Тёмный
No video :(

NDOA YA ASKARI KIJANA ILIVYOTIKISA ARUSHA BAADA YAFUNGWA KIJESHI, WENZAKE WAMPA ADHABU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 252 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 247   
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 года назад
Hongera Saaana , Ubarikiwe hizo ndizo sare ya Askari zinazopendeza Sio zile zingine kama tuko India
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 года назад
Hahahahahahahaha du nimecheka mpaka nilie kaa nae kasikia
@SDM2024-z4s
@SDM2024-z4s 2 года назад
😅😅😅😅
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 2 года назад
Hahaha zile za kaki
@getwellwithessie
@getwellwithessie 11 месяцев назад
😆😆
@fatmaqhta8528
@fatmaqhta8528 2 года назад
Mashaallah Nzuri Sana Allah awalinde na husda za waja Awape vizazi vyema. Na mm pia nakaribia kua bibi ya Askari Inshallah 🤲🤲🤲🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fatmaqhta8528
@fatmaqhta8528 2 года назад
@Amina Said Mbona wacheka nitakualika yakwangu usicheze mbali 😂😂😂😂🤸🤸🤸
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 2 года назад
In shaa Allah, mimi nataka hiyo kadi tuu
@fatmaqhta8528
@fatmaqhta8528 2 года назад
Sawa msijali Tuko pamoja
@joykanjadavid2617
@joykanjadavid2617 2 года назад
Congratulations Mr and mrs ♥ , one day my dream will come true.... 🤲
@aslimonlinetv8809
@aslimonlinetv8809 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-42Mfd2NY_xA.html
@iladaharuna2533
@iladaharuna2533 2 года назад
Ongereni Sana mmependeza mungu abariki ndoa
@rajabumsofe3075
@rajabumsofe3075 2 года назад
@@iladaharuna2533 aaaaa
@rajabumsofe3075
@rajabumsofe3075 2 года назад
Aaàaaaaaaaaaaaaaaaààààaàaaàaaàaaaàaaaaaàaaaaaaààaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@amanimanase3122
@amanimanase3122 2 года назад
Wenye tamaa unawajua tu
@gloryshayo9966
@gloryshayo9966 2 года назад
Mungu awe kiongozi wenu kila neno baya lililonenwa kwenu lisiwe kwa jina la YESU Kristu.Amen
@ashaally6993
@ashaally6993 2 года назад
Nimeipenda hiyo hadi raha ila askari kuolewa nae yataka moyo huwa wanapenda wanawake sana hawatosheki ...ndoa yenu ikawe ya kheri🤩
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 года назад
Umewahi kuwa naye askari
@silyadamian5708
@silyadamian5708 2 года назад
Ukweli kabisa na wale madreva wa masafa marefu😎😎😎😂😂😂🙌
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 2 года назад
Hahaaa wapo kama wanaume wengine tu
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
@@anithasemwano8276 true dia mi sio eti police to ndo hawajatulia now days wote nisawa ni hurka ya mtu too ila sio kusema wwote ni hawatosheki noooooooo
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
@@silyadamian5708 mmmh wewe mama wewe inaonekana unauzoefu nae eeeeh😆😆😆😆😆
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Hehe na maisha utayakuta ya kijeshi jeshi mwenzangu
@karlymathew5500
@karlymathew5500 2 года назад
Si kweli wengine wako poa sana
@elizabethandrew4544
@elizabethandrew4544 2 года назад
Dada wa watu wana mchosha😃😃
@zubedamagambo9600
@zubedamagambo9600 2 года назад
Hana moja wanamsumbua tu
@AliceSamwely-uw9is
@AliceSamwely-uw9is Год назад
Safi sana
@user-oq1bt8zk2m
@user-oq1bt8zk2m 10 месяцев назад
nawapend kuliko ❤❤❤❤❤❤❤
@rachelayubu4513
@rachelayubu4513 Год назад
Me napenda xana kuolewa na mjeda mungu anipatie 2 mume mwema
@pilikhamis2924
@pilikhamis2924 2 года назад
Maashaallaah mungu azidi kuwabariki sana amina
@verombwambo4683
@verombwambo4683 2 года назад
Hongera sana thadei
@didowamchops9229
@didowamchops9229 2 года назад
Ndoa ya hivo kwakweli siitaki haina hata raha naona kama wamesimamia msiba,maana nimefiwa sana na ndg zangu askar so nikiona hivo akili inapelekea msiba tu
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 года назад
Dah pole bhn
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 года назад
Pole sana ndg angu
@restitutanjau2585
@restitutanjau2585 2 года назад
Hongereni maharusi
@joannegodfrey8769
@joannegodfrey8769 2 года назад
Ni mbwembwe tu kwa askari wanaopenda sifa, ila kuna maaskari wengine tena wanavyeo vingi uwa hawapendi usumbufu wanafunga harusi ya kanisani au msikitini,ndo yenye nafasi kwa mwenyezi mungu.
