Тёмный
No video :(

"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,1 млн
50% 1

"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 06, anaendelea na ziara yake Nchini, ambapo leo Oktoba 06, ameanza rasmi ziara mkoani Rukwa na kutoa maagizo ya watu kutiwa ndani kwa kufuja fedha za mradi wa maji!.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co....
Category
News & Politics

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 600   
@kihiyoedith4674
@kihiyoedith4674 4 года назад
Kuanzia Leo natangaza Mungu anisamehe sana nilikuwa na ukakasi na rais wangu ila sasa namkubali aendelee hata miaka 50
@justineulimule6530
@justineulimule6530 4 года назад
Kihiyo Edith pamoja sana
@aminaluttu649
@aminaluttu649 4 года назад
Pole kumbe ulichelewa kumjua
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 4 года назад
Na mimi pia kupitia propaganda za wapinzani nilianza kudhani Rais wetu ni dictator.Maghufuli oyee
@noorkhamisi2490
@noorkhamisi2490 4 года назад
Mimi nilikuwa hivyo hivyo lakini sasa natamani atawale miakayote
@jemspeter4240
@jemspeter4240 4 года назад
Kihiyo Edith vizuri sana
@ommybiggie4825
@ommybiggie4825 4 года назад
Yani mm ni mkenya ila ndani ya moyo wangu natamani niwe mtanZania nilipe ushuru kwa ridhaa ...kwa ajili ya kazi ya MAGUFULI...anae mpenda magufuli like hapa
@bakarshaban703
@bakarshaban703 4 года назад
Da rais pole sana
@hkmayala414
@hkmayala414 4 года назад
Karibu
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 года назад
Mimi natamani ningekuwa Mkenya 😎
@mamarhodah9018
@mamarhodah9018 4 года назад
Utanzania ungekua uraia wangu na sio Kenya.
@salimali3035
@salimali3035 4 года назад
Wakenya wananchi wamejitenga kwa ukabila ndio maana atutawai pata kiongoz vizaz na vizaz
@daniellukindo1190
@daniellukindo1190 4 года назад
Kama unamuelewa huyu mzee wetu gonga like hapa tafadhali ✍️
@hillowadam6552
@hillowadam6552 4 года назад
Ako sawa
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 4 года назад
Sikh hizi nimezeeka ingekuwa zamani hiiiiiiiiii...,.. Weka like kama unamkubali jpm
@yohanaelisha6773
@yohanaelisha6773 4 года назад
Kweri
@festonyondo890
@festonyondo890 4 года назад
Sina swali na mh rais.
@munyaonormankioko1426
@munyaonormankioko1426 4 года назад
This is the kind of President we need in Kenya, Magufuli woyee!!
@apocalypsematrix9252
@apocalypsematrix9252 3 года назад
yow how is your country kenya?
@emmanuelpolisi1343
@emmanuelpolisi1343 4 года назад
Rais nakupenda kweli kweli bila kuficha rais uko vzr huu ndo ukweli mungu akuzidishie maisha
@manofreality3656
@manofreality3656 4 года назад
naomba uraa watanzania jamani nihame kenya...kenya inanuuuka kwa ufisadi...we love u baba
@sabuomar2420
@sabuomar2420 Год назад
Mungu aendelee kukuweka mahali pema peponi. Kama ulikuwa ni mfano wa uongozi na kiongozi bora basi Ma Samia ni sifuri kabisa.
@Bizmind472
@Bizmind472 9 месяцев назад
Mr.continue rip 😢from Kenya we loved you so much mchapa kazi wa africa
@dominicomakungwa729
@dominicomakungwa729 4 года назад
I love my second president since independence,the first one was J.K.nyerere
@husainabdu2676
@husainabdu2676 4 года назад
True u are like me
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 4 года назад
I think Tanzania had more than two presidents since independence
@kiatu
@kiatu 4 года назад
dominico makungwa What a coincidence, that’s how I feel about Magufuli. - The 2 are what a president should be like.
