Тёмный
No video :(

Nay Wa Mitego Ft Dora Boy - Amkeni (Official Music Video Lyrics) 

Mr Nay
Подписаться 624 тыс.
Просмотров 2,6 млн
50% 1

The Song Produced By Chiby Beats
Video Shoot By Mr.Azalia
Script By Frank Kibonge
Graphic By Jes
Make up Salms
Location By Kellv
Stream/Download:linktr.ee/nayw...
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/...
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.c...
RU-vid: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.c...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Amkeni

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 11 тыс.   
@noahmasasi3574
@noahmasasi3574 Год назад
Huyu ndio Ney wa mitego nayemjua Mimi. Kama umwelewa jamaa gonga like twende sawa #AMKENI
@shahadaushindi7745
@shahadaushindi7745 Год назад
Tumchangie nay, jamani tusiishie kumsifia tu sisi sote hata elfu 10, 10 tu wote tuliokoment humu. Kazi, hii ni nzuri mno. Watu wamekalia upuuzi tu hawa ndiyo wasanii wanaohitajika. Mzalendo ni msema kweli kwa ajili ya nchi yake. Nay hana ubinafsi amezaliwa kwa masilai ya taifa lote. Sio hao wanaimba kusifia upuuzi tu. Wasanii ni Roma na Nay wanastahili kiwa washauri wa raisi
@selphersimiyu
@selphersimiyu 6 месяцев назад
Mungu mpe huyu msani maisha marefu my top mentor like za 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Trolley2023
@Trolley2023 10 месяцев назад
Hii wimbo inatuhusu sana huku Kenya kuwaliko Tz...rais mtalii,wabunge akili ndogo, meli lazama ila hakuna anayeona. Afrika mashariki tuamke!!!!
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk Год назад
Ambao tume rudia zaidi ya mala 10 huu wimbo tujuane 🙏🏿
@fredbasil361
@fredbasil361 Год назад
Dah😢
@godwinvicent
@godwinvicent Год назад
2po mzee kwanza tumekusanyika saiv tunasikiliza jamaa anajua
@RojazTz
@RojazTz Год назад
✌️vidole viwilijuuu
@kingandreki7979
@kingandreki7979 Год назад
🔥🔥✊🏿
@methodkihoo9826
@methodkihoo9826 Год назад
😥😥
@maishacenter-eastafricatv3976
Ndiyo maana mnaambiwa muwage na akiba ya maneno, wewe Nay ulikuwa ukimpinga Sana huyo John, sisi tunawambia Africa hakujawahi kuwa na kiongozi kama Magufuli na hatutegemei kumpata soon!! Any way go on, keep shining
@user-hj4cw5mv1m
@user-hj4cw5mv1m 7 месяцев назад
Kichwa cha huyu jamaa ni zaidi ya dhahabu, yani kuna mijitu inajiita misomi kumbe mavi matupu ila kichwa hiki kina fikra za juu sana, zaidi ya wenye phd, big up Ney wa mitego Mungu akulinde na uishi miaka buku.
