Тёмный

NATAKA NA MIMI 💞 Love story | DONTA TV 

Donta Plus
Подписаться 76 тыс.
Просмотров 132 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

11 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 224   
@allyzegele1373
@allyzegele1373 3 месяца назад
Sikieni nyie waomba LIKE , comment maneno mazuri mtapata LIKE zetu kwa sababu sisi ni waangaliaji wazuri wa DONTA T.V.
@JovitaBuberwa-zh1gl
@JovitaBuberwa-zh1gl Месяц назад
😂😂😂
@user-wh8px4pu9n
@user-wh8px4pu9n 3 месяца назад
Marimu kua na subra wanaume kama hao sikuhizi atuwabembzi😂😂 nao pia tunwatenda na ngoma inaenda mbele akimwaga Unga mwaga mboga watu walale njaaa au mnasemaje wenzangu
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 2 месяца назад
Daah, hayo mawazo mabovu. Nyumba itanuka zinaa. Bora kufanya subra ili Mungu akutaftie sababu ya uolewe na mwengine mwenye heri
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад
​@@hilalkhalfan1452Kaka huyo ni Malaya anayekuambia atalipiza kisasi.
@mohdmassoud3052
@mohdmassoud3052 3 месяца назад
Mnavyofunikana kwenye mashuka hamupakuani nyie lakin maan naona mmezid sanaaaa😂
@Nailaty564
@Nailaty564 3 месяца назад
Wangekuwa wanaweka na part two
@bonnymuia
@bonnymuia 3 месяца назад
Kwan huelewag behind the scenes do nini lakin😂😂
@priscilladama8686
@priscilladama8686 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂haupati pcha😅😅😅😅
@jamesmwangi8598
@jamesmwangi8598 Месяц назад
Asante sana mariam rudi kwako mke wa kwanza,ndio mke ata ufanye nini.
@user-pn1ob4sb6v
@user-pn1ob4sb6v 3 месяца назад
Hali hii ya unafki ndani ya ndoa nyingi inatawala sanaaa mariamu ,kwa wa mama na wa baba jameni ,poleni sana wenu. Lubumbashi rdc
@Daestoto
@Daestoto 3 месяца назад
Mafunzo mazuri sana nawapenda guys
@user-ti1ol3ti9j
@user-ti1ol3ti9j 3 месяца назад
Nery acakumutesa mukewe kwajiri yakimada kesho akiyafanya na yeye utakoma nduru 😂😂😂😂
@user-jj9sn7pz6w
@user-jj9sn7pz6w 3 месяца назад
donta tv mbon mwatoa movie haiishi mnatoa vipande kabla avijaisha mnalukia movie ingine ata sielew
@nicethgabriel3319
@nicethgabriel3319 3 месяца назад
Hii sio move, ni love story, ni kama mafunzo flani Ivi mafupi mafupi, nazipenda sana
@user-jj9sn7pz6w
@user-jj9sn7pz6w 3 месяца назад
sw nimekuelewa ila wanachelewesha sn kama kesho yangu 25 na baba kijacho ya 6 nishasubili mpaka tosha
@user-sd5rl9kr8k
@user-sd5rl9kr8k 3 месяца назад
Weee ndoa kama hii Mimi siwezi Kila siku umechoka kwn uliniona nikae housemaid yko😅😅pia mm Niko na hami bwana mwaga unga ni mwage mboga n hvyo😂😂😂😂😂😂
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
Da vick Mwenzio kalishwa huko njee anakudanganya Tuu ulale tu basi
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
victoria et nimemiss Dada victoria Nakupenda ila Wanaume hawakatai hio kitu wanaipenda jipimie da Vick ❤❤❤❤❤
@NeemaMbuji
@NeemaMbuji 3 месяца назад
Jamn mnatufulahish cn dada vick umejua kuukosh moyo wangu
@user-hg5iu6ko5r
@user-hg5iu6ko5r 3 месяца назад
Nigabriel nikiwa Kigali Rwanda nawafuatavizuri
@Isharajeremie255
@Isharajeremie255 3 месяца назад
❤❤❤❤naomba likes zangu
@florenceokullo4037
@florenceokullo4037 3 месяца назад
Za kazi gani?
