Mzee wa upako huwa nakuelewa sana kuliko mtumishi yoyote niliewahi kumsikiliza na mtu anaeelewa vzr ht km atapinga kwa vile ni wivu wa kiutumishi ila rohoni lazima anakukubali na kusema hii ndio injili mana wivu upo popote duniani
Antony Lusekelo..mafundisho yako hua nayaelewa sanaaaa,kuliko wengine wafikiriavyo na kusema maneno yasiyo stahili. Tunaona watumishi wengi leo wanaanza kuhubiri mipasho kwa watu mala wanawake ni bajaji sijui nini,lakini wewe nakuona unahubiri BIBLIA takatifu na kuichambua watu wapate kuelewa Barikiwa mno mno