Тёмный

MWL C MWAKASEGE: FAIDA ZA KUJAZWA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU MWANZONI MWA KIPINDI CHAKO KIPYA. 

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Подписаться 214 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

SEMINA YA WANAWAKE DAR ES SALAAM [PART 1B]

Опубликовано:

 

1 фев 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 63   
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 года назад
Baba na Mama ninawafuatilia tokea nikiwa mtoto miaka hiyooo semina ilikuwa ikifanyika pale Philips viwanjani Arusha 😭😭😭 nimekumbuka mbali na Leo Nina watoto naomba Mungu awabariki sehemu ya roho ya huduma iliyo ndani yako watoto wangu Gabi Daniel na Gloria nilimpenda Mungu Sana anayehubiriwa katika YESU mpaka sasa nampenda huyu MUNGU amenitoa mbali kama si Yeye nisingefika Leo.
@angelamdee9319
@angelamdee9319 2 года назад
Ee Mungu katika Roho Mtakatifu, mafuta mapya juu ya watumishi wako kila iitwapo leo!!!
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 2 года назад
Mungu Baba asante kwa ajili ya watumishi wako hawa Christopher na Diana Mwakasege hakika wamekuwa baraka kwangu na uzao wangu. Mungu Baba wape haja ya mioyo yao nguvu zao zisipungue na macho yao yasipofuke kama Musa. KUMBUKUMBU LA TORATI 34:7
@anophrinedesdeus6139
@anophrinedesdeus6139 2 года назад
Nipo katika lango la msimu mpya na ghafla nimekutana na somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Yesu
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 года назад
Nimejifunza mengi sana kupitia mana ministry na nilipolitendea neno la Mungu kazi nilipata matokeo mazuri Ijapokuwa nipo nchi ya ugeni Bwana anaonekana napia niko katika subira namgoja Bwana Kwa saburi maana pamoja na mapito magumu ninayopitia sasa ameoniondolea (hasira na haraka) 😀😆 with all circumstances actually people who close to me they wondering that where do I get energy when they see me with a big smile on my face and still on storms because storms don't last forever his grace is sufficient, indeed GOD is good and faithful
@lightnesskweka4774
@lightnesskweka4774 Год назад
Wooow this one is gud. Glory be to him. Jesus Christ n our God might God 🙏🙏🙏🙏
@joycemajule2846
@joycemajule2846 2 года назад
Mmekuwa Msaada Mkubwa KATIKA maisha yangu ya kiroho na kiutumishi. Masomo yenu yamekuwa majibi ya maswali yangu kwa miaka migni Sana na sasa Mzee na muona mUngu kwenye Utumishi wenu. Amen
@raymondroyer7414
@raymondroyer7414 2 года назад
Ubarikiwe Mungu wetu wa Mbinguni Kwa kutujalia Utumishi wa Watumishi wako Christopher na Diana Mwakasege Kwa Neno la Uzima Amen
@henrymushi8340
@henrymushi8340 2 года назад
Mungu akulinde mwalimu na familia yako na team nzima ya Mana
@ABSALOMUADREA-dq4gy
@ABSALOMUADREA-dq4gy Год назад
Utukufu na heshima ni kwa Mungu aliye hai 💪
@dennismourice7359
@dennismourice7359 2 года назад
Shalom wajoli wa Bwana. Nawiwa kujifunza juu ya mzaliwa wa kwanza na pia somo la kujitathimini. Naomba kama ikiwezekana yarudishwe
@mchernestnnko9809
@mchernestnnko9809 2 года назад
Mungu ameniponya mengi sana kupitia mtumishi wake
@user-hk5qs2ih3q
@user-hk5qs2ih3q Год назад
Naomba kuombewa wokovu
@kaylamariani3142
@kaylamariani3142 2 года назад
Nina mshukuru mungu Sana kwa kutuma mtumishi Kama wewe mungu azidi kuku inuwa zaidi na zaidi
@jessejackson1281
@jessejackson1281 2 года назад
Amen Watumishi narikiwa Sana kwa mafunfisho yenye viwango vya kimungu kiroho- nawapenda Sana aswa napoisikiliza sauti ya Mwalimu mwakasege mapata Furaha kutokana na anachokifundisha kimebeba uhai wa kiroho- ndani yangu Thank Jesus
@kesiamungututeteeezekiel4603
@kesiamungututeteeezekiel4603 2 года назад
Tunaamin mtatuwekea mwendelezo wa SoMo hili, nimebarikiwa sana
@dominicgreyson3734
@dominicgreyson3734 2 года назад
aminaa mbarikiwe sanaa na Bwana yesu
@ApostleMathayonnko
@ApostleMathayonnko 2 года назад
Jamani huyo mwimbaji nimempenda ,dada ubarikiwe Mungu akumwagie mafuta mengine zaidi.
@joycenuhu1566
@joycenuhu1566 2 года назад
Mungu awabariki sana Nawapenda sana, Mungu naomba unikumbuke najiunganisha na madhabahu hii.
@julianmwanga7472
@julianmwanga7472 2 года назад
Amina
@saraheliud3913
@saraheliud3913 Год назад
Nashukuru sana kwa mafundisho