@user-cj7ci3jz5u
@user-cj7ci3jz5u 3 месяца назад
Kwa kipi ulichokifanya ety likes zangu 😢
@allyzegele1373
@allyzegele1373 3 месяца назад
Ushamba wa mitandao tu
@user-yc5jv8zi8z
@user-yc5jv8zi8z 3 месяца назад
Kazi nzuri sana ❤
@mtikamtika8013
@mtikamtika8013 3 месяца назад
Nimekuwa wa nne naombeni like hata kumi ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
Mwanamke Haombagi hio Kitu Wanaume Ndio wakwanza ila ukiona Hivo kuna mwenzio ana pewa
@user-kr4hy7st6f
@user-kr4hy7st6f 3 месяца назад
❤❤❤ wakwanza kbsa like zangu
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Da victory Mungu akuweke Nakupenda Bure acha nilale sasa Usku Mwema Dada
@user-gc2rd8ln3v
@user-gc2rd8ln3v 3 месяца назад
Kumekucha tena watu wa Donta Tv mambo yako moto huku mjeni kwa wingi🤣🤣🔥🔥🔥
@SmilingCorgi-pr9bn
@SmilingCorgi-pr9bn 3 месяца назад
Kazi zury san naombeni ata like zero jqmn 😅
@RachelThomas-ox3jr
@RachelThomas-ox3jr 3 месяца назад
Nzur sana 🌹🌹
@SosisRoti
@SosisRoti 3 месяца назад
Nice move
@joycemuenimutua4506
@joycemuenimutua4506 3 месяца назад
Much love from 🇰🇪 nawapenda sana Wana Donta TV 🎉
@user-lo3gx6gg7x
@user-lo3gx6gg7x 3 месяца назад
Nelly ww ni mshez unafukuza mkeo kisa awala ila viki unaroho mungu akusaidie
@MonikaSaimoni
@MonikaSaimoni 2 месяца назад
Haha😂 namimi ripening like eeee ata moja tu
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Huyu Jamaa ni mduanzi sana...Mm ata nikicheza Away na pia Home sikwepagi siwezi mridhisha Hawara pekee na mke wangu anafaa aridhike mara dufu...From Kenya but watching from Qatar
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k 3 месяца назад
Waah hio mm siwezi samehe kitu kama hio jamani roho yangu ndogo
@celinendikiminwe6053
@celinendikiminwe6053 Месяц назад
Pôle Nicolas mupenda tuwili kamoja kamemuponyoka 😂koma😅😅
@user-ox9ti7zj1i
@user-ox9ti7zj1i 3 месяца назад
Mariamu😂😂😂😂😂af jmn tumemmis kelvin lin tunamuon next movie bc jmn❤❤❤
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k 3 месяца назад
Daa vicky nakupenda sana❤❤❤❤❤❤
@RizikiZiki
@RizikiZiki 3 месяца назад
Wa saba mm🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@user-vq6de7rg8y
@user-vq6de7rg8y 3 месяца назад
Sasa nyie mnao omba like huwa ni za Nini haswa😏
@elekiaododa6381
@elekiaododa6381 3 месяца назад
Waulize hahahahah
@TibyondimuJooo
@TibyondimuJooo 3 месяца назад
Wanazinunulia bando
@ZainabShaban-zm8iv
@ZainabShaban-zm8iv 3 месяца назад
M pia huwa nashangaa n za nni
@NeemaDainess
@NeemaDainess 3 месяца назад
Af kwer sjui awa nizann
@NeemaDainess
@NeemaDainess 3 месяца назад
Af kwer sijui uwa nizann
@InnocentBadminton-jh2vx
@InnocentBadminton-jh2vx 3 месяца назад
Nmekumbli hpo from Kenya Mombasa ❤❤❤❤
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 3 месяца назад
#HII IDEA YA KUTOA VICLIP MNAWAZA NN ASEE BORA MUUNGANISHE AIDEA IWE NA MAUZUI HAYA HAYA ILA MOVIE IWE 1 MABOSS KAZ MBOV SJAPENDA KUWENI CREATIVITY ASEE
@irinepamphil7966
@irinepamphil7966 3 месяца назад
Wanazingatia maokoto😂😂😂😂
@user-ek3vr6wy9u
@user-ek3vr6wy9u 3 месяца назад
Ata mimi Jean kutoka burundi nawafuata kwa sana na nampa pol vicky
