Тёмный
No video :(

DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE 

Bongo Touch
Подписаться 741 тыс.
Просмотров 98 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 373   
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 3 месяца назад
Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa
@badruseif1318
@badruseif1318 3 месяца назад
Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 3 месяца назад
@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
@sleyumngolo
@sleyumngolo 3 месяца назад
Uelewa wako mdogo
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana
@rajabuidd45
@rajabuidd45 3 месяца назад
Wewe mpaka Sasa una magari mangapi
@jumaothman4411
@jumaothman4411 3 месяца назад
shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu
@IbrahimMwinyi
@IbrahimMwinyi 3 месяца назад
Ameongea ukwel kam umefatilia vizur
@azizaramdan5879
@azizaramdan5879 3 месяца назад
Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah
@alimwadima254
@alimwadima254 3 месяца назад
Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule
@SANDUKUTV
@SANDUKUTV 3 месяца назад
Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe
@abdulrahmanally7614
@abdulrahmanally7614 3 месяца назад
Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Ushirikina na uislam ni ndugu moja
@salimuismaily693
@salimuismaily693 3 месяца назад
Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga
@abdurahimabdulkadir3926
@abdurahimabdulkadir3926 3 месяца назад
​@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au
@Ujumbewadini
@Ujumbewadini 3 месяца назад
ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 3 месяца назад
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 3 месяца назад
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 3 месяца назад
Kwa mgaga wa kienyeji
@ibnuali6857
@ibnuali6857 3 месяца назад
Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie
@josephshirima7057
@josephshirima7057 3 месяца назад
Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue
@mamuamtoto
@mamuamtoto 3 месяца назад
@josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 3 месяца назад
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
@salaamibahsan3063
@salaamibahsan3063 3 месяца назад
Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli
@husnatoba8124
@husnatoba8124 3 месяца назад
Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun
@fahadrashid9754
@fahadrashid9754 3 месяца назад
Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 3 месяца назад
Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 3 месяца назад
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini. Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 3 месяца назад
Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 3 месяца назад
Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 3 месяца назад
Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 3 месяца назад
Wewe ni agenti wa shetani
@user-kc6hc6re7t
@user-kc6hc6re7t 3 месяца назад
YOTE NI SHIRK
@user-hd3pi3bc9v
@user-hd3pi3bc9v 3 месяца назад
Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓
@AboubakarNiyonzimaAboubakar32
@AboubakarNiyonzimaAboubakar32 3 месяца назад
Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128
@FhhbCanhebeg-tv9sv
@FhhbCanhebeg-tv9sv 2 месяца назад
Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa
@ndabatv518
@ndabatv518 3 месяца назад
Ndo maana waganga wengi ni waislamu...fatiliya mtaani kwako utakubaliana na mimi
@badruseif1318
@badruseif1318 3 месяца назад
Ndaba kule sumbawanga makafiri watupu lkn kumejaa waganga
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 месяца назад
Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 3 месяца назад
Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 3 месяца назад
Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊
@fredducaunt
@fredducaunt 3 месяца назад
​@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob
@allyabdalla8688
@allyabdalla8688 3 месяца назад
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 3 месяца назад
Nakuelewa Sana dk sule
@sambatv3194
@sambatv3194 3 месяца назад
Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)
@HusseinHamidu-nq1vc
@HusseinHamidu-nq1vc 3 месяца назад
Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely
@user-hd3pi3bc9v
@user-hd3pi3bc9v 3 месяца назад
Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [
@mantosanto3222
@mantosanto3222 3 месяца назад
Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz 3 месяца назад
Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah
@RaniyaOmary
@RaniyaOmary 3 месяца назад
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
@rahmasalum1317
@rahmasalum1317 3 месяца назад
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
@TwariqYusuf24
@TwariqYusuf24 3 месяца назад
Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed
@TheFikra
@TheFikra 3 месяца назад
Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?
@juntaadichie1923
@juntaadichie1923 2 месяца назад
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
@sheikhidrisa9793
@sheikhidrisa9793 3 месяца назад
Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim
@SameerMdumbemalongo
@SameerMdumbemalongo 3 месяца назад
Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu
@user-kh2hn8in1s
@user-kh2hn8in1s 3 месяца назад
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
@fundimorisho8230
@fundimorisho8230 3 месяца назад
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 месяца назад
shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..
@HeboniBabu
@HeboniBabu 3 месяца назад
Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa
@user-ec7wu9bk8w
@user-ec7wu9bk8w 3 месяца назад
Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 3 месяца назад
Elimu yke kubwa Dr. Sule mm nimemuelewa sna na elimu ikizidi unaweza kuteleza,, lkn ukweli Dr. Sule kasoma na elimu kaipata sasa wale kajamba nani haifai kumpeleka ktk shiriki sheikh wetu kwza wakasome ukweli ameiva
@Young_Chamguhi.
