Тёмный

Mwanzo Mwisho Wakili Rugemelela Nshala Awasha Moto Kuhusu Utekaji na Sheria Kandamizi 

The Chanzo
Подписаться 87 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 3 часа назад
Wasichaguliwe watu kuwa viongozi kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika. Hapo msomi anafafanua kwa kutumia lugha zote mbili. Pata picha ya bunge letu 40% ya wabunge hasa wa viti maalum wangetoka kapa. Short and clear, understandable . Watu werevu wako kando. Hiki kikao ni very sensitive. Wangekuwemo serikalini hawa tungekuwa mbali sana.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 часа назад
Kweli ceci umeongea point
@febronialyimo8585
@febronialyimo8585 Час назад
Hongereni sana mawakili wetu. Wasomi wanahitajika hata kwa viongozi wa vitongoni. Kipofu ataongozaje wenye macho kama sio kuwapeleka shimoni? Mungu wabariki watetezi wa uhai wa watu wetu.
@kingmichael1234
@kingmichael1234 5 часов назад
Wasomi wazuri tunao. Serikali yetu haitaki kuwatumia hawa watu. Inaona hawa watu ni maadui wa taifa. Come on.. ndio maana nchi nyingi za Afrika ziko nyuma kimaendeleo
@gastordominic410
@gastordominic410 3 часа назад
Wametoa somo zuri sana......TLS msihishie hapo maana kuna viongoz wasiojua Mwisho wa majukumu yao
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 45 минут назад
Asante sana nshala asante sana raisi mwabukusi umekuja mda muafaka kuwasaidia wanyonge kuoitia tls na wanasheria wenye roho ya imani
@SamuelLainzar
@SamuelLainzar 31 минуту назад
Mm naona bunge letu alina manufaa saivi wemejaza tu madawati na kutapakanya pesa yetu 🎉🎉awa wazee waheshimiwe❤❤❤
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 Час назад
TLS Iko kazini ❤❤❤❤
@amanijampion3045
@amanijampion3045 4 часа назад
Kuna shida mahali. Uhuru wa kujieleza umeminywa. Kwa sababu wataalam kama hawa hawajaweza kutoa mawazo yao kikamilifu. Leo kupitia podium ya TLS ndio tunawaona. Tunahitaji vyombo zaidi viwajibike vikiwemo vyombo vya habari na taasisi za kiraia
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 часа назад
Maashaallah
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 2 часа назад
Kupitia huu mkutano serikali ijue kuwa wàtu wanao ipenda hili Taifa wapo na wanchukizwa na hizi Tabia za kupoteza watu kwa kutekwa
@amisanjenda8885
@amisanjenda8885 4 часа назад
Dr lugemelela wewe ni mtu na nusu ila watu kama ninyi serikali haitaki kuwatumia
@gastordominic410
@gastordominic410 3 часа назад
Yaaan leo shule kamili kila mjumbe ametoa elimu ya kutosha
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 2 часа назад
Kazi ipo
@fidelialucassamkhumbi2476
@fidelialucassamkhumbi2476 2 часа назад
Real law phd.
@RemySomy
@RemySomy 5 часов назад
Tusemeeniiiii
@JovinMkunga
@JovinMkunga 22 минуты назад
Polis wangekuwa wanafuata taaruma Yao tungeweza kufanikiwa pakubwa lakin hawapo huru wao wenyewe wanapangiwa chakufanya na wario wateua
@gastordominic410
@gastordominic410 3 часа назад
Hi nayo ni hazina ktk Taifa
@AlfaSaa-j4h
@AlfaSaa-j4h 2 часа назад
Kweli tupu tumekuelewa sana
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 58 минут назад
Wanasheria ndio watatuokoa kwani ni wasomi polisi sio wasomi ni watu wa nguvu tu na kuna mgongano wa masilai ukiwa na pesa shida ukikosa oesa shida sheria kwao ni baati nasibu
@leokamil6284
@leokamil6284 57 минут назад
Sasa wabunge viti maalum nani kaidhinisha ?hii ni kutia hasara tu nchi.Ufunywaji wa fedha
Далее
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 19 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 585 тыс.
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Просмотров 1,1 млн
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 19 тыс.