@@chemstry409 kwahio alijiumba au unaongea nn maana hata hujielewi unapo mtoa mtu kasoro huwa unatafakari unacho sema au unacho andika au ndo mdomo nyumba ya maneno
Subhanallah.. hiyo kauli ni hatari mno.. kwamba simba tukifungwa utampa ally kamwe mke wako amuoe.. Hivi ni wewe kweli uliye kwenda kuhiji?? hivi unaijuwa kweli thamani ya mke ?? Unamsema mobeto na key wakati we mwenyewe unamshushia heshima mkeo kwamba upo tyari kumpa talaka akaolewe na ally kamwe kisa mpira??? Dah nadhani hata mkeo na watoto wako wakiyaskia haya maneno yako watakudharau mno kama nilivyo kudharau mm.... Yaani wewe ungekuwa ndio MO nadhani ungemuua hata mzazi wako Kwa ajili ya simba.. ama kweli wala hajakosea uliposema mdomo ulimponza kichwa.. very shame on you
me tu nilicheka ulipokuwa unamsema azizi ki kwamba sura mbaya hawez huwa na hamisa..hv wee kaka huo msura wako umeuona kama kwato la ng'ombe... muone vile cheeeeeeeeevu