@Young_Chamguhi. 3 месяца назад
Yan wachache sana tunaemuelewa Dr. Sulle
@mohdshebe5640
@mohdshebe5640 3 месяца назад
Bwana mdogo vipi umetangaza dini imekushinda sasa unataka kutia watu kwenye shiriki, wapi na wapi Pete kuvutia riski au kufuga majini unakoelekea cko huko
@hassanjr5318
@hassanjr5318 3 месяца назад
Umepata kisa cha Nabi Suleman Katika maelezo yake anamtumia sana tusihukumu elimu pana labda yupo sahihi
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 3 месяца назад
Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani
@yusrashaban8138
@yusrashaban8138 3 месяца назад
Allahuakbar
@user-ls4ih7hz8s
@user-ls4ih7hz8s 3 месяца назад
Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu
@hassanjr5318
@hassanjr5318 3 месяца назад
Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete
@allahisone6386
@allahisone6386 3 месяца назад
​ EEWEEEEEH_🤔 EBU TUONE HIO CLIP
@hassanjr5318
@hassanjr5318 3 месяца назад
@@allahisone6386 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-8CcLKpH0SAU.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s
@duncanbee1263
@duncanbee1263 3 месяца назад
This guy is a genius 😅
@michaeljoseph3118
@michaeljoseph3118 3 месяца назад
Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total
@sabrimtumweni5633
@sabrimtumweni5633 3 месяца назад
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
@noahnsubc1666
@noahnsubc1666 3 месяца назад
Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu
@adamkassim-ts2ds
@adamkassim-ts2ds 3 месяца назад
Uyu anapoteza waislam ana support shirki
@regnaldymambaly9880
@regnaldymambaly9880 3 месяца назад
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 3 месяца назад
Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️
@usrahismail3196
@usrahismail3196 3 месяца назад
Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 3 месяца назад
Watapoteza watu hawa😮😮
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 3 месяца назад
Soma Quran utupe Aya tufatilie
@AnnoyedCityMap-im1dd
@AnnoyedCityMap-im1dd 3 месяца назад
huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.
@jeniverstanley5282
@jeniverstanley5282 3 месяца назад
Wote tunajua mashekh ni wachaw na dini ya kiislam ni ya shetani huyu shekh anadhirisha hilo.Bwana Yesu awafungue macho mpate kuona
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp 3 месяца назад
Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar
@Yotekwayangagood5610
@Yotekwayangagood5610 3 месяца назад
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂 Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
@yunusrashid3356
@yunusrashid3356 3 месяца назад
Nakuelewa Sanaa suleiman
@usrahismail3196
@usrahismail3196 3 месяца назад
Pete haisaidii lolote Bw sulle Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia
@Onchieku-cp8wd
@Onchieku-cp8wd 3 месяца назад
Huyu ni mshirikina tu...
@Kekulebenzene
@Kekulebenzene 3 месяца назад
Mshirikina tu huyo
@hassanjr5318
@hassanjr5318 3 месяца назад
Nabil Sulemani umepitia kisa chake ?
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 3 месяца назад
Una elimu ndogo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 месяца назад
Mi nauliza huy anasaidia nn huwa namuona tuu leo ndio nimesikiliz
@AshaAlly-dv8jg
@AshaAlly-dv8jg 3 месяца назад
Ahsante sana dr sule kwa kuelimisha jamii tatizo kubwa liliopo ni hawa mawahabi hawana elim na wala hawataki kusoma walicho karirishwa na wapumbavu wenzao kila kitu ni shirki ndio maana ukiwaona wamepaukiana na kila kukicha maisha yao ni afadhali ya jana
@AbdiAthumani-es7og
@AbdiAthumani-es7og 3 месяца назад
Ukipata wewe inatosha
@adeelgeniuz9492
@adeelgeniuz9492 3 месяца назад
Hakika
@user-ui2cc4bk6m
@user-ui2cc4bk6m 3 месяца назад
Huu ni ushirikina
@abdialiabdi5862
@abdialiabdi5862 3 месяца назад
Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢
@AbdulKitalula
@AbdulKitalula 3 месяца назад
Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani
@Jumasaidi-iv8cj
@Jumasaidi-iv8cj 3 месяца назад
Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti
@abuumadesign8095
@abuumadesign8095 3 месяца назад
Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 3 месяца назад
Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.