@johnwillingstone3121
@johnwillingstone3121 2 года назад
Wewe fala kweli yan bro, hapo wametoka kanisani, unafikiri hiyo ndoa kafungisha IGP?
@Glorydavid248
@Glorydavid248 2 года назад
Mshamba huyo kwanza nahisi stakuwa mgambo huyo
@alexmwakaseka
@alexmwakaseka 2 года назад
Ahaaaaaa
@nicodemmabala1904
@nicodemmabala1904 2 года назад
Ni wivu tu
@radhiamuhammad4255
@radhiamuhammad4255 2 года назад
Kila mtu na mtazamo wako Kaka Maana Kama nikanisani washatoka
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 года назад
Hongereni polisi kwa ushirikiano,kila la kheri.
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 года назад
Mi siwezi olewa na mjeda khyaaa eeeh nyimbo hakuna ni up tu kulia nakushoto!! Mala pwipwipwiiii
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 года назад
Umefikiria mbali sana kwaiyo ulitaka zile chereko chereko za piga kerere kwa biharusi ake weweweweweeee 😀😀😀😀😀🙌🙌🙌
@princessemmy3190
@princessemmy3190 2 года назад
😀😀😀 wakivua gwanda mnacheza bhana
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 года назад
@@princessemmy3190 hapana kwakweli mmmh
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 2 года назад
Hahahaha jamani @firdaus qutty umenichekesha Mie Hadi rahaa
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 года назад
Umenifanya nicheke daaaa uolewi na mjeda nn
@distonmwaitumile5955
@distonmwaitumile5955 2 года назад
Safi hilo ndio jeshi linalotakiwa linaonyesha ukakamavu kili kona
@edithakiondo6114
@edithakiondo6114 2 года назад
Hongera sana Thadeo Tarimo
@alindaalinda4897
@alindaalinda4897 Год назад
Munguhawalinde
@teklamushi8212
@teklamushi8212 2 года назад
Imependeza sanaa
@user-zr4vp1ki6t
@user-zr4vp1ki6t 10 месяцев назад
Nawapenda mnoooo hawa watu
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 года назад
Hongren sana imependza Kwakwer
@abellabv
@abellabv 2 года назад
Mmependeza sana. Nilidhani Makapela wangemmwagia mvua ya Champagne...🍾🍾🍾
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 года назад
Ningemwambia Bwana Harusi acha ujinga nshafuta inatosha
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
adi raa wow!
@setiseti5281
@setiseti5281 2 года назад
Maashaallah
@babyrasta9685
@babyrasta9685 2 года назад
Mie Mchumba wangu ni Mwanajeshi na tumeishafikia hatua nzuri yenye kumpendeza Mungu ila nishamwambia Ndoa ya kusumamiwa Ivyo kijeshi citaki nataka Ndoa yng isimamiwe Ndg jamaaa na Marafiki waenjoy, ,
@boyochu1308
@boyochu1308 2 года назад
Ok
@thomasmayo1198
@thomasmayo1198 2 года назад
Hongera sana mkuu
@ziadaissa7550
@ziadaissa7550 2 года назад
Hongereni
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 года назад
Isaya 61: 1 "Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema;....." *NINATAMKA UZIMA KATIKA ROHO, MWILI NA NAFSI YA KILA MMOJA WETU KWA JINA LA YESU! KILA VIFUNGO, UZITO, MAGONJWA, UHARIBIFU, MIKANDAMIZO YA IBILISI NA MSONGO WA MAWAZO VITOKE KAMA VAZI SASA!! POKEA UZIMA TELE KATIKA KILA ENEO LA MAISHA YAKO KWA JINA KUU LA YESU!!!*
@dollysanga5746
@dollysanga5746 Год назад
Mungu akawape kila itaji la mioyo yenu
@maswamills3161
@maswamills3161 2 года назад
Hongeraaaaaaa Sana!!!
