Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu
Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo ! ongera Mheshimiwa wakili. Aksante sana kwa maelezo yako. MwenyeziMungu akubariki. Aamiin.
Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina
Mafanikio yanatafutwa kwa mbinu nyingi,, maana maisha hayapaswi kusimamishwa,, ki hivyo, maana kuna watu nyuma yako wanamshukuru MUNGU kwa rizki kupitia wewe,,, hata mheshimiwa rowasa kipenzi cha wengi,, alijaribu kutafuta mafanikio kupitia chadema, baada ya ccm kutomtendea haki, hivo msigwa! Ana haki kabisa kutafuta mafanikio kupitia njia nyengine. Siasa, sio msaada kwa watu, ila ni kazi kama kazi nyengine. Ndio maana mwanasiasa ni mtumwa wetu, na atalipwa kwa kodi zetu.
Kwa namna ilivyo kama angeenda chama kingine chochote cha upinzani wala isingekuwa tatizo ,ila kwenda chama ambacho amekipinga kwa miaka yake yote ,hata huko alikokimbilia hawatamwamini
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"! Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk. Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
Nakubaliana na wakili Mwabukusi, hata Daudi aliwai kumkimbia Sauli wa agano la kale, akaenda kujiunga na maadui wa Israel, ambao niwa Filisti, ampaka akaingizwa kikosini Cha jeshi ili kupigana na Sauli, baada ya Sauli kufa Daudi aka ludi Israel mpaka akawa Mfalme.
Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.
Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm
Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee
Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo
The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.
Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi
Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua
Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli
Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.