Тёмный
No video :(

Nandy: Ukweli Mimba ya Bill Nass / Naolewa / Nimempenda kutoka Moyoni 

LilOmmyTV
Подписаться 545 тыс.
Просмотров 673 тыс.
50% 1

#Nandy ametaja mambo 9 usiyoyajua kuhusu yeye kwenye interview hii imefanyika tarehe 09/9/2019 Times FM na #LilOmmy kwenye kipindi #ThePlaylist
Nandy ameelezea alivyomfumania Bill Nass South Africa, Mimba, Ndoa, Maisha yake na Siri zilizojificha juu yake! Kiza Kinene!
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy

Опубликовано:

 

8 сен 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 586   
@leaherasto929
@leaherasto929 2 года назад
Niko hapa baada ya ndoa ya Nandy na Billnas nawakubali sana Mungu awalinde
@nestorykuringe9194
@nestorykuringe9194 5 лет назад
Walio guswa km mimi na story ya Nandy kuhusu Mzee alie mwoshea Gari gonga Like hapa pls.
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 лет назад
Nestory Kuringe Mimi hapa
@naomimmary3885
@naomimmary3885 5 лет назад
Lkn elfu 30 kwako nandy ndogo bhn
@nestorykuringe9194
@nestorykuringe9194 5 лет назад
@@veronicadaniel1122 pamoja vero✌
@nestorykuringe9194
@nestorykuringe9194 5 лет назад
@@naomimmary3885 ni kweli kidogo lkn kwa yele mzee nikikubwa aiseeh..@naomi✌
@zainabumshihiri7041
@zainabumshihiri7041 4 года назад
Nestory Kuringe .
@restutamgaya4144
@restutamgaya4144 5 лет назад
nakupenda San una sura ya kitoto siamin kam umezaliwa 1992 nilidhan 1998 wow! endelea kula sana Dada! na voice yako mashaallah!
@dalrinfad3014
@dalrinfad3014 5 лет назад
Kama na wew unapenda interview za nandy 7bu anaongea ukweli gonga like hapa
@wacundirangu1661
@wacundirangu1661 5 лет назад
I'll be VERY surprised LilOmmy usipowasilisha tuzo especially la AFRIMMA nyumbani. I'm Kenyan na tumekuwa tukikupigia kura. *#YouAreTheWINNER* 🙌 As for Ms Nandi, zidi kupaa dadetu!🦅🦅
@ashaofficialtz6872
@ashaofficialtz6872 5 лет назад
Nakupenda sana nandy❤❤❤mungu akusaidie kwny kwny kazi na maisha yako🙏🙏🙏sichokagi kuangalia video or interviews zako zote so endelea kukazaa 🌹🌹🌹big up African princess ✔✔ujakosea kujiita iv kwakwel
@amosthomas61
@amosthomas61 5 лет назад
Asha official tz
@habibusharafinapendasanufi8920
@habibusharafinapendasanufi8920 3 года назад
Napend sna muwe pamoja
@kimah9855
@kimah9855 5 лет назад
I like Nandy big love from Europe💖❤
@musamageke3667
@musamageke3667 5 лет назад
Ok, man we are tgthr
@musamageke3667
@musamageke3667 5 лет назад
Ok, man we are tgthr
@judymangi9226
@judymangi9226 5 лет назад
African prince 🇶🇦
@fatumaally3266
@fatumaally3266 5 лет назад
Rudianeni bhana achen tofauti zenu
@redemptorbbombo402
@redemptorbbombo402 5 лет назад
Alimpenda sana Ruge na ndo aliyemfanyia mambo mengi sana ila hawezi kumtaja coz yuko kwenye mahusiano mengine na kaka hayupo tena. Love u Nandi
@magrethedward3538
@magrethedward3538 4 года назад
Mh Nand moyo wake upo Nenga , uko Alikw anajilazimisha tu
@StevenGiraita
@StevenGiraita 5 лет назад
Haya Tuone Likes Ngapi Hii Itapata!... Nandy Ni Msanii Bora wa Kike 2019!!! Anazidi Kufanya Vizuri Sana! Pia! Checki Cover Zangu Na Subscribe for More Asanteni! ❤️
@anorderick7162
@anorderick7162 5 лет назад
Namba ya Nandy please nimpe Big up maana...! Namkubali sana...!!
