Amejibu= amejaibu😂 this one can be a good singer jinsi alivyo anza kuimba he is the best nimuombe aingiye kwenye music ataimba vizurisana naatabariki Watu Sana katika jina la Yesu Kristo ❤❤️♥️🇨🇩
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma RU-vid watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
@@grannyboy3606 hiyo interview yenyewe umeielewa!?. Tuache kutazama mambo kwamtazamo wa kitoto. Unajua maana ya Interview. Uliza swali moja kisha mpe uhuru mtu wa kujielezea na wengine wapewe maelekezo kabla ya kuanza kuwa wasiingiliane katika mahojiano. Mmoja akijibu wengine wanatulia mpaka mwingine aulizwe. Lakini hawa wanaingiliana kama wapomtaani wanapiga stori. Sisi tuliokua enzi za kufatilia vipindi vya habari vya redio tunajua nini lengo na maana ya mahojiano. Sio hizi zenu za kukurupuka kurupuka
@@user-bi7wf4nz2d hakuna mchawi zaidi ya shabiki mbumbumbu anaweza kukutoa ktk mstari mnyoofu. Nikisema mimi mwenye akili timamu inatosha. Wataacha uzembe katika kazi hakuna kitu cha maana walichokifanya hapo. Bora wangeita mtu mmoja tu akahojiwa kwa upana akafunguka. Hii EATV inajifanya ya vijana kumbe ya wahuni wa vijiweni. Kaangalie interview za SnS. Mtu anaulizwa maswali ya akili na anapewa muda wa kujibu kwa akili
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma RU-vid watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha