Тёмный

MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE 

Bona Tv
Подписаться 391 тыс.
Просмотров 105 тыс.
50% 1

Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE
#Bonatv #Exclusive #BabaLevo

Развлечения

Опубликовано:

 

20 апр 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 193   
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 года назад
Tanzania pole pole ni kweli tabia inatuchelewesha mambo mengi
@oslaboy8303
@oslaboy8303 2 года назад
Bi levo baa! Fundi manyumba kumbe unajulikana had na wazungu😂😂
@jumaradhcompany3792
@jumaradhcompany3792 2 года назад
🗣️🗣️🗣️we mtangazaji we. Muongeleshe Swahili ivo ivo.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Baba Levo Mwali wa kuzungu Huyu mbona mrembo hivi.
@ferouzrakeem6532
@ferouzrakeem6532 2 года назад
Nimependa kanavyoongea kiswahili, kweli kanajaribu
@leoniemlilapi1429
@leoniemlilapi1429 2 года назад
Nakupenda Sana Rita Frenzel 😍😍nataka niwe kama wewe ipo siku nitaweza
@amanijm746
@amanijm746 2 года назад
Anaongea kiswahili halafu mwandishi anamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...daah. Anyway, nisicomment zaidi.
@naurathsayd1107
@naurathsayd1107 2 года назад
🤣😂
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Mwezi mmoja tu anaongea kiswahili vizuri sana... she is great
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 года назад
No anasema alikuja Tanga myaka ya nyuma, but kwa sasa ndo ana mwezi Tz
@fatmasaleh9516
@fatmasaleh9516 2 года назад
Itaum sana🤣🤣🤣
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 года назад
@@fatmasaleh9516 Msenge akati matiti yake yanaonekana ya Mwana Mama kbs, au kashatoaga mimba 😂😂😂😂😂
@fredymwakikono1575
@fredymwakikono1575 2 года назад
huyu mzungu anaijua shishi na baba levo na waimbaji na waigizaji tu 😂😂😂
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
Mswahili akiongea kizungu kibovu nwamtukana lkn madamu mzungu anaongea kiswahili kibaovu munamsifia
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
Shikamoo wanaume wa bongo kwa kuomba ela😂😂😂😂
@mohammednoor2764
@mohammednoor2764 2 года назад
Sex ya wanawake
@josephinemichael1514
@josephinemichael1514 2 года назад
Noma sana😆😆😆
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
Sioendi ving'asit wanaomba sena ela watanitoa roho😂😂😂😂😂😂 ila wanaume wa bongo wamezidi daaah 😀😂😂
@mosesayubu5012
@mosesayubu5012 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@kephatz2814
@kephatz2814 2 года назад
Anamjua lakini baba Levo huyu. Au atakuwa kapandikizwa make baba Levo na shilole sio Wachache 🤣🤣🤣🤣
@abdoulkarimmabulu1416
@abdoulkarimmabulu1416 2 года назад
Ongera Ritha.welcome in Africa especially there at Tanzania
@oyay2821
@oyay2821 2 года назад
Mwijaku hata lala, Babalevo anapendwa na mzungu. Mwijaku anacho
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 2 года назад
Hahahahah kwakweli
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
😀😀😀mwijaku
@shaibundege7046
@shaibundege7046 2 года назад
Hahahahaha umenichekesha san
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Nimecheka kwakweli hapendi vingasti wanaomba hela sana watamtoa roho.mzungu umejua kunichekesha kwakweli
@brightonsospeter5100
@brightonsospeter5100 2 года назад
Jamani na nampenda huyo mzungu
@musakaphu4581
@musakaphu4581 2 года назад
akiaMungu mzungu hapendi ving'asti wanaomba hela lkn yuwampenda blue chawa mwenyewe 🤣🤣
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 2 года назад
😁😁😁Eti sipendi ving, sti vinaomba hela
@aby21111
@aby21111 2 года назад
Who doesn't love Baba levo? I love him too.
