Тёмный

Neria (Swahili Version) 

Swahiliwood
Подписаться 515 тыс.
Просмотров 420 тыс.
50% 1

Kupita jitihada na ushirikiano mkubwa, Neria na mume wake Patrick wanajitengenezea maisha waliokuwa wakiyataka siku zote. Lakini Patrick anapofariki katika ajali ya gari, maisha ya Neria yanagueka ghafla na kuwa mateso. Wakati Neria anaomboleza kifo cha mume wake kijijini, shemeji yake, Phineas, yuko mjini akishughulika kumnyang'anya mali zake zote. Phineas anadai kuwa mila za Kiafrika zinampa haki ya kurithi mali zote za kaka yake marehemu. Neria anashuku lengo halisi la shemeji yake, lakini Phineas anapowateka watoto wake, ndipo Neria anaamua kumpiga vita.
Hii ni filamu ya Kiafrika ambayo imegusa watu wengi barani, na inayoshirikisha nyimbo za mwanamuziki mahiri kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.
Filamu hii imeshinda tuzo 10 za kimataifa, zikiwemo tuzo ya OAU Carthage (Egypt) mwaka 1991 na tuzo za MNET nchini Africa Kusini za Muigizaji Bora wa Kike na Filamu Bora mwaka 1992.
A film from Zimbabwe dubbed in Kiswahili.

Развлечения

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 478   
@fedyrunya2130
@fedyrunya2130 4 года назад
Mwenye kutizama movie hii2020 ache like hapa
@HappyPeter-j2q
@HappyPeter-j2q 9 месяцев назад
L
@najmaabby5034
@najmaabby5034 5 лет назад
Wanawake kama tungekuwa na umoja kama huu tungekuwa mbali sana wenye kumpenda nelia piga like kubwa sana 2019.
@julianasonga5623
@julianasonga5623 5 лет назад
najma abby
@julianasonga5623
@julianasonga5623 5 лет назад
najma abby hi am also called nelia
@salomenand.1486
@salomenand.1486 4 года назад
najma abby kwa ss watu kama hao hawapo
@salomenand.1486
@salomenand.1486 4 года назад
najma abby kweli
@Cook-with-nelly
@Cook-with-nelly 8 месяцев назад
My mommy told me she gaves me name neria becouse of the movie she saw from Tz that neria was so patient woman but I don’t know if is this one 😢
@luckytaruvinga7170
@luckytaruvinga7170 Год назад
Zimbabweans will forever cherish the good content that Mutukudzi Oliver gave us . Our national heroe .
@shabaningude3850
@shabaningude3850 5 лет назад
daahh inaskitishaa ,jinsi gani neria alivo pambania Mali ,inatufundisha , tunakumbuka tukiwa wadogo tukiitaza ila Leo tunacomet, angusha like twende sawa
@RevocatusShirima-d5g
@RevocatusShirima-d5g 2 месяца назад
Tunaoitazama 2024 mwezi wa saba tujuane kwa like apa
@gloryraphael3206
@gloryraphael3206 5 лет назад
Who is still watching this movie after the death of Oliver R.I.P Legend
@fredrickmbaga5174
@fredrickmbaga5174 5 лет назад
Glory Raphael hapa nko
@lucymwangamilo2904
@lucymwangamilo2904 4 года назад
Niko hapaaaa
@saidmaganga4444
@saidmaganga4444 8 месяцев назад
Like apa tujuane tunao itazama hii movie 2024
@LeylahRahim
@LeylahRahim 29 дней назад
Nimelia kama ndo kwanza leo sijui stresss
@evareturn6439
@evareturn6439 5 лет назад
Nani ako hapa after kifo cha oliver 😭RIP legend
@chabycarpoza2998
@chabycarpoza2998 5 лет назад
Am here dear 😭😭😭😭
