Тёмный

Namna ya Kuzikabili siku ngumu bila hofu 

Подписаться
Просмотров 319 тыс.
% 1 994

Kama unahitaji nakala ya dvd tuma email kwa davidmmbaga@mail.com. Au wasiliana na Morning star tv.
Usisahau ku bofya "Subscribe" na Pia Pakua App yetu kwenye Playstore yako inayoitwa "Maombi".

Опубликовано:

 

4 июн 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 267   
@sheilaombongi8086
@sheilaombongi8086 4 года назад
Hallelujah Amina yote tumwambie yesu atutendee tuaje huoga tuombe mzamaa tutashamehewa kwa imani mbarikiwa sana pastor Amina
@elinazijonasi2957
@elinazijonasi2957 6 лет назад
Barikiwa tena na tena, umeweka dhana Fulani katika maisha yangu tangu sasa ambayo sina lugha halisi ya kuifafanua, kumhusu Mungu na vile alivyo karibu nasi kuliko tujuavyo. "ABA" or a Dad to me.....
@ruthwalter1848
@ruthwalter1848 3 года назад
Hili ni moja kati ya mahubiri ninayoyapenda saana, Yaani yamebadirisha 💯 ya maisha yangu! Mungu akubariki saanaa PR
@eutropiangido9684
@eutropiangido9684 4 года назад
Asante Mungu kwa rehema na upendo kwangu. Roho wako Mtakatifu aendelee kunifundisha nipate kukuelewa Mungu wangu. Asante kwa somo hili pastor. Ubarikiwe
@willylaizer3242
@willylaizer3242 6 лет назад
Amina kweli bila yesu ni anguko! nimefarijika sana mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana tuombee wote tuwe wanafunzi wa yesu na wenye kumhubiri Mungu!
@agnesseunice5632
@agnesseunice5632 4 года назад
Bwana apewe sifa pastor mbaga.Napenda Sana mahubiri yako kwa kuwa nabarikiwa Sana na jinsi unavyotoa wasaa mbele za Mungu.Barikiwa sana na Bwana Yesu.amin
@rizikimushi7024
@rizikimushi7024 3 года назад
I like what the son of God teaching us God bless you
@elienew3788
@elienew3788 Год назад
Bwana ningome ya uzima wangu nimwogope nani sinahofu kamwe maana yeye yuko pamojanami maishani mwangu amina🙏🙏💕💕
@evakiyenze7619
@evakiyenze7619 6 лет назад
Umesema vema Pastor, kweli nidhamu ya uoga sio nzuri maana inazaa Uongo. sasa Nathubutu kumuamin Mungu na kuwa Jasiri.
@macklinanicolaus5110
@macklinanicolaus5110 4 года назад
Haya maombi yamenibariki, hakika nimeuona wema wa Yesu, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@ismaelmanhica790
@ismaelmanhica790 6 лет назад
Niko Mozambique, umenigusa Kabisa , Mungu akupe nguvu. tuombee!!!
@ezekielshaban8280
@ezekielshaban8280 4 года назад
Listening march 2020 God bless you mtumishi nmebarikiwa sana na mahuburi let live humoo🙏🙏
@margratematuku3824
@margratematuku3824 6 лет назад
pastor I have loved your teaching I testify that you preach the gospel of true living DAD may we be blessed through your teachings may he give you strength n wisdom
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Amen! Thanks so much
@longidakivuyo4175
@longidakivuyo4175 3 года назад
May our almighty God reveals more msg to you
@danielgithinji5488
@danielgithinji5488 3 года назад
Kila wakati napitia siku ngumu maishani na nasikia niko mdhabi zaidi, huwa naza kutazama hili huburi. Asante David
@claudinebatamuriza7804
@claudinebatamuriza7804 5 лет назад
Amen 🙏 murumishi wa Mungu Mungu akumbaliki na Famly yako akupatiye ngufu za kumutumikiya Amen 🙏🙏🙏🙏
@evakitunda7272
@evakitunda7272 4 года назад
Paster nmeguswa
@agneskhakali2069
@agneskhakali2069 6 лет назад
Amen Amen. Mungu akuinue zaidi mchungaji asante maana nimebarikiwa sana na neno hili
@leonardkayolo7314
@leonardkayolo7314 6 лет назад
Nimebarikiwa sana kwa somo lako mchungaji. Mungu akubariki sana.
