Nimeamin watu hatueleweki ni jua au mvua. Juz nimesoma coment tumemponda Leo tunamsifu. Tuzidi kumwomba Mungu atuondoshee hii mitihani peke yetu hatuwez🙏
nakupenda sana makonda sijui nikwambie nini maana unajielewa sana sana Mungu akupe maisha marefu sana maana wewe ni mkweli siku zote na wantanzania ukiwambia ukweli hawa unakuwa adui sioni kosa lako apo wewe ndie kaka mkuu wawa kuu wa mikoa yotè
Makonda keep it up.... wanakuelewa taratibu watanzania wapogo ivyooo. Mlitaka mbowe na familia yake awaambukize wake zenu ndio muweke hadharani? Watanzania janga hili halijui wewe ni nani ndo mana hata familia za hadhi ya akina mbowe wameupata..... tuache unafiki.
Saafi saana Makonda,hua nakuelewa sana we jamaa,hao wanaokusumbua na maswali ya kichoko ni mashabiki wa Sacco's ya Mbowe tu,upo sahihi na umeeleweka sana
Me binafsi waziri sjamuelewa hapo kwakwel namuona Mh Mkuu wa mkoa yuko sahihi kwani kasemea mkoa wake na halafu huu ugonjwa siy wa kuficha wasilete mzaa kwa hiyo mtu akiumwa aogope kusema au kusemewa mwisho wa siku afie ndani na kuusambaza ugonjwa eee Mwenyezimungu tunusuru waja wako
Alichosema wazir wa Afya ni kwamba si ruhusa kumtaja mgonjwa kwa jina kwamba anaumwa kitu Fulani si taratibu za wizara ya afya,ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Tabibu
Mama waziri ...we tuachie makonda atutajie acha kuleta siasa alichofanya makonda ni kitu cha maana ...tena kwa hili mngekua mnataja majina ili watu wajue nilishakutana na huyo mgonjwa achukue tahadhari .. we unadhani unajua wangonjwa hao wa corona walikutana na watu wangapi mpk kufikia kwenu .... au mnataka huu ugonjwa uendelee kwa kasi
Hata kama mtaona Mh.MAKONDA kakosea kusema na kutaja jina hadharani sawa. Naomba pia mjiulize kwanini familia ya mgonjwa ilimficha ndani hadi aliposema Mh.MAKONDA ndipo ikakili nakuamua kujiweka kwenye Karantini?. Hivyo basi kwa upande wangu naona Mh.MAKONDA kafanya jambo jema kwetu wakazi wa Dar.
Hapa ndiyo naiona logic ya kusikiliza pande mbili ili kubalance story. Kama story ingeishia kwa malalamiko kutoka kwa family ya Mbowe bila kumsikiliza Makonda tunge muhukumu bure. Kumbe kama Makonda asinge sema kijana angeendelea kusambaza kirusi mtaani, Kama kweli anawajali watanzania kwanini hakujiweka karantini kama Isabella?
Sasa hapo tatizo nn jamani ukimwi mfichi na corona kwani mtu umeupata makusudi watu mnakosa uelewa hapa inavyoonekana watu wakiwaona ndugu zao na dalil za corona watawaficha mm naona bora tu kusema hakuna siri hapo huu si ukimwi jamani
Makonda yuko sawa kabisa kwani kama Mr tembo anaumwa na amejificha ukasema nimemwona tembo amejifucha nadhani anaumwa kunakosa kwani makonda alijuwaje mtoto wa Fulani anaumwa kama siyo watu wakaribu na Fulani kumwambia kunatembo tumeambiwa anaumwa.na yeye akatuma watu wakachunguze wakamwambia nikweli timemwona tembo anaumwa mwisho tembo akachuliwa akatibiwa mwisho tumwombee mungu akapona unadhani nani. atashukuriwa yule aliye mficha au yule aliye towa tarifa na tembo akatibiwa mwisho we akapona waziri yuko sawa kujibu vile kulingana na kazi yake na mkuu wa mkoa alikuwa sawa kusema vile mbona wanao ficha watoto walemavu tunawasema na kuwaonesha mitandaoni jamani tuweni wawazi
Mi c support mwanasisa yeyote kwakua wote wanatetea masilahi yao...angalia maisha ya watoto wao wanayoishi Kama sio ya ctarehe......c ccm Wala upinzani....
Sawa makonda anamakosa yake ni kama amefanya uzalilishaji nikosa kisheria ila pia amefanya sahihi bila ya ivyo watu wengi wangeangamia kwa kujificha wangonjwa na kama ingekua kila MTU anaficha kama mbowe tungekua wapi Tanzania kuna wakati Siasa haitajiki kabisa katika maisha ya kihsalama ..baki nyumbani okoa maisha
Millard Ayo Unatumiwa, Usijifanye Kumhoji Huko Makonda Kulikuwa ni Random, Wewe Unatumia Kihuni Na akina Wahuni Sabaya etc. Wewe Iko Siku Hao wanaokutumia Hutawaona. Je Ni Wagonjwa Wangapi Amewataja Wagonjwa! Huyu Mpumbavu Ni Wangapi Umewataja zaidi ya Mbowe? Millard Ayo Wewe Endeleza Umalaya wako tu!