@emanuelededward3718
@emanuelededward3718 4 года назад
Ybulnj. Lindi bojkg
@dalrinfad3014
@dalrinfad3014 5 лет назад
kama umependa sauti ya Wema kam mim gonga like hapa
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 5 лет назад
Napenda sana apo kwa wema sepetu tabwee😂😂htr sasa after baba n belinas alfu humpend 😀😀
@hamadiaweso1250
@hamadiaweso1250 5 лет назад
Nandy; " cha kwanza nnenga ni mafioso..mafioso hawezi kuwa mario " 👏👏👏😂😂😂
@summayyamaulid814
@summayyamaulid814 5 лет назад
nakupenda nakipenda nakupenda sana nandy 💕😘😘😘😘
@lamecknkila8214
@lamecknkila8214 5 лет назад
God bless you with all your family official Nandera
@happyqueen635
@happyqueen635 5 лет назад
King of interviews lilommy nakukubali sana mtu wangu kutoka pande za Australia huko
@straightkonect1613
@straightkonect1613 5 лет назад
Lil ommy badilisha jina la Half Amazing ujiite full Amazing cause unajua mzee GENIUS WA INTERVIEW
@chekazaid6265
@chekazaid6265 5 лет назад
Kutoka Uganda naomba likes zenu
@hamad_xr1265
@hamad_xr1265 5 лет назад
Ahaa
@luhanchen7824
@luhanchen7824 4 года назад
Unaomb likes kixa you're from UGANDA Acha uboya wee
@mariamulawison9124
@mariamulawison9124 4 года назад
Mmmmh jamani matus ten
@richardkadege3288
@richardkadege3288 5 лет назад
nakubali xn mzee king of interview Lil ommy half amazing
@Handle214
@Handle214 5 лет назад
I love the to be whit Somebody u love for your Heart ❤️ princess nandy 🇹🇿
@joycelawlence7964
@joycelawlence7964 5 лет назад
Nandy I love you so much mungu akutangulie katika kaz zako
@prettypatty3107
@prettypatty3107 5 лет назад
Luv u African Princess #Nandy ❤️#billnandy😘
@hasaniramadhanibukene2642
@hasaniramadhanibukene2642 5 лет назад
Pretty Patty in
@mialanomangobo3783
@mialanomangobo3783 5 лет назад
Napendaga sana hiyo introduction from Mm Sepenga rhe sweatheart
@malaikamushi6032
@malaikamushi6032 5 лет назад
Nandy
@yasmenoozm8094
@yasmenoozm8094 5 лет назад
Mimi apa🤣🤣🤣
@doreennasike6298
@doreennasike6298 5 лет назад
Much love for you nandybill from Belgium 😍😍😍😍😍😍
@joanmamu7833
@joanmamu7833 5 лет назад
Kura zote kwako from 254
@doreennasike6298
@doreennasike6298 5 лет назад
@@joanmamu7833 😍😍😍nimemiss home kwanza ugali😓😓+254
@leylahley3542
@leylahley3542 5 лет назад
LilOmmy kila siku nakupigia kura"insha allah utakuwa mshindi afu tutagawana tunzo🤗🤗
@alainamkakile1808
@alainamkakile1808 5 лет назад
Unajua Kuna watangazaji the way wanavyofanya interview na wasanii unataman iendelee big up Lily ommy kizaz baba🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@ezradaniel4613
@ezradaniel4613 5 лет назад
Hi leylah
@ezradaniel4613
@ezradaniel4613 5 лет назад
You gud
@lucykiage
@lucykiage 5 лет назад
I love the voice over of wema
@veronicahshayo315
@veronicahshayo315 4 года назад