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 года назад
Asante Yesu kwa hili neno sifa na shukurani n zako milele nimeguzwa sana
@makindyakenani2535
@makindyakenani2535 4 года назад
Namwamini MUNGU wa mbinguni na hata wewe endelea kumwamini MUNGU maana majaribu huja kwa wanao mwamini MUNGU.Na endelea kumtanguliza yeye. AMEN
@lilianmbwambo8932
@lilianmbwambo8932 4 года назад
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako, naamini kuokolewa kwa neema. Barikiwa Sana mchungaji
@leticiakibona7055
@leticiakibona7055 4 года назад
Amen asante kwa Neno limenitoa sehemu moja kwenda nyingine
@asifiwembogela
@asifiwembogela 6 месяцев назад
2024 nafuatilia hili neno la uzima la miaka 6 iliyopita 🙏🙏🙏
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Год назад
Bila Yesu mimi ni kitu buree eeeh Mungu nipokee jinsi nilivyo
@salomekemunto8217
@salomekemunto8217 Год назад
Amina pastor nnejifunza barikiwa sana n family yko
@joemose1990
@joemose1990 5 лет назад
Napenda vile Mungu anakutumia kujenga imani yetu kwake Mungu aliye hai
@elinazijonasi2957
@elinazijonasi2957 6 лет назад
ABA.... ni ukaribu kiasi gani tumepewa kupitia jina hili LA Mungu.... tunapaswa kujivuna maana yu karibu kuliko tunavyodhani.
@frankmagoha7190
@frankmagoha7190 2 года назад
Amenii...!
@saidrashid6233
@saidrashid6233 5 лет назад
ibarikiwe sana kwa jina la yesu kristo 😊najickia furaha sana
@patanosabatho8944
@patanosabatho8944 5 лет назад
Nabarikiwa sana barikiwa katika jina la Bwana Yesu
@raheljose9524
@raheljose9524 9 месяцев назад
Somo zuri sana, ubarikiwe sana Pastor 🙏
@user-kq9je6zf3v
@user-kq9je6zf3v 2 месяца назад
Asate sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri 🙏🙏 i😊😊
@estherzaina5
@estherzaina5 3 года назад
Amen kubwa ubarikiwe sana mwalimu nime penda mahubiri yako
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Amen
@watwegopnina6480
@watwegopnina6480 4 года назад
Asante Mchungaji wangu, kweli Mungu ni pendo. Amina.
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 3 года назад
Mchungaji nitajuaje Kama nimesamehewa dhambi
@debymofati2387
@debymofati2387 5 лет назад
Wounderful message. Am so blessed Pastor Mbaga. God bless you
@alfredmasogo6591
@alfredmasogo6591 3 года назад
AMEN in the name of Jesus Christ Alfred Masongo from kenya kisumu
@evaanthony8106
@evaanthony8106 7 лет назад
Ahsante Sana pr karibu tena informatics Udom.
@eliphaseibrahim646
@eliphaseibrahim646 6 лет назад
Nakuelewa SANA Mchungaji. Barikiwa SANA na YESU
@upendomkwizu3711
@upendomkwizu3711 4 года назад
Asante mtumishi mungu azidi kukutumia
@justinmabirika6304
@justinmabirika6304 6 лет назад
Hakika Mungu amekuinua kuwabariki mataifa kwa wakati wako, Mungu akubariki sana
@ezekieljohn1088
@ezekieljohn1088 6 лет назад
Mchangaji Mungu akubariki kwa kutufundisha neno la Mungu
@macrissclinton9098
@macrissclinton9098 3 года назад
Nmebarikiwa Sana mungu ni mwemaa
@anetywesonga88
@anetywesonga88 6 лет назад
Asante sana mjungai kwani nakuelewa visuri sana naparikiwa MUNGU akupe nguvu ya kueneza injili
@judithcherono2595
@judithcherono2595 6 лет назад
Upalikiwe mchungaji nimeguzwa sana,hapali njema nmeisikia nakubalikwa nayo,Amen
@shideashidea5570
@shideashidea5570 5 лет назад
Neno hili linajenga Imani kupitia mahubri yako Mtumishi wa Bwana nikiwa Oman najifunza kuishi kwa imani kupitia mtandao
@rosemwangome8996
@rosemwangome8996 3 года назад
O God help me , ni weze kuzishinda siku hizi Maana siwzi bila wewe ,God bless you Pastor kwa mafundsho yako ya kutia moyo
@puritychogoro
@puritychogoro 4 года назад
Powerful! l'm raised.God bless you Pastor Mmbaga.
