Jamani nipewe hyu Sibo, mbna mzuri snaa, alfu mama mkwe hyo ni advice gani unayompa sibo wanguu😂, mtoto wa kiume anafaa kupambana kutafuta hela zke na si kutegemea mwanamke
Mama n mama tu wallai tunafanyia mama mambo mengine lkn n lazima wasimame n Sisi thanks Sana mama bt huyo mwanao apunguze coz afanyia Zatiti.poa at all😮
Yolanda amezama kwnye penzi LA chibo 😂😂❤ chiko ulifanya makosa kumkabidhi mkeo password n A.T.M yako subiri akufilisi😂ila zatiti ana moyo kaja muomba mjomba amsaidie kumuhifadhi huyo mama na wakati chiko hata hajali katekwa maxima n mkewe yolanda😂 hii filamu yafunza
Mama sibo. naona unatetea penz la mwanao hali yakuwa si umwambie ajitahid kutafuta sasa si tukiwatafutia wanaum wanawak tutafutiwe na nani Yolanda atakisema sibo anakuwa tengemez nikwel🎉🎉🎉 Yolanda
Uyu chiko anajisima data eti anatamani mama yake arudi kwa Hali ya kawaida na yeye kamfanya ivo alivyo😢😢😢😢kitakukuta jambo wewe alafu mama Sibo akili hana kabisaa
Nyie mnaosema sibo na hizo tqmbala zake kichwan ,kumbe hamjawah kudate na muhuni nyie yan Kila anakoenda ni hivo au provaa zenye kofia asee wanaume nyie🤣🤣