Nand wimbo mkunaji unakutambulisha kama Malaya sana alafu kibaya sana unawaharibu wacha Mungu staili ulizocheza na wilipoo na maneno mliotamka ni vitu2 tofauti nikama unalivuruga kanisa
@lucasrhema4212
@lucasrhema4212 5 лет назад
U made my day Nandy 😀👌👌👌
@angelmussa8709
@angelmussa8709 5 лет назад
wanao mkubali nandy gonga likes apa
@elikanapetr9305
@elikanapetr9305 4 года назад
M namkubari San yan NA ten nampena San hakuna mwingine mzer kama Mandy katika dunia hii
@Official83640
@Official83640 5 лет назад
Hii interview cjui jumalokole kaiona maana anajifanya anajua sana maisha yk haya leo unamuhakikishia huna mchumba na wala Pete huna wambea watajibeba huko IG
@samchimomo968
@samchimomo968 4 года назад
Juma lokole ushoga unamsumbua Sana akikosa bwana huwaga umbea ndio unazidi ngombe yule
@inhwacaleo7472
@inhwacaleo7472 4 года назад
Nandy hujawahi niangusha,your life style,your smile,i love you generally
@agnessahia415
@agnessahia415 5 лет назад
Nakupenda sana Nandy we we ni mwanamke jasiri Mungu azidi kukupigania
@zuhuragwanko6318
@zuhuragwanko6318 4 года назад
Ah kumbe mwanzo inavoanz ni kasauti ka my favooo💋💋 sepetu setuka aaaaawwww ni katraaaamuuuuu😍😍😍😍
@fatumakhamissi4405
@fatumakhamissi4405 5 лет назад
Sauti ya madam nimeirudilia kama Mara 5 uko juu wema sepetuuu😍😍😍
@sharifuhsharifuhh8471
@sharifuhsharifuhh8471 5 лет назад
siyo wema uyuuu
@faithowen2876
@faithowen2876 5 лет назад
Uyo n wema bhana
@rosemarry3986
@rosemarry3986 5 лет назад
Fatuma Khamissi nakupnda sana nandy pia unafnya vzur sana kweny music dear mungu azid kkuzdishia uwezo
@husnafunga5969
@husnafunga5969 5 лет назад
Kipindi kilikuwa kitam sana jmn hongera zenu wote hapoo
@deogratiasdimaestro099
@deogratiasdimaestro099 5 лет назад
I'm from drc and i luv tambwe,i need t seing harmonize
@sharlettiisa2890
@sharlettiisa2890 4 года назад
Nandy nakupendaa saaana the way nampendaa nadia
@shuezamungiria7613
@shuezamungiria7613 5 лет назад
mtangazaji maarufu tz ,namskiza sana laiti wengne wangekua kama ww waache kiki ,,much love 254 👏👏👏👍💯congrats
@joanithatheobard4660
@joanithatheobard4660 4 года назад
Shueza Mungiria
@winnienyale471
@winnienyale471 5 лет назад
Naomba Nandy aje kufanya collabo na Alikiba one day
@barakamagota5939
@barakamagota5939 5 лет назад
Napenda anavyocheka😁😁😁
@shufaamohammed5357
@shufaamohammed5357 4 года назад
Am so proud of you sis I like u sooo mch😍🇰🇪🇰🇪
@tonythadei9608
@tonythadei9608 5 лет назад
Nandi anapenda sana kucheka Cheka Duuh Billy nasi noma
@silvaisdory3995
@silvaisdory3995 5 лет назад
Lil omy nice international interview
@josencollin2809
@josencollin2809 2 года назад
Your song ninongeshe is playning here in canada in the club everywhere ,
@thewoo78tz
@thewoo78tz 5 лет назад
LilOm unajua Sana kutangaza una mikato ya babylon Sana. I like it
@eng.danielwinani7439
@eng.danielwinani7439 5 лет назад
Nandy first lady East Africa. Nandy hana majivuno. gonga like zang.....
