Тёмный

Asokasoro Hakuna -Fatma Issa, Culture Music Club 

Old Is Gold Taarab Zanzibar
Подписаться 16 тыс.
Просмотров 521 тыс.
50% 1

Old Is Gold Taarab Zanzibar.

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 213   
@SubiraMohamedy-ev9ed
@SubiraMohamedy-ev9ed 4 месяца назад
Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
@kijijinikwetutv8
@kijijinikwetutv8 4 года назад
Kama una kabala kazi kutoka Zanzibar gonga like yako mpaka 2020
@assaddhamir5349
@assaddhamir5349 5 месяцев назад
Who's still watching 2024 😊
@fatmaunji1275
@fatmaunji1275 5 лет назад
Mmmmmh nyimbo inanitoa machozi hiii namkumbuka marehem shemeji yangu akiludi job ananiwekea nisikilize Daaaah mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kabriii🙏🙏🙏Asokasoro hakuna
@khayriyamussa6274
@khayriyamussa6274 4 года назад
Allah amlaze pema peponi(Amiin)
@abdullakhalfan4668
@abdullakhalfan4668 Год назад
AMWONDOSHEE HASA SIO AMPUNGUZIYE YAARABBI.
@abdullakhalfan4668
@abdullakhalfan4668 Год назад
HIZI NYIMBO UNAONA LADHA HADI LEO KUZISIKILIZA.
@sukialkaabi9777
@sukialkaabi9777 Год назад
🤲🏼
@issamuhammedi
@issamuhammedi 4 месяца назад
Mungu amfutie makosa yake yote na awarehem umma WA Muslim wote aminnn
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli Месяц назад
Mungu awasamehe wazee wetu na warudi wa mola kutaka msamaha lkn watu wa zamani waliimba na watu wa leo wanakwimba. Maneno ya marehemu bikidude muimbaji hamalizi siteji.
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Dogo msilipe mwanya likaja likatatiza sadaqqqta dada yangu❤
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Dada fatma issa kwa ubora wake mashaallah maneno Safi kabisa♥️👏👏👏👏
@ashuashu3843
@ashuashu3843 4 года назад
Hizi ndio nyimbo zenye maneno ya maaana.Old is gold.
@khamisjuma5481
@khamisjuma5481 3 года назад
Mungu akubariki mama angu
@SalehRashid-ry6td
@SalehRashid-ry6td 11 месяцев назад
Kama unatizama 2023 gonga like hapo twende sawa
@issamuhammedi
@issamuhammedi 4 месяца назад
Nasikiliza 2024 yani hizi nyimbo hazitachuja milele
@salumsalum1775
@salumsalum1775 3 года назад
Nani mwezangu anasikiliza 12 April 2021 gonga like hapo tuwe pamoja
@azizasaid913
@azizasaid913 4 года назад
Kama unatizama Kama Mimi 2019 Weka like yako
@azizasalim8777
@azizasalim8777 4 года назад
Habari somo mm nasikiliza nikiwa oman
@kassimuyahaya1483
@kassimuyahaya1483 4 года назад
Roho yangu hii nyimbo
@jumaaley329
@jumaaley329 3 года назад
@@kassimuyahaya1483 wn
@jumaaley329
@jumaaley329 3 года назад
@@azizasalim8777 NM j in love fundi,a
@jumaaley329
@jumaaley329 3 года назад
Ma!@@kassimuyahaya1483
@snahlicious
@snahlicious 5 лет назад
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza mwenye lile hili hana ndio shani yake adha tabia kutolingana si jambo la kushangaza kinachonikera sana nisonalo kupakazwa kunisema sichukui kusengenywa haifai ni hekima njema rai kunionya sikatai la msingi niiteni na wala sitopuuza sikatai nambieni wallah ntawasikiza mengine msinidhani yakuwa ntawabeza nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
@DonKhawwar2
@DonKhawwar2 3 года назад
Mashallah shukran sana
@mushken65
@mushken65 Год назад
Maneno na mpangilio wa Hali ya juu sana . Taarab asili nzuri sana 🇰🇪
@fatumamwangome2548
@fatumamwangome2548 5 лет назад
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
@ally1702
@ally1702 5 лет назад
Pole sana
@ashuashu3843
@ashuashu3843 4 года назад
Pole
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Allah awarehemu wazee wetu waliotutangulia mbele ya haki awasamehe makosa yao Amiin 🤲🤲
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 года назад
N mimi Marehemu baba yangu aliupenda sana.Mungu akurehemu KK
@AllyNjimbo
@AllyNjimbo Месяц назад
Taarabu za saahivi nimapenzi 2 hakuna tena taarabu kbs watu walikuwa wanaimba jmn.
