Safiiiii! Nimezaliwa katika Familia ya Ccm ila nimetokea kuichukia sana kwa moyo wangu wote, kimekua chama cha ajabu sana, hamna utu. Nimehimiza with a serious order watu wote under my roof hamna kupiga kura hata moja kwa mwana ccm
Pingu zinamilikiwa na vyombo vya usalama ! Polisi. Magereza.. Usalama waTaifa..! Ni kielelezo kwamba kuhusika kwa wamiliki wa pingu kunaashiria kuhusika na matumizi ya pingu kwa mkamatwaji nk
Sativa awekewe ulinzi hawa jamaa wanaweza kuja kumalizia kazi yao ili wapoteze ushahidi na polisi wasiruhusiwe karibu nae alindwe na watu wengine masaa 24
Wao wana uwezo wa kuteka na sisi MUNGU ametupa uwezo wakujua kinacho endelea ktk inchi,yote haya MUNGU amenyamaza Kama hayaoni,mjue hizo ni laana juu yenu pamoja na familia zenu, mnazo zihangaikia.
Kuna ombwe kubwa kwenye uongozi wetu. Mama kaupiga mwingi hata kudhulumu uhai ni kuupiga mwingi. Ni dhahiri wana wake kuongoza Taifa bado sana. Binafsi sintompigia kura mwanamke yeyote aniongoze
Sio vibaya wakitawala hadi kiama lkn baada ya kiama nawao watatawaliwa milele na ibilisi muovu shetani milele kwenye jehanam 👹👈🏼 ya moto🔥🔥🔥 hapo ndio watajua dawa ya moto 🔥 ni moto 🔥🥵🥵🥵
Heeee nimepumua maana kifua changu kilijaa hasira kwamaelezo haya yamejitosheleza bila kupepesa macho kweri hapo pana utatu wa uharibifu na hawa ndio watekaji halisia kwa maelezo haya chadema mmenitibu jeraha tuone serikali itasemaje hili ,,kwasasa ninaimani na chadema 100%
Kwa ujasiri huu, mficheni Sativa ikiwezekana, hata Nje ya Nchi maana hao wasiojulikana wanaweza kumuua ili kupoteza ushahidi, msijiamini Sativa si salama Tena fanyeni haraka.
Wewe ni nani unasema nini na ni ni unakusuudia eti (SATIVA AFICHWE) hatuwezi kushika ilo wazo kama ni ujinga ndio na kama upumbavu ndo namba moja ataabaki hapa na itakua ni Kielelezo cha kuwatia hatiani watesi wake
Safi sana Kamanda Kigaila. Waanze kumkamata na kumchunguza yule kijana wa ccm Kagera aliyetamba mbele ya MKUTANO wa uvccm, na kuwaambia polisi wasiwatafute watu wanaopotezwa na wao uviccm!!
@@tanzanite9944yaan watu wanatekwa na kuuwawa unasema unasikiliza porojo, ila haishangazi maana mshasema ni mambo yote ni drama. Majambazi wakubwa ninyi
mama au baba mzuri wa familia ni yule anayejua wajibu wake kwa familia yake,ikiwepo kuhakikisha shibe, afya njema,malazi na usalama wa familia, vinginevyo atakuwa mzazi wa aina gani?nasi watoto tukishagundua tabia ya wazazi wetu ni jukumu letu kumuomba Mungu atupe marifa na kujipanga jinsi ya kujiongoza na kujenga msingi imara wa kesho ilikuhakikisha kizazi tunacho kijenga kinakuwa bora natutapata wazazi wazuri kesho,tukizubaa imekula kwetu, tukutane 2025 tuijenge kesho yetu for the benefit of present and future generations
Tufanye maandamano kupinga utekaji, laa sivyo kwenye uongoz wa samia tutakwisha, hata watalii wameshaanza kuhamia kenya, watanzania hatuna amani, bali tunaishi kwa uvumilivu.
polisi wasicheze mchezo wa kuigiza, kisa cha sativa hata ukimpatia mtu asiye na elimu ya uchunguzi atajua nani alihusika na nani mhusika wa matukio ya namna hiyo.
Lakini yote haya ni matokeo ya SAMIA kukubali kuwa Raisi kikatiba, sasa GENGE alilolibwaga likiongozwa na KOMREDI mzoefuuuuu kabsa sasa watamfanya aonekane hafai ,,,💯 na hii itamla mpka achie ngazi wanahela hao
Waziri wa Mambo ya Ndani jiudhuru tu kama hayati Ally Hassan alivyojiudhuru kipindi cha Mwalimu Nyerere Baba huyu hakuwa na makosa kamwe alikuwa Muungwana
Mauaji ya Kibiti/Rufiji yalivyokithiri hayati Magufuli alimtengua IGP Mangu.Lakini mama anashindwa kumtengua huyu IGP kuendelea kulipwa mshahara na posho zinazotokana na kodi za wananchi,wakati IGP kashindwa kudhibiti uhalifu wa utekaji wa Wananchi hao ndo wanataabika kwa kutekwa na kuuwawa.Hii ni dharau na fedheha kwa taifa.
Kama kweli polisi wanachunguza suala la Sativa mimi natarajia Polisi waliokuwa zamu pale Oysterbay wanapaswa kuwa wako ndani watekaji watajulikana tu kwa kuwahoji hao walioķuwa zamu hapo Oysterbay.Hawawezi kufanya hivyo basi wanaficha jambo na Rais Samia hatapewa taarifa yoyote ya maana.Polisi hawawezi kujichunguza .Wao ni watuhumiwa.