@view2387
@view2387 4 года назад
Not true at all he is just trying to show public I'm good but is not like that
@bensonmogaka93
@bensonmogaka93 4 года назад
mzee magufuli mimi ni mkenya napenda style ya uongosi wako,.you are really a true president, i wish you well mr president,i admire your wisdom and the way you put God first.wakenya wanakupenda mno baba,tunakuombea mungu aendelee kukupa afya njema na hekima.
@sultanaswaleh8892
@sultanaswaleh8892 4 года назад
👏👏👏👏👏👍 rais mpedwa mwenye huruma na maadili mema asiokua na ubaguzi .bwana rais magufuli ...I love you. Mungu akubariki🙏🙏🙏
@lutammasawa6075
@lutammasawa6075 4 года назад
Mzee uko sawa mno.Mungu akulinde.jinsi unavyotushep ndivyo tutakavyo kuwa.kaza baba.
@elaimbwale8132
@elaimbwale8132 4 года назад
Nema ya kristo ikufunike baba magufuli yani jembe toka chato
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 года назад
Mimi ni mkenya but ningekubaliwa kumpigia kura ningempa mpaka ya watoto wangu 🙏
@prospermakela7791
@prospermakela7791 4 года назад
Telly Nyaga vlog ,karibu sana, ipo siku mtapata uongozi wa kuwafariji
@tabumussa9406
@tabumussa9406 4 года назад
Telly Nyaga vlog endelea kupiga kazi baba magufuri ndiyo raisi tuliopewa na mungu .
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 4 года назад
Mm mtz karibu dada angu pia shemeji angu nimeowa mkenya
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 года назад
@@edwardmbonika5102 wow that's good shemeji
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 года назад
@@prospermakela7791 yes I trust God he will give us
@dieudonnejean4925
@dieudonnejean4925 4 года назад
I like you meheshimiwa pombe magufuli.god bless you excellence
@princechris195
@princechris195 4 года назад
Kama umesikia mafisadi wanyongwe gonga like
@uzabumwanasadi4933
@uzabumwanasadi4933 4 года назад
Prince Chris' nyinyi wa Tanzaniya, mungu amewapa Raisi ka ma Nyerere!! mushukuru mungu sana !!
@jtheophil5499
@jtheophil5499 4 года назад
Safi sana baba yetu.Tunakupenda mungu akuzidishie afya njema.utuongoze miaka 40 mingine..Una busara,akili nyingi sana
@dolomentluge3918
@dolomentluge3918 4 года назад
kama watanzania tungekuwa na shukrani basi tungetoa sadaka za shukrani kwa Mungu kwa kutupatia mtoto wa kiume Uncle Magufuri
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 года назад
@Dolo. maneno hayo uliyasema mwaka jana mwanzoni lakini impact yake ingekuwa kubwa sana,pengine tungekuwa nae hadi sasa Daddy wetu, kama tungefanya hivyo!!!RIP Daddy.
@kilioppamasaka9590
@kilioppamasaka9590 4 года назад
Baraka za mungu ziwe na wewe mahala popote uendapo na uyafanyayo yawe mema mbele za mungu ubalikiwe Sana rais wetu
@zuhrasulyman5701
@zuhrasulyman5701 4 года назад
MWENYEZI MUNGU AMJAALIE UMRI MREFU RAIS WETU MAGUFULI INSHA ALLAH
@aloissirima7642
@aloissirima7642 4 года назад
Wafisadi hamna haja kuwapeleka mahakamani kuwanyanganya mali yao yote wanzie ziro .
@user-il1bv6vs9q
@user-il1bv6vs9q 4 года назад
Anointed present sure May God protect u indeed More grace
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 4 года назад
Amen Amen
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 2 года назад
آمين
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 2 года назад
انت سعودي؟؟؟
@westonrashid1128
@westonrashid1128 4 года назад
Asante Sana mh Rais wetu fanya kazi Tunazidi kukuombea kwa Mungu akupe maisha marefu Asante Sana baba
@fadhilaramadan5143
@fadhilaramadan5143 4 года назад
Huyu baba nampenda akisema wallah. Hongera sna kwa kazi nzuri
@oscarkasalile8146
@oscarkasalile8146 4 года назад
Yani mungu akulinde nakupenda mheshimiwa
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 4 года назад
Magufuliiiii my presdent is fireeee
@masulucas6124
@masulucas6124 4 года назад
Selemani Kassim m
@view2387
@view2387 4 года назад
He is doing this Everything to show public I'm good but is not like that at all
@hasanially9294
@hasanially9294 4 года назад
Wanatia uchungu sana hawa viongozi wazembe watakutia preshaa Mzee tumbua tuu
@gasparyeugene4855
@gasparyeugene4855 4 года назад
Hapa kazi tu!!
