Тёмный

MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 302 тыс.
50% 1

MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

10 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 584   
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Год назад
Kitu napenda kuhus mwijaku he’s always proud of his wife Mashallah 🥰
@kbmsouth
@kbmsouth 11 месяцев назад
Dada ang VING’AST wote ndyo style zao dada ang ILA huyu yuko REALLY kwa MKEWE .
@rahmaalphonce7684
@rahmaalphonce7684 11 месяцев назад
Always proud of his wife or proud of her money?!!
@rukiyanaeba7894
@rukiyanaeba7894 11 месяцев назад
Is a good man ❤❤❤❤
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 11 месяцев назад
anaajiosha tu, si ndiio alimdhalilisha dada wa watu
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Месяц назад
Kbs yan hat hakiwa malaya ila mkewe❤❤mbele kwa mbele
@benboyburundi2429
@benboyburundi2429 Год назад
Alafu izi siku unauwa Sana Sanya kama unakubali Gong link apa love from🇧🇮
@georgeascona5457
@georgeascona5457 Год назад
huyu dada ni mwigizaji mzuri sanaaa aendeleze kipaji chake
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs Год назад
Dada ni 🔥🔥🔥anajua anajua na anajua tena
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Год назад
Yote tisa huyu dada anajua kuigiza bongo movie wamuone jamani😂😂😂😂
@naomimavura2239
@naomimavura2239 Год назад
Sanaa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 11 месяцев назад
Sanaa
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
Ahahahhahaahha hatimayee kapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂 Alafu dada mrembooo check miguu yake🔥🔥🔥🔥
@sein.208
@sein.208 Год назад
Masha Allah Kaka anajielewa sana Mwjk Allah akuongoze zaidi
@godloveemanuel1417
@godloveemanuel1417 Год назад
😂😂😂 Mdada yuko vizur alafu pia mzuri na sauti nzuri
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Год назад
Maisha ya mwijaku huyu bhana, ni kama wavuta bangi kabisa!
@jaylazorschannel5681
@jaylazorschannel5681 Год назад
Mwijaku is a good Actor😂😂😂
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 10 месяцев назад
😁
@Igweezysirleem
@Igweezysirleem Год назад
Mko vizuri kuigiza jama mpo serious kama kweli vile😂😂😂😂
@shaababy2570
@shaababy2570 Год назад
Mwijaku kasema hawezi, kumuanglia sababu hjajistir 😂😂😂ikabid avue miwani
@Makenzisana
@Makenzisana 3 месяца назад
Ila mwijaku😅
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Год назад
Mwijaku shehe wa mchongo😂😂😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Eti yeye hawezi kuonana na nguo ya uchi lakini hao anaohangaika nao ni uchi mtupu
@way9tv821
@way9tv821 Год назад
Kama na wew umegundua motown Sanya kashindwa kuwa serious kwa mwijaku gonga like tujuanee😂😂😂😂😂😂
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Год назад
😅
@user-py6mn1uq7z
@user-py6mn1uq7z Год назад
Tatizo mwijaku ana chamba sana ndo maana Motown sanya akawa hayupo serious
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Год назад
Mzee kwa mwijaku ni muongeaji sana Kisha ni mtangazaji anauzowefu sana, anaemuwez ni Babalevo tu😅, wa
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏
@ziadamauwa4196
@ziadamauwa4196 Год назад
Mwijaku kalamba maziwa ya papa 😂😂😂😂😂
@umfahad2609
@umfahad2609 Год назад
Mwijaku anaogopa msimuache peke yake. Acje akaolewa. 😂😂😂😂😂
@dannykatahunga5452
@dannykatahunga5452 Год назад
Kwakweli Sanya nakubali mwijaku umemuweza kabisa😂
@sampachino5184
@sampachino5184 Год назад
Dada apo unatakiwa ujiengeze ndio ushajulikana usipoyeze nafasi iyo ❤❤❤
@user-em3uf8wz6r
@user-em3uf8wz6r Год назад
Ahahhahaa
@lilyrose7983
@lilyrose7983 Год назад
Hivi kujulikana kunakusaidia nini?,Kutaka umaarufu Dunia lkn mbinguni hamna anae kujua inasaidia nn?