@masafaautomech1539
@masafaautomech1539 4 года назад
Nakupnda xana dear
@goodboi9821
@goodboi9821 5 лет назад
Natumai mmempigia kura ommy kushinda mtangazaji bora AFRIMMA jinsi mnavyoitisha likes
@stevewanga957
@stevewanga957 5 лет назад
Leo make up artist wako amechemsha uso na mwili ni tofauti.....big up Lil ommy from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@nyamburawacoast305
@nyamburawacoast305 5 лет назад
Kwani ujui kama kuna virembesho😃😃😃
@stevewanga957
@stevewanga957 5 лет назад
@@nyamburawacoast305 lkn hii anaonekana rangi 2 diffrent
@chichamusiq1498
@chichamusiq1498 5 лет назад
Kweli
@aminamwangile1047
@aminamwangile1047 5 лет назад
steve wanga rangi mbili tofauti kwkwel meck up too much
@rosemelln5239
@rosemelln5239 4 года назад
steve wanga 😁😁
@nancykahuho
@nancykahuho 4 года назад
I swear am here just to replay wema sepetu’s voice . I couldn’t care less what these two have to say 😂😂😂facts
@mohamedshechengashechenga8993
@mohamedshechengashechenga8993 4 года назад
Nandi ulikula hela za hada yangu shule Leo umekuwa star unatoka na bill nass inaniuma Sana
@Joe2547
@Joe2547 4 года назад
Nandy your still fresh love all about you
@lizkaguli3289
@lizkaguli3289 5 лет назад
Much love from Bahrain. Oaneni
@user-zw6ne3qy4s
@user-zw6ne3qy4s 5 лет назад
Wamekujaza poda hpo wamechemsha lkn nakukubali sana mdogo wangu unapambana hongera sana
@mariyaal5366
@mariyaal5366 5 лет назад
Lakini sio mbaya sana kapendeza
@johnsonalphonse8581
@johnsonalphonse8581 5 лет назад
Bill nasi nakubali
@emacruze2170
@emacruze2170 4 года назад
Nandy bhana mnaendana na nenga xo i wish your couple returne again. All de best
@danypromagic1753
@danypromagic1753 4 года назад
Number moja imenitouch saana, Hata Mimi nandy niko hivo hivoo..
@luciachacha8385
@luciachacha8385 5 лет назад
Nandy umenichekesha kweli nakupenda bure
@jessyjacob2433
@jessyjacob2433 5 лет назад
Ndo maan Nandy siku izi ni mtu wa furaha ....ongera sana
@salmasele3980
@salmasele3980 5 лет назад
Nandi muongo an anababaika sn
@salmasele3980
@salmasele3980 5 лет назад
Anadanga hd watangazaj wk na washabik zk muongo sn huyu dada
@revocatusmisana2986
@revocatusmisana2986 5 лет назад
Mh
@mariamulawison9124
@mariamulawison9124 4 года назад
Mmm
@shufaamohammed5357
@shufaamohammed5357 4 года назад
Mashaallah
@josencollin2809
@josencollin2809 2 года назад
we here your music even in canada .
@hamisinamalombe8671
@hamisinamalombe8671 5 лет назад
Napenda sauti ya amiy girl
@sherrysalim50
@sherrysalim50 5 лет назад
Duh Maskini hapo kwenye mimba Bilnas umemtia mwenzio aibu mengine ficha baba 😂😂😂🤣🤣🤣
@rehemamohamedy9955
@rehemamohamedy9955 5 лет назад
Wath
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 лет назад
Love u Nandi
@hopesefue1562
@hopesefue1562 5 лет назад
Tutonga na bajeti, tunaenda na bajeti hahahaha Nandi wewe
@abdulrahmanabubakar6934
@abdulrahmanabubakar6934 5 лет назад
Ile uhalisia nandy anamkubali sana billnass hadi wa leo😂😂😂🤙
@neemalyakurwa9530
@neemalyakurwa9530 4 года назад
Nakupenda xnaaah bby nandy❤️❤️❤️
@saulnkya
@saulnkya 4 года назад
Dadaa yupo vzuriii💥💥
@PolluxTips
@PolluxTips 5 лет назад
You do good LilOmmy Big Up.