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 года назад
Sema mheshimiwa waambie hao.vitambi vilikuwa vinaongezeka kwa hao mafisadi.mheshimiwa mungu akupe maisha marefu.wengi tunakuombea mema.
@chriskingnampoto3214
@chriskingnampoto3214 4 года назад
Duuuuh huyu kweli king
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
Hakuna raisi kama huyu Africa nzima aseee😱
@kassimkassim6386
@kassimkassim6386 4 года назад
Exactly
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 4 года назад
Kwenaww
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 4 года назад
Munira Ahmed kwema muzima
@josetabua3634
@josetabua3634 4 года назад
Very true... I 100% agree with you. I am from Mozambique but President is number one. Even if he goes to lead in Iraq he will put down all Talibans.
@magambobundala4558
@magambobundala4558 4 года назад
piga kaz Mzee Mungu awe pamoja nawe
@user-wk8sd2lq6c
@user-wk8sd2lq6c 4 года назад
OHURU KENYATTA LEARN FROM THIS
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 года назад
Mwabie
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 4 года назад
Uhuru Kenyatta is better than thiz dictator
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 4 года назад
@@alloyce3boniphace787 President Mangufuli don't love corrupt leaders so are you you one of them
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 4 года назад
Uhuru ajawai kutembea na kukagua miradi ya serikali kazi kubwa yake ni kuenda ulaya kukopa fedha ili mafisadi waendele kupora alafu tubabaki na kubwa ya kulipa bure kabisa
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 4 года назад
Uhuru is the most calm President l have herd. to me l love the man than worst President we have in our country with full of dictator just wanted to be worship like a god and if u disagree u got kiled by non men.
@jaffaryhassany9832
@jaffaryhassany9832 4 года назад
Jaman MUNGU amtunze utu rais milele kwel MUNGU ametuletea uyu RAIS MUNGU ASANTE SANA 🙏🙏
@hassanihajisabuni1756
@hassanihajisabuni1756 4 года назад
Jimongo
@robertterry8909
@robertterry8909 4 года назад
kamua baba kamua jembe kamua inchi iende nakupenda sana kiongozi wangu
@fatumashakoor9313
@fatumashakoor9313 4 года назад
Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu uzidi kutetea wanyonge👏
@user-eb9vd4ep2q
@user-eb9vd4ep2q 4 года назад
Na Zanzibar rais shein angalikuwa kama magufuli ingalikuwa raha sana tuna ziki vijijin ya maji
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 4 года назад
Huyo sheni mwenyewe tamaa mwiz tapeli mkwubwa yule sheni mwanga. Hajakinai wala imani hana ndio wale wanaotaka uongozi kwa ajili ya maisha ya mkato ale kwa wakat upate pesa na kunyanyasa raia na sio la kutaka uongozi kwa ajili ya kuondowa umaskin
@seifsaid590
@seifsaid590 4 года назад
Koma zanzabar akuna shda ya maji acheni ujinga wengu wazanzibar ushawai kutembea atua ngapi kuyatafuta maji
@mrfix6596
@mrfix6596 4 года назад
بيم الزدجالي kwa Zanzibar usahau, maana viongozi wengi wao ni walafi
@mrfix6596
@mrfix6596 4 года назад
Seif Said Tembelea Michamvi ndipo utajua km IPO au haipo
@papikikukumesse5132
@papikikukumesse5132 4 года назад
Zanzibar niyengine inchi ama ni tanzanie tu. Samahani nauliza tu
@KingrasKibaki
@KingrasKibaki 4 года назад
Kenya president and rest of African leaders should learn from this
@habimanasalomon7447
@habimanasalomon7447 3 года назад
Ndugu, ubarikiwe kwa kusema kweli.