@kadunawewe7248
@kadunawewe7248 3 года назад
Ameen.barikiwa mtumishi wa mungu
@dinahnyagosaima1259
@dinahnyagosaima1259 6 лет назад
Natamani ningekuwa wewe yaani uishi wako ktk kulijua neno la Mungu.MUNGU AKUZIDISHIE ILI UPATE KUTUJENGA ZAIDI NA ZAIDI
@faliscerdamson8619
@faliscerdamson8619 5 лет назад
amen
@rwamosalomon4720
@rwamosalomon4720 5 лет назад
Ubarikiwe mutumihi wa Mungu kwamaubiri uinanisaidiya kwaujarsiri
@tabitha28songa62
@tabitha28songa62 3 года назад
Nakataa uoga katika jina la yesu
@jamesmedard5538
@jamesmedard5538 4 года назад
Barikiwa sana mtumishi, maana kuna mambo unayaongea hapa yananidusa moja kwa moja
@wyklife1393
@wyklife1393 6 лет назад
Bwana akubariki sana mchungaji.
@priscalwangili4278
@priscalwangili4278 6 лет назад
Ahsante Sana. Mungu amekutumia kunibariki. Mungu aendelee kukubariki
@aminakessy6228
@aminakessy6228 4 года назад
Barikiwa sana pr unatufumbua macho mungu azidi kukusimamia
@tabithamwanzi1863
@tabithamwanzi1863 7 лет назад
this is powerful!! God bless you
@christmasphilpo2656
@christmasphilpo2656 6 лет назад
Mungu ni mwema hakika kilakitu hutoka kwa wakati wake hii ya mitume ni zaidi eee!!naomba unipe ujasili kama was mathayo Balikiwa mchungaji
@koyassa4509
@koyassa4509 4 года назад
Asante Mungu wangu nimefarijika 😭😭😭😭🙏🙏🙏
@evarlynekaruhiluseno8069
@evarlynekaruhiluseno8069 6 лет назад
Mungu akukuzidishie maarifa nimebarikiwa sana na mahubiri yako pamoja na mafunzo 🙏
@sirilasulle7141
@sirilasulle7141 5 лет назад
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na somo asante.
@kigunapaul7579
@kigunapaul7579 4 года назад
Amen,I'm always blessed by this powerful sermons.
@jacobkeleman8001
@jacobkeleman8001 6 лет назад
Nimebarikiwa sana Asbh ya Leo na haya mahubiri na sitachoka kusikiliza kamwe naamini nimesamehewa.🙏👼
@sebastiankapunga8447
@sebastiankapunga8447 2 года назад
Question
@spesiozabisansaba6424
@spesiozabisansaba6424 Год назад
Mahubiri mazuri sana mchungaji
@samsonngweina5048
@samsonngweina5048 3 года назад
Kuna meseji nilikuandikia facebook ila Leo umenijibu hapa amina
@eliasluwela8498
@eliasluwela8498 7 лет назад
Hakika video hizi Ni mbaraka,, Barikiwa sana PR
@simonmahozi2130
@simonmahozi2130 5 лет назад
MUNGU akubariki mchungaji. Nmebarikiwa na hubiri lako.
@clementinaniyigena7111
@clementinaniyigena7111 6 лет назад
Amen!!! Mungu aendelee kukubariki Mchungaji
@tajielmbwamboallen4177
@tajielmbwamboallen4177 6 лет назад
AMINA
@salomejane5439
@salomejane5439 5 лет назад
N9 hgokhhhno
@modegraphics
@modegraphics 3 года назад
Say Amen for the power of God
@mikombemikombemikombe3720
@mikombemikombemikombe3720 2 года назад
Ameen nimebarikwa sana na huh ujumbe
@joshuatenga7437
@joshuatenga7437 7 лет назад
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ujumbe wa matumaini
@jaqlinemsaki7263
@jaqlinemsaki7263 5 лет назад
Huwa Nakuelewa sawa, Japo mimi mwenye dhambi lakin namng'ang'ania Yesu hadi mwisho Aniokoe, Na huyo Movu, Nishakula ZAKA sana, sijui deni hilo hata ni Kiasi Gani
@fatumachagudadui7369
@fatumachagudadui7369 4 года назад
Ni kweli mchungaji msamaha huondoa majeraha Mungu atusaidie tusameheane
@rhodahambetsa2932
@rhodahambetsa2932 4 года назад
pastor mungu azindi kukuinua na azindi kukupa imani uzidi kutufunza nano lake
@kigulamwambene4164
@kigulamwambene4164 5 лет назад
Asante sana mchunga kwa masomo
@shindanomkale81
@shindanomkale81 4 года назад
pasta mmbanga Mungu akubariki niko Congo (DRC)
@joelnyangwa7045
@joelnyangwa7045 2 года назад
2021 laiki yako hapa
@sephaniamahenge5127
@sephaniamahenge5127 7 лет назад
ubarikiwe sana mchngaji .mungu akutie nguvu.
