NANDI MWIRA: Kwaya GONDERA UAMUSHO ya 8è CEPAC MULONGWE. wanamusifu Mungu kwa nyimbo zao za Kifuliiru na kiswahili. Usisahau kuji ABONNER KU UVIRAONLINE ili usikose video zetu zingine
🙏🙏🙏MUNGU awabariki sana watumishi wa JESU KRISTO mbarikiwe sana wapendwa wa MUNGU asante kwaya nzuri sana naipenda sana wimbo mzuri 🙏🙏🙏🙏👬👬 na MUNGU awabariki wa tumishi wa MUNGU na JESU KRISTO awalinde sana 🙏🙏🙏🙏Amani kubwa kwa YESU
Na MUNGU AWABARIKI SANA WAPENDWA WA MUNGU NI KWAYA NZURI SANA INANIBARIKI SANA KWA RUGA YETU YA KIFULIRU AMEN MUNANIKUBUSHA CONGO UVIRA MULONGWE NA KASENGA APONIKUNYUMBA NA WAPENDA SANA KWAYA ZURI
mungu awabariki sana. munanikumbusha mengi sana. n'a sisi mutuombeye mungu tupate kugeuka tumuyuwe mungu. kwakuwa tulikuwa waombaji lakini tulisha geuka sana
Yesu yu Mwira. ali mutulipiya madeni. uli Mwija daata lurema favourite song: majaribu nimengi kwa wale walio amini usitoke kuzamu usimuache Yesu. ungojwa nijaribu, umasikini nijaribu, kungojwa nijaribu usitoke kuzamu wapendwa. don't leave the faith that you have decided to follow.. please Jesus is Coming.
Jambo kwa ujumla, chakusema ni kwamba Wababa zangu pamoja na Mama zangu, hongereni kwa kazi ambayo mnapambana kwa ajili ya utukufu wa Mungu na maendeleo kwa Uamsho katika kazi zenu,basi tunaomba maombi yenu yadhidi kwenda mbele kwa tuombea(kijana wenu Asumani David Matendo).
Nyimbo hizi huwa zinanijenga kiroho kila nizitazamapo nasikia furaha naona niko karibu na Mungu. Mubariki kwa kazi hii nzuri ya uimbaji muzidi kusonga mbele wa mama zangu na wa baba zangu
NANDI MWIRA: Kwaya GONDERA UAMUSHO ya 8è CEPAC MULONGWE Kweli MUNGU awabariki sana wapendwa wa MUNGU nawapenda sana kwaya nzuri sana na nyimbo ziko mzuri sana kila siku MUNGU awape nguvu zakushinda na upendo bora Zaidi wimbo huu umenibariki sana tena ilovely your songs is every good and GOD bless you about is songs is every nice and God give you more power about Uvira online 13/08/2017 and ilovely our songs
Mungu awabariki sana kwakazi nzuri ya mungu munayo ifanya. Nawaombeni musichoke maana nyimbo zenu ninzuri zinatubariki na kugusa mioyo ya wengi. Ameen.
Maman munaimba muzuri sana, aksanti sana pia Mungu awabariki, lakini kwanini munavaa kama warunda ao wanyarwanda??? Tafazali muache ile mambo kama muko bacongo mujivike kama bacongo ilimuoneshe utamaduni wetu wacomgo. Mubarikiwe sana.
wa mama zangu nawa baba zangu, watumishi wamungu mubarikiwe sana mugahebwa na Mungu. mwangengeza ikaya. kwakifupi munaweza nitumiya numero zenye naweza baiitiya eko please.😍😍❤❤❤👏👏❤💋