Тёмный

''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,.. 

Подписаться
Просмотров 189 тыс.
% 1 029

''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: ru-vid.com/group/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

10 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 180   
@hafsahamadi8463
@hafsahamadi8463 Месяц назад
Nipo germany 🇩🇪 mm ni mtanzania nafatilia sana mijadala ya Mh makonda Mungu amlinde huyu kiongozi
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 2 месяца назад
Nafuatilia matukio mbali mbali kutoka Oman Kwakweli vocha yangu natumia kihalisia. Asant Mh Makonda barikiwa sana
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Tanzania kuna uonevu mnoo😢
@pauloemanueli7485
@pauloemanueli7485 2 месяца назад
❤❤❤​@@ilynpayne7491
@rubenprince8990
@rubenprince8990 2 месяца назад
​@@ilynpayne7491 sheria hazitoshi ndo maana wananchi wanahangaishwa huku ulaya kuna sheria ngumu kila siku wakiona tatizo hapo hapo wabunge wanakaa chini wanapanga sheria mpya nchi za huku wanapanga sheria kila Mara lakini huku afrika nchi na wananchi wanaongozwa kwa maneno
@OmariMasenga-qp2bt
@OmariMasenga-qp2bt Месяц назад
​@@ilynpayne7491❤
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 2 месяца назад
Kusema ukweli kabixa makonda upo sawa kabixa Mungu akulinde tu Baba
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 2 месяца назад
Allah umlinde raisi wetu kipenzi za mh makonda😷🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 2 месяца назад
Amen
@jacobsabore9822
@jacobsabore9822 Месяц назад
Amen sana
@imranhassan9994
@imranhassan9994 2 месяца назад
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani... ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 месяца назад
Makona anasimamia mkoa utafikili anasimamia Tanzania kwahiyo Tanzania wenye madini niwachache na wenye huluma na wananchi niwachache tungekua na viongozi kama hawa 10 nchi ingekua imefika mbali wengine wanajali matumbo yao respect sanaaa makonda🙏🙏🙏💯💯
@BazuuKanakarha
@BazuuKanakarha Месяц назад
We sio makona anaitwa makonda🤣🤣
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
Mungu Mkuu Baba yetu wa Mbinguni, Upewe sifa na shukrani kwa kutupenda. sio kwamba sie ni wema lakini Wewe ni Mwema kwetu na Unatupendelea. Twakushukuru mno ZEE wetu wa mbinguni; Baba Utukuzwe kwa yote
@JamesMakuri-ik6gj
@JamesMakuri-ik6gj 2 месяца назад
Hakika,mungu hawatupi waja wake ..na maan kwamba mam piy hawatupi wanawe na ndy maaan akakuteua wew baba mak0nda kuwatibulia matatz0 na mig0g0r0 ya0.. AMINA SAN UBALIKIWE MAK0NDA PAUL🙏🙏🙏~=
@AyeshaAyesha-xr8fc
@AyeshaAyesha-xr8fc 2 месяца назад
Mungu azidi kuku saidia makondo unatusaidia sana
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 месяца назад
Najikuta nampenda huyu babaa MUNGU AMLINDE
@ttss7716
@ttss7716 2 месяца назад
Mungu akulinde makonda me si mtanzania lakini mungu akupe jannat fridhaus inshallah 😢😢😢😢
@JamilaSaid-we7rk
@JamilaSaid-we7rk 2 месяца назад
Ww si Mtanzania ni wawapi
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha 2 месяца назад
MH makonda Mungu akutunze Sana wewe ni jicho LA Yesu kwa wa Tanzania kwa neema ya mungu itakua
@user-iu4du7ws6s
@user-iu4du7ws6s 2 месяца назад
Makonda be blessed you are Man of God
@user-uj9zn6mj5b
@user-uj9zn6mj5b 2 месяца назад
Mh. Makonda mwenyezi Mungu akubariki Mungu amekupa maono makubwa umenifundisha mema na mazuri kupitia uongozi wako wa kuwa na hofu ya Mungu kwa kutenda haki
@leoniaolomi6779
@leoniaolomi6779 2 месяца назад
NATAMAN MH MAKONDA APELEKWE KILA MKOA JAMAN