@nairobitv6161
@nairobitv6161 11 месяцев назад
Hii ngoma nimeikuta inapigwa kwenye daladala. Abiria wote kimya ... Wengine wakionesha nyuso za kuuzunika....duu. Ney for Hip hop
@stivenjiduki6606
@stivenjiduki6606 Год назад
Huu wimbo wa hatarii zaidi ya hatari wakifika watanzania 150 tu wenye roho kama ya ney nchi inakombolewa🔥🔥✅
@user-oc7ju3nl2w
@user-oc7ju3nl2w Год назад
Mmmmh ney we nouma
@dianasimon9131
@dianasimon9131 Год назад
Kabxa
@MbonimpayeEssau-fh1xb
@MbonimpayeEssau-fh1xb Год назад
Hakika,anawakilisha vema nafasi aliyo nayo kama Muimbaji mwenye Akili
@hadijambapa956
@hadijambapa956 Год назад
Sana sema tumezidi uoga
@DianaMlongwa-oq5vt
@DianaMlongwa-oq5vt Год назад
Hakika
@stevenkapenulo474
@stevenkapenulo474 Год назад
Watoa tuzo za nyimbo msiwe mnaogopa kuwapa tuzo watu kama hawa wanaoongelea ukwl,msikalie tu amapiano zenye zimejaa ujumbe wa mapenzi tu nay ww ni mwamba sana👏👏
@musasamwel5544
@musasamwel5544 Год назад
Uhakika
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 Год назад
Hawawez kaka coz hata hao wenyewe ni mamluki tu hapo
@fredpaulo5816
@fredpaulo5816 Год назад
Watoe Tuzo kwanza cjui mpka kesho kma itakuwa bdo haijafungwaa
@barakaelkaaya40
@barakaelkaaya40 Год назад
Kabisa...umenena
@RuthKuria-qs9vq
@RuthKuria-qs9vq Год назад
Tatizo la wa Africa ukimponda mtu ukweli anawa adui yetu
@johncharles5450
@johncharles5450 11 месяцев назад
Tuliokuja baada ya ney kufunguliwa kesi ya mchongo ya uchochezi, gonga like hapa
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 11 месяцев назад
Tuliorudia baada ya mwamba kuitwa Centro tujuane❤❤
@topaztz7601
@topaztz7601 Год назад
ishi Miaka Mingi Mzee Baba, Hii ndio Hiphop tunayoitaka Uhalisia mbele, hakuna kukumbatia mavi liwalo na liwe.. ishi miaka mingi..🇹🇿
@mathewmakwaya-zh3bk
@mathewmakwaya-zh3bk Год назад
Rais Maguful Alisema Anapenda kusema ukweli,Huyu Mwamba ni pacha ake Magu,,, katika kusema ukweli!! ,,, Mimi wa kwanza kukuombea uishi miaka yote Broo✍️😍
@MunjalAMINA
@MunjalAMINA Месяц назад
Everything you are narrating here,us kenyas we put actions🇰🇪 Tanzania amkeni😢🇹🇿
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 25 дней назад
July 28 2024 ndo nimeelewa hii verse ya anayesema tutoke magetoni naye anatuchongea vibao ❤ #tellaaxistz best song writer
@budaboss8109
@budaboss8109 Год назад
Jaman kama umeskiza huu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 2pac wa bongo huyu hapa
@dennisngugi9727
@dennisngugi9727 Год назад
I have realized that what is ailing tz ails Kenya too. Bad leadership will cost us dearly. Nay continue speaking what we can't because we don't have a platform like yours. From Ke with love
@bushsutimeline766
@bushsutimeline766 11 месяцев назад
Afrika tuna matayizo this song isn't for TZ only but all African big up ...Ney wamitego much respect bro
@dave_karter
@dave_karter 11 месяцев назад
Every African country needs Nay.
@burumeglobal
@burumeglobal Год назад
Akili ndogo inaongoza akili kubwa... Punch line...huyu jamaa yuko vizuri... Wapi like za Nay ....
@moshidongo
@moshidongo Год назад
Kuna Wanamuziki halafu kuna Mr Nay wa Mitego is just another level! ✊🏼🇹🇿
@teddyemmanuelyemailteddyemmanu
Kabisa
@TausiKiyungi-ec4qz
@TausiKiyungi-ec4qz Год назад
Kabisaaaaaaa
@maburukimazima8056
@maburukimazima8056 6 месяцев назад
Kulingana na Sauti nzito Ya Raisi wa kitaa hafai kuimba nyimbo za kuburudisha yeye ni special mtetezi wa wanyonge Big up the True boy much love from Kenya.
@user-cr1nk1zc5s
@user-cr1nk1zc5s 10 месяцев назад
Huyu kaka Ndo mfano wa KIOOO CHA JAMAIII 😍😍🙏🏽🙏🏽🙌🏽😱😱😱😱🙏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@jastinemwandobo2729
@jastinemwandobo2729 Год назад
Wapi waimba MAPIANO mje mjifunze nyimbo hapa big up brother ney japo ninahofu juu ya usalama wako ,,,nakukabidhi mikononi mwa bwana ameen
@selemankahabiemmanuel8807
@selemankahabiemmanuel8807 Год назад
hiyo ndo maaan ya kujitoa muhanga long time ney kajitoa ssdaka kwa lolote
@digonzakeimbe8435
@digonzakeimbe8435 Год назад
Hata na Mie nahofia Hilo😔😔Namuombea lkn..
