Watanzania wenzangu, tuwe waungwana kwenye kukomenti kwa kutumia Lugha ya Kiswahili. Namaanisha tuandike maneno ya kueleweka na si eti kubuni kufupisha. Matokeo yake maneno yanasomeka kama mtu anatafuna meno usingizini! (Mfano nzr, nkj cji ngj na kadhalika). Huo ni udhalilishaji wa lugha! Tuwe wenye shukrani kuitunza lugha tuliyo achiwa na walio jaaliwa kuianzisha. Lugha ambayo imetokea kupendwa na nchi nyingi sana bila ya kivutio cha kuwa wamiliki wake ni "nchi iliyo enelea."
Kweli wimbo huu una utajiri wa mapenzi, ni dawa ya kuponya mioyo. Je! Unawezaje kutuletea hazina hizi zenye kung'aa zilizofichwa chini ya ua hili? Ni kubwa mno na ya mashairi.Ninasafiri kutoka Paris hadi Zanzibar kila siku nikisikiliza wimbo huu ndani ya gari langu.Asante sana Mungu akuweke kwa muda mrefu ili kuburudisha mioyo yetu, masha'Allah.
Saada wallah jinsi nikipendavyo we mwanamkee wallah wabillah allah shahd natamani sanaa ungelikuwa mke wangu wa ndoa ningejihisi tofauti sanaa kweny huu ulimwenguu +255 672 248289