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
Ila bi arusi chamoto umekiona nyumaa geuka hoo
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 года назад
MashaAllah 😘😘😘
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
Dah nimecheka sanaaa😆😆😆🤣🤣
@selemankasha4007
@selemankasha4007 2 года назад
Iko pwa Sana Hapo ila sasa good unge badirisha camera Hapo picha Aikopow
@joykanjadavid2617
@joykanjadavid2617 2 года назад
God bless your union 🙏
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 2 года назад
Amen amen!!
@winfidaedwin390
@winfidaedwin390 2 года назад
Bin hasan
@winfidaedwin390
@winfidaedwin390 2 года назад
Amen amen
@erickkagisa833
@erickkagisa833 2 года назад
Umekosa habari Ayo tv
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 года назад
Hadi rahaaaaa nasubili na mm baby Wangu apande cheo kwanzaaaaa
@feifei9620
@feifei9620 2 года назад
Bi harusi pia anatakiwa kutembea kwa gwaride 😁
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 2 года назад
Hapana
@madamelucy8429
@madamelucy8429 2 года назад
Wamefanya mazoezi wiki 2 lakini nikiangalia kuna wakati bwana harusi alikuwa akiyumba kwenye kutembea na kugeuka na bi harusi hakuwa kwenye matching ya kutembea ki gwaride muda wa mazoezi haukutosha
@emeldamodest7039
@emeldamodest7039 2 года назад
Nzuri sana
@mwesigwamichael2843
@mwesigwamichael2843 2 года назад
Hongera sana Kaka Tarimo
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 2 года назад
Tadei ulitisha Sana hongera
@winfidaedwin390
@winfidaedwin390 2 года назад
Bin hasan
@nassersalim3408
@nassersalim3408 2 года назад
Mashal
@shaniashani7026
@shaniashani7026 2 года назад
Nasubiri love wangu hakipata cheo ndio tufunge ndoa mana bado sana v tatu 🤣🤣akija niacha sikubali🤣🤣
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 года назад
Akipata tu na wewe unaachwa anaolewa people nyingine
@rahmarahma920
@rahmarahma920 2 года назад
Hongera kwao
@ticasitegeta5809
@ticasitegeta5809 2 года назад
Daah
@ednambata9503
@ednambata9503 2 года назад
Sasa love Wang ni Afisa uhamiaj havai magwanda itakuaje🤔🤔🤔🤔😅😅
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 2 года назад
Hongera zao
@zuenaramadhan4044
@zuenaramadhan4044 2 года назад
Kumbe mi ndo niolewe na uyo askar ndo atakoma aigeuka kushoto mi kulia
@kawawamamaya8543
@kawawamamaya8543 2 года назад
Afu ni st theresia kumbe jimboni
@alindaalinda4897
@alindaalinda4897 Год назад
🙏🙏🙏
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
uyu bi harusi nahisi presha iko juu anatamani akimbie😂😂😂
@lightnessmsuya3170
@lightnessmsuya3170 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ....nmecheka et akimbie
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
@@lightnessmsuya3170 😂😂😂
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 года назад
🤣🤣🤣
@elizabethandrew4544
@elizabethandrew4544 2 года назад
Daaa nimetaman niolew wah😃😃😃
@nhalekasmir478
@nhalekasmir478 2 года назад
😄😄😄
@karlymathew5500
@karlymathew5500 2 года назад
We mjinga umeni furahisha😂😂
@rab792
@rab792 2 года назад
Nimeipenda hiyo
@jumamumaka5846
@jumamumaka5846 2 года назад
Hao wanao kusaidi kukanyaga garide siku ukiwa zamu ,wanakuja kulikanyaga gwaride kitandani kwako
@ligthnesseliya7422
@ligthnesseliya7422 2 года назад
🤣🤣🤣🤣😜
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Bass haya
@pendoedwin9670
@pendoedwin9670 2 года назад
😍😍😘😘
@constantinochalle856
@constantinochalle856 2 года назад
Big up!!