@user-sj8uo2gw6o
@user-sj8uo2gw6o Год назад
Daaa❤ pamoja sana
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 Год назад
#kweri kabisa sio Wana bwabwanya ovyo to kama wanaugua vifafa
@izmoo1835
@izmoo1835 Год назад
Kwel kabisa
@prochcare2557
@prochcare2557 Год назад
Mwamba kajitoa sana...true artist...true vision...true heart...true struggle...mzalendo halisi...
@shabanisiku8827
@shabanisiku8827 11 месяцев назад
This song is for all African Blind Leaders thank you Ney Rais wa Kitaa D. R. Congo 🇨🇩 ❤
@fredrickmutunga2222
@fredrickmutunga2222 Год назад
Kazi ya mungu haina makosa.., ikikupendeza chukua na Hawa pia"😂😂😂😂much respect from Kenya
@esthermakola9041
@esthermakola9041 Год назад
Njoo huku Kenya 🇰🇪 , tunahitaji wimbo kama huu kwa viongozi wetu.. #wake up call to the African leaders
@evanslangat2701
@evanslangat2701 Год назад
kwa hio hali ni ngumu kila mahali cc hapa kenya ndio tunaaribu zaidi 😢😢😢maandamano sio suluhisho🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Kibasumba02
@Kibasumba02 Год назад
Uyu njo mwana muziki uwache wengini wama piano nanyimbo zakichoga na umalaya.Big up brother ney tunakuskiliza kutoka Canada.Inabidi upewe heshima kwa nyimbo zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@agogomgagagigigogo
@agogomgagagigigogo Год назад
Hata umsifieje ndg yang na hakuna asiyemsifia hata wasiojua mziki huwa wanamsifia kini cha kujiuliza tulimuunga mkono lini ili awe na jina na pesa kuwazidi akina Mondi,hawa ndo walipaswa wawe matajiri kini cc eti tunawakubali kwny comment tu kini kununua kazi zao hapana afu tunajifanya tunamkubali kati ni unafiki tu ,ambao tunawaponda kila uchao wanazidi kuwa matajiri kwa amapiano hizohizo
@user-ou9dr9up6z
@user-ou9dr9up6z Год назад
👍👍👍👍💪🏿💪🏿✌️
@MkaliWagoka-bz6im
@MkaliWagoka-bz6im Год назад
Wengi wetu hatupendi Muziki wa kufundishaa,,Tunataka matusiiii,,,Saluti Sana kwako Ney
@jamesmasesi9042
@jamesmasesi9042 Год назад
Wimbo mzuri sana, huku kwetu Kenya wasanii wanasifu pombe na wanawake...Nay amia huku kwetu Kenya utuamshie viongozi wetu
@AnuwaryHussein-xu9rb
@AnuwaryHussein-xu9rb 11 месяцев назад
Daah! Hatar nchi inakoelekea tunaumia wanyonge wao wanakula bata kwa mlija bora mpaze saut tuokoe tanzania
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 Год назад
sioni sababu ya kuufungia huu wimbo.Kama kasema ukweli,shida ipo wapi? serikali msipende kusifiwa tu ,ukweli ni kwamba,anaeongoza nchi uwezo mdogo
@Arnaud-JallenNsabiyumva-mj1nr
I'm from Burundi but trust me this song is for all African Countries ,⚡🇧🇮 big up xana Ney right kama all Presidents wangeusikiliza vizuri . Nay kwel True Bwoy , au sio jamani???
@rashidymussa1320
@rashidymussa1320 Год назад
Sure
@ahmadbilal3855
@ahmadbilal3855 Год назад
True spesal for all Africa country
@rev.barakamwamsojotv9489
@rev.barakamwamsojotv9489 Год назад
You went so far for sure
@upendoreuben4617
@upendoreuben4617 Год назад
Dah ! This song.. balaa nimesikiliza mara 6 .. and way keep it up brow hata waseme nn ukweli utabaki ukweli na massage sent ... Big up.. I love the song
@joelmwando6791
@joelmwando6791 Год назад
❤❤Tamu sana. Ni sawa tu na Zakayo Wetu apa Kenya 🇰🇪 .