@simonhaule6567
@simonhaule6567 4 года назад
Safi sana rais wetu mwenyez mungu akupe maisha marefu!!
@danielmngujini1617
@danielmngujini1617 4 года назад
Keep on moving Mr President..
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 4 года назад
Well said Rais wetu , tutakuelewa tu. Nasema tutakuelewa tu. Mungu azidi kukusimamia Rais wetu na afya tele naona nyumbani kunanoga sasa safi.
@crispinnguru2273
@crispinnguru2273 4 года назад
President Kenyatta should go for "Corruption fighting lessons" to JPM.
@nancymuseve514
@nancymuseve514 4 года назад
Crispin Nguru• Uhuru cannot do that.. bcoz he is protecting his government..all government is Corrupt
@deuskisabo3223
@deuskisabo3223 4 года назад
Nakupenda Rais wetu Mungu akupe maisha marefu uwe rais Wa nchi yetu miaka 50
@labanonyango7747
@labanonyango7747 Год назад
I really miss you Mr President. ❤️❤️Continue Resting in Peace Sir
@nassiromari8030
@nassiromari8030 4 года назад
Thanks my president that was my home land
@niasanga2373
@niasanga2373 4 года назад
Kudadadeki huyu ndo kiongoz mtaisoma mwaka huu
@salimalghannami3059
@salimalghannami3059 4 года назад
Absolutely, corruption is a cencer should be eliminated from the society to allow the development 👍
@prosperswenya5310
@prosperswenya5310 2 года назад
Asante kiongoz wawanyonge pumnzika kwaaman
@realchendex
@realchendex 3 года назад
Najisifia,najiamini pia nafurahia sana kuwa na kiongozi wangu mh raisi magufuli, nampenda pia namkubali sana ,mungu amlinde sana raisi wangu ,naipenda Tanzania nchi yangu
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 года назад
Hongera mkuu kwa uwazi na ukweli
@chongolee1426
@chongolee1426 4 года назад
Mungu akulinde kwa upendo wake
@florangido202
@florangido202 4 года назад
Na Dar Rais Bunju A njoo uone mwenyewe Nishamtumia msg Mkuu wa Mkoa, wanakata maji makusudi! Nimemueleza Injinia Dawasa Basiyaa, hanipi ushirikiano!!
@josephmlela9757
@josephmlela9757 4 года назад
dah am so proud to have u my President JPM
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 4 года назад
Nakukubali sana Magufuli,, CCM Oyeeeee 👍👍👍👍👍
@madoidotv9103
@madoidotv9103 4 года назад
Umeyumba
@myself4128
@myself4128 4 года назад
Ccm uozo mtupu Ila maghufuli yupo sawa
@jollykabatoro1525
@jollykabatoro1525 4 года назад
He is best African leader that cares about human being at this moment
@apostlealexyusuf2416
@apostlealexyusuf2416 Год назад
Ukweli hakuna raisi mwenye hekima na kupenda kweli kama makufuli
@zurahassan9447
@zurahassan9447 4 года назад
mashallah kazi nzuri
@salimnassor687
@salimnassor687 4 года назад
"Fuatilia wote hata Kama ni kunguni kwenye kitanda, aende akatoboke huko, ni hatareee
@thulanicele7843
@thulanicele7843 4 года назад
HhahahHH. Noma
@joyprisy9114
@joyprisy9114 4 года назад
Mungu ibariki Tanzania mungu mbariki RAIS wetu wa Tanzania Magufuli
@abdullyabasiabasi2375
@abdullyabasiabasi2375 4 года назад
Wemzeee mungu Akulinde Sana Tena Zaid Yasana Kiukweli Nawatukamahao Wanakwamisha juudizako Mh Watimue
@zallomwachupa4137
@zallomwachupa4137 4 года назад
Asante baba
@DjTijay254
@DjTijay254 4 года назад
i wish kenya we had such a President....
