Тёмный
No video :(

"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA 

Baharia TV
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn Месяц назад
Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu
@djumakonki1964
@djumakonki1964 Месяц назад
Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo ! ongera Mheshimiwa wakili. Aksante sana kwa maelezo yako. MwenyeziMungu akubariki. Aamiin.
@OmaryKilongola
@OmaryKilongola Месяц назад
Nimekukubali mwambukusi big up
@user-kw6pg7nb1w
@user-kw6pg7nb1w Месяц назад
Hakika leo mwabukus umesema vzr sana,mungu akubaliki sanaaaaaaa,njoooo ccm ww
@nyerere1259
@nyerere1259 Месяц назад
THIS MAN NEVER DISAPPOINT
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Месяц назад
Msigwa ana haki kikatiba kuhamia chama chochote ila maneno yake yanadhihirisha ni mhalifu wa kisiasa.
@andrewmaiga4331
@andrewmaiga4331 Месяц назад
Hongera kwa vision yako nzuri.
@dabigregory3221
@dabigregory3221 Месяц назад
Point kubwa sana mwanasheria msomi
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we Месяц назад
Umeongea point sana
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 Месяц назад
Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Месяц назад
Basi chukua muda nakufatilia mengine ambayo umeaminishwa kuwa ni mabaya kumbe yanamema
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 Месяц назад
Hili jamaa Lina akili sanaaa
@SaidShombe
@SaidShombe Месяц назад
Nakukubali mzee una busara kubwa hakuna haja kulumbana
@user-wm5cm2us3f
@user-wm5cm2us3f Месяц назад
Mzee wangu busara Yako nikubwa sana
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Месяц назад
Unamaanisha alitaka kuuwawaa au
@ChristerKoku
@ChristerKoku Месяц назад
Ahsante sana Severin ni kweli hatuna chuki ya watu kuhama tatizo maneno ya ovyo,hasante Mwambukusi kuwa mkweli.Tumepata somo hapo.
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 Месяц назад
Well said Mkuu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Месяц назад
Mbona wa Ccm wanakwenda Chadema sasa cha ajabu nini Msigwa kuondoka Chadema Ccm kazi inaendelea
@angolile
@angolile Месяц назад
Well spoken🎉🎉🎉
@michaelkamaghe5046
@michaelkamaghe5046 Месяц назад
Uko vizuri kk
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 Месяц назад
Kweli hiyo.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Mafanikio yanatafutwa kwa mbinu nyingi,, maana maisha hayapaswi kusimamishwa,, ki hivyo, maana kuna watu nyuma yako wanamshukuru MUNGU kwa rizki kupitia wewe,,, hata mheshimiwa rowasa kipenzi cha wengi,, alijaribu kutafuta mafanikio kupitia chadema, baada ya ccm kutomtendea haki, hivo msigwa! Ana haki kabisa kutafuta mafanikio kupitia njia nyengine. Siasa, sio msaada kwa watu, ila ni kazi kama kazi nyengine. Ndio maana mwanasiasa ni mtumwa wetu, na atalipwa kwa kodi zetu.
@katumabiyan5090
@katumabiyan5090 Месяц назад
Asante
@user-ey1fq6hd9l
@user-ey1fq6hd9l Месяц назад
Sawa kabisa uko sawa
@danielndam5997
@danielndam5997 Месяц назад
Umeongea kwa kujilinda sana mzee wanga kwenda ccm ? Bola kukaa pembeni
@isacktesha6659
@isacktesha6659 Месяц назад
Kwa namna ilivyo kama angeenda chama kingine chochote cha upinzani wala isingekuwa tatizo ,ila kwenda chama ambacho amekipinga kwa miaka yake yote ,hata huko alikokimbilia hawatamwamini
@ashrafurwegoshora4227
@ashrafurwegoshora4227 Месяц назад
Sahihi kabisa,msigwa ana haki zake😊
@ezekielgenja3912
@ezekielgenja3912 Месяц назад
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j Месяц назад
Mwambukusi big up uwe unatoa no zako kna watu Mambo hayapo sawa mtu hajui aanzie wapi
@user-jb8bo2qw6r
@user-jb8bo2qw6r Месяц назад
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"! Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk. Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema. Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Месяц назад
Makonda tena
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Месяц назад
Yani leo nimekupigia saluti umeonge maneno mazuri sana
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 Месяц назад
Yaani kazingua sana aiseh
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Miongoni mwa watu wenye hekima nyingi! Huyu mwambukusi nae yupo.