@HabibuMaingu
@HabibuMaingu 6 месяцев назад
Muziki wako utaishi vizazi na vizazi. Hata siku ukipumzika tutaongea sifa zako kinaga ubaga bila kutafuta kukusafisha. Historia itakukumbuka kama msanii asiyejipendekeza kwa viongozi na ambaye alijitenga na watesi akasimama upande wa haki. Mungu akubariki sana na atakayekutafuta kwa shari waziwazi au kisirisiri laani ikawe juu ya kichwa chake na familia yake. Nayaomba yote hata katika Jina la Yesu, amina.
@toiletboy2986
@toiletboy2986 Год назад
I'm Kenya 🇰🇪 and i really listen to this Man.. Glad to be alive in his era💯💯💯💯💯💯💯
@NeemaAloyce-ie3kk
@NeemaAloyce-ie3kk Год назад
Kazi ya Mungu haina makosa ikikupendeza chukuwa na hawa mkataba wa bandari usiishie bara peleka na Zanzibar hii imeenda tumpe maua yake🌹🥀🌷🥀🌹
@ismu112
@ismu112 Год назад
Zanzibar mbona kitambo au hufuatilii umejaza chuki
@ramzanrehman7254
@ramzanrehman7254 Месяц назад
Bro Bravo hawo waingine hawaku ezii ww ndio jeshi kamili salute you ndugu yangu more love and one love
@DeeMatara
@DeeMatara 9 месяцев назад
The Tanzanian gorvernment should allow this song to be played all over the country. Banning it simply means that those politicians don't want to be told the truth about their failures. This song is a masterpiece!!
@KasigwaMakubo-fo5ud
@KasigwaMakubo-fo5ud Год назад
Wimbo mzuri na wenye wa maana halisi ya maisha yetu ndani ya nchi yetu Tanzania.Big up @Ney
@evodiusmwombeki9247
@evodiusmwombeki9247 Год назад
Wakola muno
@rabielkaaya3764
@rabielkaaya3764 Год назад
🤝🤝
@maase2023
@maase2023 Год назад
Huyu wimbo hana ila ana mashairi ya uchochezi tu kwa kuwa hana kitu kingine cha kumtangaza
@pckfoundation3710
@pckfoundation3710 Год назад
AMBAO mnakubali Kama huu wimbo Ni number one east africa tujuwane
@jimmymwaringa864
@jimmymwaringa864 Месяц назад
ONE MAN SOLDIER.....PIGANA USIOGOPE....UKITUOMBA KENYA TUTAKUJA KUKUSAIDIA........
@shakilayusuf7802
@shakilayusuf7802 Год назад
Shukran Nay kwa kuwakilisha maoni na kupaza sauti za Wa afrika wanyonge hususan hapa kwetu Kenya.Umetoa picha kamili ya hapa Kenya,huo ndio usanii,endelea kuwa kioo chetu ,Umri mpevu nakuombea.Zidi kugonga ndipo kwa ujasiri na ukunguru usikinyemelee daima.
@mpakaiwe10
@mpakaiwe10 Год назад
Kama una amini mkoloni hajaondoka Afrika ame badirisha tu mfumo wa utawala gonga like tusonge mbele. AMKENI❤❤❤❤
@eliudelias3162
@eliudelias3162 Год назад
Kama umerudia kuisikiliza hii Ngoma gonga like tuendelee kusikiliza mzic mtamu achana na nyimbo zingine uchwara Ney na Roma ndio wasanii wa wawananchi
@iddygondwe234
@iddygondwe234 Год назад
sanaaaaaa baba
@iddygondwe234
@iddygondwe234 Год назад
nimesikiliza hadi gaji imeisha nimetumia 1GB.