@tautuyishime5068
@tautuyishime5068 5 лет назад
Jamani mungu akubariki sana
@legamussa5309
@legamussa5309 6 лет назад
Nimebarikiwa Sana mchungaji mungu akubariki.
@elijahomosa690
@elijahomosa690 3 года назад
Mungu akubariki sana
@isaakcharz1534
@isaakcharz1534 6 лет назад
Amen Mtumish Ujumbe una Mafundisho
@rachelfredy6759
@rachelfredy6759 6 лет назад
Somo zuri sana, ubarikiwe sana
@veronicanasimiyu4892
@veronicanasimiyu4892 3 года назад
A men God bless you pt David
@sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
Amen barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nimepata kitu
@jonsonmoshi9741
@jonsonmoshi9741 5 лет назад
Amen ubarikiwe mtumishi
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 6 лет назад
nazidi barikiwa kila siku, neno halitapita
@charleschangarucha7050
@charleschangarucha7050 6 лет назад
rebecca mpeta
@milleybulugu5661
@milleybulugu5661 5 лет назад
Amen,ubarikiwe mchungaji nmeguswa na somo
@chelangatkitur8015
@chelangatkitur8015 6 лет назад
Ubarikiwe Mchungaji nakusikiza hapa Canada. Am blessed by your sermon
@barikikuyava2697
@barikikuyava2697 4 года назад
Barikiwa sana pastor
@shantel.a7713
@shantel.a7713 5 лет назад
indeed have gained strength again, was low but following the teaching,have gain confidence again, thank you. don't know how to frame the question, want to share some problems with you, I don't know how
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 5 лет назад
Sharon Akoth feel free. Email us at infomahubiritv@gmail.com
@majijinorbert548
@majijinorbert548 6 лет назад
Mungu azidi kukutumia vyema pastor
@lomayanitarangei1835
@lomayanitarangei1835 7 лет назад
Ubarikiwe sana mtumishi mungu akubariki
@lizzymashaur5901
@lizzymashaur5901 6 лет назад
Amen be blessed Pastor🙏🙏
@barakalaizer1487
@barakalaizer1487 7 лет назад
Mungu akubariki kwa kunibariki kiasi hichi... Songa mbele Pastor
@beatricemboya2108
@beatricemboya2108 7 лет назад
Mungu mkubwa atutangulie
@iddysolomoni225
@iddysolomoni225 6 лет назад
Mchungaj nisadie kuniombea niwez kujtambua ili niwez kuwka ukrb Na mung Na kumtmikia Kwa karma alionipa Barlows San mchunaj
@maureenmuhonja722
@maureenmuhonja722 6 лет назад
12:36Am I'm blessed & blessed AMEN🙏 may God bless you more
@stephenmuimi6294
@stephenmuimi6294 Месяц назад
May God bless you
@godwinsylvester9677
@godwinsylvester9677 3 года назад
Asante sana kwa somo zuri.
@josephlenkins4826
@josephlenkins4826 7 лет назад
AMEN. MUNGU WANGU AZIDI KUKUPA NGUVU MCHUNGAJI KUENDELEZA INJILI.
@gigsonbowman2631
@gigsonbowman2631 5 лет назад
GOD BLESS YOU PASTOR
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 6 лет назад
Asante sana kwa maombi yenu
@LameckKJay
@LameckKJay 6 лет назад
Ubarikiwe Tumishi wa amungu
@harshbwiru1741
@harshbwiru1741 3 года назад
Be Blessed with pr mmbaga
@gracezunda8804
@gracezunda8804 5 лет назад
Njoo musoma pastor njoo kanisa LA pwani njoo njoo