@user-io5xg6mt8g
@user-io5xg6mt8g 3 месяца назад
HII KITU ILINIKUTA 😢😢😢😢😢 ,AKY MAPENZI SHIKAMOOO ,AFADHALI NIWE SINGLE NIKITAFUTIA WATOTO WANGU AKY
@Oscar-dg8le
@Oscar-dg8le 3 месяца назад
Pole sana utapata usijal
@Sundaymgandi
@Sundaymgandi Месяц назад
Wow another good vedio
@nahyamaulid3132
@nahyamaulid3132 3 месяца назад
❤❤❤❤
@user-kv5tz9um1r
@user-kv5tz9um1r 3 месяца назад
❤❤❤
@GladysMnyazi-ou2on
@GladysMnyazi-ou2on 3 месяца назад
Mapenzi shikamoo😂😂😂😂😂
@doricemwakasengo1167
@doricemwakasengo1167 3 месяца назад
Hi move ya leo hatari mtoto wangu kashazoea kila siku tunaangalia wote move za donta leo ile inaanza nikasema tobaaa nimeyakanyaga
@VictoriaMwigani
@VictoriaMwigani 3 месяца назад
😂😂
@khaney-de-joance
@khaney-de-joance 3 месяца назад
Ameyatimba😅😅
@khaney-de-joance
@khaney-de-joance 3 месяца назад
​@@VictoriaMwigani wewe n zaid ya act, mm naangaliag movie zenu Kwa sababu yako najifunza mengi kwako dadaangu 🎉
@AnneNiyonyishu-cq8nm
@AnneNiyonyishu-cq8nm 3 месяца назад
Unaweza sana ​@@VictoriaMwigani
@magrethemmanuel5479
@magrethemmanuel5479 2 месяца назад
Hahaaa mm nmemwambia mb zmeish
@jamesmwangi8598
@jamesmwangi8598 Месяц назад
Mwamke huyo ni paka poli chunga
@user-oz1bb8gc1c
@user-oz1bb8gc1c 3 месяца назад
Wah!!, wanaume hawa, yani wanaitwa wanaume
@user-yx8rt5fn1w
@user-yx8rt5fn1w 2 месяца назад
My favorite vick, nywele zako nzuri sana
@user-rq3yd8fx6r
@user-rq3yd8fx6r 3 месяца назад
Donta tv bd hamjaweka uhalisia kwnn mwanaume alale na shati?????????
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
Mpe nelly Achaa ujinga na kudanganya mwanaume atachoka vyote sio dudu una danganya tu
@SakinaHassani-xm7ti
@SakinaHassani-xm7ti 3 месяца назад
Nelly kula chuma iko😂😂😂
@faithnyambura-fo7fm
@faithnyambura-fo7fm 3 месяца назад
Much love Mariam ❤❤❤
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
Tina Wew cha kujaribu ndoa za watu usije zoea hiv japo mchez dada
@mnyakyusambunifu143
@mnyakyusambunifu143 2 месяца назад
Wewe Kijana Unacho Nifurahisha Move Zako Zote Zinamaadili Tunaweza Kutazama na Kuangalia Nawatoto Mungu Akutunze Hakika Wewe Nifundi🙏🤝
@pascosalvatory5274
@pascosalvatory5274 3 месяца назад
#NTAANZA KUPIGA NA VIBOKO DIRECTOR TOENI #SHORT SERIES HATA KAMA VIPANDE 7 AU 8 MWISHO ILA SIO KIPANDE KIMOJA AF UNALETA IDEAS NYING HII KAZ SIO MNAPOTEZA MUDA WAZEE
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 3 месяца назад
Unafukuza mke wako na kumpiga kwa sababu ya mke wa MTU.akhera ni hesabu tu
@user-se1qc5mx4o
@user-se1qc5mx4o 3 месяца назад
Vicky umetisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😊😊❤
@saimoniroman8462
@saimoniroman8462 3 месяца назад
Uyu dada ana juwa kuigiza Sana atae howa uyo ata mpata mke Bola
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
Nelly Computer Ulikuwa una chezea endeleea kudanganya
@user-es4nn5nb9b
@user-es4nn5nb9b 2 месяца назад
Wallahi Wallahi Wallahi nawapa 10/10
@JanetKimindu
@JanetKimindu 12 дней назад
Vick Leo kubali kulala naukame wako mwezio kapitia Kwa mama shikamoo
@Florence-hd2sj
@Florence-hd2sj 3 месяца назад