@kulwajm
@kulwajm Год назад
Umetishaa😝😝😝😝😝
@rissaliz3417
@rissaliz3417 11 месяцев назад
Wakenya mko wangapi hapa🙋‍♂️😢😢😂😂
@ibohclassic962
@ibohclassic962 Год назад
Dah😮, nime kubali Sana iyi, #Amkeni wa Tanzania
@user-xv2mw2xj3x
@user-xv2mw2xj3x Год назад
On my side let Ney wa mitego move on drops such a song at all ❤❤❤❤ ndo nyimboo tunazo ziitaji au nazo zipenda Kama mzalendo
@filipejohnchuma1985
@filipejohnchuma1985 Год назад
Não consigo ficar 4 horas de tempo sem escutar a música viva Ney 👊 mais força 💪🇲🇿🇲🇿 peço pelo menos 10 likes para Ney 🔥
@feli1384
@feli1384 11 месяцев назад
May God bless my Country TANZANIA 🙏🏽❤️
@johnstoneambula5920
@johnstoneambula5920 11 месяцев назад
Huo ni ukweli kabisa kaka na ukweli unauma.
@kiloloonlinetv3021
@kiloloonlinetv3021 Год назад
Maana halisi ya Mwanamziki sio msanii!! Mwanamziki haitakiwe uwe msaninii!! Big up unazidi kudhihirisha maana ya True boy❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥 Iko fire sanaaaaaaaaaaaa
@hijrabakari3124
@hijrabakari3124 Год назад
@KomanyaLupimo-ld8bq
@KomanyaLupimo-ld8bq Год назад
😂
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Год назад
Nmemkubali huyu mwamba
@MathewYohanaMathew-gy7wk
@MathewYohanaMathew-gy7wk Год назад
Uko vizur sana
@neemagabrieli-ff4mq
@neemagabrieli-ff4mq Год назад
Kama mnamkubali ney kama mimi like hapa wadau👍👍👍👍👍
@khalidlubao1980
@khalidlubao1980 11 месяцев назад
Ana baya 💯💯💯
@YonaJames-pb9sg
@YonaJames-pb9sg 11 месяцев назад
Nimekuelewa mwamba
@williamouma8263
@williamouma8263 4 месяца назад
Huyu mwamba ni Tupac Shakur wa Africa,namkubali sana, jamani Nay wa Mitego wakenya wanakubali misitari yako.Hongera sana more love from Kenya.Njoo upige shughuli Kenya
@mzeerajab3629
@mzeerajab3629 Месяц назад
Tanzani uchawa unajeng nyumba ila haki wanakuua
@sokikambale8327
@sokikambale8327 11 месяцев назад
Spitting nothing but the truth WAKEUP WAKEUP KUMEKUCHA💥💥💥💥,,,,,, politicians are the enemy of the people,,,,hii ni moto 🔥🔥
@AllyManjonjo-nw1ri
@AllyManjonjo-nw1ri Год назад
Ulimmchukua tujifuuunze au tupate kuhema,Ney true boy umenikosha mnoo
@YusufYusufkushoka-pc7hq
@YusufYusufkushoka-pc7hq Год назад
Nyimbo inaelimisha sana, rais wakitaa tupo nyuma yako kaka, wewe ndo mtanzania halisi, ni mfano wa kuigwa, hakika ni hazina ya Tanzania 🇹🇿 Mungo akulinde ndugu yetu
@katongasign4173
@katongasign4173 11 месяцев назад
Ambao tumesikiliza ngoma hii baada ya Ney kuachiwa Tujuane
@user-dj6nw9iq1w
@user-dj6nw9iq1w 10 месяцев назад
salute mr president naomba mungu ndoto ya watanzania juu yako iwe kweli mungu akulinde na hasadi mkuu ipo siku utakuja kuliongoza taifa hili weka nia hakuna linaloshindikana kwake mungu
@shokajr9714
@shokajr9714 Год назад
Nimesikiliza mara 8 hii nyimbo. Kiufupi Nay wamitego ndio msanii bora zaidi waHiphop kutokea bongo achana na hao tunaowaita Malegend wa hiphop hawana msaada wowote kwenye kusemea Rasiliamali zetu na kuwakosoa Viongozi wetu. Nay hatuna cha kukulipa ila ikatokea wakakuua sisi tunatachanga pesa Nchi nzima kwa ajili ya familia yako . Mungu akuweke sana kaka ❤
@abdullundenga3517
@abdullundenga3517 Год назад
Wa kwanza roma wa Pili nay wa mitego
@asherysadock6389
@asherysadock6389 Год назад
et ikipendeza chukua na hawa
@shokajr9714
@shokajr9714 Год назад
@@abdullundenga3517 wakwanza Nay kaka hamumunyi maneno na wala haogopi mtu yaani huyu jamaa ni mwanaharakati wakweli kabisa
@emanuelkazungu7058
@emanuelkazungu7058 Год назад
🎉
@petertungu2313
@petertungu2313 Год назад
​@@asherysadock6389yaani wafe😂😂😂😂😂😂
@MwazambaMicro-pi4fj
@MwazambaMicro-pi4fj Год назад
Nimependa,kazi ya Mungu haina makosa kumchukua magu ikimpendeza Mungu achukue na Hawa waliosalia🎉
@lizzyshirima3601
@lizzyshirima3601 Год назад
me nangoja miujiza ya mwamposa
@brownmollel2655
@brownmollel2655 11 месяцев назад
Najiuliza Mungu why ulimchukua John mapema Ulimchukua tujifunze au tupate kuhema? Huu mthihani haki ya Mungu nakosa cha kusema, Kazi yako haina makosa ikikupendeza chukua na hawa Mungu akutuze ney
@musamulongo
@musamulongo 10 месяцев назад
Nay wa mitego big up sana this song manze umetok reality .