@petroprenge8716
@petroprenge8716 5 лет назад
Naipenda hiyo sauti ya W.S ikisema "Tambwee"
@tedmzeru3430
@tedmzeru3430 5 лет назад
R.i.p boss ruge ..nothng more
@barakaleader1550
@barakaleader1550 5 лет назад
Ha ha haaa
@romanuskayombo1008
@romanuskayombo1008 5 лет назад
Perfect one ...
@acruxe5810
@acruxe5810 5 лет назад
Nampenda Nandy 😘
@rosejohn8626
@rosejohn8626 4 года назад
❤❤😍😘😘Nandy
@esthermoshy1426
@esthermoshy1426 4 года назад
Nandy nakupenda mnoo mtani wangu💖💖💖💖💖🔥🔥
@saleheabdallah5461
@saleheabdallah5461 5 лет назад
Nakubali sana ila maker up imezidi mze mama ahaha
@hatamimnimempendabulejaman1596
Haha kama mim mama walikuwa wananitania no nakula Lakin sinenepi
@hatamimnimempendabulejaman1596
Hila Sasa hivi nandy kanenepa
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад
Ya upo kama mim nataka moyo ukubali
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад
Ya nandy anampenda bilinas
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад
Wew si mpale ndio mana mbahili
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 5 лет назад
Nampenda Nandy kanajua sana kuimba.
@sakinaomar2312
@sakinaomar2312 5 лет назад
True love never die
@enockchaula6292
@enockchaula6292 4 года назад
safi sana binti nmependa hapo kwenye kanisa sio adui wasanii wengi wakitoka wanajifanya waislam ulimbukeni tuu
@jellysmaarifa1172
@jellysmaarifa1172 4 года назад
Hongra sana kwa kz nzuri uitendao
@rahmahamisi8874
@rahmahamisi8874 4 года назад
Girls don't pick noise infront of camera
@shekinahfaymatatiana5875
@shekinahfaymatatiana5875 5 лет назад
Kula mama kula ataviazi vyote umalize kwakukaangia chips unajituma sana kufanya kazi umenikosha sana kurudiana nanenga mzae mke namume mjaze dunia Mashallah😍
@lucaswalogwa3821
@lucaswalogwa3821 4 года назад
Uko poa ila kwenye mavazi ni mazuri ila umezingua sana ccter hayo mavazi hayaendani na mazingira hizo ni kama sleeping clothe (nguo za kulalia)endelea kujiheshimu tunakupenda
@ziporakaulimbo97
@ziporakaulimbo97 5 лет назад
aika popote ulipo nazidi kukupenda mamah😍😍😍😍😍😍😍😍😍🌸💋💤🌼 big up nandy ila ukiongea kama unataka kulia kwann my 😢😢😢
@alvinziddie6309
@alvinziddie6309 4 года назад
Nandy uwe unafanya kazi sana upate pesa nyingi sana coz unakula sana
@rosemerypaschal6575
@rosemerypaschal6575 4 года назад
Koh kwa akili yako nandy hafanyi kazi
@leticiaelias2278
@leticiaelias2278 5 лет назад
Hahahaaaaa kufumania south😂😂😂😂😂😂
@fatimaemma833
@fatimaemma833 5 лет назад
Big love Nancy😍😍😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Sam_752x
@Sam_752x 4 года назад
Nancy 😎
@khadijambuya794
@khadijambuya794 5 лет назад
Me nakapenda sna kasauti cha wema
@ismailhamisi9932
@ismailhamisi9932 4 года назад
woyooooo brain ziroooo
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
yan nimeona insta nimekimbia mbio😂😂🤣🤣🤣umbea kazi kumbe nandy unapend umbea kam mm😅😅😅😅
@halimadede7386
@halimadede7386 5 лет назад
