Mimi Makoba Charles nafarijika na uimbaji wa nyimbo za namna hii, zinanipa nguvu sana katika kuishi kwangu na hatua ninazopitia katika tambo za maisha yangu.mbarikiwe sana kwa tungo sanifu.
Wimbo mzuri na napenda sana sauti yako Neema sema huyo kaka sauti yake haijaendana na yako inakoroma sana. Ungepeta watu wenye sauti nyepesi au ukaimba peke yako wimbo ungenoga sana.
Waooo kama upo mpakani Mwa Tanzania ,Malawi na zambia naomba like comment yangu hiii tuipige nyimbo hiii mpakani hapaa. Viva Kongo hongera sana mitu ya kongo
Daah wimbo mzuri Sana Isay nimbearikiwa zaidi Mungu akazidi kukutumia kufikisha ujumbe wake note kwakeli kuna nguvu katika kuvumilia aibu na katika kusamehe🙏🙏🎶🙏🔥🇹🇿🙌
Oh....Glory to God forever more!!! Kuna nguvu katika kusamehe,kuna nguvu kusubiri... Mungu awapandishe levels zaidi ya hii Michael Bakenda na mama yangu Neema Mudosa.Nafwatilia nyayo yenu kwa karibu.
Duuuuu hujawah kukosea dada hiii ni shuhuda sana kwangu Mungu akubariki sana Kuna nguvu ktk kusamehe Kuna nguvu ktk kuachilia ubarikiwe mnooooo roho mtakatifu akufunike