@raiderking4637
@raiderking4637 Год назад
Tumekubali Ngoma tunamchukia huyo raisi hatari Yani hata wakikufungia umetusaidia kufikisha ujumbe✊🏿
@mangushaban9214
@mangushaban9214 Год назад
Hii imeenda. Bro piga kazi nakubali sana 🔥🔥
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 Год назад
Ikikupendeza chukuwa na hawa😢😢😢😢wajinga wanawaongoza wenye akili ila kweli jmn🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🇧🇮🇧🇮
@benjamincrosssimz8707
@benjamincrosssimz8707 11 месяцев назад
This song has once again brought 😢 in my eyes. We will always miss president JM. You have spoken nothing but the truth ❤️. Thank you Blood for reminding US. Mungu akulinde sana kwa ujasili wako my brother.
@danielfabmaina8000
@danielfabmaina8000 Год назад
Nay njoo Kenya baba utusemee nice song raisi wa kitaa very good 👍👍👍 the song have message
@ngwalabenedictor8992
@ngwalabenedictor8992 Год назад
When it comes to great messages' songs, thats where Nay wa mitego brings his A game
@eugengerry532
@eugengerry532 Год назад
When it comes to great Messages Songs, that’s where Nay wa Mitego brings his “A” game
@donaldabel1656
@donaldabel1656 Год назад
Bonge la song tunahitaji watu ka Hawa Sasa Roma huko uliko shusha nondo Sasa na wew
@jtzsafaris9730
@jtzsafaris9730 Год назад
Wale ambao tupo na Ney ngonga like apa Huyu ni zaidi ya Mnyama 🍁🤝
@user-wh3pv1ui5j
@user-wh3pv1ui5j Год назад
Mnamsapoti nay kwenye media tu ,ila bado mioyo yetu watanzania ni waoga sana hatuwezi kujitoa kwa lolote kudau haki zetu kwa serikali tawala
@user-vy3zg5pb1o
@user-vy3zg5pb1o Год назад
Nay moja kwa moja peponi 😂😂😂😂msanii wa kipekeeee Africa nzima 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Ambagaye
@Ambagaye Год назад
Huyu jamaa mkorofi sana. Ila amwemwaga kweli tupu bila kupepesa macho.
@neymariontv477
@neymariontv477 Год назад
ney ni kioo cha jamii kama mnakubali nipeni like kutoka burudi
@user-vb8ri3to9m
@user-vb8ri3to9m Год назад
Ikikupendeza chukua na hao daa!! Maua yako Kaka🌹🌸🌷💐🌼🙏mungu aendelee kukulinda breather.
@mrblack8661
@mrblack8661 Год назад
yaan broo hakika we sio rais wa kitaa2 bali ni rais wa kutuongelea sisi maskini,, Mungu akupe miaka mingi.❤
@binjmwinyirain1133
@binjmwinyirain1133 Год назад
Umenifuta machungu ya kuondokewa na magufuli leo. R.i.p magufuli today I've finally agree that you have gone. Rest in peace Father kazi ya mungu Haina makosa. Ney kanifuta machozi kilio changu kimeskika. True boy💪💪💪. Anyways karibuni Simba day.