@habibamohamedi3785
@habibamohamedi3785 2 года назад
Safi mmependeza kamanda mwenyw msimamo Ila mwanamke nae anatakiwa apige gwaride
@nururaymond5
@nururaymond5 2 года назад
Napendaga hii
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
Eeee tena huyo dada ako na roho
@matridajounior6414
@matridajounior6414 2 года назад
kaigia sawa ila musimupeleke kijeshi jeshi jamani
@karlymathew5500
@karlymathew5500 2 года назад
Ni lazima sema hawakumfundisha tu
@karlymathew5500
@karlymathew5500 2 года назад
Angekuwa askari mwenzie angejua
@nuhujumatano8156
@nuhujumatano8156 2 года назад
Rahaa Sanaa😂😂😂😂😂😂
@ismailmajala2802
@ismailmajala2802 2 года назад
Njoo tufanye nusra
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 2 года назад
Kuna tarumbeta apo linasauti mbaya Kama linajamba
@jamephiri27
@jamephiri27 2 года назад
Hapo ndiyo unapoanzia ufisadi kwasababu hilonijambo binafsi halafu munatumia nyalazaselikari haya bwana mnaona nisahihi kwasababu mlishapotea huwezichanganya jambo labinafsi nanyalazaselikari hayondiyo matumizimabaya yamadalaka hizonikodi zawananchi
@robertlyimo636
@robertlyimo636 2 года назад
Huna akili
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 года назад
Camera nunua nyingine
@amanichaula1
@amanichaula1 2 года назад
Mke anashanga hawakumfundisha
@rhodaerasto6151
@rhodaerasto6151 2 года назад
🤣🤣 kuingia kweny gar anaachwa solemba
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Mbwembwe nyingi
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 года назад
MC mwenyewe ni mjeshi
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 года назад
😆😆😆
@sophiamberesero3889
@sophiamberesero3889 2 года назад
Duuh hizo some sas jamn unaweza utage hapo uache yai ukimbie
@rehemapima769
@rehemapima769 Год назад
Nipo darasani najifunza kazi
@stephen4828
@stephen4828 2 года назад
Hapo ni anafundishwa kwa anapomaliza shughuli za faragha anapokuwa mwenzake ni lazima amfute hilo pingili kwa tishu hadi liwe safi. Kisha waendelee na game kama kawaaa..!!!!!
@rahellongo9946
@rahellongo9946 Год назад
Daaaa
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 2 года назад
Chaliy wa ungalimited ndani ya ndowa
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 2 года назад
Bwana anakaa mbele ya gari bibi nyuma mmm
@elizabethandrew4544
@elizabethandrew4544 2 года назад
Amna hata nyimbo za harmonize.naskia tu kwakwa
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Hahahahahahahaaaa
@utambevilla2054
@utambevilla2054 2 года назад
Yan sasaiv kila kitu kinachezewa tu!!!!! Mana hamna wa kuogopwa tena
@gabrielkimario1891
@gabrielkimario1891 2 года назад
Anatishwa huyoo....eti Ana watoto 6 na Ni mnuaji wa nini
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 2 года назад
Hivi kama ni msikitini inakuwaje?
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 2 года назад
Bibi harusi pole mwaya,wangekuandaa hata uweze kwenda mwendo wa pole
@sheilanampenya1833
@sheilanampenya1833 2 года назад
Mbona kama bwana harusi kalewa
@wematesha5872
@wematesha5872 2 года назад
Duh cwezii🤣🤣
@faridaabdallah7424
@faridaabdallah7424 2 года назад
Ao walio mabachera nipo hapa askar mmoja jitokeze basi nipo tayari kuolewa
@elidasanga1535
@elidasanga1535 2 года назад
Njoo nikuoe mm askar
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 2 года назад
Wazee wa kokopi na kupest
@jacksongidion5170
@jacksongidion5170 2 года назад
6
@richardjosh2636
@richardjosh2636 2 года назад
Hawa wanaforce mchongo
@joramkimario9321
@joramkimario9321 2 года назад
Kwa hunyo mwanamke mbn kma ni mateso. Sas
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 2 года назад
Hakuna mkoa wa Moshi bana
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Mmmmh 🙄🙄
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 года назад
Naomba namba ya reporter hahaha aje anase na kwangu
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
Wew ni askari ???taman nipate mwanaume askari 🙏
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
Ndoto yangu nataman sana kuolewa na askari natamn Mnoo hili ni hitaj langu Mungu anajua
@shadhiinyoha210
@shadhiinyoha210 2 года назад
@@neemamapenzi6960 mi nashukuru nilifanikiwa kuolewa nao ila napendaaa akikupenda kweli unaenjoy
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
@@shadhiinyoha210 jomoni Yan and me naomba Mungu anitimizie hitaji la moyo wangu nawapenda mnoo Hawa watu I do no y ila nawapenda mnoo hongera dia
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 2 года назад
KILA KITU MNAIGA KUTOKA JWTZ HATA HAIJAWA NZURI
@mussahaule1576
@mussahaule1576 2 года назад
Kenge wewe mkienda kuwafundisha nyie
@alexmwakaseka
@alexmwakaseka 2 года назад
Mbn apo hawajaiga chochote ivo vjtu tumeviadapt toka nje sasa kama ni ivo na wanajeshi wameiga co halafu soma katiba ndio utaerewa maana ya mwanajeshi
@kadogorimwinyi1466
@kadogorimwinyi1466 2 года назад
Huna akili
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
Naomba namba yako ripota...ni muhimu sana...