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 месяца назад
Allah akulinde makonda wetu namahasidi wanaotuonea wanyongee 😭😭😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰😘😘😘❤️❤️❤️
@lilyshayo761
@lilyshayo761 2 месяца назад
Ila Arusha du kwa wavamizi na matukio ua dhulma du nakumbuka shamba letu lilirudi kwa neema ya mungu na mkuu wa wilaya ya meru Jerry muro❤du tu nahitaji maombi sana arusha
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 месяца назад
Muro naye alikuwa anafaa sana
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 2 месяца назад
Jamani kweli madudu yapo hivi Mungu atusaidie.Mungu amwinue Paul's Makonda kuwa Raisi ajae
@RamadhaniIddy-zo7xt
@RamadhaniIddy-zo7xt 2 месяца назад
Safi makonda endelea kutatua kero za wananch wako ndio tunataka viongoz nawengine wakuige Asante mungu akulinde
@LudovickBatiho
@LudovickBatiho 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu Akuzidishie maono hayo ya kusaidia Wananch
@geey7893
@geey7893 2 месяца назад
Ndugu zangu, Ardhi imeshakua shida kweny nchi yetu. Tuweni makini sanaa .tunaweza kuamka sku 1 hii ardhi ya Tanzania ina Mgogoro yote
@golebenson4597
@golebenson4597 2 месяца назад
Migogoro kila siku
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 месяца назад
Hahaha
@eng.kivuyo12
@eng.kivuyo12 2 месяца назад
Global Tv mko vizuri kwenye content
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
Makonda ata akilipwa pesa analipwa kihalali maana halali anashughulikia kelo za watu
@sethyotham
@sethyotham Месяц назад
Makondo noma sana aisee...mwamba anajua sana.. Mungu akujalie sana uhai. Kaz njema mkuu
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 2 месяца назад
Makonda endelea na huo moyo Mungu atakupigania unawasaidia sana watu wenye shida
@Darian2550
@Darian2550 2 месяца назад
Kazi hii ilipaswa kufanywa na Wanasheria, ni vile tuu nchi yetu ina watu wachache wenye utu na hofu ya Mungu, hususan wataalam..
@RuceMwinuka
@RuceMwinuka 2 месяца назад
Mheshimiwa makonda mafisadi sio wapo arusha tu hata mbeya wapo sana na maskini wanapata shida sana,mungu akubariki kwa kutetea wanyonge, gombea urais utachukua kula kama zote.
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
CCM watamua
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
Kwani mbeya hawapo wakuu wa mikoa
@IsayaEmmanuel-fn5if
@IsayaEmmanuel-fn5if Месяц назад
mungu ame shusha Neema Arusha makonda mungu akupe Neema🙏
@DiniMwambashi
@DiniMwambashi 2 месяца назад
Kaka yangu makonda nakuombea kwa mungu nakufananisha na ile nyota iliotupa matumaini ya kutamani kuendelea kuishi mungu akubariki sana
@RuceMwinuka
@RuceMwinuka 2 месяца назад
Mungu akubariki makonda akuinue kwa viwango vya juu
@Nedjadist
@Nedjadist 2 месяца назад
Makonda hataweza, wala hatamaliza. Tatizo ni mfumo, taasisi na watu kukosa dhamira na dini. WaTanzania walikuwa watu wazuri na wema sana katika Afrika Mashariki nzima. Hadi Azimio la Arusha 1967, lililohalalisha wizi na uporaji wa mali za watu. Laana ya tukio hilo ndiyo inayoendelea na ndiyo wizi na uporaji hivi sasa vimeshamiri na kuwa jambo la kawaida, tena unachukuliwa kuwa ni aina ya 'ujanja'. Si viongozi, si mwananchi wa kawaida, si mashehe,si wachungaji.... Nchi moja ya ajabu sana.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 месяца назад
Asante Sana kuna uozo mwingi sana. System imeoza Wanatakiwa kufumua fumua la sivyo huu ujinga hautaisha
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 месяца назад
Mzee Malulu DADEKI big up sana
@oscanyakunga
@oscanyakunga 2 месяца назад
Mniite umbwa sijui kafundishwa nanan?
