Asalam alykum shekh mimi nimeota mbwa wengi wanazagaa mtaani watu wanakimbilia ndani wasingatwe mi nikawa napita zangu ila hawaningat wakijaribu kunisogelea mara wanakimbia na kuishia kubweka basi nikaingia nyumbani nakufunga mlango wao wakabaki nje hao mbwa kinachonishangaza mazingira ya hovyo sana yaaani eti mlango wa bati wakat sasa hivi nishaweka geti, basi nikivyoingia ndani nikawaona wanangu wamelala ila mazingira mabovu na mwanangu mkubwa nikawa simuoni nikaanza kuita ndo kustuka lakin kiuhalisia nasumbuliwa na mizimu na mashetwani chuki kali kutoka kwa ndugu, alhamdullillah nimekuwa mtu wa ibada na ninasoma sana dua, kuna hali humpata mwanangu nisiposwali lakin nikiswali na kusoma Qur'an anakuwa sawa , ila bado sijajua nini maana ya haya mazito kwani nimekuwa nikiota maisha ya kimaskin ili hali sina maisha hayo nimeshayavuka
wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakaatuhu, poleni sana ndugu kama mumepotelewa na ndugu yenu , walakini hii ndoto huja ikajulisha kuwa amekuwa akitumikia watu fulani au maisha ya kichokoraa, pia angalia maana hizi za mbwa na utaona ni nini
Mimi nmeota mbwaa tatu za auntie yangu zikinibwekea nlikuwa naenda kwake sasa nkaogopa kuenda nikasimama kwa gate nkamwita akakuja na kiberiti akawasha moto kumliza akunijibu😢
Mm nimeota umbwa kazaa kitoto lakini kikawa kishakuga Sasa mtoto wangu mdogo wa kiume akawa ameshika fimbo anataka kukachapa kale katoto ka umbwa kaliko kufa,nikampigia kelele kakukagusa
Sheikh nashkuru sana kwa ufahamu mzur sana usiku wa kuamkia leo nmeota nakimbizwa na mbwa mmoja ajabu nilikuwa nakimbia sana mara mama mmoja akanifungulia mlango nikaungia na mbwa akabaki nje akibweka kisha akaondoka zake.
Uchawi/shaytwaan ndio unazungumziwa hapo jihadhari sana fanya tasbihi mara kwa mara na kinga mbali mbali lakini kuona mwanamke ndiye aloyekusaidia hii inaonyesba pia kama haupo katika ndoa ujitahidi liwe hilo kwani kuingia ndani hapo kuna mazingatio yake kama sio kuwa nabanwa hapa ninhesema zaidi
I know im asking randomly but does anyone know a way to get back into an Instagram account?? I stupidly forgot my password. I would love any help you can give me.
@Avi Donovan i really appreciate your reply. I got to the site thru google and Im trying it out atm. Takes a while so I will reply here later with my results.
Mm nimeota nilishika simu ile simu niliishikia shombo ya nyama mbwa akatokea akaipokonya ile sm nikaanza kutaka kuichukuwa ile sm mara akaimeza ile sim nikaumia sana kunalafki yangu wakiume nikamwambia sm yangu mbwa kameza yule mbwa alibaki anahangaika nayo tumboni alipo fka yule lafki yangu kwenye tukio mara ile simu nikaiona chini nikaichukuwa.
