Wangapi tumerudi hapa baada ya exclusive interview ya Zamaradi Mketema na Shamsa Ford n kweli aliethamini hii ndoa na kupenda mwenzake n Shamsa lkn Chidi kweli usela anao mwingi unaonekana pole daa tupo wengi c ww pekeo
hongera dada yangu umefanya jambo la maana sana unatakiwa udumu kwenye ndoa yako ili uwe mfano kwa wasanii wenzako wajue kwamba ujana unamwisho na inafika kipindi inabidi uwe mama wa family hongera sana mungu akulindie ndoa yako
Nmerudi kuitazama sherehe ya harus ya shamsa na chid kutokana na exclusive interview ya zamarad mketema nashamsa ford kama na wewe umefanya hvyo gonga like
Nawatakia safari njema ya ndoa ukawe mwanamke bora na si bora mwanamke ukaelimishe jamii kutokomeza mfumo unao semekana wasanii wa bongo hawaolewi na wakiolewa hawa dumu kawape heshima wasanii wenzako.