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
@jabirkombo5483
@jabirkombo5483 7 месяцев назад
Hhhhhh ushakojowa tyr ww
@issamuhammedi
@issamuhammedi 4 месяца назад
Love to kweli hizi old is gold kweli ukisikiliza Kuna hisia unazipata
@johnkuma6867
@johnkuma6867 2 года назад
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
@Gangalamu
@Gangalamu 7 лет назад
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
@alitonya1123
@alitonya1123 Год назад
Wallahy hii ni sweet song japo sikua zama izo ila nimetokea kuupenda huu wimbo...Fatma aki u really got a blessed voice.
@feisalboy6702
@feisalboy6702 Год назад
Dah bi fatma issa ww utaniuaaaaa
@MohdAli-cg6ds
@MohdAli-cg6ds 3 месяца назад
Itazikwa
@AllyNjimbo
@AllyNjimbo Месяц назад
Hii nyimbo inanikumbusha mbl sn jmn
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli Месяц назад
Nyimbo za zamani ulikuwa unasikiliza zaid ya mara sita hujajua kilichokusudiwa na hiyo ndio maana ya tungo. Sasa mambo yote hadharani.
@AllyNjimbo
@AllyNjimbo Месяц назад
Nikweli jmn asokasoro hakuna kila aloumbwa na mueza
@mwaka308said7
@mwaka308said7 2 года назад
Thank you!for this sweet lovely song of mama Fatma...old is Gold.#
@Gangalamu
@Gangalamu 5 лет назад
1 of ur best song ever Fatma Issa. What a lyrics composition and ur Melodius Voice. Wwwwwwooowwwwwww
@faridbakar8242
@faridbakar8242 4 года назад
2020 old is gold
@bismassshilla2025
@bismassshilla2025 6 лет назад
mwenye lile hili hana...ndio shani yake AZA...huhuhuuuu!!! ni raha sana Fatma Issa
@issamuhammedi
@issamuhammedi 4 месяца назад
Acha tu hadi basi yani hadi unakuwa na hisia kali Sana na unyumbani wetu asikwambie mtu kuwa mzanzibar raha we
@user-eg7vl1tk1h
@user-eg7vl1tk1h Год назад
Congratulations keep it up💪
@omarsaid3105
@omarsaid3105 3 года назад
Real tyme taarab,essence of social civilisation in East African coastline... sio taarab mseto.
@ahymokash9640
@ahymokash9640 6 лет назад
Pambeeeeeee kinancho nipa udhia nikule kuniapiza asokasoro hakuna aloumbwa na mwezao kinancho nikera sana nisonalo kupakazaaaaaaa
@user-su2xt6ot9c
@user-su2xt6ot9c 2 месяца назад
Can't get enough
@othmanal-nabhany9243
@othmanal-nabhany9243 4 года назад
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza,, ndio anavyotwambia mamaetu Bi Fatma Issa
@rashidkassid-mo9ip
@rashidkassid-mo9ip Год назад
Ahsante bi Fatma kwa kazi nzuri isiyo chacha Wala kuoza.
@Gangalamu
@Gangalamu 5 лет назад
Sensational Fatma Issa Aaddaabbb, THIS song has it all, LYRICS singing and composition of highest calibre. Wwwwoooooowwwwwwew
@mariamomar9644
@mariamomar9644 4 года назад
dogo mcilipemwanya mukawa mwaedeleza hapo tu
@Gangalamu
@Gangalamu Год назад
​@@mariamomar9644kabisa mummy
@user-ss5cf4re9x
@user-ss5cf4re9x Месяц назад
Hii ndio tarabasilia
@preetyroshylne1475
@preetyroshylne1475 6 лет назад
ASokasoroo hakuna aloumbwa na muwezaaa,,hongera bi fatma kaz nzur ,.
@mamat5661
@mamat5661 7 лет назад
Inanikumbusha mbali mnooo, binaadamu hatuyaoni yetu tunayaona ya wezetu
@abdallahdula6573
@abdallahdula6573 8 лет назад
Old is gold 100%
@alzaah615
@alzaah615 7 лет назад
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
@ummulkheirally1841
@ummulkheirally1841 6 лет назад
Mmmmmhhh duuuuuuuuuhhh iko pouw sana aaa
@alzaah615
@alzaah615 7 лет назад
hakina ndugu yangu asokasoro hakuna, kinachonipa udhiya ni kule kuniapiza wala sioni vibaya kule kunielekeza heko dada mtanzania maneno ni kibaao
@shafikamasudi2211
@shafikamasudi2211 2 года назад
2021 still nasikiliza huu wimbo
@Gangalamu
@Gangalamu 6 лет назад
Fatma Issa amongst ur best songs
@user-ie9dz9hm9q
@user-ie9dz9hm9q Год назад
Nice muzic old is gold ❤👏👏
@aminayusud851
@aminayusud851 9 лет назад
Fatuma isa waaaaaa.naipenda vars kinacho nikira sana nisonalo kupakazaaa
@salmamussa4208
@salmamussa4208 8 лет назад
mashallah maneno kuntu
@qadhiyaalmughairi9095
@qadhiyaalmughairi9095 6 лет назад
Amina Yusud e
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 6 лет назад
swadaktaa
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 6 лет назад
swadaktaa
@abdullakhalfan4668
@abdullakhalfan4668 Год назад
Fatma Issa Mwaaahhhhh❤🎉
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Год назад
Kswahili hichooooo❤💃🙋
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Hakuna alie kamilika zaidi yake Allah
@aminamsakatile7219
@aminamsakatile7219 7 лет назад
mashallah Fatma Issa..ktk ubora walke
@fatumarizione3667
@fatumarizione3667 7 лет назад
love you mamy big up wala msijedhani yakuwa nitawabeza niongozeni jamani
@ayshearsaeed5716
@ayshearsaeed5716 5 лет назад
Kitu na boksi sichoki kuskiliza huu wimbo naupenda hatarii😂😂sauti dada madaha kama yote
@user-su2xt6ot9c
@user-su2xt6ot9c 2 месяца назад
Zakale dhahabu kweli
@user-yq1pw1zw9w
@user-yq1pw1zw9w 4 месяца назад
Kinachonipa udhia ni vile kuniapiza
@khaliphanassoro4851
@khaliphanassoro4851 4 года назад
Fatma issa vp bado unaimba
@shamsahajri8145
@shamsahajri8145 4 месяца назад
Old is Gold Salute to bi Fatma
@yusuphidrisa2100
@yusuphidrisa2100 8 лет назад
hongera fatma issa
@aishamatangamatangamatanga1344
Hakika zamani itabaki kua zamani sichoki kusikiliza ❤️❤️😘
@maswamaswatech3830
@maswamaswatech3830 8 лет назад
hongera yako cz binadamu waleo hawajui km hakuna mkamilifu
@yaakubjuma8940
@yaakubjuma8940 7 лет назад
Kuwa haikuwa watoto ulowazaa mwenyewe......itakua???
@yaakubjuma8940
@yaakubjuma8940 7 лет назад
Asokasoro hakuna aloumbwa na muezaa.....
@yaakubjuma8940
@yaakubjuma8940 7 лет назад
Mwenye lile hili hana..... Tabia kutolingana sio jambo la kushangaza.....
@saudaissasaudaissa1329
@saudaissasaudaissa1329 9 лет назад
Ikiwa nimekosea wajibu kuniongoza asantaa fatma issa
@asherinatamerali1217
@asherinatamerali1217 7 лет назад
haswaaaa😄😄😄
@dahoudrashid216
@dahoudrashid216 6 лет назад
Nice music old Zanzibar ftma nice ming ming
@mariamakeba
@mariamakeba 3 года назад
4 day in a leo nyimbo tamu🎼🎧🪕 Kinacho niumiza ni kule kuniapiza 🦚
@nanadahal4740
@nanadahal4740 Год назад
MASHAALLAH OLD IS GOLD NAMPENDA SANA FATMA ISSA NYIMBO ZAKE ZOTE
@cutekhamid
@cutekhamid Год назад
⁰0000
@zainabsuleiman5920
@zainabsuleiman5920 2 года назад
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
@feisalboy6702
@feisalboy6702 Год назад
Ktk nyimbo uloimba hii ni kiboko yao
@salimathumanmayugo9926
@salimathumanmayugo9926 3 года назад
Hamna mjadala kabsaa kama mawaidha, mane I ya hikma na yenye utulivu
@user-xb2hw4yt1t
@user-xb2hw4yt1t 6 месяцев назад
Best old is Gold I like it .❤❤❤
@aishahassan4168
@aishahassan4168 3 года назад
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza
@dukanmchina6614
@dukanmchina6614 6 лет назад
awsome hakika aliimba huyu mama
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 4 года назад
Maneno yalimchosha ndo akaimba hii nyimbo we sikiliza vzr tu iyo nyimbo utajua km aliwatungia watu fulani😄😄😄😄
@akakuali8746
@akakuali8746 11 месяцев назад
Hauishi tamu
@innemussa1828
@innemussa1828 6 лет назад
ahsant bint issa maneno mazuri!! Asokasoro hakuna!!!