@kanzucentre3468
@kanzucentre3468 3 месяца назад
Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 3 месяца назад
Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo
@mbarakassa4347
@mbarakassa4347 3 месяца назад
Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi
@YasiniRajabuAlly-oc1pd
@YasiniRajabuAlly-oc1pd 3 месяца назад
Mashekhe wameweka wazi sana utaperi na ushirikina wa huyu mchawi ila watu wanazidi tu kumpa sapoti ktika upotovu wake amkeni bwana nyie vipi
@KihangoDonard
@KihangoDonard 3 месяца назад
Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo
@jamalykimaro961
@jamalykimaro961 3 месяца назад
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
@CharlesMganga-kk7jv
@CharlesMganga-kk7jv 3 месяца назад
Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha
@Kaankaraz
@Kaankaraz 3 месяца назад
Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla
@florayoram9563
@florayoram9563 3 месяца назад
Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂
@MwanamkuuMumbe
@MwanamkuuMumbe 3 месяца назад
Maashaallar
@EngLex-vo7te
@EngLex-vo7te 3 месяца назад
Watu wanashindwa kuwaelewa awa jamaa na ata wao wanashindwa kujielewa mimi kwa namna nilivyofuatiria na kuwaesikia kwa umakini ni hivi: Muslim akisema jini mm'baya anamaanisha shetani na anapsema jini mzuri maana yake roho mtakatifu
@GloriaCharles-bu4fk
@GloriaCharles-bu4fk 3 месяца назад
Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani
@LaurenciaMashala
@LaurenciaMashala 3 месяца назад
Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume
@user-qe9pd9zk8v
@user-qe9pd9zk8v 3 месяца назад
Wenye wanasingizia uislamu waende wajue hukumu ya wagannga na wachawi katika dini ni upi??? Kukatwa shingo kwa upanga
@HamzaNassoro-kn6yt
@HamzaNassoro-kn6yt 3 месяца назад
Mungu akunusuru dada
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 3 месяца назад
Namuomba aniepushe na dhambi ya shirki. Siwezi kuuza akhera yangu kwa dunia. Allah anifanyie wepesi
@piusmbwana3329
@piusmbwana3329 3 месяца назад
Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii
@galeebkhan0138
@galeebkhan0138 3 месяца назад
Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza
@christopherkyejo3514
@christopherkyejo3514 5 дней назад
Waislamu wengi mnamukataa huyu shehe lakn me ndio mtu namkubali kwa uelewa wake wa elimu ya dini na ulimwengu
@YasiniRajabuAlly-oc1pd
@YasiniRajabuAlly-oc1pd 3 месяца назад
Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini
@ackimackim1880
@ackimackim1880 3 месяца назад
SULE NI KIGAGULA YAANI SANGOMA, NA UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAISHIA KUWA SANGOMA, ILA MNARAHISISHA KUJIITA WATALAMU,UCHAWI TU.
@hurulaainmalkiaaisha1508
@hurulaainmalkiaaisha1508 3 месяца назад
Allahu ya aalam
@oscarkalihamwe1621
@oscarkalihamwe1621 3 месяца назад
Ni Bora uingie na mguu mmoja mbinguni kuliko kwenda na miguu miwili jehhanamm kiukweli mafundisho yako hayana hadhi ya kukuingiza mbinguni,,
@jumaabdallah6087
@jumaabdallah6087 3 месяца назад
Ushirikina wa wazi
@user-vk1xf3lk9h
@user-vk1xf3lk9h 3 месяца назад
Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu
@ladyvision1133
@ladyvision1133 3 месяца назад
Shehee yoote hayo maswali wanayokupa ni wivu na pia umewastua cause mashehe wengiii wanafiki pili mashehe wengi wachoyo wa dua hawasemi kweli kwa watu na mashehe wengii wanaishi kimaskini ndio hicho wanachopata tabu na wewe tuliosoma quba tunakuelewa kabisaaaa
@MargauxNyambura
@MargauxNyambura 3 месяца назад
Eti hiyu ni Sheikh watu kweli wanalitumia jina la mwenyezi mungu
@ibrahimgollosaid512
@ibrahimgollosaid512 3 месяца назад
Got it..!!
@hamzarangi7989
@hamzarangi7989 3 месяца назад
Dr nakuelwa sana
@saidam.k213
@saidam.k213 3 месяца назад
Umepagawa wewe daktari...badala ya uite watu kwa njia ya mwenyezi mungu unawapotosha na mambo ya Mali ya dunia...ogopa Allah
@mbarakashekallaghe1210
@mbarakashekallaghe1210 3 месяца назад
Msitumie dini kwa njaa zenu na kutudhalilishia dini
@barazasule9582
@barazasule9582 3 месяца назад
Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 3 месяца назад
Niliambia watu uisilamu niurogi wakakataa sasa muone huyu mshirikina 😏😏
@chakeali7772
@chakeali7772 3 месяца назад
Lete dalili katika maneno yako ya nyota na Pete unapoteza watu shekhe
@hassanjr5318
@hassanjr5318 3 месяца назад
Kisa cha Nabi Suleiman dalili ya Pete Dalili ya nyota inauhusiana mkubwa sana na Hoja ya kwamba kila mwanadamu ana jini wake hapo ndio taarifa za nyota huanzia
@Ngendakumana_
@Ngendakumana_ 3 месяца назад
😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂
Далее
UTAPENDA MAWAIDHA YA DK SULE AKIWA MSIKITINI
49:17
Просмотров 34 тыс.
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 409 тыс.
WILL IT BURST?
00:31
Просмотров 26 млн
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 9 млн
Sky News Breakfast: The latest from the Middle East
3:04:51
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 409 тыс.