Ibada zetu, sifa zetu, na kuabudu kwetu kumeingiliwa na udunia mwingi kiasi kwamba nguvu iliyo ndani ya ibada, sifa na kuabudu imepotea katika kanisa la leo. Watu wanachezea Yesu wakaki hata waume zao au wazazi wao hawawezi wachezea.
Niyasikiapo mafundisho yako napata amani sana ndani ya moyo wangu, napenda injili ya kweli, sihitaji kupoteza muda bure... Ubarikiwe sana. Anayekuchukia ni wazi kaanza kumchukia Yesu Kristo... Wengi wameilanisha injili, kumekuwa hakuna sheria kuliko hata kwa Shetani... Ubarikiwe sana.
Thank you mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kiwango gani shetani ametamani kuiba our souls through music. Embalamba is a disgrace to the gospel world, na hizo zingine ati..unataka unaiwe, 😢. Mungu aturehemu esp sisi wakenya
Mtumishi mwenye kuhukumu ni Mungu pekee 😮!!Kuhusu hao waimbaji hupaswi kusema kitu maana watu bado humpokea Mungu kupitia nyimbo hizo hizo wanazoimba hao waimbaji,mapokeo ya mtu mwenyew ndo yanayomuunganisha mtu na Mungu na sio Mwimbaji anayekuunganishq na Mungu. Hata waimbe wakitaka umaarufu hukumu atatoa mwenye ENZI YAKE PEKEE 🙌
Leo nimekuwa wa kwanza..mungu akubariki poster akupe nguvu...endelea kusema ukwel nakubaliana na maubiri yako kwasababu ayafanani na awa wengine makonimani
@@paschalcassianoriginal9411 poster mm sijui venye naweza ku2ma sadaka ya kujenga madhabau..natuma vip kwasababu mm ni mkenya na nko saudia rabia..ebu niambie ni2me vp
2 samwel 6: 14-22 David danced before the lord with all his might. So! Praising/dancing before God is not just or only a rohoni act, but can also be done with physical bodily expression ofcourse in an acceptable manner. Remember what happened to Davids wife when she tried rebuke David ways of dancing? Well, go check it out again. Shalom and Gods blessings
Kuna kanisa ingine pale nairobi ..ilikuwa kanisa ya kabila moja ya kiluyah,wasipoimba kilugha roho hashuki Alafu roho akishuka wanapasua viti wanachapa watu ,siku moja mdada fula alipasua madhabahu na akaumia kichwa.iam telling you watu walikuwa wanakuja kanisani wakiwa wasafi wanarudi nyumbani wakiwa wachafu,wengine wameumia,eti ni roho wa MUNGU😳😳😁😁😁😂😂😂😂😂
@@paschalcassianoriginal9411 iam telling mtumishi,, 😁but nilisafiri,,, finally nikasikia haipo walianza vita wenyewe kwa wenyewe na Kila mtu akaenda zake
Yani waimbaji wanasaidia shetani kutimiza kusudi la shetani sijui wanazichunguza roho au wanapenda fedha maana wengi wamekuwa rafiki wa manabii wanapotosha watu kwa kweli
Ninalo swali, ukiwa unamwimbia Mungu ili kufanya ibada na wengine na usiruhusu wimbo wako kujukuliwa ( download) ili kuusikia baadaye maana umeguzwa na ujumbe aliouimba mtumishi, hapo utakua umehubiri kikamilifu? Maana yule wa chini hana uwezo wa kuusikiza mziki wako pasipo hela. Wakosoe pasipo kituo, atakaye gairi akinywee kikombe chake cha hukumu siku ya kiama. Wasilete chukizo patakatifu pa Mungu.