@josephkakobe1687
@josephkakobe1687 Год назад
True boy ney umetsha kiukwel hi nch yet ishauzwa ktambo sema selkal kuongea ningum tunakushkr kwahi nynmbo yako nikal kwel wenimwanaharakat
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas Год назад
Wale watu wasiojulikana wako wapi mbna siwaoni au Mjomba kaondoka nao
@geofreymwambega4134
@geofreymwambega4134 Год назад
Mungu wa mbingun akulinde ,wimbo umezungumza uhalisia wa maisha yetu ya watanzania ,kwel nay ni rais wa kitaaa big up
@ThomasMagoti-it4ty
@ThomasMagoti-it4ty Год назад
Amiin
@KatemboAugustin-pt7ue
@KatemboAugustin-pt7ue 2 месяца назад
Raisi wakittahaa ney wamitego ❤❤❤ tukuku balisana basi chule nilakulipia so wengi wasomi ni wazembe
@BigBoyMpitanjia
@BigBoyMpitanjia Год назад
Amukeni Tanzania 🇹🇿✊ amukeni Burundi 🇧🇮 amkeni Rwanda 🇬🇦✊✊ shukurani Nay wa mitego naitaji korabo na wewe 🙏🧎🧎👋
@shambafm7422
@shambafm7422 Год назад
Natamani siku moja kuisikia sauti ya "NAY" na "ROMA" kwenye wimbo kama huu au kama inawezekana tupate part II ya hii. #KizalendoZaidi 💯
@EliaPundugu-cz4lj
@EliaPundugu-cz4lj Год назад
Wimbo mzur unaozungumzia maisha yetu hongera sana mwamba nakukubqli sana Rais wa mtaa.
@leonardedson3604
@leonardedson3604 11 месяцев назад
Viongozi wa nchi yetu ni wezi,wabinafsi,mafisadi na wanatamaa kama mafisi, ovyoooooo.. Brother ingia bunguni ukawachane live.
@msafiriomary893
@msafiriomary893 День назад
Wanaiba kodi zetu mpaka wanashindwa kijenga bara bara maneno mengi hakuna kitu bara bara mshimo matupu kukopa na kuiba ngedere watupu
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 Год назад
Uyu ndo mtanganyika wa kweli mwenye uraia wa tanzania tunaitaji watu kama awa wanao sema kweli kwa ajili ya nchi yake mimi namuhunga mkono ✊✊✊💪💪💪
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Год назад
Ilitakiwa wasanii wote waimbe haya kwapamoja wataelewa nakusikia Nini tunataka hatutaki nabandali yetu waoneshe mfano kwaza kec zote tushinde ndipo tuelewe
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 Год назад
@@majaliwawilson9372 ewa wangeungana kwa pamoja kufikisha ujumbe kwa njia ya music
@user-xl3mh7gu6e
@user-xl3mh7gu6e Год назад
Unapambana kwa ajili ya wa Tanzania,mungu akulinde Nay,Basata kukuita sijakubaliana nao
@christituskikoti5234
@christituskikoti5234 11 месяцев назад
Yaantarifa zako za,kukamatwa,zimenfanya nije niangalie hii ngoma ila,Nay we,Unajua,ukiachana na kujua hupend unyonge Nakukubali sana akuna uichoongopa apo big up sana Nay
@silole_joseph
@silole_joseph 11 месяцев назад
Kenya inahitaji Nay Wa Mitego. Wakenya tulike😅
@yusufdarunnisaa
@yusufdarunnisaa 11 месяцев назад
Weee naye akijitokeza anapotezwa kabila hajaanza kaa mbl na kenya
@KB-do5sr
@KB-do5sr 11 месяцев назад
KING KAKA did it but hakuna kitu wananchi walifanya
@jobcapri232
@jobcapri232 Год назад
Tupo wengi pamoja Na freenation for life ni nassib toka Mombasakenya
@chachasemberimwita7859
@chachasemberimwita7859 Год назад
Raisi wa mitaaa....he knows each and everything happening in the streets..."Media za bongo zimestuck hazina tena ubunifu, hazikuzi presenter wake,angalia Nani maarufu, na hao maaruf sasa..." STRONG PUNCH LINES...Hongera Ney.
