Baba katika jina la Yesu nakuja na hati ya dharula juu ya dada Rehema mzaliwa wetu wa kwanza umrehemu na kumwinulia watu wa kuja kununua eneo lake analouza illi akalipe madeni anayodaiwa na apate mtaji wa kufanya kazi zake katika jina la Yesu. Simama mwenyewe Baba wa yatima nimekukimbilia wewe tusiaibike milele. Amina
MUNGU akubaliki sana mtumishi kwa neno zuri! Lakini mimi natamani sana kuelewa jinsi unavyo fundisha kwa vipindi vyako mwalimu lakini najikuta naishia kusikiliza tuu na sielewi chochote naomba msaada wa maombi mwalimu tafadhali....
Kwaimani kubwa ee Mungu nakuomba kasikie maombi na naitaji langu ukapate kunipa majibu ndani ya mwezi huu kabla haujaisha nakuomba bwana ukanitendee sawa sawa na uonavyo nakuomba bwana ukatende