Chadema nyinyi ni wakali kwenye kuongea lakini hamutendi kweli wao wanaua wanaumiza na kuteka wananchi wanachama wa chaddema kisha munacheka naoooooo vp PEOPLE POWER haionekani kwenye utekelezaji
Wapo na intelejensia tu wanapotaka kuwahujumu Chadema. Ila kwa mengine wanahitaji uchaguzi wa raia ndio utashangaa wanalipwa kwa nini ?.Walipompa Mbowe kesi walijuaje ?kama walijua yote yale basi wanataka ushahidi wa raia kivipi
Au nasisi tuteke watoto wawo ili waone maumivu jamani mimi nawona vita mbele ccm hawataki kutoka na wanasema kila siku watamaliza wasemaji ili watu wazofike
wana chadema tunaomba maandamano ya kila mkoa kwa kila alie potelewa na ndugu yake atoke na picha nchi nzima muone tatizo lilivyo kubwa na watu watawaunga mkono rejea mikutano ya makonda kila mkoa watu wamepotea sio chini ya watu watano
Amesema ukweli, Rais alisema, wachunguze na matukio mengine kama hayo, ni vyema waanze na hao waliotekwa kipindi Cha nyuma AMBAO maelezo Yao Yako wazi waliitwa na nani mpaka wakatekwa huko, Ina maana wanatumia kauli za mitego, wakimuita mtu kupitia mtego kumbe ndio njia ya kumkamata, waanzie hapo kabisa
Kwa mtu mwenye akili huu mkakati ni watu wanaupanga kutuaribia nchi polisi kuweni makini hayo yote kayasababisha rais kuachia mamikutano watu hawafanyi kazibkazi ni kyandamana tu
Hemu chadema sikilizeni mumelala sana amkeni ni vip mtu anakamatwa na vijana wa ccm kijiwe cha boda halafu aoo watu walio hapo boda wenzake Wan aangalia tuuuu n ivip kama ivo inatokea hemu watangazieni MGUU SUPU ao ccm
Anaweza kuwa alikata ticket lakini LABDA hakuandika jina lake halali. Sidhani kama mabasi wanahakiki na vitambulisho wakati wa kukata ticket. So aliyejeti Nyuma ya Mzee Kibao anaweza asijulikane LABDA Sasa mabasi yawe na camera.
Eti viongozi kama hawa ndo wapewe waongoze nchi chadema hawana viongozi wenye sifa ya kuongoza nchi wana watu wenye vichwa vibovu kama hili zezeta kigaila
ALLAH Hutenda aonavyo inafaa. RAIS WETU KUMBUKA MANENO YA MHE. GETRUDE MONGELA. JUU YAKO. BINAFSI YAKO ULIWAAMBIA WALIOKUWA WAKIITWA MABEBERU KUWA : HAIKUWA KAZI RAHISI KUFANYA KAZI NA MTANGULIZI WAKO. MWISHO MSIKILIZE KIGAILA WA CHADEMA.
Je wewe kama pia kwa vile huwaamini jeshi la polisi utaajiri wakwako wafanye upelelezi.hutoshi ndio maana chadema kuchukua nchi nivigumu tuonane kwenye majukwaa ccm oyee subiri😅
KUMBUKENI TUKIO LA ZACHARIA MWEMYE MABUS KASKAZINI. WALIOMKAMATA. WALIPOZIDIWA NA BODABODA WALIJISALIMISHA NA KUTHIBITISHA NI KINA NANI. ALLAH SHUSHA DUWA YA UFAHAMU KWA WA TANZANIA ZAIDI.
Mm sitaki kuamini watu wote tz kwamba hatuwafaham hawa watu na tunaishi nao, kwan pale gar lilipocmama hakuna camera yeyote wakavujisha video tuanze kuzoom
Jamani ccm ndo selikaliyenyewe na wasiyojulikana wapo ndani ya selikali jamani ninani anae miliki bunduki kama siyo waoo ! Siyo swala la kujiuliza jibu tunalo wote
Muogopeni Mtu anayejifanya mpenda Watu kumbe nikiumbe Mbaya sana. Tumezoea kusifu nakuwa wanyonge. Waaminifu Hakuna ktk Nchi yetu Ule usemi wa Ndugu umekufa Sasa ni kujiadhari yoyote haaminiki ni adui Wako
Ushauri wangu tujkite kuchunguz kwann polis wanatek wat ama kuwaua kabisa? Hpo suluhu itapakana, huend wtu ndan ya Chama chochote wanachuki zao wanatek hku wakjua ccm ndo itachafuliwa ( serikali)
@@tanzanite9944wewe ndiyo huna akili na elimu kiongozi kujiuzulu ni kuonyesha kutofurahiwa na utendaji wa walio chini yake mfano ni Hayati Ally Hassan Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani kwa mauaji ya Shinyanga Lowasa alijiuzulu kwa swala la Richmond nk
😂 pia kama watu wanakuja kumchukua mbele za watu nakuondoka nae na slaha wanajiamini nn Ina maana hiyo picha haito Sadia lolote kama hata mjadala tu bungeni spika aliona hauna tija huku ukweli unaonekana watu wanatekwa ili wanaichafua sana hii nchi mwisho tutaingiliwa na watu wabaya kwa kisingizio hicho hicho
Wanakuwekea mitutu kichwani utapigaje picha mfano kibao ndani ya basi mchana kweupe watu wanaona abiria wengine na wahudumu wa basi walishuhudia halafu mmmh
Nashauri Taasisi za Dini na Taasisi zinazohusika na Haki za Binadamu ziunde Tume Huru Maalum ya Uchinguzi wa Masuala yote haya ya Watu kutekwa,kupotezwa, na kuuawa.Tume ya aina hii ndio tuna Imani nayo ,Lakini Tume ya Police Watanzania hatuiamini.