@dorcusjidinga4624
@dorcusjidinga4624 Год назад
Na hao maarufu sasa kma machangudoa apo kaguswa mwijakuu na baba levo
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Год назад
​@@dorcusjidinga4624kina Maulid kitenge pia
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 7 дней назад
Kwa mujibu wa huu wimbo, Kijana wa humu ni mwizi , Maana ameiba fedha Kwa kijana aliyekuwa anatoa Kwa wakala( hatujui naye alikuwa na shida ipi) kuhalalisha jambo baya Kwa shida zako ni jambo baya hta iweje..na wizi si lazima uibe mara nyingi!!, Huyu hapaswi kuonewa huruma, Maana aliyeibiwa angempeleka mahakan ,asingepata MUDA wa kumuuguza mama wake Kwa kidogo akipatacho!!! ATUNUSURU MUNGU NA ATYFUMBUE KUJUA HALALI NA HARAMU
@sumailadamo9600
@sumailadamo9600 Месяц назад
From mozambique... you are the best brother... nakukubali sana
@neemagabrieli-ff4mq
@neemagabrieli-ff4mq Год назад
Wee kwa ukweli kua makini kaka ney wamitego kingine tukisikia chochote kibaya kimempata ney ujue ni serikali juu roho za wauma mno tupo na ww kaka big up ney
@Benskytv200
@Benskytv200 Год назад
Kaka nitafute kabla ujaenda basta jumatatu mm naingia mfungo kwaajili yako ❤❤❤❤ so much bro umefanya nilie na uwimbo nta upiga geto kamavip waje wafunge geto langu
@Benskytv200
@Benskytv200 Год назад
Wafunge tutapiga geto na kwenye mabajaji yetu Ngoma kitaaa imeenda sana Basata Tcra mmechelewa sisi walengwa wimbo tunao
@Benskytv200
@Benskytv200 Год назад
Amkeniiiiiiiiiiiii kitaaa NI balaaaa nipo nawanangu hapa mzumbe mbeya ishu n bandari na hii Ngoma nyie acha tu wana kitaa wamechoka kinoma
@sarahmakungu8578
@sarahmakungu8578 6 месяцев назад
This man is a hero always stands for the African continent the leadership in Africa is pathetic corruption is the business of the day 💪💪💪💪
@Fabianielihaj
@Fabianielihaj 5 месяцев назад
Tujuane wale bado tunasikiza huu wimbo
@isaacamani145
@isaacamani145 Год назад
Alafu utaskia tuzo imeenda na amapiano. Ukweli ndio hautakkani Africa. Love from coast Kenya 🇰🇪
@mangodfrey9991
@mangodfrey9991 Год назад
Tuzo Tena hapo ni basata kufungia na kuhitajika osterbay
@NemyNemo
@NemyNemo Год назад
Hahaha
@IssaSadick-dq7pu
@IssaSadick-dq7pu Год назад
🤔🤔yaan kwa hii nyombo hawatasubli ujzke watakuuwa na wakuZke 😭😭😭 Kama lakhdube
@jacoballoys9980
@jacoballoys9980 Год назад
"Kazi yako haina makosa ikikupendeza mchukue na HAWA" Aisee this song is lit
@ThomasMwinuka-kg5kz
@ThomasMwinuka-kg5kz 11 месяцев назад
Pamoja sana Nay wanakuweka ndani sisi ujumbe tumepata naumewafikia naniukwer yan hawaelew hata nyuso zao wafiche wapi ccm wezi jaman
@JAY_5H3PH3RD
@JAY_5H3PH3RD 7 месяцев назад
The only Guy with confidence from another level. Watu lazima waamke. #MrNay
Далее
Nay Wa Mitego  - Sauti Ya Watu (Official Music Video)
4:21
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
7:00
Nay Wa Mitego  -  Bachela ( Official Music Video )
3:42
Nay wa Mitego - Alisema  (Official Video)
3:29
Просмотров 2,3 млн
Balti - Ya Hasra (Official Music Video)
5:42
Просмотров 219 млн