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Год назад
Jaman na mm sija chelewa sana kipindi cha leo nipeni like zangu
@makenaOG
@makenaOG Год назад
Kwani ulikuwa umetupa tukuekee hizo "like" unazodai
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Год назад
@@makenaOG Watakao towa watatowa Kam we unaona vp kausha
@makenaOG
@makenaOG Год назад
@@saidseleman2829 basi twambieni mwazifanyia nini coz kila mmoja "nipeni likes zangu"
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
yaani mwanaume unaomba like hata aibu huna ? like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏
@adamsegeja875
@adamsegeja875 Год назад
@@makenaOG nambiee my
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 Год назад
Nataka nikutie ndani, namtia ndani, nataka nimtie ndani, watu kama wewe wanatakiwa watiwe ndani😀😃😁😆
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 6 месяцев назад
Ni mwendo wa kutiwa tyu
@shabaniddy9967
@shabaniddy9967 Год назад
Interview ni Ile TU Moja ambayo mwijaku kwa mara ya kwanza kufanya exclusive na wasafi but hii interview sio hit kama Ile
@Officialkeeler
@Officialkeeler Год назад
😂😂 huyu jamaa leo kanichekesha kuliko siku zote dah Mwijaku
@nicolausmapunda9470
@nicolausmapunda9470 Год назад
Hahahqh mwijaku fara kweli hapa nina nini 😂😂😂😂😂😂😂
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 Год назад
Hivi ni kweli nimeipenda sana uwaga naalia anytime
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas Год назад
Oya saiv unaua sana hii imeenda kwa ukubwa mno😂😂😂
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Год назад
😂😂Sanya alivyo chungulia simu ya mwijaku sasa😂😂😂
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Год назад
😂😂😂😂ule msemo wa diamond umeingia cha kike 😂😂😂😅mwijaku nae kashaingia°°°🤣
@buoliofficial
@buoliofficial Год назад
Mwijaku unapenda kufunga dah😢😢😢😢😢
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Год назад
Demu anajua 😂 ira na mwijaku yuko vizuri kujitetea
@benymathew4277
@benymathew4277 Год назад
Siku hizi mnaigiza tu. Mo!! Binafsi siku hizi sioni kama kitu kipo ni serious. Naona mnapanga kwanza
@westcijosh
@westcijosh 10 месяцев назад
M mwenyewe siwaamini ni scripted hii kabsa
@Life_of_collin
@Life_of_collin Год назад
This nigga mwijaku is a comedian ....this shit is funny asf 😂
@Jazzy_patternz
@Jazzy_patternz Год назад
😂😂😂😂😂
@dicksonmwita9263
@dicksonmwita9263 Год назад
😂😂😂 Hapa Nina nini in mwijaku's voice 😂😂
@IdrisaChambaty-dr1dx
@IdrisaChambaty-dr1dx Год назад
Hahahaha
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Год назад
Mwijaku hapo hata kama unachepuka mkewako hawezi amini lazima ajue uko pekeyako 😅😅😅😅😂😂😂
@Bongo.255
@Bongo.255 Год назад
Talented Sanya
@williamnsonda2070
@williamnsonda2070 Год назад
dada mzuri huyu kuliko mkeo mwinjaku,sema unafanya vizuri kweli kumsifia mkeo
@nextchapterpro
@nextchapterpro Год назад
AAahahahaah Mwijaku ni Profesa! apewe maua yake
@mrwadata34
@mrwadata34 Год назад
Wakuanza leo yani mwijaku 😂😂😂😂
@nyotajules1732
@nyotajules1732 11 месяцев назад
Mwijaku leo kapatikana ni cheka nyiyeeeeee😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤niipenda sana
@SaidHamisi-ng4pv
@SaidHamisi-ng4pv 4 месяца назад
Motown mwambie mwijaku apunguz ujinga anaoufanya kwawatoto wakike .naitwa saidi hamissi from rwanda
@ibrahimsaid4263
@ibrahimsaid4263 Год назад
Na pochi lako la bei rahic😂😂😂😂 mwijaku ❤❤❤❤❤
@user-vt4zc7by8j
@user-vt4zc7by8j Год назад
Tangia nikufatilie ktk kipnd chako SEMA Leo umeyumba bro ndomana wanageria wanatupita Sana boi plz work hard Om boi hapa umefeli seriously boi trust me pull up ur socks iyapa easy Sana nadhani umeniekewa
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Unavyozungumzia wanageria kwani hichi kipindi ni chakuigiza movie au,hichi ni kipindi cha kuzibua akili mfano ukitokewa na kitu cha gafla utajipanga vip so acha kujiona waelewa sana
@meditation5min
@meditation5min Год назад
Mzeee Barton anapenda sana Polisi asee 😅😅😅
@mussamc641
@mussamc641 Год назад
Tulokua hatuna kaz kumbe ndo tunafatilia .maana kipind kipo siku zote. Iweje mwinjaku asishtuke au hafuatilii haya mambo.