@ngabchris683
@ngabchris683 2 года назад
😅🤣🤣😂😂😅😅Baba levo bilevobaaaaaaaa wapendwa jamani nihicho kipua chakooo wanao kutukana nawapa poleeeeee
@Filmz639
@Filmz639 2 года назад
Nimempenda sana, kweli anajitahidi kuongea Kiswahili
@lawrencekabila8997
@lawrencekabila8997 2 года назад
i like the guy the way he is direct..umeolewa? uko na mtoto hahahaha
@mussamc641
@mussamc641 2 года назад
Yy kaondka kalfonia kaja tz kutafuta maisha .. tutaona mengi mwaka huu
@hamisalfan9150
@hamisalfan9150 2 года назад
😂😂
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 2 года назад
mwandishi unajua sana kuongea nae kulingana na uzito wa kuelewa kiswahili alionao
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 года назад
Ati anampenda baba level na nyimbo zake😂😂😂😂
@lovvy854
@lovvy854 2 года назад
Hivi kweli babalevoo na jitumbo lake like anajua kucheza ama ni boyaa tuu labda misthari
@meddydoubledi1675
@meddydoubledi1675 2 года назад
nimempenda mno Yuko vizuri
@soccersouls7822
@soccersouls7822 2 года назад
Angalia watanzania Tulivyo na akili Mbovu Diamond Alivyo kosea tu Kusema kwamba I'm 31st watu walimcheka wakamuona hajaelimika ila mzungu wetu Anavyo koses kutamka maneno watu wanaona kawadia kwasbabu sio lugha yake. Aisee
@bonfacemark9048
@bonfacemark9048 2 года назад
Hio ni ndugu umegonga ndipo from 🇰🇪
@shaniashani7026
@shaniashani7026 2 года назад
Madini yetu yanaenda hivi hivi jamani🤣🤣🤣wanakuja kujitongozesha kumbe wana inshu zao🤣🤣👌🏼ila tunaona sifa eti tunapendwa wapiii🤣🤣🤣
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 2 года назад
Safi sana unajitahidi sana
@lovecutetz9668
@lovecutetz9668 2 года назад
Aaasubutuuu uyo tabu sasa kma namuona 😃
@mohamedschaeublin7374
@mohamedschaeublin7374 2 года назад
unafahamu neno gani lakiswahili, 😂 anazungumza kiswahili😊
@jumamofu9573
@jumamofu9573 2 года назад
Babu ongea kiswahili tu we mtangazaji vipi..
@bakarininga4100
@bakarininga4100 2 года назад
Hahaha uyu mzungu anawasanii wake anaowapenda daaah
@nawechi4818
@nawechi4818 2 года назад
Mimi kicheko chake tuu🤣🤣🤣
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 2 года назад
Kiswahili kizur dada mkarim na mchesh sana
@subirajohn728
@subirajohn728 2 года назад
Baba Revo✨✨✨✨✨
@paulmukhwana5181
@paulmukhwana5181 2 года назад
Bro ongea Kiswahili. Kingereza kinakuchenga kiasi. Rita anaelewa Kiswahili
@Damar1987
@Damar1987 2 года назад
Congratulations, karibu Kenya Rita
@shahashaha6269
@shahashaha6269 2 года назад
Ving'asti mtamtoa roho dada wa watu pesa waombe ving'asti aibu naona Mimi 😂😂😂
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 2 года назад
😀😀😀😀
@absonbobby3257
@absonbobby3257 2 года назад
Hapendi ving'asti wanaomba hela watamtoa roho Mzungu huyu ni balaaa tupu😂🤣🤣
@faridhasan4398
@faridhasan4398 2 года назад
Spy uyo mzunqu
@frankkikambako9281
@frankkikambako9281 2 года назад
What is the diff between Callifonia and Tz. 🤣
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
Watu wakiona mzungu wanajua anamihela wanaomba hela 😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mtoto wa kiume nguvu ya kuomba hela mwanamke unaitoa wapi?
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 2 года назад
🤣🤣
@qatr3475
@qatr3475 2 года назад
Wanaume wa sasa hawana haya hata kidogo
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Yani wanaomba hela wanaume sanaaa tu mimi mwenyewe nimeshaombwa kiukweli
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
@@suzanamwangingo2995 Msiwape wanatudhalilisha sana
@benardmapuga8370
@benardmapuga8370 2 года назад
