Pole sana petii umepitia wakati mgumu kweli , mungu akutie nguvu Na bado mungu bado anakupenda, wewe ni kijana shupavu sana umeweza kuyabeba yote Na ukakubali Na maisha yanaendelea , hongera sana , Na pole sana kaka
Pole sana Petit man; kikawaida watu au marafiki ukiwapa umuhim wanakuona kama unajipendekeza na matokeo yake hawakuthamini kwa la kheri wala la shari nshaiona hiyo 🙂🙂🙂
Kwani wema na misiba isiyokua na kiki wapi na wapi Wema anapenda misiba ile yenye mikamera , kujisnap ivoo yn Pole peti, yote kwa yote tunaambiwa tutende wema nenda zako
Daaaah nimeumia Sana kusikia mama kafariki na pingu + hakujua mwanae kafariki aseeee dunia Ina mitihani Sana hii, pole bro tumekuwa tukiwa hukumu Sana watu Bila kuwajua undani wao.
Wamasai je? C Mila Yao? Hizi Mila za kigeni mnazoona 'appropriate' kwny maisha ya watu c zenu. Kusuka ni desturi ya kiafrika na Kwa taarifa yko kimila c mwanamke ndio mwny kusuka ni mwanaume.