@ziadamauwa4196
@ziadamauwa4196 Год назад
Nikuwa naisubiri kwa makini sana 😂😂🥹
@gimdatdee1812
@gimdatdee1812 Год назад
so creative 😅😅🤣🤣
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Год назад
Alivo wahi simu kupigia police na kanzu yakooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@agathaabogast4598
@agathaabogast4598 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana nyie mwijaku kapatikana
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Год назад
Amekazaaa mwishoo kaingia cha kike yani wakitikiswa kidogo wanakimbilia polisi😂😂😂😂
@danielimeshack3712
@danielimeshack3712 Год назад
😆😂😂😆😆 mamae chezea mwanamke wewe hatari sana
@giftlema9478
@giftlema9478 Год назад
Kwl Content ya Leo mmekwama Wakuu Gar wakat mwanzo wakufungua Kipind Mo_town hamkuwona Gar ilo gar la mwijaku kule mwisho mkatoa Mmechomaa hii 😅😅😅😅😅😅😅😅
@ummusuley9524
@ummusuley9524 Год назад
Watching you frm Kenya nawapenda wasafi group
@annievibes8794
@annievibes8794 Год назад
Mwijaku yupo cloud fm
@manase_fast_courier
@manase_fast_courier 13 дней назад
Huyu dada ni actor mzuri sana…apate pa kufanya aseee
@neemajob2905
@neemajob2905 Год назад
Mamae leo mwijaku kapatikana
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Год назад
Dada yuko vizurii hebu Juwa kalii na Huba" wamuangaliee😂😂😂🙌 vipaji vipo vya serious kweli, Mwijaku kaingia cha kike" Sanya fanya nyengine tafuta mtoto umpeleke kwa Baba Levo Ajifanye ni mtoto wakee alimzaa nje ya ndoa kisha mtoto Akaze nakulia😂😂😂😂
@silasila3111
@silasila3111 Год назад
Ata Mimi naona ivyo
@LutfiaAlly-pw6yi
@LutfiaAlly-pw6yi 11 месяцев назад
Duh chakike
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 11 месяцев назад
Loool Mwijakuuuu pole sana, Leo umepatikanaaa
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 Год назад
Mwijaku ni pumbe sana ni mwanaume Asiejielewa 😂😂
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Год назад
Nipeni izo like za kumuwahi sanya jaman
@grangerbenjamin4241
@grangerbenjamin4241 Год назад
Show yake mostly inajulikana na wanajua watafanyiwa prank ni better watafute a way forward ya kuadvance hiyo scenario
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 Год назад
Hizi ni za past siku buying before kuitroduce style hii ya prank zamani haikuwa hivyo
@yussbreezy918
@yussbreezy918 11 месяцев назад
Hizi videos zilirekodiwa muda tu nyingi so sahv zinaachiwa ,hawapangwi hao
@eng.hamisim.maliki9133
@eng.hamisim.maliki9133 Год назад
Sikuhz uhalisia unapungua inaonyesha kabisa kuwa mnaigiza na watu wanapangwa..uhalisia unaanza kupotea
@JohnMahundi
@JohnMahundi Год назад
Nice....!🎉
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Год назад
😂😂😂😂Ety hapa nina Alama gan mwijaku bhna huyu dada anajua kuigiza kuliko fahima
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Год назад
Mwijaku amekiri kweli amekamatika😂😂😂😂😂😂😂😂
@willyjulius3304
@willyjulius3304 Год назад
😂😂😂😂😂😂mwijaku kayakanyaga😂
@dannykatahunga5452
@dannykatahunga5452 Год назад
Napochilako la bei raisi meijaku weeeeee😂😂😂😂😂😂😂
@Mbisamazembe
@Mbisamazembe Год назад
😅😅😅😅😂😂😂😂😂mwijaku kalamba maziwa ya papa
@MwitaJohn-rt4hu
@MwitaJohn-rt4hu Год назад
hongera kwa kipindi umetengeneza vizur
@agnestemu8382
@agnestemu8382 Год назад
😅😅😅😅😅😅😅 dada wa watu mzuri hv alafu mwijaku analeta mdm
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Год назад
Dada anasauti nzuri nimeipenda shogaangu 😊
@shacool9627
@shacool9627 Год назад
kumbe alama ni muhimu kiasi iko😂
@mashiassenga8849
@mashiassenga8849 Год назад
Kubali umepatikana 😂😂😂😂😂
@mcgb5725
@mcgb5725 Год назад
Hivi n kwel .Mo Town sanya. 🔥
@clevermngao7565
@clevermngao7565 Год назад
