Тёмный

"Nilifuatiliwa Na Magari Mawili Mpaka Nyumbani | Walinishambulia Na SMG" 

Подписаться
Просмотров 321 тыс.
% 1 624

"Septemba 7, nimeondoka nyumbani nilikuwa Dodoma, kuna eneo linaitwa area D, kuna maghorofa mengi ndio wanakaa viongozi wa Serikali na yanalindwa muda wote nimeishi pale toka 2010. Nilifika Bungeni tukajadili na nilikuwa mtu wa mwisho kuzungumza katika ile session ya asubuhi.Nikatoka nje, nikampigia dereva wangu simu aje anichukue twende nyumbani tukale chakula cha mchana. Mimi siku zote nakula nyumbani.
Ukiwa bungeni miaka ile njia rahisi ilikuwa inapita katikati ya uwanja wa ndege sasa ilikuwa njia imefungwa sababu palikuwa panafanyiwa matengenezo Kwahiyo ili uende area D inabidi uende mjini hivyo tukaelekea mjini. Tumepita round about ya Singida, tukapita round about ya barabara ya Arusha ambayo inapakana na uwanja wa ndege tulivyopita dereva akaniambia kuna magari mawili yanatufata nyuma kwenye akili yangu nikamuulizaDereva hawa polisi wanatufuatia nini? Maana mimi huwa nasumbuliwa na polisi.
Tukafika area C tuko nao gari mbili land cruiser nyeupe na Mitsubishi tukaenda mpaka area D tumekaribia getini kama kuna mtu anafahamu iliko Club84 tulipopita pale Land cruiser nyeupe ikapaki pembeni Mitsubishi ikaja tukaingia nayo getini. Lile geti huwa linafungwa muda wote na huwa kuna walinzi wawili au watatu wanasilaha muda wote siku hii geti liko wazi na hakuna mlinzi tukapita tukaenda block E ninapoishi. Tukaingia parking bahati nzuri siku hiyo magari yalikuwa mengi na nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking.
Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao. Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Tundu Lissu
#LiveOnClouds360

Опубликовано:

 