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 года назад
Hongera hongera muheshimiwa magufuli mungu akueke akupe nguvu na uwezo wakuchapa kazi
@papaampondele1750
@papaampondele1750 4 года назад
Baba magufuri mungu akupe maisha malefuuu!
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 года назад
Mungu akubariki Rais wa tz.
@subiramohd885
@subiramohd885 4 года назад
Mzee kes Nakupenda sana Wallah Umesema ukweli.Hao wanyongwe tuuu
@jumamgema3356
@jumamgema3356 4 года назад
Subira Mohd kituo cha afya kabeba mgongoni kakimbia nacho
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 4 года назад
hivi kupiga dili huku watoto Wa wenzsko wanakufa!
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 4 года назад
John Pombe unatisha. Hongera sana. Ila naona bado hujapata dawa ya hayo majinga
@samsoncosmas2034
@samsoncosmas2034 Год назад
Dah😭😭😭😭😭😭najiskia kuliaaa kwa nguvu Kila nikikukumbuka baba nikiangalia na maisha tunayoishi kwasasa maharge kilo elf4 nazid kuumia hakuna wakusikiliza shida zetu pumzika kwa amani kipenzii Cha watanzania masikini umeenda umetuacha na wakati mgumu ila ipo siku Mungu atatusikia ulitusihi tumtegemee Mungu Kila wakati 😭😭😭😭😭
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 года назад
Kwa kweli Watanzania wamepoza kiongozi wa watu....poleni sana.....
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 4 года назад
Huyu ndo rais wa TANZANIA . TZ OYEEEEE
@imanuelynyelegeti7238
@imanuelynyelegeti7238 4 года назад
Ndio tz nia yetu
@Abubakar-po4fn
@Abubakar-po4fn 4 года назад
Hoiiiiii !!
@hjhj6230
@hjhj6230 4 года назад
Oyeeee
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 года назад
Very true
@mussakayanda3221
@mussakayanda3221 4 года назад
Khajum Khamis oh
@robisontubili9466
@robisontubili9466 4 года назад
Mh; magufuri nakutakia maisha marefu na Mungu akuzidishe hekima.
@elihaikamrema1693
@elihaikamrema1693 Год назад
I miss you sir. Ungekuwepo bandari zetu zisingefikia bei. Amka uongee na watu wako hata kwenye ndoto. RIP Rais wetu wa mioyo yetu Fighter.
@jacksonmlay5257
@jacksonmlay5257 4 года назад
Nakuelewa sana mheshimiwa Raisi. Naipenda kasi unayokwenda nayo! Tulicheleweshwa sana kufikia maendeleo haya. Big up President Magufuli.
@ahmedbaga26
@ahmedbaga26 4 года назад
Nakukubali sana Rais wangu piga kazi baba
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 4 года назад
Baba hujazeeka bhado tusaidie nchi izid kunyoooka . Mungu akusaidie
@beutjason5888
@beutjason5888 4 года назад
jembe
@guycalifataveiro8587
@guycalifataveiro8587 4 года назад
I love you JPMagufuli
@amrimadunda7821
@amrimadunda7821 3 года назад
Baba anaongea kwa Uchungu San Mpaka liniiiiiii Daah Mungu akuwekee sijui km ukimaliza mud wako Baba sijui km tutap Raisi km wew Baba etu
@daudisiloma1531
@daudisiloma1531 4 года назад
Jamn hao wanae taka Tanzania irud Yuma nani..mbona mnapa kaz rais we2.?
@yunicondamo7590
@yunicondamo7590 Год назад
Watanzania tumwombe Mungu azidi kutulinda na kuilinda amani tuliyonayo
@malikkb6444
@malikkb6444 Год назад
2023 ..Miss you Sir. Nyakati kama hizi ambapo taifa letu linakosa kiongozi mwenye dira ni wakati tunakumiss sana JPM. Tunamiss matokeo kama haya ya kiongozi kujichanganya na wananchi na kuchukua maamuzi bila unafki. Continue resting in peace
@j_gh812
@j_gh812 4 года назад
Usizeeke mapema mkuu..wananchi wako watakufa....usikate tamaa...ww ndio mkombozi wa taifa hili kamanda wetu...kazi ni kubwa sana bado mbeleni....usituvunje nguvu kwa kuzeeka.....africa kwa ufupi imeoza kama mzoga...inahitaji ujasiri wako....