Kwani kuombana ni kosa?
@Dantaata
@Dantaata 2 года назад
hapo ka baba levo anajua kuimba na kucheza,, umetudanganya
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 2 года назад
Kwahyo ulitaka aongee maoni yako hivi watu uwaga mkoje
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 года назад
Katupiga🤣🤣🤣🤣
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 года назад
Ok huyu msanii nilimuona akicheza na watoto yukofiti
@issakamangila4143
@issakamangila4143 2 года назад
Eti vingasti watamtowa roho aaahaa
@babalao910
@babalao910 2 года назад
Ukiwa mzungu Hata kama unaokota makopo, ukija Africa lazima usujudiwe.
@alawiali3475
@alawiali3475 2 года назад
Umesema kweli tunawathamini sana hawa viumbe.
@user-bi9pn1pm8z
@user-bi9pn1pm8z 2 года назад
Kawaida akija huku bado ni Tajiri kuliko uko kwabo
@sumailiramazhani7121
@sumailiramazhani7121 2 года назад
Baba Levo ananyimbo zakupendwa nayeye😂😂😂😂😂😂😂😂
@twitchjeffjerry1483
@twitchjeffjerry1483 2 года назад
Mtangazaji anaongea kiswahili kama mzungu 😂😂😂 ila hayo maswahili ulio uliza kwa kuzungu umesoma
@astonymathews6136
@astonymathews6136 2 года назад
🏃‍♂️😂😂😂😂 wabongo nomaAaa
@d1w4n1dmoko9
@d1w4n1dmoko9 2 года назад
😂😂😂😂😂 apendi vibenten vitamtoa roho
@htx1873
@htx1873 2 года назад
Sipendi vinyasti!!
@theresiagreyson9606
@theresiagreyson9606 2 года назад
Hahah eti itauma🤣🤣
@fatmaamir380
@fatmaamir380 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti baba levo anajua kuimba
@nemesapollo4846
@nemesapollo4846 2 года назад
Chawa,noma unapendwa jiko hilo🤣🤣🤣
@merinajuma6948
@merinajuma6948 2 года назад
Mzungu
@newahomwashiuya8858
@newahomwashiuya8858 2 года назад
Mtangazaji anaongea kiswahili Cha kizungu mweeeee😆😆😆😆
@jackstar508
@jackstar508 2 года назад
🤣🤣
@ipyanaaden9627
@ipyanaaden9627 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 2 года назад
Bona TV naomba number ya huyo dada wa kizungu yuko poa sana
@cottamanywele1396
@cottamanywele1396 2 года назад
Anajuwa kuongea vzr kiswahili big up
@buddahmakucha6848
@buddahmakucha6848 2 года назад
😂😂😂 itaumaa sanaa
@waromaclassicvideoz764
@waromaclassicvideoz764 2 года назад
Nice
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 года назад
Watakutoa roho kweli😀😀😀😀
@meshajoni5662
@meshajoni5662 2 года назад
Mwandishi achaushambaa,,navingeleza wakati mzungu anataka kiswahilii
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
huon mzungu anachanganya
@jamesobedy3687
@jamesobedy3687 2 года назад
itauma uwi wee mbona ulizaliwa 🤪🤪🤪🤪🤪
@mosatawi393
@mosatawi393 2 года назад
Lita amesemaukweli, kuzaaaa siomchezo, 😁 😁 😁
@saidabwanakheri7432
@saidabwanakheri7432 2 года назад
Watangazaji WA Tz bwana. Sasa maswali gani MTU unaongea nae Kiswahili halafu unamuuliza kama anajua Kiswahili.
@minabuelysee8
@minabuelysee8 2 года назад
Good
@kamugishaernest6227
@kamugishaernest6227 2 года назад
Huyu mtangazaji bhana 🤣🤣🤣 kwa hiyo anaongea kiswahili-kingereza
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 года назад
Anajitutumua saana😂
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 2 года назад
@@whitetigerprincy5882 😀😀😀
@geja8708
@geja8708 2 года назад
Karibu mafia rita
@hamedabashir9
@hamedabashir9 2 года назад
Kanajua kiswahili
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 года назад
Saleh hapo itauma sana nahc ultaman kumwambia haiumi ww tuliaaa😂😂😂😂🤣
@benasdoris
@benasdoris 2 года назад
😹😹😹
@yogwemwakulola4093
@yogwemwakulola4093 2 года назад
Nyinyi mnahoji mzungu njaa, unapendaje vyakula vyote ivyo
@bashiriwilliam5982
@bashiriwilliam5982 2 года назад