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 Месяц назад
Momumo nkamu gwangu ❤
@nyambwirobakari9436
@nyambwirobakari9436 Месяц назад
Leo nimekuelewa Sana kaka
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x Месяц назад
✌️🙏🙏🙏🙏
@ChristerKoku
@ChristerKoku Месяц назад
Mwambukusi ni mtu mwema sana anapenda haki.Familia yake yawapenda watu,kwa Mwambukusi husipindishe haki.
@saimonlugobi1102
@saimonlugobi1102 Месяц назад
Nimekubali,kila Nabiii na wakati wake LUSSU,MWAMBUKUSI ni Mana bii kwa wakati huu!!! Pia msisahau kuwa ni Maoni yangu!!
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 Месяц назад
Kuhamia sio tatizo bali tatizo ni amehamaje na wakati gan amehama?
@kamazimakyaruz1219
@kamazimakyaruz1219 Месяц назад
Nakubaliana na wakili Mwabukusi, hata Daudi aliwai kumkimbia Sauli wa agano la kale, akaenda kujiunga na maadui wa Israel, ambao niwa Filisti, ampaka akaingizwa kikosini Cha jeshi ili kupigana na Sauli, baada ya Sauli kufa Daudi aka ludi Israel mpaka akawa Mfalme.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
​@@kamazimakyaruz1219ingekuwa like zina kubali kwa wingi, ninge gonga mbaka kidole kiishe.
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 Месяц назад
Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Месяц назад
Watu wanatofautiana kwenye dini sembuse chama kikubwa tuipende chadema yetu
@twahirshali8014
@twahirshali8014 Месяц назад
Ukweli kabisa Kila Moja anahaki kwenda ata kapo
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz Месяц назад
Chadema imekua ni chama mtu mmoja na shauri bora tundu lisu akanzishe na yy chama chake au ahame hii chadema
@juliusmoivana9844
@juliusmoivana9844 Месяц назад
Mwabukusi uko visuri Sana kaka angu
@josephmahando493
@josephmahando493 Месяц назад
Maneno mazuri yaliyo kolea munyo na yenye hekma. Ubarikiwe Wakili msomi.
@user-pn1rd1fs9x
@user-pn1rd1fs9x Месяц назад
Una Akili sana
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Месяц назад
Tangu nimjue huyu jamaa ndo kwanza leo nimemuona anaongea maneno yenye akili..
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Месяц назад
SAWA WAKILI MSOMI ASANTE ILA LA KUKAA MADARAKAN NA UENYEKITI KWA MIAKA 30 HUJASEMA UMELIPITA
@spencersambo469
@spencersambo469 Месяц назад
Hayupo kwenye Hilo mipaka iheshimiwe
@TumtukuzeMbise
@TumtukuzeMbise Месяц назад
Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm
@nyotaphina8167
@nyotaphina8167 Месяц назад
😂😂😂😂
@rashidhtibangayukatibangayuka
@rashidhtibangayukatibangayuka Месяц назад
Nakupongeza wakili
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Месяц назад
Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Месяц назад
Wakili ww uko vizury sana unapenda kusema ukweli
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад
Mchngaji kweda kuishi na shetani is to much
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
Mwingine ni ww ambae hajamuelewa mwambusi
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад
@@ce-08 sijamwelewa kutumia hakiyake ya kwenda kwa mashetani wenziye ccm
@ngimbakuyi3250
@ngimbakuyi3250 Месяц назад
Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 Месяц назад
Msigwa ana haki ya kuhama,ila asikashifu mtu yeyote wa kule kwenye chama alichotoka
@MeshackMheni
@MeshackMheni Месяц назад
Sasa je? Huko alikoenda ataweza kuwasemea wananch au ni cheo anataka??