3 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 536   
@Maintenancetv971
@Maintenancetv971 Год назад
WANAOAMINI MUNGU YUPO WAGONGE LIKE HAPA ZA KUTOSHA TUMSHUKURU MUNGU PAMOJA.
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 4 месяца назад
Mungu amlinde inshaallah😭
@nsibwenekaswaga6267
@nsibwenekaswaga6267 Год назад
Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha Bure! MUNGU ambariki sana Mh SAMIA SULUHU HASSAN kwa huruma zake.
@flavianimrod1017
@flavianimrod1017 Год назад
Huu ni muujiza unaoishi😭 Ila huyu Mungu jamani..wacha aitwe Mungu
@ZeAniamalTV
@ZeAniamalTV Год назад
Hii nchi ilikua katika hali mbaya na kuongozwa na watu wasio na utu ila Mungu alijithibitisha ukuu wake hakika wote wanalipa sasa
@EmmanuelKishiwa
@EmmanuelKishiwa 5 месяцев назад
Daaah pole ndugu anguuu ujumbe wako apa umeniacha njia panda expressive feelings uloitoa hakika yake BWANA atalipia kisasi wala usiwe na shaka brother people's power we are together NCHI hii ya kwetu sote na tuijenge sote kwa amani
@DealDeskPro
@DealDeskPro Год назад
For the first time namsikiliza Mh. Lissu kwa makini, indeed kilichompata hakifai kumpata mtu yeyote yule na ninakilaani kitendo kile kwa roho yangu yote..Na mungu atakulipa kwa kadiri ya unyama uliotendewa. Pole sana Mh. Lissu.
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Год назад
Aliefanya bila shaka atakuwa alishalipwa.
@kokombwana8625
@kokombwana8625 Год назад
@@venancemwanya4212 Hakika,huwezi ukafanya ubaya huu halafu poetic justice ikuache hivi hivi
@DealDeskPro
@DealDeskPro Год назад
@@venancemwanya4212 Mungu hawafanyi kazi yake kwa utashi wa kibinaadamu..kwetu wanaadamu mengi yamejificha sana, sisi hatupaswi kuhukumu lakini hukumu tumuachie yeye (Mungu) Aliefanya tukio hili inawezekana anasoma post hizi..Basi hakika mungu atakulipa kwa karidiri ya ubaya uliomtendea binaadamu huyu, kwani hakuna binaadamu anaepaswa kufanyiwa ubaya wa kiwango hiki bila ya hatia yoyote.
@samwelmtonyi8203
@samwelmtonyi8203 Год назад
Pole Mungu akupe maisha marefu
@zaherashamte1058
@zaherashamte1058 Год назад
@@kokombwana8625 jaman vimeanza tena
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester Год назад
Asante Mungu kwa kumlinda mtu huyu kwa ulinzi wako mtu huyu yupo hai, baba mwenye enzi simama nae na waliohusija na ugaidi huu wakaabike kwa matendo Yako makuu.
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 Год назад
Pole sana kaka Lissu. Ule ni unyama na lazima kukemewa na kila mmoja wetu. Ubinadamu kwanza jamani
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 Год назад
Ni mmojawapo kati ya watu waliokuombea sana na Mungu akatenda, Mungu ana kusudi na maisha yako, usirudi nyuma endelea kusimamia na kutetea haki.
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Год назад
Haki ya ushoga ndo haki?
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 Год назад
@@livinuskamugisha5296 kwa hiyo ndiyo haki pekee uliyoona Lissu amewahi kutetea, huwa sipend kujibizana mitandaoni ila kuna muda inabid tu vijana wengi mnakurupuka muda mwingine inabid msaidiwe kueleimishwa, Lissu ameanza kufahamika kabla ya chadema kwa sababu ya misimamo yake na kutetea haki, amewatetea na kusaidia kushinda kesi nyingi sana za watu wanyonge wasio na uwezo ni hulka yake kutokukaa kimya haki isipotendeka, tatizo wengi wenu mmemjua baada ya chadema, tafuta kujua historia yake, mi sio chadema ila nakubali misimamo yake ndio maana nimemsihi aendelee kusimamia anachokiamini ni sahihi ambacho ni haki., akihama hapo sipo pamoja naye., mtizamo juu ya ushoga ni kitu kidogo sana hakitoshi kumjudge mtu., you think very low.
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Mkono wa mungu ni mrefu sana
@musasabuu2808
@musasabuu2808 10 месяцев назад
​@@livinuskamugisha5296punguza masiliko
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 Год назад
Mungu alijibu aliye watuma yuko wapi. Wamwogope mungu ipo siku watajulikana..usiuwe kwa upanga utakufa kwa upanga.
@flova7022
@flova7022 Год назад
Aliyefanya unyama huu naamini Mungu ashamlipa kitaaaamboo xna
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 Год назад
Mungu ni wetu sote kama Mungu alipanga uwepo hakuna mwanadamu atakaye kuondoa katika maisha
@theophilsilaa5319
@theophilsilaa5319 Год назад
Mungu alikutetea sana sio kitu cha kawaida
@justinmazimba8335
@justinmazimba8335 Год назад
Like kwa lisu
@christopherobinya9874
@christopherobinya9874 Год назад
Watesi wako wapo mikononi Mwa Mungu yeye atalipa Kwa hayo mabaya. Na kamwe hawataishi maisha marefu watapita na wewe utabaki. Mungu ni mwema sana.
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Kaka pole sana ila mungu ni mwema
@marthasiliro6386
@marthasiliro6386 Год назад
Long live baba,Taifa hili linakuhitaji,MUNGU ana makusudi take juu Yako,na gumbo hili lina maana kubwa sana kwako.....!
@KUBANDA53
@KUBANDA53 Год назад
Inasikitisha Sana, inaumiza Sana na inaudhunisha Sanaaaaa@Tundu lisu mungu akusimamie zaidiiiii wewe Ni super katika uongoz wako,,,, nakwenda singida kukupokea kaka