@joycemajule2846
@joycemajule2846 2 года назад
Shàlom, Mungu Awatunze na KUWALINDA na kila vita toka kwa adui Shetani
@celinetenende5448
@celinetenende5448 2 года назад
Bwana Yesu asifiwe Napenda kumshukuru Mungu kwa kupata nafasi ya kusikiliza neno lake Ila ninaswali wapendwa wa Mungu mm kila ni kiangalia saa huwa nakuta namba za kufanana kila Mara Yani mfano 11:11,10:10,9:9,3:3 12:12 lasivyo sitafanana kima tamshi yaani 11:5,4:10 kwakweli sielewi inamaana gani hii msaada wenu kwa anayejua hiii imekaaje.
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 года назад
🤜🏾🤛🏿 Baba na Mama nawapenda Sana katika jina la YESU
@MagrethMadila
@MagrethMadila 10 месяцев назад
Mungu siwez mimi lakini nzkukabizi wewe jambo hili mimi siwezi sayon arudishe haki yangu
@tresorkulimushi716
@tresorkulimushi716 Год назад
Ubarikiwe sana na Mungu mwalimu
@josephinevicent1010
@josephinevicent1010 2 года назад
Amen.naomba nitembee na yesu
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 2 года назад
Ameeen Mungu awatunze baba na mama
@adamsonwedson5081
@adamsonwedson5081 2 года назад
Thanks God for this session
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 2 года назад
Mungu awatunze na kuwabariki sanaa
@hossymunuo9773
@hossymunuo9773 2 года назад
Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
@user-os7np6po8z
@user-os7np6po8z 9 месяцев назад
God is living
@liliandominickrusheke6770
@liliandominickrusheke6770 2 года назад
wow nabarikiwa sana
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 2 года назад
Amen mtumishi wa Mungu
@elizabethliving4021
@elizabethliving4021 Год назад
Amina baba mung akulinde
@jacksonbiswalo8360
@jacksonbiswalo8360 2 года назад
Amina Mtumishi wa Mungu.
@neemamachangemachange8874
@neemamachangemachange8874 2 года назад
Amen Amen
@liliankimambo8231
@liliankimambo8231 Год назад
Amen
@joycekabula
@joycekabula 2 года назад
Amen, neno la wakati
@wendyaaron9696
@wendyaaron9696 2 года назад
Amen amen hallelujah
@AlfaSanga
@AlfaSanga 2 года назад
Sehemu ya pili tafadhali ? Asante kwa ujumbe mzurii.
@monicaludovick891
@monicaludovick891 Год назад
Ameen
@hilgathjoshua8804
@hilgathjoshua8804 2 года назад
Ameni Ameni
@bilugwemwanzije
@bilugwemwanzije Год назад
Nguvu za mungu ziwashukie !!?
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 года назад
Tulikuwa tunaishi sekei mitaa ya philips 😭😭😭 Mungu awabariki Sana nimezimisi zile Nyakati maana Niko mbali na nyumbani Ila namshukuru Mungu kwa yote
@janembalinga7074
@janembalinga7074 2 года назад
Nguvu za mungu upako mpya ktk msimu mpya
@shigongorevocatus8574
@shigongorevocatus8574 2 года назад
Barikiwa
@jacklineasseri9508
@jacklineasseri9508 2 года назад
🙏
@victoriajames6190
@victoriajames6190 2 года назад
Mwendelezo please
@mugoremuzia5398
@mugoremuzia5398 2 года назад
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ndembwamponda7674
@ndembwamponda7674 2 года назад
Mbona somo halikumalizika?
@ananiasbanda4828
@ananiasbanda4828 2 года назад
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🙏
@marrywema7850
@marrywema7850 2 года назад
Halleluyah
@kunsah2
@kunsah2 2 года назад
Shalom! Somo ni zuri mno, lakini mbona mmelikatisha?
@tumainimutatembwa4343
@tumainimutatembwa4343 2 года назад
Amina
@micahpaul8632
@micahpaul8632 2 года назад
AMINA MTUMISHI WA BWANA WETU YESU CHRISTO BWANA NA AKUTIE NGUVU NA KUZIDI
@amanially7571
@amanially7571 2 года назад
Amina
@estherfrederick6920
@estherfrederick6920 Год назад
Amen
@lucanziku7836
@lucanziku7836 2 года назад
Amen. sifa, heshima na utukufu n kwa Bwana. Ubarikiwe baba
@jacklineasseri9508
@jacklineasseri9508 2 года назад
🙏
@zamirungoda7636
@zamirungoda7636 Год назад
Amen
@marymosses1589
@marymosses1589 2 года назад
Amen
@refinginsemwa7399
@refinginsemwa7399 2 года назад
Amen
Далее
Аминка ❤️
00:16
Просмотров 595 тыс.
JINSI YA KUACHILIA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKO
1:18:40
NDOA NI WITO WA MUNGU || Mwl Christopher Mwakasege
1:52:29
Mtambue Roho Mtakatifu Na Kazi Zake
1:13:00
Просмотров 2,3 тыс.
FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA
1:00:32
Просмотров 146 тыс.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: UMUHIMU WA MAOMBI
1:27:33
Просмотров 28 тыс.