Mtu mnahojiana kiswahili harafu unamuuliza unafahamu neno gani la kiswahili...🤣🤣🤣waandishi wengine madishi
@yusufumbasa2720
@yusufumbasa2720 2 года назад
Umeona eeeh dishi kweli
@bashiriwilliam5982
@bashiriwilliam5982 2 года назад
@@yusufumbasa2720 Kaniacha kinywa wazi aliopouliza swali hilo,,alipaswa kuuliza neno/maneno gani ya uswahilini unayajua..walau ingeleta maana Sasa anauliza neno gani la kiswahili mtu anaongea naye kiswahili ,hii ajabu kweli mpaka mdada wa watu kaduwaa🤣🤣
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Mzungu safi sana kwa kumpenda mwanangu Shilole good
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 2 года назад
Afanye kazi na Mr bigi bigi
@Msemaukwelikweli
@Msemaukwelikweli 2 года назад
Huyu Mjamaa ni kutongoza anatongoza ki siri siri
@tatumussa651
@tatumussa651 2 года назад
Kweli iyo nimzungu
@dulummi1095
@dulummi1095 2 года назад
Makandee hahahahahah wee mzunguu jaman
@chumizola1847
@chumizola1847 2 года назад
Rita njoo kwangu, sitakutoa roho mimi nitakuonga
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 2 года назад
She's very fun I like her
@allanmasaba5538
@allanmasaba5538 2 года назад
She is very fun
@josephsebe5857
@josephsebe5857 2 года назад
Sio wote weupe au watoka ulaya au marekani ni wazungu,huyo mjanja anatafuta kwa wasiozijua eti hataki VING'ASTI 😂😂😂 mzungu hana pesa.????mmmmm
@tonywambua9505
@tonywambua9505 2 года назад
Camera man weka light sioni vizuri
@francisboniphace1483
@francisboniphace1483 2 года назад
Inauma sana kuzaa kwa hyo sis tuliozaa hatuna maumivu au tuna roho za chuma
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 года назад
🤣
@antonymnyavanu5200
@antonymnyavanu5200 2 года назад
Pole Francis ulizaa kwa uchungu sana
@dorcasemmanuel223
@dorcasemmanuel223 2 года назад
Asa ww kingereza cha nn natuko tz. ...acheni izo wabongo
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 года назад
Heheheheh..... difference between California n Arusha?
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 года назад
Nikizaa itauma sana
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 2 года назад
Hahaha wanaume wa dar wanapenda kuomba hela hawana aibu
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 2 года назад
Yaani aibu
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 2 года назад
Unafahamu neno lipi La kiswahili wakati anaongea kiswahili aisee? Mtangazaji hapo mmmm
@brightonsospeter5100
@brightonsospeter5100 2 года назад
Nipeni namba yake ya cm
@amiduchiller8562
@amiduchiller8562 2 года назад
Kusema ukweli hizo sifa baba levo hana hata moja.
@jacksonlukaka4117
@jacksonlukaka4117 2 года назад
Uyu wa mzungu wa mbagala
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 года назад
Mzungu yuko poa nanimzuri sana
@alphoncevicenti1289
@alphoncevicenti1289 Год назад
kanyoa kapenfeza kweli yani
@samiabashili9858
@samiabashili9858 2 года назад
Unampenda baba levo ww
@giftmbogela2435
@giftmbogela2435 2 года назад
Yani huyu mzaramo mixer mruguru😂
@nicerjoseph2904
@nicerjoseph2904 2 года назад
😄😄😄😄
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 2 года назад
Ndugu mwandishi muda wote unatukumbusha jina!!😎
@bozbun3994
@bozbun3994 2 года назад
Mmmh hakuna mzungu hapa
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 года назад
Huyu ni hatari
Далее
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
Просмотров 6 млн
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 9 млн
BEST Auditions from America's Got Talent 2024 So Far!
1:39:12
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 2,9 млн