@marymanyangu2324
@marymanyangu2324 2 года назад
Kweli mke wa mwanajeshi ni mwanajeshi
@dominickjohn1128
@dominickjohn1128 2 года назад
Kwan kuna mwanajeshi hapo kwenye hii Harusi?
@Usxznt
@Usxznt 2 года назад
Bwana harusi ni Askari wa Jeshi la Polisi, hivyo hapo Kuna wanajeshi( Bwana hrusi na Askari wenzie)
@jumamumaka5846
@jumamumaka5846 2 года назад
Hao ni polis dada siyo wanajeshi
@ramadhanhemba623
@ramadhanhemba623 2 года назад
@@jumamumaka5846 Nenda kwenye katiba ya jamhuri ya Muungano ya Tanzania kuanzia ibara ya 147 utaona maana ya mwanajeshi,acha ujuaji usio na tija
@ramadhanhemba623
@ramadhanhemba623 2 года назад
@@Usxznt Kasome ibara ya 147 ya katiba ya URT utaona maana ya mwanajeshi,siku nyingine uache ujinga
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 2 года назад
Mimi siyo mwanasheria, ila swala la wanajeshi kufunga ndoa wakiwa kwenye sare zenye nembo ya taifa binafsi huwa haliniingii na sijuhi lilianzia wapi maana siyo Tanzania tu, nchi nyingi zinaruhusu sasa sijuhi kama ni utaratibu wa majeshi yote duniani!?
@moriscollins4494
@moriscollins4494 2 года назад
Kwani huwa nchi inalindwa na baba yako au unajitia ujinga kwani kukitokea vita huwa vitabu vya sheria huwa ndio vinaenda kupigania nchi acha kujitoa fahamu....
@hassanmatata9335
@hassanmatata9335 2 года назад
Kwa police Sheria inaruhusu kuanzia askari wa nyota moja ikiwa ameoa mwanamke ambaye si askari hii ni kumkaribisha katika familia ya kiaskari
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 года назад
Kubaliana nalo tu coz ni Dunia nzima naona Aya mambo yanafanyika Tena naona kama Tz Aya mambo yanafanyika Kwa nadra Sana Lakin Nchi za Wenzetu utaona mwanajeshi kasimama barabaran lamda anahubir injili na sare zake wakati Tz sijawai ona
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 года назад
@@hassanmatata9335 sio kwa police tu kwa vikosi vyote vya ulinzi yaan police,jeshi,immigration,magereza nakadharika ila ni mpaka uwe na cheo kuanzia nyota moja na kuendelea ila askari usiekuwa na cheo chochote inapigwa sherehe kawaida tu
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 года назад
@@moriscollins4494 jibu zur sana no comment hapo umenisaidia kumjibu vzur
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
Jomoni nataman kuolewa na askari eeeh Mungu nisaidie 🙏
@pascalhallu5727
@pascalhallu5727 2 года назад
Weka namba tuwasiliane
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
@@pascalhallu5727 hahahahaha
@seifjuma3471
@seifjuma3471 2 года назад
Mgambo Vp anaruhusiwa?
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 2 года назад
@@neemamapenzi6960 number iko wapi neema?
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 года назад
@@seifjuma3471 😆😆😆😆😆😆🫣
@leahsamson9354
@leahsamson9354 2 года назад
Kwan lazima kufanya hayo ya kijeshi ?
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 года назад
Eti jamani
@sammallya5002
@sammallya5002 2 года назад
Hii mamen wengi walioview wamependa na wametamani wangekuwa wao ila wanawake waliowengi hawapendagi hii kitu wanaona ni km utumwa hv akati ni heshima ya hali yake
@SamsungA-sq9pi
@SamsungA-sq9pi 2 года назад
🤣🤣🤣🤣 Ilo panga mi hoi
@BLINDREPORT2023
@BLINDREPORT2023 2 года назад
KARIBU SANA KUTIZAMA SEASON ZA LOVE STORY KWA KISWAHILI GUSA HAPA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-eHCdyMnWcQc.html BURUDIKA
Далее
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Просмотров 4,5 тыс.