@lonjinoedward3539
@lonjinoedward3539 2 месяца назад
Next president in tanzania 2040
@sallynakey_tz
@sallynakey_tz 2 месяца назад
2040 mbali sana mzeee 2030 tu
@rakastv3558
@rakastv3558 2 месяца назад
Bongo unaweza kupigwa na aliekupiga akiwahi polisi imekula kwako.. hii ndio inayotokea
@omarypanga4064
@omarypanga4064 Месяц назад
Makonda uko vizuri, mungu akupemaisha malefu.
@nurumligo4862
@nurumligo4862 2 месяца назад
Makonda, Mungu akupe maisha marefu
@joycemwango943
@joycemwango943 2 месяца назад
Ubarikiwe mheshimiwa MAKONDA,,kwa kusikiza kero za wanaichi
@user-xx9tc7uv3c
@user-xx9tc7uv3c Месяц назад
Mimi nampenda sana makonda na ananitoa machozi Mungu Akufadhiri na uzao wako wote matendo haya yatakufuata
@Nedjadist
@Nedjadist 2 месяца назад
Duh! Watu wengi namna hii hawana imani na serikali!
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Hi nchi hata ina fika mda mtu una ogopa kumiliki ardhi😢
@leonidaluwago6796
@leonidaluwago6796 2 месяца назад
Nimefurahia kukusikia Denis!huyu Denis kwanza ana akili Sana pia ni mtu mwenye kupenda haki ana huruma Sana ulituongezea kidato Cha kwanza Hadi Cha nne unastahili kazi hiyo!
@ondieckotoyo1143
@ondieckotoyo1143 2 месяца назад
Rushwa ni aduhi wa haki alisema nyerere
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Месяц назад
Msichana wa Mzee malulu. Uko vizuri
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 месяца назад
Huyo jamaa wa madini anaonekana ni mwizi
@mussamussa9446
@mussamussa9446 2 месяца назад
hao jamaa ofisi ya madini wamedhulumu haki ya huyo mzee.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Ni kawaida serikali ina watumishi wezi sana 😢
@MsafiriZakayo-pu5bx
@MsafiriZakayo-pu5bx 2 месяца назад
Hili jamaa la ofis ya madin ongo😅
@joycemwango943
@joycemwango943 2 месяца назад
Mh,, MAKONDA Mungu akulinde
@CathyMathias-bx4ft
@CathyMathias-bx4ft 2 месяца назад
Rais wetu jaman kugundua arusha kuna shida. Aongezewe miaka mingi ,, makonda oye
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 2 месяца назад
Daaah! Inachekesha ila inahuzunisha sana😂😂😂😭😭😭
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Hahahahahaha Makonda bana eti utafikiwa tu we chochea maombi hahahahaha
@user-pn5gv7ix3g
@user-pn5gv7ix3g 2 месяца назад
Mh Makonda unastahili kushika wadhifa wa Waziri Mkuu ili utaratibu wako wa kutatua kero za wanachi wanyonge na wapiga kura na walipa kodi ufanyike nchi nzima kwa usimamizi wako wa karibu!
@evelynchitambo4728
@evelynchitambo4728 2 месяца назад
Chuma kama Makonda ni vichache sana duniani na hua wanapigwa vita kubwa na wasio penda haki Wenyezi Mungu akufunike kwa mwavuli wake wa ulinzi tunakuombea sanaa.
