Duh ngoma kari sana umejitaid Sasa ungelikuwa na watu Wenye kukusaidia uko studio Haaaa ngoma ingelikuwa kari Sana lakin sjajua wapi ulikwama but ih korabo hilikuwa kubwa sanaaa
Mziki wa sasa hivi hauhitaji kipaji cha hali ya juu, unaweza ukawa na kipaji cha kawaida tu na ukatoboa na kufika mbali sana, hii ngoma kama akiamua kuifanyia promo ni kubwa sana.
@@josephjohn8363Kweli kabisa. Halafu nini maana ya kipaji (talent)? Maana yake ni kujua ama kufahamu jambo bila kufundishwa. Unaweza kujua au kufanya jambo fulani kwa kufundishwa ama kusoma pia, (A talented someone is that one who has a natural ability to be good at something, especially without being taught). Pili kipaji chochote kinahitaji kunolewa, Mfano mzuri ni Harmo ( pamoja na wasanii wengi wengine) hakuwa kama alivyo leo lakin juhudi yake imemfikisha alipo. Naomba vijana waache hii dhana ya kusema fulani Anafanya vizuri sababu ya kipaji tu. Unaweza ukafanya chochote mradi usitake kuwa Diamond ama Harmonize, uwe wewe tu.