@olivakilyenyi4890
@olivakilyenyi4890 5 лет назад
r.i.p Oliver
@evareturn6439
@evareturn6439 5 лет назад
Chaby Carpoza just came here to see him more😭
@arthurmwakanyamale7651
@arthurmwakanyamale7651 5 лет назад
tupo p1
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 лет назад
Me
@willesigore9178
@willesigore9178 5 лет назад
Najiuliza hivi Baba zangu wadogo Gabriel Sigore, Felix Sigore, Cassian Sigore, Raphael Sigore au mwingine yeyote kati yao amewahi kuona hii move maana walichotufanyia baada ya wazazi wetu kufariki hawana tofauti na huyu. Inauma sana, pole wote mliodhurumiwa baada ya wazazi kufariki dunia 😭😭😭😭
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 лет назад
Wille Sigore pole sana ,kuna watu wanaroho mbaya mnoo
@bernardnyangena9564
@bernardnyangena9564 5 лет назад
Wille Sigore Pole sana ndugu
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 года назад
Inatokana na tamaa,kukosa utu,roho mbaya na uvivu wa kutafuta *POLE SANA NDUGU*
@saidasao9897
@saidasao9897 3 года назад
Pole
@arreyphotography822
@arreyphotography822 5 лет назад
Anyone 2019 ??? Nelia #ARREY🔥😄
@madummadum6216
@madummadum6216 5 лет назад
Tupo pamoja
@zuhurahassan2198
@zuhurahassan2198 6 лет назад
nazipenda sana filam zakuigiza maisha yazamani kuliko filam za kisasa nimejifunza mengi kwakweli Asanteni ote mlio ifasiri filam hii kwakiswahili.
@leahmafwenga4695
@leahmafwenga4695 6 лет назад
aryan season kwa kiswahili
@hassanatjumanne2593
@hassanatjumanne2593 Год назад
Hakikaa movie inamafunzo na inatufunzaa muda unakwenda kwa kasi sana,ashume hii movie toka imeigizwa ni miaka mingap imepita mpka sasa,hii inatufunza pia kutumia muda wetu vizuri na wakati wetu kwa mema na kusaidia wengne mana tunajiwekea akiba na ni kwa faida yetu sote,..bila ya hivo tutakua ni wenye kula hasara kwa kutumia muda na wakati wetu vibayaa! Mwenyezi mungu awabariki sana i love you all❤❤❤
@valentinowarawara5838
@valentinowarawara5838 4 года назад
2020 nani bado ako akiwatch?
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 года назад
Mim napenda San mov iyapa
@khalfaniyusuph1811
@khalfaniyusuph1811 3 года назад
Natokea Tanzania Niko napenda sana movie hii❤️❤️
@duniayamaajabu.8639
@duniayamaajabu.8639 7 лет назад
Asanten sana kwa simulizi na kipindi hiki cha NERIA. Mwenyezi Mungu awalinde na kuwabariki mliokiandaa.
@ezenata3390
@ezenata3390 4 года назад
2020 who is with me here
@allawiahmedi6096
@allawiahmedi6096 4 года назад
Me
@jameshayne5888
@jameshayne5888 4 года назад
Me
@MissGiggles72
@MissGiggles72 4 года назад
What's the name of the original movie and what is the original language of the movie?
@denismhina5216
@denismhina5216 8 лет назад
Ni historia ya maisha yangu kilicho tokea hapo hakuna tofauti kubwa na kilichotokea kwangu na familia yangu baada ya baba kufariki lakini mahakama ilikuwa ndo msaada kwetu n haki zote tulipata. Ni film ya miaka mingi lakini kila siku ni bado mpya kutokana na uhalisia wa film yenyewe. Naipenda sana.
