@@anithasemwano8276 true dia mi sio eti police to ndo hawajatulia now days wote nisawa ni hurka ya mtu too ila sio kusema wwote ni hawatosheki noooooooo
Ndoa ya hivo kwakweli siitaki haina hata raha naona kama wamesimamia msiba,maana nimefiwa sana na ndg zangu askar so nikiona hivo akili inapelekea msiba tu
Ni mbwembwe tu kwa askari wanaopenda sifa, ila kuna maaskari wengine tena wanavyeo vingi uwa hawapendi usumbufu wanafunga harusi ya kanisani au msikitini,ndo yenye nafasi kwa mwenyezi mungu.
Mie Mchumba wangu ni Mwanajeshi na tumeishafikia hatua nzuri yenye kumpendeza Mungu ila nishamwambia Ndoa ya kusumamiwa Ivyo kijeshi citaki nataka Ndoa yng isimamiwe Ndg jamaaa na Marafiki waenjoy, ,
Isaya 61: 1 "Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema;....." *NINATAMKA UZIMA KATIKA ROHO, MWILI NA NAFSI YA KILA MMOJA WETU KWA JINA LA YESU! KILA VIFUNGO, UZITO, MAGONJWA, UHARIBIFU, MIKANDAMIZO YA IBILISI NA MSONGO WA MAWAZO VITOKE KAMA VAZI SASA!! POKEA UZIMA TELE KATIKA KILA ENEO LA MAISHA YAKO KWA JINA KUU LA YESU!!!*
Wamefanya mazoezi wiki 2 lakini nikiangalia kuna wakati bwana harusi alikuwa akiyumba kwenye kutembea na kugeuka na bi harusi hakuwa kwenye matching ya kutembea ki gwaride muda wa mazoezi haukutosha
Hapo ni anafundishwa kwa anapomaliza shughuli za faragha anapokuwa mwenzake ni lazima amfute hilo pingili kwa tishu hadi liwe safi. Kisha waendelee na game kama kawaaa..!!!!!
Mimi siyo mwanasheria, ila swala la wanajeshi kufunga ndoa wakiwa kwenye sare zenye nembo ya taifa binafsi huwa haliniingii na sijuhi lilianzia wapi maana siyo Tanzania tu, nchi nyingi zinaruhusu sasa sijuhi kama ni utaratibu wa majeshi yote duniani!?
Kwani huwa nchi inalindwa na baba yako au unajitia ujinga kwani kukitokea vita huwa vitabu vya sheria huwa ndio vinaenda kupigania nchi acha kujitoa fahamu....
Kubaliana nalo tu coz ni Dunia nzima naona Aya mambo yanafanyika Tena naona kama Tz Aya mambo yanafanyika Kwa nadra Sana Lakin Nchi za Wenzetu utaona mwanajeshi kasimama barabaran lamda anahubir injili na sare zake wakati Tz sijawai ona
@@hassanmatata9335 sio kwa police tu kwa vikosi vyote vya ulinzi yaan police,jeshi,immigration,magereza nakadharika ila ni mpaka uwe na cheo kuanzia nyota moja na kuendelea ila askari usiekuwa na cheo chochote inapigwa sherehe kawaida tu
Hii mamen wengi walioview wamependa na wametamani wangekuwa wao ila wanawake waliowengi hawapendagi hii kitu wanaona ni km utumwa hv akati ni heshima ya hali yake