Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MZUNGU NAMPENDA BABALEVO/ANAOGOPA KUOMBWA HELA/ANAPENDA KULA MAKANDE #Bonatv #Exclusive #BabaLevo
Angalia watanzania Tulivyo na akili Mbovu Diamond Alivyo kosea tu Kusema kwamba I'm 31st watu walimcheka wakamuona hajaelimika ila mzungu wetu Anavyo koses kutamka maneno watu wanaona kawadia kwasbabu sio lugha yake. Aisee
@@yusufumbasa2720 Kaniacha kinywa wazi aliopouliza swali hilo,,alipaswa kuuliza neno/maneno gani ya uswahilini unayajua..walau ingeleta maana Sasa anauliza neno gani la kiswahili mtu anaongea naye kiswahili ,hii ajabu kweli mpaka mdada wa watu kaduwaa🤣🤣