@swahiliwood
@swahiliwood 8 лет назад
Asante sana na pole
@denismhina5216
@denismhina5216 8 лет назад
Asante ndugu ndio maisha
@ismailbariadi1521
@ismailbariadi1521 8 лет назад
pole sana dada angu
@ismailbariadi1521
@ismailbariadi1521 8 лет назад
pole sana dada angu
@gidionngorogoro3272
@gidionngorogoro3272 7 лет назад
pole sana
@sherrydaniely9402
@sherrydaniely9402 7 лет назад
Haki filamu nzr sana nimejifunza mnooo naipenda sichoki kuiangalia pole sana Neria kwa yote uliyo yapitia kutokana na tamaa ya mali ya shemeji yako
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 10 лет назад
Excellent movie.Deserves all the credit.Am living in Tanzania so I understand Swahili and I've enjoyed the film so much.Wanawake tunaweza,na wale matapeli kama Phineas Allah atawanyosha InshAllah
@fahamuelmkojera4971
@fahamuelmkojera4971 4 года назад
Hi
@mayombipaul7258
@mayombipaul7258 3 года назад
Imenikumbusha mbali Sana hii picha mala yangu yakwanza kuiona ulikua 2002 sofa ziende kwa waandaaji wa hii picha
@gilibertliberati5407
@gilibertliberati5407 Год назад
kwa mara ya kwanza niliangalia hii filam 2001 na leo ni 2023 r.i.p all regend walio husika kwenye hii filamu bila kumsahau oliver kudtukuz
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 4 года назад
The movie is so beautiful! It's perfect. Well written, shot, directed, scored and edited ...we have fallen so far from the standard it set!
@aloyceusunguwanje7528
@aloyceusunguwanje7528 5 лет назад
Like tujuane tunaoitazama Kwa mara ya kwanza hii ngoma
@paulebby1552
@paulebby1552 5 лет назад
Aloyce Usunguwanje hatukua na smartphone
@verified0429
@verified0429 4 года назад
Muda huu
@yussufhassan5179
@yussufhassan5179 4 года назад
Who is still with me in twenty twenty 👍
@techtelecoms9308
@techtelecoms9308 6 лет назад
filam hii inanikumbusha mbali sana kipindi Niko mdogo nilikuwa naiangalia kupitia Chanel ya TVT Miaka ya 2001 na nilitotokea kujifunza mengi sana mpaka Leo sija wai kuichoka kwani ni filam bora Africa nzima na ilipendwa na watu wengi zaid miaka hadi miaka, hivi ndivyo inatakiwa wa Africa tutengeneze vitu vyenye ubora mfano movie ya Neria .
@swahiliwood
@swahiliwood 6 лет назад
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
@elizabethvicent3584
@elizabethvicent3584 4 года назад
Hakika
@datikazumari515
@datikazumari515 4 года назад
Tvt aikuwepo 2001
@laurentwambura5072
@laurentwambura5072 6 лет назад
Filamu nzuri na bora sana, nakumbuka tulikuwa tunaiangalia kwa jirani mwaka 1994, kwetu hatukuwa na luninga.
@AbelRobert-f6c
@AbelRobert-f6c 2 месяца назад
Mmmh kwani imetoka Mwaka gani?
@sabrinaaron4212
@sabrinaaron4212 4 года назад
Rest in peace Oliver, I'm still watching this and I love it since I was young.