Yani Vic anapenda kale kakitu😅😅😅😅
@user-tw2ut4xi9b
@user-tw2ut4xi9b 3 месяца назад
Taaam kweli
@SallynOchieng
@SallynOchieng 2 месяца назад
Mapezi ni kama gas ❤
@Jacksbalampa
@Jacksbalampa 3 месяца назад
Kina mariam wana moyo wa kipekee mbinguni kuna nafasi yao
@user-ic7pj6yp5q
@user-ic7pj6yp5q 2 месяца назад
Nyinyi ni wakali kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Nasasha591
@Nasasha591 3 месяца назад
Much love ❤❤❤❤
@user-os3tt6ru7k
@user-os3tt6ru7k Месяц назад
Kiukweli hua nakupenda Vicky unapoigiza hiv...... Nasio kuigiza mambo ya uhuni
@PriscarGodrick
@PriscarGodrick 2 месяца назад
Wanaumeeeee😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@IrankyndaAline
@IrankyndaAline Месяц назад
Vik nagupenda sana kasababu unanifunza sana bitubingi
@MineniAbedialphonce
@MineniAbedialphonce 3 месяца назад
Kelv ukipata wa sanii kumi kama vick na loves mbona ni atari mamangu duhuuuuuu!
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
kweliiiiii
@AnneNiyonyishu-cq8nm
@AnneNiyonyishu-cq8nm 3 месяца назад
Kweli kbx
@Florence-hd2sj
@Florence-hd2sj 3 месяца назад
Jamani mwatutamanisha nyie
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Ametema Big G kwa karanga za Kuonjeshwa😂😂😂
@JanetKimindu
@JanetKimindu 8 дней назад
Haya ndio mambo ya watu uitwa wanaume niwanaume wachache awachiti wake zao
@mamajohncena
@mamajohncena Месяц назад
Uyo jaa nimchagaaa
@Kinyua-ye8kk
@Kinyua-ye8kk 3 месяца назад
Tamara yko mwenyeee nicholus
@Sayd-pi5lq
@Sayd-pi5lq 3 месяца назад
Ivi ndo wa2 wanavo haribu ndoa zao😢
@user-nh3rc7dn5b
@user-nh3rc7dn5b 2 месяца назад
❤❤❤❤ nimependa sn movie
@MineniAbedialphonce
@MineniAbedialphonce 3 месяца назад
Tina mkorofi duuuuh weacha tu ana mtima nangu
@GraceMbulu-rp8ko
@GraceMbulu-rp8ko 3 месяца назад
Niko kauponza😅😅❤❤❤
@user-vg4hw8rk6q
@user-vg4hw8rk6q 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤
@gogoloveofficial5666
@gogoloveofficial5666 3 месяца назад
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
@yohanahashimu3505
@yohanahashimu3505 2 месяца назад
Wamwisho jaman nionen namm bas
@Mali_tz1
@Mali_tz1 3 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@MaluguSikule
@MaluguSikule 2 месяца назад
Nice
@josephellytemu9645
@josephellytemu9645 3 месяца назад
Et 😂uliwe kwanza au chakula
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 2 месяца назад
Ivi wakijifunika shuka huwa pana usalama lkn
@khamisjina8833
@khamisjina8833 3 месяца назад
Maryam, sauti ya kidogo regeza 🤣🤣🤣🤣 unanguruma huenda ikawa sababu . Ila nimekupenda jitahidi🫀
@DolisMartin
@DolisMartin 3 месяца назад
Nawapenda jaman Kwa move zenu
@MosesMunyoki-gk3yc
@MosesMunyoki-gk3yc 2 месяца назад
Tina kuzoea kuaribu doa zawatu asha
@JanetKimindu
@JanetKimindu 12 дней назад
Sighel mother kwakweli tunaejoy maana atutarajii vyao m2
@JanetKimindu
@JanetKimindu 12 дней назад
Mariam pole kwaumayo pitia kua namsimamo ndunia ni lelemama
@NishaMussa-os4np
@NishaMussa-os4np 3 месяца назад
Nimkuawamwisho naombeni like zenu hatakumi
@ZakaboyMusa
@ZakaboyMusa 3 месяца назад
Like niacheni jamani.
