uko vizuri umejipanga sana na nyimbo zako ni nzuri vilevile,zinamafundisho ya maadili mema katika jamii, Endelea kutoa albamu nyingine za kufundisha jamii na uwe mfano wa kuigwa baadhi ya nyimbo za kufundisha ni kama vile (1)MANYADA (2)MAKULA GUEST UGOMBA (B) MSIBA WA KASELYA, NK zimeigusa sana jamii,
Ukovizuri, Kwaushauri anza collabo na wasanii wa nyimbo za asili nchi jirani upanue muziki wako kutoka kitaifa hadi kimataifa hapo hautachuja wala kushuka kimuziki.