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 5 лет назад
Ni filamu bora, iliyofichua mifumo dime na unyanyasaji wa wanawake pale wanapofiwa na waume zao
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 5 лет назад
Kwa movie hii ndo tunaweza kusema kuwa msanii ni kioo cha jamii.Kusema kweli hii ni movie ya Kiafrika inazungumzia jadi zetu kiuhalisia
@heben3618
@heben3618 3 года назад
Sinema nzuri sana, imejaa mafundisho na hoja za msingi sana katika maisha Hongereni sana waandaaji
@marthahiliyai6480
@marthahiliyai6480 11 лет назад
Ni uhakika mambo haya ni ya kila siku na ndivyo yatupasa kuwa macho Mkanda mzuri mnoo na Neria umeacheza vizuri saaana.God bless all of you
@elisawangare3296
@elisawangare3296 5 лет назад
Legends don't die they rest ... We loved u but God loved you more rest in peace daddy
@cutedida439
@cutedida439 4 года назад
Hii movie napenda kuirudia inafundisha sana.....gonga like kwa tulioirudia 2020
@webstermupombwa672
@webstermupombwa672 6 лет назад
I love this Zimbabwean film i was in form 1(one) then when this film was made.Asande sana
@hadrahassan222
@hadrahassan222 4 года назад
Nani anaangalia mwaka 2020 tujuane hapa tafadhali
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 года назад
Mim APA naipend sanaa
@manueljulius3769
@manueljulius3769 3 года назад
Inanoga san
@gaudensiangozi5483
@gaudensiangozi5483 4 года назад
Afikiri hii ni mara yangu ya kwanza kuitazama hii filam nikiwa na ufaham, na nimeipenda sana
@davismwakanosya7671
@davismwakanosya7671 7 лет назад
Daah yaani huwa nikingalia iih Movie nakumbuka mbali sana maana inanifariji kipindi mama yangu alivo zurmiwa Mali mpaka sasa tunaishi kwa bibi My Mom shindaa moyoo shindaa
@irenekalinjuma4176
@irenekalinjuma4176 5 лет назад
Pole Sana. Bt mungu ni mwema.as long as mko pamoja na mnaishi kwa furaha. Then that's so good.. Tuwapende mama zetu sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@avithamashaka2743
@avithamashaka2743 5 лет назад
pole sana nmekupenda buree chek me plz hctolia ako imeniuma
@gooddeeds162
@gooddeeds162 5 лет назад
Davis Mwakanosya pole Sana , Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake hasa likiwa baya na zito. Mungu akubariki Sana wewe na Mama pia , Awape nguvu na kuwafungulia njia njema na mwisho kila mwenye haki atapata haki yake. Mungu awabariki sana wewe , Mama na Bibi .
@mneneijasmin1493
@mneneijasmin1493 5 лет назад
Davis Mwakanosya
@abuyizedon
@abuyizedon 3 года назад
Mwenyewe kuitizama movie hii 2021 like tafadhali
@Burton86jm
@Burton86jm 11 лет назад
Asante saana Swahiliwood,Neria ni mfano mkubwa wa kuigwa.
@tausimbalamwezi8265
@tausimbalamwezi8265 5 лет назад
Updates Tv 📡 RIP mpendwa wetu mlicheza mover nzuri utakumbukwa kwa hili
@zuberiomari9915
@zuberiomari9915 6 лет назад
wooooow zamani sana nilikuwa mdogo nimeitafuta sana bila mafanikio asante mungu nimeiona tena.
@swahiliwood
@swahiliwood 6 лет назад
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 9 лет назад
Well yet for another time!!!!Well done Zimbabwe and we are praying for the situation of the country returns to how it was and better.I just love Neria and koni and her friends at work.Bravo
@swahiliwood
@swahiliwood 9 лет назад
Fatma Abri Asante..je unadhani filamu gani zingine umependa ha Swahiliwood..?
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 10 лет назад
Am commenting again!I had to after watchin it for yet another tym!Ni nzuri sana.Alaf inasikitisha vipi watu wengine wanavyo jali mali kuliko undugu.Na ujirani mwema.Marafiki wa zuri na sio wa kona kona
@chrispineclement4164
@chrispineclement4164 5 лет назад
2019 Ten years back nimeiona hii, ila utamu ule ule🔥🔥🔥
@justineamanyisye3348
@justineamanyisye3348 6 лет назад
I can't get tired with this video for it reveals real life situation
@paulswai1237
@paulswai1237 7 лет назад
This movie makes me cry because it reminds me of my aunt whom we watched the movie together and now she is dead
@elizabethmamboleo3190
@elizabethmamboleo3190 5 лет назад
Afadhali leo kuna sheria ya haki za mjane jaman ...leo hatupitii suruba kama aliyopitia Nelia ...tunashukuru selikali kuyaona haya 👏👏
@sirgomahojoa969
@sirgomahojoa969 9 лет назад
kweli mama zetu huwa wanapata shida sana pale tu mumewake anapofaliki hii ni fundisho tosha tuandae wosia mapema
@swahiliwood
@swahiliwood 9 лет назад
Sirgo Mahojoa Unadhani kuna haja ya kuandika wosia kabla huja aga dunia..?