@saadune
@saadune Месяц назад
The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.
@BabuelMartin
@BabuelMartin Месяц назад
Kelivini
@kiatu
@kiatu Месяц назад
“Hatuna mtu ana miliki ya mawazo”. Kweli.
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko Месяц назад
Maneno yake inapoza mwenyewe jaaa na unafiki Hama tu
@aneth520
@aneth520 Месяц назад
Unions hivyo ujue watu hawampendi na wamemchoka
@ChristerKoku
@ChristerKoku Месяц назад
Lakini pia,hata wanaohama wasiwe wasema hovyo.
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz Месяц назад
Tundu lisu alisema uchaguzi ndani ya chama umejaa sana rushwa mtu ameona ndani ya chadema kuna shida si haki kikatiba mtu kuhama
@FurahaJeremiah-kd5ht
@FurahaJeremiah-kd5ht Месяц назад
Msigwa hapendi hilii taifa Kama ameta asali yeye alambe tu asikichafue yeye aendetu
@user-zq1hy1ec5n
@user-zq1hy1ec5n Месяц назад
Msigwa Usitowe na kushambulia chadema tayari ccm wamekuogopa watakuacha pabaya
@benedictgamuya8855
@benedictgamuya8855 Месяц назад
Haiwashtui hapo walopofika haiwashtui.... labda ni kwa wasiojua siasa za tz.
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 Месяц назад
Ajiulize NYALANDU ako wapi. Ndio atajua CCM ni wanunuzi tu unabakia boya.
@ChristerKoku
@ChristerKoku Месяц назад
Mwambukusi ni mwalimu.Tumsikilize na kujifunza.
@HamisNgole-oo8if
@HamisNgole-oo8if Месяц назад
Ukovizuli sana haki
@ramadhaniabdulabi4035
@ramadhaniabdulabi4035 Месяц назад
Chama cyo msahafuu wala katibaa
@MaikoLainza
@MaikoLainza Месяц назад
Ukosawa Mabukusi endeleana msimamo huo bila kutishika
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад
Mchngaji Msigwa ni msaliti kwa nini asiede cuf au nccr mageuzi
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Месяц назад
Huko kote msigwa alishapita,bila kuwa na cheo hakai
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Месяц назад
Kumbe mchungaji yupo sawa kakimbia wanaotaka kumdhuru safi yeye mtumishi anajuwa siri
@franciscowilliam2575
@franciscowilliam2575 Месяц назад
Hoja za Mwabukusi Hua zimenyooka kama rula.
@AntonyKajange
@AntonyKajange Месяц назад
Nyie akina Mwabukusi tuambieni ukweli kama nyie niwachumia tumbo,mfano wewe unaenda ccm kwasasa utatuambia uko sahihi wakati bandari zimeuzwa NK,,acheni unafiki.msigwa kaboa
@akidajulius1581
@akidajulius1581 Месяц назад
Yote kwa yote , Mwanasiasa nikama mchezaji mpila anaangalia maslahi kwanza, then tujifunze kupenda chama sio mtu, mtu amda wowote anageuka,
@adrianoadriano-ys6bm
@adrianoadriano-ys6bm Месяц назад
Mwambukusi ukiwa shuleni ni mmoja ya mwanafunzi uliopata walimu bora kabisa. Wengine tumepita shule zenye walimu wa kukaririshwa mambo.
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 Месяц назад
Mwabukusi leo umeniudhi
@jesaminzo
@jesaminzo Месяц назад
Ni haki yake kabisa kikatiba, lakini kwenda ccm kweli?