@BilhaLaizer
@BilhaLaizer Месяц назад
Na mimi namuombea raisi wetu Mungu amlinde,Na Mungu wangu asisimiache Makonda bila ulinzi wa kiugu,ni mtu aliekosekana kwa mda Arusha,sasa ni wakati wa Bwana na Bwana akatende sawa sawa na mapenzi yake
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 Месяц назад
Mnapotaka msaada wa kisheria msitilie uongo ndani yake...mtajikuta mnaumia zaidi😊
@alinadee8207
@alinadee8207 2 месяца назад
Hii musee naongea km lebo na senteu😂😂😂😂
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 2 месяца назад
Kweli Arusha ni nchi nyingine aseee 😂
@SmilingCabezonFish-eg9lo
@SmilingCabezonFish-eg9lo 16 дней назад
Makonda pole na kazi ya huko Arusha ss Wana Kilimanjaro tuna kuombaukaribie huku tembo Wana tutesa sana watu wamemaliziwa mazao yao watu wa kufa njaa
@AmedeusiMassawe-hb7rj
@AmedeusiMassawe-hb7rj 2 месяца назад
Makonda umechelewa sana kuja Arusha kaka
@MaryFrancis-mz6zs
@MaryFrancis-mz6zs Месяц назад
Akika mungu awenawe makonds
@josephkanut6368
@josephkanut6368 2 месяца назад
Big up sana
@michaelyusuph9143
@michaelyusuph9143 Месяц назад
Nipo INDIA ila nafuatilia sana mikutano ya makonda Mungu amlinde
@justice607
@justice607 2 месяца назад
Jungle master 😎😎
@partonmosha8433
@partonmosha8433 2 месяца назад
Matatizo ya Watz hatamalizwa na Makonda wala Raisi au Waziri, bali KATIBA BORA NA SHERIA IMARA, chini ya MIHIMILI HURU.
@ttss7716
@ttss7716 2 месяца назад
Wanaka kumdhulumu huyu mzee makonda usikubali 😢
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t 2 месяца назад
Namuona rais wa 2035 kwa mbaliii✊✊✊anaitwa makonda mtetezi wa wanyonge
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
Hapati wala hapewi
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t Месяц назад
@@hamidamussa-sy4fm niamin mim mzee
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 2 месяца назад
Nimehudhuria jioni nikasikiliza kiukweli inatia aibu kwa ccm, serikali na watendaji wake. Watanganyika wanateseka sana,hii ni sehemu tu ya mkoa lakini Kwa nchi nzima Hali ni mbaya. Watu tunapowaambia katiba mpya ni muhimu basi tuelewe. Haya mateso yote ni matokeo ya .fumbo mbovu unaopendwa na ccm. Kadiri watu wanavyokuwa na shida Kwa ccm ni fursa na mtaji wa kisiasa. Inafika ofisi za serikali au taasisi kama hospital unakuta daktari anachati ,unakwenda ofisi nyingine humkuti mtu. Tuna taifa la hovyo sana
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Ni wachache tunaoelewa uongozi wa CCM ni janga la taifa letu katiba mpya ni sasa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 месяца назад
Umeona were nchi ya hoovyooo kuwahi kutokea mmeuza bandari zetu ZOOTE MUNGU atalipa
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
@@MACHOYATAI-jk6fu sio bandari tuu na mbuga zote migodi, Mt Kilimanjaro
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Yani ina sikitisha nchi hii😢
@user-kw5pb9dd7p
@user-kw5pb9dd7p 2 месяца назад
Hongereni wana Arusha
@user-ju5ee1gx2w
@user-ju5ee1gx2w 2 месяца назад
Matatizo hayo sio tu arusha yapo na mafisa wa morogoro
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 месяца назад
Jamaa wa madini kaongea chapu kabla ya makonda hajafika
@irenebeatus9481
@irenebeatus9481 Месяц назад
😅😅😅
@ondieckotoyo1143
@ondieckotoyo1143 2 месяца назад
Corruption toomuch
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 месяца назад
Nimeanza kukubali makonda apo kweli umeanza kufata haki kwa watu wanao onewa Tz
@ttss7716
@ttss7716 2 месяца назад
Me uwa nikiona hizi mada za makonda me ulia kila siku😢😢😢😢yani myonge ana haki lakini kwako ndo ana pata haki😢
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 месяца назад
Wanyonge wana teseka sana nchi hii😢😢
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 Месяц назад
Chongolo akisema mimi iko ongo niite mimi umbwa😂😂
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 месяца назад
JANGO KESHADHULUMU TENA HUKO!! HUYO MZEE DHULUMA NDIO ALAMA YAKE YA UTAMBULISHO MAHALA POPOTE PALE.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 месяца назад
Duh kumbe ndo zake..?