Kama alipewa Taarifa ya Mtoto wa Mbowe Kuwa Mgojwa akiwa Kama Nani? Mkunga au Daktari? Na kama alikuwa na Nia Njema Kwanini Taarifa Hizo asimpe waziri wa Afya? Millard Ayo wewe Malaya Utakuja Kushitakiwa Utozwe Fine Uuze Vijikamera Uchwara Hivyo, Mpaka Vichupi Ndio Utajua Kutumiwa Kuna Mipaka, Acha Kutumika.
Sasa mnaopinga kumshutumu makonda je uyo mtoto wa mbowe sio mgonjwa au kwa vile kamtaja makonda wacheni chuki binafsi mbona alikuwa anauguzwa ndani baadae ndio ametolewa baada ya kutajwa
Wabongo kwa unafiki juzi mlimponda kwenye comments zenu leo mnamwita bright man duuh aisee..viongozi endeleeni kufanya yale mnayoyaona yana faa maana cc raia wenu ni kama popo
Kwa maoni yangu Mh: Ummy Mwalimu yuko sahihi kwa mujibu wa kanuni za wizara ya afya lakini pia Mh: makonda naye yuko sahihi, kwa Mujibu wa ulinzi na usalama wa wananchi, ni lazima tujue Mh: mbowe ni "PUBLIC FIGURe" ambaye watu wengi huweza kumfuata na kuzungumza naye hivyo ni rahisi kuwaambukiza wengine.
Mimi binafsi binafsi Kama Mimi namkubali makonda "MAKONDA BABA LAO" hampambi MTU,MAGONJWA YA MLIPUKO SIYO YA SIRI KAMA MTU BADO KAJIFICHA NDANI YA JAMII KUNA HAJA YA KUMTAJA ILI KUWALINDA WANAOMZUNGUKA,". IPO HIVI ATA ANGESEMA RAIS BADO WANGE LALAMIKA ,"MAKONDA BABA LAO"
Achen kuficha ficha ndio maana maambukiz yana zidi 'coz kama mbowe kachanganyika na wa2 hiyo c atar lakn makonda alivyo itaja familia ya mbowe nan asie na akir una fikir ata mkaribia mbowe
Makonda yupo sawa sana sasa huyu wa mbowe alikaa ndani half akamfichua sion kam kuna tatizo ila kama angekuwa ameenda karantin half kamtj sasa hapo tungesem makonda ana shida!!!!!
Juz kwel watu waliponda xana lkn ni ufaham tu ndio mdogo, kwel mh mkonda some time anazinguw lkn ktk hili nampa hongera kwa huzijuw kayaokoa maisha wa watu wangap katka mzuko huo.
Thus why ur a regional commission, that's fact bro Makonda , Hawa jamaaa sometimes wanajifanya hamnazo Kila kitu wanapinga , jamani tuuache kujifanya mavimpire., Hacha watukane mwisho wa siku mwenye macho , hata dar siku full adabu , hakuna Yale Mambo yazamani, ya Mimi nani..., Piga kazi confidence man.
Ndugu yangu sijajua uelewa wako juu ya Sheria maadiri na utu na taratibu zinazoendesha mambo yetu ya kila sku km taifa. Km ungekuwa unajua ,hakika usingempongeza huyu mdudu. Kifupi ni kwamba hata wazuri mwenye dhamana kamshushua kusomi na kumzodoa. Kifupi huo unaoutetea sio uchapa kz. Haupo ktk vitabu vyovyote vile vya mafundisho ya uchapa kz.. Kuchapa kz kunakoshushia watu heshima utu na kutoa Siri za watu kwenye majukwaa ni ushambenga na utoto km utoto mwingine. Labda nikwambie kitu ambacho alipaswa kufanya1alipaswa kuwasiliana na wazuri au wahusika wa sfya ambao wangeweza kwenda alipo mtoto na kufanya taratibu zote za kimamlaka kumweka karantinii. Kwamfano , kulikuwa na urazima gani wa kuhusisha mtoto wa mbowe na siasa za chadema.hv huyu mtu anawezaje kuwahadaa a Kili kiasi hk
No point hapa wasemaji NI wauguzi na wenye jukumu la kuwaweka karantini wakipatikana +, kuongea kitu kisichokuhusu NI uropokaji wa hovyo, na c maadili.
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Ipo hivi... Taarifa juu ya Afya ya mgonjwa itabaki kuwa siri yake mgonjwa tu na Si vinginevyo na hamna mtu anaruhisiwa kutoa taarifa juu ya Afya ya mgonjwa isipokua akiruhusu mwenyewe iwe hvyo. LAKINI narudia tena lakini.. Taarifa juu ya Afya inaweza kutangazwa kwa public hata bila idhini yake mgonjwa endapo Lengo la kutangaza ni njema kwa afya na usalama wa Jamii. Kwa maana ya kwamba kama afya ya mgonjwa itaendelea kufichwa eti sababu mgonjwa hayupo tyr ijulikane Bas itaenda kuleta madhara makubwa kwa Jamii. Kwahyo hamna maana ya kuufanya siri taarifa ya mgonjwa Kama itakua na impact mbaya kwa afya ya Jamii. Kwahyo makonda yupo sahihi. 0712058189
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,