@user-xr6xk9lb5c
@user-xr6xk9lb5c 2 месяца назад
Kenya Watching
@user-xl3hw9ct4l
@user-xl3hw9ct4l 2 месяца назад
Mmmh bx kl cku umechoka nelly,,mwambie ukwel kua nimetoka kufanya huko nilikotoka😂😂😂
@JanetKimindu
@JanetKimindu 12 дней назад
Dole wacha kiumane brown ww mnafiki hapo uwezi jinasua Mariam nd Masada wako mbona Tina chuma ulete
@user-og6xv3vr6x
@user-og6xv3vr6x 3 месяца назад
Mpenzi akikukosea mpe nafasi nyingine kwani kabla hujamuhukumu mwenza wako jiangalie pia na wewe je humuibii mwenzio?
@ChuseDaddy
@ChuseDaddy 3 месяца назад
Kauli moja tu chukua chako ondoka dadeki
@piusthuranira1541
@piusthuranira1541 2 месяца назад
Mm ata kw ndawa singerundi kwa uyo mwanaume
@samiahsalum3464
@samiahsalum3464 3 месяца назад
wapuuzi mnao wah kuomba like kabla yakuomba hizo like mshawahi kuuomba hata uzima kwamwenyez mung japo Dak 1 tu nahizo like mnozipatag huwa mnafaidika na nn lbda???
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 месяца назад
😂
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Waduanzi
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Waduanzi
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Waduanzi
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Waduanzi
@rizickmafungu7337
@rizickmafungu7337 3 месяца назад
KUSEMA UKWELI NAJIKUTA NAMPENDA SANA UTU LOVE NISAIDIENI NAMNA YA KUWEZA TU KUMUONA
@JanetKimindu
@JanetKimindu 12 дней назад
Brown umthaniae cye.watu kaoneni maali kananukiaga bro kisha mramba peupe
@LoiceKatana-ci1tx
@LoiceKatana-ci1tx Месяц назад
Malipo na hapa hapa duniani umefukuza vicky saai😂😂😂
Далее
MAMA KIJACHO 💞 Love story | DONTA TV
23:11
Просмотров 55 тыс.
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 1,1 млн
NAMPENDA MKE WANGU # FULL MOVIE# love story DONTA Tv
21:14
NATAKA TENA FULL MOVIE LOVE STORY 💞💞
54:03
Просмотров 3,9 тыс.
DADA WA KAZI  💞 Love story | DONTA TV
24:13
Просмотров 607 тыс.
KESHO YANGU PART 27 💞 Love Story
27:46
Просмотров 219 тыс.
SINGLE MOTHER 💞 Love story | DONTA TV
38:04
Просмотров 389 тыс.
SHEMEJI ANATAKA TENA 💞 Love Story | DONTA
31:50
Просмотров 275 тыс.
UMALAYA SHULENI - EP 01 ( SCHOOL LOVE STORY 💔
10:00
The Real Talk: KUISHI NYUMBA MOJA NA MWENYE NYUMBA
23:12
Они нас подслушивают😁
0:52
Просмотров 2,7 млн
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
0:19
Просмотров 1,9 млн
ЖВАЧКИ!!!
0:47
Просмотров 3,1 млн