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Duh,ni nani huyo 🤔
@user-ub1xk6yz6l
@user-ub1xk6yz6l Месяц назад
Hivi hizi kero mbona nyingine ni za Kisheria kwanini kwanini baadhi ya zisipelekwe mahakamani?
@ElizabethSalu
@ElizabethSalu 2 месяца назад
Tunakutakia maisha mwema makonda yenye baraka tele usichoke kusikiliza kero za wananchi
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 Месяц назад
JUNGLE MASTER😂😂😂mtu mbadi...makonda anaijua vyema hiyo lebo
@kassimyusuph9470
@kassimyusuph9470 2 месяца назад
Kilahatua Dua kk WA, TANZANIA TUNAKUOMBEA KK
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 2 месяца назад
Hii issue nilitaka sana kauli ya RC Makonda ila alitoka cjui kwa nini
@petersilas4234
@petersilas4234 2 месяца назад
Mabwana Shauri wangerejeshwa na huyu bwana awe mkurugenzi wa idara hiyo mpya. Vinginevyo RC hatafanya kazi yake ofisini.
@petrojacob6070
@petrojacob6070 2 месяца назад
Huyu kaimu nae ni walewale
@jofreyjulias3745
@jofreyjulias3745 2 месяца назад
uyumwamba independent sana tumpate mkoa wa rukwa uyomba nakuelewaga sana
@japhetnziku3917
@japhetnziku3917 Месяц назад
Hizo system za kuhamisha ni kawaida sana
@amosmahona433
@amosmahona433 2 месяца назад
🙏
@mashakaamosgabinza3893
@mashakaamosgabinza3893 2 месяца назад
Huu ndiyo utapeli wa nchi hii Wenye pesa anapewa kwenye manufaa
@BarnabaChota-tw7ol
@BarnabaChota-tw7ol 2 месяца назад
Kumbe uongozi ni kazi
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 2 месяца назад
Hao wa madini ndio tabia yao
@habarinamatukio6148
@habarinamatukio6148 Месяц назад
Nimeamini bila makonda Hamna msuruhishi hapo
@George-jz3jg
@George-jz3jg 2 месяца назад
We unayesimamia nawe chenga tu
@Bulayampuya
@Bulayampuya Месяц назад
Mhe mkuu wa mkoa makonda nakuombea uendelee kutenda haki
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 2 месяца назад
Kazi anaiweza makonda
@MbwanaMbaga
@MbwanaMbaga 9 дней назад
Da napendasana kufatlia vkaovyakonawananch kakamunguakusimamie huondouongoz saf
@jumaiddy9996
@jumaiddy9996 2 месяца назад
Nom
@musasaguti4760
@musasaguti4760 2 месяца назад
Hii hali inaonesha kuna harufu ya rushwa hasa ofisi zetu. Rushwa itaisha lini?
@waamuzimedia
@waamuzimedia Месяц назад
uyo mama hapo nyuma ni mbegu nzuri jmn 🐒
@hermenegildempawenayo279
@hermenegildempawenayo279 2 месяца назад
Utakuwa President wa Tanzania
@NchambiMaduhu
@NchambiMaduhu 2 месяца назад
Mzee Monabani 💯
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 2 месяца назад
Nafuatilia vizuli namna makonda anavyo tatua matatizo ya kijamii labda na mimi siku moja nitateuliwa kua mwenyekiti wa mtaa
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 месяца назад
Mbona unaongea vizuri tuu papa, hukosei hata neno moja.
@PetroMwita-yc2uy
@PetroMwita-yc2uy 2 месяца назад
Poo makonda mwaka 2030 kwa chama chchot gombea uraisi watanzania watakupa kura zote za ndio hakika kwa Taifa hili la Tanzania unakata mawimbi kwa spidi kubwa By Petro mwita 8:07
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz Месяц назад
NataMani makonda Aje morogoro
@user-py3eg7xt5e
@user-py3eg7xt5e Месяц назад
Mh makonda gombea ubunge arusha ukomboe arusha yetu