queen gee 😂😂😂😂😂jaman nmechek mpak ety umekimbia mbio
@saumuadams71
@saumuadams71 5 лет назад
@@halimadede7386 😂😂😂😂😂
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 5 лет назад
Me nimekimbia nusu nivunjike sho🤣🤣🤣
@elikanapetr9305
@elikanapetr9305 4 года назад
Kumb naww mmbea et
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 5 лет назад
Nandi mungu akuweke maana unakula kama mchwa 😔😔😔😔😔😔
@leonardbugomba8548
@leonardbugomba8548 5 лет назад
😁
@janethbitamba48
@janethbitamba48 5 лет назад
nasra bakari Jmn😂😂😂😂🤣🤣
@ericksonjackson1321
@ericksonjackson1321 5 лет назад
Bb
@sarahwawuda7638
@sarahwawuda7638 4 года назад
😂😂😂😂
@trizahterry7662
@trizahterry7662 4 года назад
😂😂😂
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 лет назад
Naipenda hiyo introduction ya sepetu ni amazing
@tannahdastan5650
@tannahdastan5650 4 года назад
Nandy lop uuu
@lowasamollel9852
@lowasamollel9852 5 лет назад
#Tambweeee, nakubali sanaaa Big Up #Nandi
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 лет назад
Kwaiyo Nandi kitu cha ajabu alichowahi kufanyiwa kwenye mapenzi hana ama atakua amesahau lile dole na chupi aloovujishwa ni paparazi akiwa na BillNandi 🤔🤔🤔😂😂😂😂
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 5 лет назад
Watu tunajua, elewa inatakiwa kitu tusichokijua.
@hidayakambangwa3365
@hidayakambangwa3365 5 лет назад
Big Zhumbe 😂😂😂
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 3 года назад
Dah nakupenda sana nandy u mkweli mpaka raha alafu una wema Sana nakupenda buree ♥
@agnesmwangombe6999
@agnesmwangombe6999 5 лет назад
I love you Nandy so much
@MikelpeterPeter
@MikelpeterPeter 4 года назад
Nakukubali sana
@mastercornerbeatz4164
@mastercornerbeatz4164 4 года назад
I LIKE UR MUSIC
@jacintanyambura4175
@jacintanyambura4175 4 года назад
The interviewer is very hot,,his voice ❤️,,Nandi Kwa side ya make up is a no ,,too much of it!!!
@veredianamagesa5229
@veredianamagesa5229 4 года назад
Nakupenda mdada nandy ww so good sana
@sam.blessings
@sam.blessings Год назад
Love you Nandy
@eyshermohammed2236
@eyshermohammed2236 5 лет назад
Nandy🔥🔥🔥🔥
@vitalesgalus8004
@vitalesgalus8004 5 лет назад
nandy my sister nakupenda sana laki Fanya kiku kwa hajili ya Bill nasi kifupi mnaenda sana hacheni Kiki ok kwenye swala la mimba kutoa toa mimba sio vizuri mama kama vip nibola huzzah kitu kizuli sana kuwa na mtoto mapema
@ZainabuATuli
@ZainabuATuli 4 года назад
Nilivyosikia saut nilidhan wema. S. Kama naww umesikia saut ya W. S. Gonga like
@hakikajuma8453
@hakikajuma8453 5 лет назад
Ata mm napenda wawe pamoja
@bonykimario8649
@bonykimario8649 5 лет назад
lilly omy ure the best bro🔥🔥🔥
@Taison_tz
@Taison_tz 3 года назад
Nakukubali nandy
Далее
NANDY: Nimelala NAE Pamoja KIGOMA
11:53
Просмотров 411 тыс.
NDARO LEO STEVE KAPATIKANA  MUONE
10:02
Просмотров 9 тыс.
NANDI AMWAGA CHOZI LA MAHABA/BILLNAS AMVESHAPETE/
9:46
NANDY: Bora hata Bill NASS kuliko Dogo JANJA.
8:30
Просмотров 675 тыс.