Binadam bwana akipungua tena mtaanza kumsema kama vile wema mara umekonda sana wembamba aukupendezi wataongea mengi tu nenepa tu kukonda kuje kwenyewe nasilujikondesha
Halafu siyo lazima uongee kingereza ndo uonekane umesoma....kiukweli watu wanaofuatilia tamthilia zenu ni watu wa uswahilini....wanapenda kiswahili na hata wazungu,wachina ,na kadhalika wanapenda kiswahili....kwahiyo tujivunie vilivyo vya kwetu
Kwa ss tamthilia zinaonekana duniani kupitia RU-vid so naamini Luna watu WA mataifa mengine wanatamni kujua inahusu mimi so ukiwa unachaganya na kiingereza ina wapa wanga hata Kwa wasiojua kiswahili kujua nini kinaendelea nilikuwa natazama tamthilia ya kiphiipino wanaongea kiphilipino so natamani kujua mini wanazungumza so walipikuwa wakiongea kiingereza kidogo tu basi unaona angalau nini kinaendelea so mi sioni tatizo kabisa as long as kuna kiswahili lazima uelewe
@@zawadichalale4047meaningful,uko right tatizo huezi control mawzo ya kila mtu as long as it doesn't change anything from them, let them talk. Iyo ni kawaida kuongea tok enzi za mababu na mabibi
Mmh skia unajua elimu nyingi za jua Tanzania zinatumia kingereza hivy bas haya n mazoea kwakuwa MDA mwingi anatumia kingereza so Kwamb anatak ajionyeshe anajua kusoma
Tina uko vizuri yani mmendezaje mashallwa mungu awabariki mlikuwa muowane mmependezana ki ukweli mtu sifa yake mmependezana kuwa baba na mama mungu awajanze kheri na baraka nadni yake filamu zenu nnuri sana sana mungu wazidishie
Waigizaji Matilda na Chris Mziwanda Matilda ni Mkongwe tok enzi za Kanumba Ila Chris alianza kujulikana ama kuskika kupitia Wana alikua kama video king wa Zuchu kweny video pia ameonekan tena Huba kibenteni cha Tesa Ako vizuri anavaa uhusika hataree