Exclusive Na Mzee Mohamed Aliezua Gumzo Visiwani Zanzibar ambae ameibiwa Simu yake siku chache zilizopita ameamua Kuweka Matangazo Aliyochapisha Mtaani kwake Maeneo ya Mwanakwerekwe Visiwani.
Kuna watu wanaibiwa simu na risiti wanazo na boxi za simu zenye namba wanazo wanashtaki polisi lakini polisi hawawezi kuzipata hizo simu pamoja na kuwepo na vielelezo vyote vya hizo simu yaani simu ikiibiwa ndiyo imekwenda hairudi
Baba nitakutafuta nikijaliwa uhai kuna watu 2 nawadai pesa zangu za halali 😭😭😭wananisumbua sn na cdhn km watanilipa kwa hiyo nisha amua km dhambi tutajuana kesho akhera 😭😭
Kama kapoteza alookota wajibu amtafute mwenyewe. Lazima zimo namba za mtu wa karibu angepiga na angemoata au asingezima simu hata wiki kwani alopotezq lazima ataipiga
How do you still a phone, I thought all phones have location capability. You log in any device and will locate where it is. Hii mpya kwangu. And providers have the capability to know where you are and where the phone is.
Astagfirullah laadwim 😳 unaongea tuu kwasababu hayajakukuta hilo ni jasho lake acha achukuwe hatua yoyote ile ili haki yake irudi,msikitini kwenyewe wakiimba vitu vya msikiti wanatoa tangazo aloiba arudishe ndani ya siku tatu kabla ya kufanya dua,vip yeye asiseme wallaaaaa 😠
This number can be used by the police to locate your lost or misplaced cell phone. Even with a different SIM, the moment a call is made, the IMEI number helps police to track your phone to the exact or nearby cell phone tower.Go to the police station and report this case and you will be asisted