@sirgomahojoa969
@sirgomahojoa969 9 лет назад
ndiyo wosia lazima ona sasa nelia alivyo pata tabu bila ya ushauli kwa mwanasheria na wenzake angepata shida sana
@babujuve1464
@babujuve1464 8 лет назад
Sasa wasanii wa Tanzania jifunzeni kazi za kisanii kutokana na awa watangulizi wenu kama hawa. Inapendeza sana ata uchoki kuitazama
@habibtyai4512
@habibtyai4512 7 лет назад
Juve Muchunguzi Ni kweli wallahy nimeanza kuitazama tangu Niko mtoto
@matendoa.online803
@matendoa.online803 6 лет назад
I heard about this short movie long back ago 2008 in South Africa 🇿🇦 by my girlfriend...a Zimbabwean, I got time and chance to watch it today August 27 -2018 . Nice story with nice Conclusion. 🇨🇩
@jasminemussa
@jasminemussa 3 года назад
Hii movie nmeona nkiwa mdogo na iliniliza as f najua maisha ❤️ naipenda mno now nmekua nazd elewa
@dannyericsen5020
@dannyericsen5020 6 лет назад
best movie of all timea neria since my childhood
@salimmkwawatz3073
@salimmkwawatz3073 4 года назад
Wakali wa hizi kazi Kama upo Iringa gonga like
@fbhj443
@fbhj443 6 лет назад
nammiss my mumy alikua akipenda sana kuimba nyimbo ya neria 😢😢😢
@othumodo3888
@othumodo3888 4 года назад
Kitambo sana nilikuwa nachungulia kwa jirani yetu, nikapigwa ikabidi mzee cku iliyofata athletes TV aina ya GRANDING
@saidasao9897
@saidasao9897 3 года назад
😊Umenikimbusha hata mm Nilikua natizama kwa jirani
@dottobundala4637
@dottobundala4637 Год назад
A movie that my father brought, and and a movie that foretold his story, a movie my mother cries when she watches it. A lesson
@yohanatweve13
@yohanatweve13 3 года назад
Else still watching in 2021🇹🇿🇿🇲
@irenekalinjuma4176
@irenekalinjuma4176 5 лет назад
This movie is always making me cry daah😥😥😔😔😭😭😭😭. It's Deep. Rest in peace legend Oliver mtukudzi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@hortensesafari3862
@hortensesafari3862 Год назад
My childhood movie...tulikuwa na liya kila siku kama tuna angaliya iyi movie
@veronicaituka8189
@veronicaituka8189 Год назад
Even me..
@chabycarpoza2998
@chabycarpoza2998 5 лет назад
Mashoga wa hivi walipoteaga vita ya 2 ya dunia wa sasa wanatukumbushaga vijora tuuu walahi siichoki hii movie since utoto
@shemdodoseiph5370
@shemdodoseiph5370 5 лет назад
Heheheheeee
@zainabukolelo7027
@zainabukolelo7027 4 года назад
😂😂😂😂😂🤝
@colinehelmas1458
@colinehelmas1458 4 года назад
Umenichekesha saaana
@asnathsweet9688
@asnathsweet9688 4 года назад
Kwakweli marafiki sisi ni fire
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 5 лет назад
Kumbusha mbali sana aise,Niria alifundisha wamama wengi sana
@GraceManase-e1l
@GraceManase-e1l 3 месяца назад
Dah laiti filam za saivi zingekua Zina content hizi na kuigiza hivii mafundisho mazur sana ila dah za saiv ni za ajab sana sjawah iangalia hii but Leo ndo nimeiangalia wow best one🎉
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 3 года назад
Kufiwa na mwanaume inauma sana,hii movies naipenda sana inafundisha sana,wanawake jifunzeni kwa hii filamu
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 года назад
After 22 years nawaza kama ntaweza itazama bila kulia mana saiz nina mume na watoto
@mwahulimajuniour2691
@mwahulimajuniour2691 5 лет назад