@samiralaakif
@samiralaakif 5 лет назад
Bi Fatma sadapta maneno yako ni Elimu kwa wale wasengenyaji wamuogope Allah km umeona mapungufu kwa mwenzako muase ajue kosa lake wewe unayako kibao na yaliyopo upande wako mbona huyaweki hadharani haifai
@halimanabir2380
@halimanabir2380 6 лет назад
lamsingi niiteni na wala sitopuuzaaa
@ramadhansimba7760
@ramadhansimba7760 5 лет назад
Fatuma issa ni noma
@haroubjuma5107
@haroubjuma5107 5 лет назад
Asokasoro hakuna
@fatmahussein9642
@fatmahussein9642 2 года назад
Nyimbo naipenda hii asokasoro hakuna mm mweusi lakin shepu ipo hahaha kweli asokasoro hakuna
@muntakindamba2053
@muntakindamba2053 2 года назад
Nakupendaa
@shuwekhamasoud1887
@shuwekhamasoud1887 3 года назад
Nazikubali nyimbo za huyu mama bado yupo? Ananikumbusha mbaliiii 2021
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 года назад
hujanishinda mimi yani ndo vile kashazeeka hoi bin taaban lakin ningelikuwepo enzi zake ningemuoa wallah....habibt wangu huyu nampenda rohoni.
@fatoumaahmed7670
@fatoumaahmed7670 4 года назад
J'adore cette chanson merci 💃💃💃💃💃
@mayasahkhalfan6828
@mayasahkhalfan6828 6 лет назад
Kweli aso kasoro hakuna ...... maneno kuntu.
@rizikijabu742
@rizikijabu742 5 лет назад
Asokasor hakun jmni
@perrychicken5876
@perrychicken5876 7 лет назад
Maanii na muimbaji mzuri Mashallah
@ahmadakishingo1935
@ahmadakishingo1935 4 года назад
Kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
@fatmaissa3154
@fatmaissa3154 4 года назад
Maneno kuntu,hakuna mkamilifu chini ya jua
@salimathumanmayugo9926
@salimathumanmayugo9926 3 года назад
Maneno ya ukweli na mziki wa kukupa funzo
@rahimaally6471
@rahimaally6471 5 лет назад
Aso kasoro hakuna alouumbwa na mueza
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 года назад
Old is Gold 👍
@maryvictor3412
@maryvictor3412 4 года назад
Vya kale dhahabu
@firyalharbou4952
@firyalharbou4952 3 года назад
J'adore cette chanson je pense fort ma mère une très bonne chanson asante sana
@mushken65
@mushken65 Год назад
Karibu Sasa toka hapa kenya 🇰🇪
@nassirmasoud2545
@nassirmasoud2545 Год назад
Huu wimbo naupenda mno.naomba mwenye ataweza kunitumia pls
@aliabeid5122
@aliabeid5122 4 года назад
Vibaya msinidhan yakuwa nitawabez
@RahmaRamsha
@RahmaRamsha 3 месяца назад
2024Bado ipooo moto mashaallah ❤️
@snashiralmuaqly598
@snashiralmuaqly598 2 года назад
daaaaah yaani weeeee achaaaaaa tu
@rizikijabu742
@rizikijabu742 5 лет назад
Lovee mingming waalhh mungu akuweke
@ire.kasidikasidiss8099
@ire.kasidikasidiss8099 2 года назад
Nice music with lovely view 👍👍
@halimanasihu1200
@halimanasihu1200 4 года назад
Ikiwa nnapotea wajibu wenu kuniongoza
@mussakivumbi2930
@mussakivumbi2930 5 лет назад
Masha allah!!
@nairathamad884
@nairathamad884 5 лет назад
Mashaallah pambe maneno kuntu
@user-jv1xb4zs2b
@user-jv1xb4zs2b Год назад
Haoo chachaa
@princehalawa_official7980
@princehalawa_official7980 Год назад
Hizi ndio taarab
@qeenlatty5380
@qeenlatty5380 7 лет назад
siichok hii nyimb jmni dah uliimba hp sauti ssa ndio hoi mm
@tvdlm2121
@tvdlm2121 4 года назад
Mashaaallah
Далее
Bora Adui Shetani Kama adui Kiumbe Fatma Issa
15:48
Просмотров 251 тыс.
La Tierra Robó El Anillo De Saturno #planetballs
00:14
Moto Trial vs Moto acrobática 🏁
00:29
Просмотров 2,3 млн
NENDA UTAKAKO MWANA KWENDA
14:50
Просмотров 178 тыс.
Moyo Umefurahika Old Is Gold Taarab Zanzibar
12:45
Просмотров 61 тыс.
UMEWASHUKA - FATMA ISSA
13:16
Просмотров 195 тыс.
Swahili: Kimasomaso
16:58
Просмотров 1,7 млн
ISHARA NAMFANYIA AJIFANYA HAZIONI- TAARAB ZANZIBAR
18:27
Sabah Salum Mithili Yako Hapana@al ghafri
17:54
Просмотров 676 тыс.
MUUNGWANA - ZANZIBAR TAARAB
10:38
Просмотров 357 тыс.
La Tierra Robó El Anillo De Saturno #planetballs
00:14