiwa na pesa shida ukikosa oesa shida sheria kwao ni baati nasibu