Daaaah ya zamani kweli m nazaliwa ndio movie inatoka
@bernardmunuo2137
@bernardmunuo2137 8 лет назад
naipenda sana hii film, niliweza memorize neno kwa neno, yan nimeiangalia toka mtoto mbaka sasa
@musatz7299
@musatz7299 7 лет назад
nelia naipenda sana hii move
@edwardmasanja4456
@edwardmasanja4456 5 лет назад
Movie nzuri sana na inanikumbusha mbali sana kipindi nipo kidato cha nne kwenye kiswahili (uhakiki wa kazi za fasihi) dah kweli mama zetu wananyanyasika sana# Sir. Bora @2014
@arthurmwakanyamale7651
@arthurmwakanyamale7651 5 лет назад
kameza kadogo mno 2019 nitamuonyesha, nitamkomesha 2019
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 года назад
Hahaha jamn wa2 Waco na visaa
@asiaashraph4206
@asiaashraph4206 5 лет назад
Nko nawaza.."ingekua vipi Neria asinge kua na kaka ".. means angekua pekeake na ingekua rahisi sana kukata tamaa..mungu awasaidie sana na kuwaongoza mabint wote walio pekeao na wanao tarajis kuwa mama wakesho inshallwah
@pendokilimba1364
@pendokilimba1364 2 года назад
My childhood movie,rest well legend Oliver
@lusajo
@lusajo 9 лет назад
Nimeiangalia sana hii movie toka nikiwa mtoto..inafundisha sana ni nzuri, Phineas alicheza fresh sana katika hii movie, ni my favorite...filamu nzuri sana, hongereni wazimbabwe
@swahiliwood
@swahiliwood 9 лет назад
Sajo Mwakasege Nikweli kabisa vipi unadhani watanzania tuna weza tengeneza filamu zenye kudumu miaka mingi?
@vyagajohn3569
@vyagajohn3569 9 лет назад
Swahiliwood Ndio. Kama Network ya Demango inaweza dumu miaka 100
@mafioso1_.
@mafioso1_. 2 года назад
Best movie I have ever seen its 2022 but still 🔥🔥🔥🔥🔥
@elminasamwel
@elminasamwel 7 месяцев назад
2024 Nimeitazam leo hii
@leticiamchomvu3623
@leticiamchomvu3623 5 лет назад
Naipenda sana hii movie inagusa maisha yetu halisi !!!!
@christinamahondomimihapa7162
@christinamahondomimihapa7162 4 года назад
Nani anaitama 2020?
@jerrymwakapemba5644
@jerrymwakapemba5644 10 лет назад
It shows some of problems faced with our mothers mostly in African societies, I love this movie..
@MsChocoFlava
@MsChocoFlava 10 лет назад
Love love this movie Asanteni Sana jamani
@carenewera1709
@carenewera1709 8 лет назад
Swahili wood mnazidi kunifurahisha....kazi nzuri endeleeni hivyo hivyo
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 6 лет назад
Anyone 2018??
@kwilekasheila462
@kwilekasheila462 6 лет назад
Chaz Koillah meeeeeè
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 5 лет назад
@@kwilekasheila462 now 2019 we are together R. I. P Oliver mtukuz 😑 😥 😥 😭 😭 😭
@verified0429
@verified0429 4 года назад
25/12/2019
@joycealex8652
@joycealex8652 6 месяцев назад
1998 mpaka Leo nikiiangalia inaniliza na uzee wangu jamani inafundisha sana
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 6 лет назад
Sina hakika kama chozi la mwanaume ni ishara ya udhaifu wake. Lakini kitendo cha nelia kuinuka kwa huzuni baada ya kunyimwa hata picha tu kimenitoa chozi.
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 лет назад
Moses G. Pendael hahaha hongera ni ishara ya huruma na upendo
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 4 года назад
Is there any one watching ...this October 2020??