Mimi nimeota mbwa wawili nilikuwa naishi nao umoja mweusi mwengine wa jano ila walikuwa nanipenda sana afu nilikuwa nawatu walikuwa nanifatiliya sana kwamabaya wakija tu kunitafuta wanifanyiye mabaya izo mbwa zinapambana nao sasa sijaelewa inamaanisha nini
Mimi niliota mbwa wengi wakitaka kuwala vifaranga nikaja nikawachukua wale vifaranga nikawafungia Kwa Banda mbwa mmoja akaja akaningata Kwa mguu Kwasababu ya kuwazuia kuwala wale vifaranga lakini sikuhisi uchungu sana, hii ndoto inamaanishaje
Asalamu aleykum warhmatu-wahi-wabarakatu Shekh nimeota kinyesi cha mbwa kimejitapakaza kwenye fyagio langu la nyumbani ninosafishia la cherewa halikamatiki juu ht chini mbwa kalinyea Samahani hii ya ili kuona kinyesi cha mbwa tena.siku haziishani nn maana yke shek naomba unisaidie
Assalaam Alaykum shekhe mimi nmeota mwizi ameniibia sim yangu tukamkimbiza tukampata tukampiga Sana lakini akaota sim nyingine mbovu ile yangu alimpa mwizi mwanamke akakimbia nayo tukaendelea kumpiga mimi nikachukua fimbo nikaanza kumpiga nayo sehem za Siri. Na mwizi huyu ninamjuwa nini maana yake tafadhali
Assalam allaikum ustadh mimi naota mbwa wamekonda sana alafu nidhaifusa sana Kisha sehemu waliojilaza Kuna mafuvu ya vichwa vya watu inamaanisha nini jamn na imenkaa sana kichwan haiishi kijirudia
mimi nimeota nimeng'atwa alaf mwenye mbwa wala hajishughulishi yani hana habari,,,amening'ata kwenye goti hadi nyama inaning'inia ila cha ajabu nlikua sisikii maumivu kabisa😔
Mim nimeota napigana nae anataka kuwajeuli watu mim ndiyo nakuwa namshambulia yule mbwa ili kuwasaidia wale watu namshambulia hadi yule mbwa anakimbia, ila nikiwa na mshambulia ile bastola kwenye kumpiga yule mbwa ikagota dirishani ikatoa maji yale maji matone yakanilukia kwenye jicho kwa chini yake ila sikuacha kumshambulia huyo mbwa mwisho akakimbia, inamaana gani hii ndoto shekhe
Nimeota mlango unahongwa mke wangu akaenda kufungua mlango wa chumbani kwetu,wakati huo mimi nimekaa katika kochi,baada ya kufungua tunamuona mbwa mkubwa anataka kuingia chumbani kwetu lakin tukamzuia pale mlangoni na yeye mbwa anafosi kuingia chumbani,inamaana gani ndoto hii?
nmeota npo namme wang kisha mbwa kama wa3 wakawa wanatufata kama wanataka kutudhuru kisha mmoja kati yao akalamba mkono wang na akanpokonya funguo yanyumba ambayo tunaish ambayo kiuhalisia tumepewa notis tuhame bila ya 7b
shkee ukiota unaigana na mbwa ukawapiga zen ukawa unapaa..mmoja akakungangania mkono wa kushoto ila ukawa unakitu kikakuzuiaa ka grovusi ukamnyanyua unamchoma motoo...akaunguaaa
Mm nimeota kuna mwanaume anataka kumchoma kisu mume wangu mimi nikashika panga nampinga hakuna kumgusa ikawa namzuiya baadae nikaona mbwa 3mlangon hawabweki bali wanashangaa t mmoja wao nikampa kitasa mdomon kwake ili afunge mlango
Mie nimeota kijibwa kidogo mwamzo alikuwa kwenye chupa ya maji alikuwa kqma kijusi mwanzo alaf akawa mkubwa lqkini nikammwagia maji akawa mkubwa baadae nkawa nafuga ila uyo mbwa wakizungu naa anabichwa kubwa
Shekhe ukiota uponjiani unatembea na nyuma yako akapitia mbwa anakimbia ,alivyonipita tuu Yule mbwa alikuwa amebeba mnzigo lakini alianguka mbeleyangu na mnzigowake ukaanguka ,alianguka chalii na akiwa kama anakataroho , jee hii ninini ? Iliota baada ya kumaliza swala ya hasubihi nilirudi kulala ndio niliota , nnikawanamshangaa Yule mbwa anavyo tapatapa
Huyo ni rafiki au mtu anaetumwa kupeleleza jambo mpelelezi/hasidi/mgonvi n.k yeyote miongoni mwa hao anakuvhunguza mara ingine hata hujulishaga kuwa kuna mtu ataleta posa lakini hatooa kwenu