Napenda sana kipindi chenu! Nimecheka sana 😅😅😂
@ahmadhassani3499
@ahmadhassani3499 Год назад
Kali sana next week noma
@user-px3yf1mz7q
@user-px3yf1mz7q 10 месяцев назад
Daaaah mwijaku so bravo 🔥🔥🔥🔥🔥
@ommy_king
@ommy_king Год назад
😂😂😂😂dah mwijaku
@arushalivetv4021
@arushalivetv4021 Год назад
Huyo dada mzuri kinoma daah
@sidebraizoy2070
@sidebraizoy2070 7 дней назад
Kaka mwijaku hii 😂😂😂ulipatikana ujanja wako wote 😂😂😂😂
@tobiasjuma395
@tobiasjuma395 Год назад
Hii nimeipenda baba😂😂
@francoisbalebangasaid2443
@francoisbalebangasaid2443 Год назад
Haaaaaaa 😂😂😂😂😂😂 ni mependa Sana
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Год назад
Mwijaku bhana mara mm msafi mara natembea na wanawake expensive inamaan sio mwaminifu
@kibetyegon6281
@kibetyegon6281 Год назад
Dads hapa ameweza kuigiza ameweza
@sedrickmwimbi4089
@sedrickmwimbi4089 Год назад
Iyi Una weza ila tuna subiriya wewe na boss wako Diamond
@nadildylan6124
@nadildylan6124 Год назад
sikuwahi kujua mwijaku uko smart sanaa
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Год назад
Nimeipenda hiyo
@rogersiddy
@rogersiddy Год назад
😂😂😂😂hujamgusa wap wakati umemgusa😂😂😂😂
@yousouph8792
@yousouph8792 Год назад
Aisee mwijaku anafurahisha eti vidume sita dada anarekodi eti chagua hapoo🤣🤣🤣
@crizeyaden6158
@crizeyaden6158 Год назад
Sophia ana mguu mzuri jamaniiii 😍🧐
@umfahad2609
@umfahad2609 Год назад
Sana. Namwenyewe ni mzuri sana. Mwijaku anajidai dio type yake. 😂😂😂😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
wenye miguu mizuri wapo wengi sema wanajistiri tu
@MikeFuraha-rw6dr
@MikeFuraha-rw6dr Год назад
Kuna sehemu dada anakosa uhalisia Kwa kucheka
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Год назад
Halafu mwijaku anauliza tumekutana wapi? Akajibu sisemi kwenye media hahaha
@odaxcontawa
@odaxcontawa Год назад
Mo🔥🔥🔥🔥
@FatimaFatima-xu2ff
@FatimaFatima-xu2ff Год назад
Mwijaku itabidi utuambie una nn apo😂😂
@azizaawadh4439
@azizaawadh4439 Год назад
😂😂😂😂 mwinjaku kapatikana😅😅😅
@deluxwoiso999
@deluxwoiso999 Год назад
Noma sanaa
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk Год назад
Mwijaku ana alphald ipo pale afu kelele nyingi kwa mondi mwenye Rolls
@amisibilly5084
@amisibilly5084 Год назад
Nipeni namba ya uyo dada anajua kabisa
@jafarykadinda6385
@jafarykadinda6385 Год назад
Aisee mo sanya ni 🔥🔥🔥
@agnessmkude5636
@agnessmkude5636 Год назад
😂😂😂et alama daaah 😂😂😂
@uwizeyimanazuwena825
@uwizeyimanazuwena825 Год назад
Mwijaku eti hapa nina nini 😀😀😀😀mbavu zangu mieee 😂😂😂
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Год назад
Mwijaku utanivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lilyrose7983
@lilyrose7983 Год назад
😂😂😂
@user-uh3pq6uf1t
@user-uh3pq6uf1t Год назад
Sema content ya hichi kipind inazingua maan hawa wanapangwa wasanii wanakifatilia kila siku kipindi kwahivyo wanapoalikw wanajua kabis watakutan na hizi drama
@ElvisDavid-qn5vd
@ElvisDavid-qn5vd Год назад
Bora wew umeliona hilo
@ukhtysadabakari360
@ukhtysadabakari360 Год назад
Vipindi vyote vinavyotakiw kurushwa vinakuw vimeaharecodiw ndomaan wanakuw hawajui nini kitatokea
@yussbreezy918
@yussbreezy918 11 месяцев назад
Hivi vipind vili rekodiwa vingi muda tu kwahyo sas hv ndo wanapostiwa
@madechambila6683
@madechambila6683 Год назад
HAHAAA MWIJAKU KAKAMATIKA HADI UNAKIMBILIA POLICE IMEKULA KWAKO
@adamelly6051
@adamelly6051 Год назад
Hahahhaha mwijaku ako smart sana anajielewa
Далее
skibidi toilet multiverse 039 (part 4)
06:06
Просмотров 2,9 млн
#краснодар
0:14
Просмотров 4,5 млн
МИША ПЛИТОЧНИК
0:19
Просмотров 11 млн
А где Ахмат?
1:00
Просмотров 1,4 млн
19 июля 2024 г.
0:20
Просмотров 6 млн
Приятного аппетита 🤣
0:15
Просмотров 8 млн