@salimmkwawatz3073
@salimmkwawatz3073 4 года назад
Pamoja
@sinomiles
@sinomiles 6 месяцев назад
hiii move bado naiangalia. 2024
@asselamartine6205
@asselamartine6205 5 лет назад
Aisee! Hii filamu inanikumbusha mbali sana.
@richardefrem4043
@richardefrem4043 4 года назад
Iko vyema sana japo sijawahi kuiona ila nimeipenda sana
@sophiasalum6018
@sophiasalum6018 5 лет назад
Inanikumbsha mbali sana mpk nimelia
@nyandumedia-tv3794
@nyandumedia-tv3794 7 лет назад
ni moves nzurii yakuvutia nakupndeza wa Tanzania tujifunze kuhusu hii moves
@jaysele7739
@jaysele7739 7 лет назад
kumbuka xn hii filamu na kuipenda
@saidikikoko
@saidikikoko 3 года назад
Kilichonifurahisha zaidi kwenye hii movie ni kuona ni namna gani hawa wamama wanavyojaribu kupambana na kumpa moyo mama mwenzao
@saidasao9897
@saidasao9897 3 года назад
Nimekumbuka mbali san niliitizam nikiwa Mdogo na kitu nili penda kwahii niile nyimbo 😊
@papafikiri
@papafikiri 4 года назад
Nilikuwaga nadhani Neria Mtanzania mwenzangu
@shukranwilbert3273
@shukranwilbert3273 3 года назад
Dah nimeipenda bule me Bado kijana mdogo lakini nahic Kama imenikumbusha mbali xana😎
@emanuelphares6948
@emanuelphares6948 5 лет назад
Nakumbuka mbali sana 1998 kipindi hicho TV ilikuwa moja mtaa mzima
@lifestylehealthwellness
@lifestylehealthwellness 11 лет назад
Imependeza kweli, filamu za kale zina mafunzo mazito ... zina funzo ambazo ni za uzito sana..
@abdushakurumiraji1754
@abdushakurumiraji1754 5 лет назад
Lazima ulie
@rachelmotta2221
@rachelmotta2221 5 лет назад
nimeipenda sheria ya miaka hiyo jamani haki alikuwa hai
@chipochiroorwa
@chipochiroorwa 11 лет назад
zimbabwe in the good old days!!! Wonderful
@felixrumisha5132
@felixrumisha5132 10 месяцев назад
11/12/2023 in still watching with tears, from Tanzania
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 5 лет назад
Anyone 2019
@verified0429
@verified0429 4 года назад
I'm here
@emmaauma8716
@emmaauma8716 5 лет назад
Nice movie, R.I.P Mtukudzi
@martinemayunga2357
@martinemayunga2357 2 дня назад
2024 nmeipenda hii na mama mkwe yupo fear sana
@ruthsikuku2341
@ruthsikuku2341 Год назад
Hongeraaaa sanaaa, poleeee mama
@abrahamsamwel7955
@abrahamsamwel7955 4 года назад
Thanks movie nzuri sana kije kingine asee
@apolinaseth2384
@apolinaseth2384 6 лет назад
Pole sana Neria kwa matatizi.pia hongera sana kwa kutetea haki zako.
@josephngailo9296
@josephngailo9296 10 лет назад
Yeah, this is among of best Zimbabwean film much much bravo!!!!
Далее
Consequences (Swahili Version)
53:09
Просмотров 94 тыс.
Jua Kali Leo Jumatano Usiku 16-10-2024
24:44
Просмотров 21 тыс.
Million jamoasi - Amerikaga sayohat
12:37
Просмотров 420 тыс.
More Time Zimbabwean Film
1:26:27
Просмотров 95 тыс.
Chumo (Swahili with English Subtitles) - 2011
44:51
Просмотров 471 тыс.
Neria 21 [Full Movie] HD
1:24:40
Просмотров 161 тыс.
Не угодишь #шортс
0:39
Просмотров 1,5 млн