@NicodemBarantanda-ud7qy
@NicodemBarantanda-ud7qy Месяц назад
Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Месяц назад
Wakili simamia ukweli kuwa mkweli tunakuelewa sana huna uongo kwenye jambo
@barnaba3037
@barnaba3037 Месяц назад
Sababu ya kuhama ni dhaifu sana, Sikutegemea kama atahama kwa sababu hiyo.Sasa ccm anakokimbilia ni hakuna rushwa?
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Месяц назад
Kingunge Lowasa Mwenyekiti mkoa Shy walihama ni haki
@twahirshali8014
@twahirshali8014 Месяц назад
Ni. Haki. Ake
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
Huo ndio ukweli kuhama sio uwadui nimamzi
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q Месяц назад
Vema SANA MWABUKUSI UPO VIZURI HAPO HAITAKIWE KUWE NA VITA AU FITINA HIYO NDIO DEMOCRASIA
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Месяц назад
Msigwa aachwe tu kwani kuna nini
@widimaelimushi
@widimaelimushi Месяц назад
Mzigwa agepata uwenyekiti asingeodoka nimroo wadaraka
@salmajafari6838
@salmajafari6838 Месяц назад
UKIGOMBEA URAISI KURA YANGU UNAYO, I SWEAR GOD
@erickmsigala138
@erickmsigala138 Месяц назад
Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua
@user-kw6pg7nb1w
@user-kw6pg7nb1w Месяц назад
Hapana chadema ni saccos ya mbowe bwana,
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg Месяц назад
Aaa kwa kauli hii hata wewe Huna muda
@mochemba
@mochemba Месяц назад
Sasa wewe siumesoma ndo maana unaelewa, wanaopinga na kuongea maneno machafu ni wale wasiokuwa na ufahamu
@jumskibona3261
@jumskibona3261 Месяц назад
Toka nifahamiane na wewe wakili sijawai kujuta hata kidogo wewe unafaaa
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Месяц назад
Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli
@user-un9gg7qc4z
@user-un9gg7qc4z Месяц назад
Msigwa ananjaa.. amefuata kula
@user-bf9xj3nf1o
@user-bf9xj3nf1o Месяц назад
Anataja madaraka hana lolote shenzi sana
@user-cx4nx7xi7s
@user-cx4nx7xi7s Месяц назад
SEMA WEWE NI RAFIKI YAKE TWENDE KWENYE U ALISIA. KWELI NILIKUWA NAKUAMINI LAKINI KWENYE HILI DIKUKUBALII!!
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Месяц назад
UMESOMEA WAPI?? MBONA HUYU MWL AMEFUNDISHA SUB TOPIC HII VIXUR NA AMETUELEZEA TU HATA CHEKE CHEA HAWEZI KUSEEEMA HAJAELEWA WEEE VIPI???
@ellylema9042
@ellylema9042 Месяц назад
Sasa Wewe unataka aseme nini ufurahi
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Месяц назад
Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2
@ezekielgenja3912
@ezekielgenja3912 Месяц назад
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
@SeverinMagwaya
@SeverinMagwaya Месяц назад
kama ni hivyo alitakiwa kukaa kimya tu. Hakuna anaye lalamika kuhama bali maneno yake
@misitutfs6576
@misitutfs6576 Месяц назад
Maneno yake yasikupe shida hiyo ndio pona yake.
@melch3097
@melch3097 Месяц назад
Hakuna aliepinga kuhama, tatizo maneno, akikaa kimya hakuna atakaemsema
@ezekielgenja3912
@ezekielgenja3912 Месяц назад
Ni haki yake kweli kikatiba. Ila kikubwa aache kudhalilisha anaowaacha nyuma, zaidi aongee hoja zake na nini atakifanya katika chama alichohamia. Zaidi ya yote anavyozidi kuchafua wengine atadhalilika zaidi.
Далее
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 661 тыс.
HUYU NDIE NASSOR AHMED MAZRUI
22:40
Просмотров 4,3 тыс.
FULL SPEECH: Barack Obama’s full speech at the DNC
36:08