Mzee likoma umeamua kumfanyia zebuu aonekani nuksi Kwa mumewe kisa Ni maneno ya Sheila,,,ujue kitakuramba mwenyewe kma ile keki ya birthday 🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna vitu najifunza Mimi Kwa hizi muvi zenu nawapenda ♥️ nyote team mafunzo na parti ya Leo sikuona KP ama haja Rudi kutoka kazini🤔🤔🤔 love you guys 💋💋💋💋 Kenya tuko Bamba tu Bamba na nyinyi