@Paelimbo6649
@Paelimbo6649 4 года назад
Mungu akulinde baba.
@hamedmweru6955
@hamedmweru6955 4 года назад
Ujazeeka mzee piga MTU makofi siku mijo watakuelewa vizuri
@mulirohilary209
@mulirohilary209 4 года назад
Rais Lazima utakaa katika watakatif kwa moyo uu,ur fantastic for sure ww ni mtu sanaaaaaa
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 4 года назад
Uhuru Kenyatta angalia kazi vile inafanywa na uncle magufuli
@khamischichi7169
@khamischichi7169 4 года назад
I say nasema tna mm nimpinzani ila kwa kazi hiii ya Mh.Magufuli I promise to choose him hta kma tusipige kura SAWA andeleeeee tu
@dennisrwechungura8562
@dennisrwechungura8562 4 года назад
nakuelewa sana Mzee nataman utawale mpk kufa kwako
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 4 года назад
Mungu tunaomba umuwekee uliz wakutosha Rais wetu magufuli
@championtv255
@championtv255 Год назад
Rip Daddy 💖💖💖💖💖 tume ku miss mzeee
@yusufally6853
@yusufally6853 4 года назад
Waongo hao mzee hao walizoea na watu wanaokufa wanaona kama mbuz tu ndio kafa na wauaj baadhi yao wanaachiwa...dhulma sana RUKWA.... HAKIKA ARUBAINI ZAO ZIMEFIKA.hakika lenye mwanzo hapakosi mwisho...na mwisho wao umefika.acheni mungu aitwe mungu..wao ni nani.
@errydeo8865
@errydeo8865 4 года назад
hakuna ale salama mbele ya PREZ...BIG UP
@enockgerald1158
@enockgerald1158 4 года назад
Hakika hapa ni kaz tu Mungu akupe afya njema Naiyona Tanzania mpya
@dn.n4983
@dn.n4983 4 года назад
Baba ujazeeka bwana wewe ni jembe walipe watafutwe wengine wanaofanya kazi kweli maji ni shida kwa tz we love you rais wetu
@yusuphreonard7121
@yusuphreonard7121 4 года назад
Dah uko sahih mh rais
@user-op8np2sb9d
@user-op8np2sb9d Год назад
Maguful mingu akuklz pepn❤❤
@MsovetKabwel-ql2wr
@MsovetKabwel-ql2wr Год назад
Dah'nmemuona Mzee nyangee
@axiommirgab882
@axiommirgab882 4 года назад
Yan huyu baba Mungu amuongoze na ampe Afya njema kwakweli
@hanifahkatamba4200
@hanifahkatamba4200 4 года назад
HE Museven This is wat u should do to overcome corruption
@iddihassani1081
@iddihassani1081 4 года назад
Sikuizi nimezeeka tuuu ingekuwa zamani hiiiiiii😂😂😂😂
@justinemweupe6653
@justinemweupe6653 4 года назад
Yaan had nmecheka aisee😂😂😂😂
@ezekielbadil8228
@ezekielbadil8228 4 года назад
May zumo
@amrimo6887
@amrimo6887 4 года назад
John mwiburi tena usiwaache mkuu
@edgarakoto2062
@edgarakoto2062 4 года назад
I wish kenya had such a president
@dolomentluge3918
@dolomentluge3918 4 года назад
ongea Baba nakukubari, atá kama umezeeka sisi tunakutegemea Baba usihurumie majizi tumbua sisi watanzania tunakuombea Mheshimiwa Rais
@eliakimyesse6086
@eliakimyesse6086 2 года назад
Eee Mungu tusamee tuliko kukosea,tutakukumbuka magufuli
Далее
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33
BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!
17:33