Kama unahitaji nakala ya dvd tuma email kwa davidmmbaga@mail.com. Au wasiliana na Morning star tv. Usisahau ku bofya "Subscribe" na Pia Pakua App yetu kwenye Playstore yako inayoitwa "Maombi".
Barikiwa tena na tena, umeweka dhana Fulani katika maisha yangu tangu sasa ambayo sina lugha halisi ya kuifafanua, kumhusu Mungu na vile alivyo karibu nasi kuliko tujuavyo. "ABA" or a Dad to me.....
Asante Mungu kwa rehema na upendo kwangu. Roho wako Mtakatifu aendelee kunifundisha nipate kukuelewa Mungu wangu. Asante kwa somo hili pastor. Ubarikiwe
Bwana apewe sifa pastor mbaga.Napenda Sana mahubiri yako kwa kuwa nabarikiwa Sana na jinsi unavyotoa wasaa mbele za Mungu.Barikiwa sana na Bwana Yesu.amin
pastor I have loved your teaching I testify that you preach the gospel of true living DAD may we be blessed through your teachings may he give you strength n wisdom
Huwa Nakuelewa sawa, Japo mimi mwenye dhambi lakin namng'ang'ania Yesu hadi mwisho Aniokoe, Na huyo Movu, Nishakula ZAKA sana, sijui deni hilo hata ni Kiasi Gani
indeed have gained strength again, was low but following the teaching,have gain confidence again, thank you. don't know how to frame the question, want to share some problems with you, I don't know how