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Год назад
Pole sana nafikiri waliotenda unyama huo nafikiri wanajutia Mungu ni mkubwa na waelewe hivo dunia hii si mali yetu ina mwenyewe udhalimu hautadumu na wanao shabikia udhalimu watajuta
@deokibona2835
@deokibona2835 Год назад
Hili tukio liliniumiza sana sana. Yaani sitaki hata kulikumbuka. Pole sana Lissu.
@nayerabudebu5974
@nayerabudebu5974 Год назад
Yet mnasifu Magufuli alikuwa mwema
@deokibona2835
@deokibona2835 Год назад
@@nayerabudebu5974 sijawahi kumsifu Magufuli mie. Kilichonifanya nimpinge tangu mwanzo ni ukandamizaji aliokuwa anaufanya na kudhibiti vyombo vya Habari. Hakuna kiongozi mwema anayeweza kuvinyamazisha vyombo vya habari, ni fisadi peke yake ndio anaweza kifanya hivyo.
@erastojackson9397
@erastojackson9397 Год назад
Nimependa watu wanavyo comment kumbe kunawatu wanahofu ya Mungu duniani endeleeni kumuombea maisha marefu Lisu, wale Akina Kangi ligola ambawo walikua Mambo ya ndani alikua akijibu maswali kwa kejeli wakati ule Mungu bado anashung'ulika nao Sasa aibu imewajaa walifikiri atakufa, naamini hawata sikia kifo Cha Lisu, Lisu ndiyo atashuhudia vifo vyao.
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 Год назад
Kwa Lissu it was a life changing moment,kwa mama as for now ni LIFE OPPORTUNITY ktk uwanja wa kisiasa
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 Год назад
Pole sana mzalendo Mungu ni juu ya yote Asante Yesu Mwokozi
@williamjames8190
@williamjames8190 Год назад
Mungu Ni Mwema Mh:Lissu Kama Ameweza Kukupitisha Katika Hili Basi Hakuna Wakukuteteresha Katika Hii Dunia
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 Год назад
Lisu umefanya nizid kukupenda wallah
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 Год назад
Siasa yetu ilifika pabaya sana Mungu asimamie hili tuepukane na haya mambo
@daimavlog
@daimavlog Год назад
Mungu alisimamia mpendwa, akatufungia udikteta mapema
@abellabv
@abellabv Год назад
Mungu ni mwema sana. Wabarikiwe sana wote waliokusaidia.
@princeriwa4000
@princeriwa4000 Год назад
Pole sana kamanda Malaika walinzi wakulinde na kukupa maisha matefu hapa duniani
@davidsilwamba2465
@davidsilwamba2465 Год назад
Pole Sana honourable lisu hakika mungu nimwenye rehema
@drsumatz7539
@drsumatz7539 Год назад
Mh Lisu zidisha imani kwa Mungu na Hakika kupitia miujiza juu yabtukio hili tumejifunza Sana kuwa kumbe haya mambo sio historia tuuza kale ila tumeona miujiza na baadh wakalipwa ubaya huo na Mungu moja kwa moja
@josephgregory9843
@josephgregory9843 Год назад
Mungu yu pamoja nawe mwamba utaishi sana
@paschalmartin9598
@paschalmartin9598 Год назад
Mungu yupo na wanadamu wote acha unafiki
@robarthpeter
@robarthpeter Год назад
Kumbe alipigwa lisansi akiwa nanjaa Mungu alimuokoa
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv Год назад
@@robarthpeter kwakweli Daaaah
@benedictomahendeka7156
@benedictomahendeka7156 Год назад
hakika Ukuu wa Mungu Ni wa ajabu sana GOD hatuna cha kukulipa ila tunasema asante sana kwa kuendelea kutuonyesha ukuu wako yaliyotabiriwa kwenye biblia hakika ndo yanayotokea eeeeeeh mwenyezi mungu nifundishe kunyamaza umetufundisha mengi sana kupiti LISSU
@glorysungura3180
@glorysungura3180 Год назад
Pole sana, jina la BWANA LIBARIKIWE. MUNGU NI MWEMA SANA. Kama siku za kuondoka duniani bado zipo, utapona tu hata iweje. Dah, moyo umeniuma sana. Nasikia maumivu makali moyoni mwangu. Jipe moyo mpendwa, KISASI NI CHA BWANA. MWACHIE MUNGU HAKIMU WA HAKI, YEYE HAPOKEI RUSHWA. ATAHUKUMU TU IPO SIKU.
@emmanuelisarria6321
@emmanuelisarria6321 Год назад
Mungu ni mwem usiogope
@robertzingu9889
@robertzingu9889 2 месяца назад
Hakika Tundu Lissu ni mwanadamu wa pekee. Na wewe ni mwanaume. Pamoja na tukio hili baya kabisa kukutokea, lakini uko vilevile, huna ubaya na mtu. Tundu you're really very special person. God loves you very much. Mpe utukufu na heshima yeye peke yake
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 Год назад
Unyama wabinadamu niwakipumbavu, kwasababu yakujisahau, maisha yabinadam nibahati tu kutoka kwamwenyezimungu, eemungu tusaidiye utuepushe napepo wabaya wanchihii
@jujajony905
@jujajony905 Год назад
Ni ngum ata kusikiliza, very emotion.
@faustaarobogast8978
@faustaarobogast8978 Год назад
Pole Sana baba lisu mungu Ni mwema
@mashauriobedi6290
@mashauriobedi6290 Год назад
Mungu Ndio mpangaji ila Si binadamu, Pole Sana Lissu kwa madhira hayo uliyopitia kwa kuwasemea wa Tanzania wanaojita machawa.
@remmyalfred6736
@remmyalfred6736 Год назад
Pole sana. Mungu azidi kukutetea Mungu amewaokoa na akampa hekima dereva kufanya alichofanya. Utukufu Kwa Mungu,
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Год назад
Hii inaitwa mungu mkubwa mshukuru mungu Mara zote tena
@mossesmuhanuzi5154
@mossesmuhanuzi5154 Год назад
Mungu atuepushe na mipango ya wanadamu
@stateofart1089
@stateofart1089 Год назад
Magufuli kafa Lissu mzima, Lowasa mzima acheni Mungu aitwe Mungu. Watanzania tuache upumbavu nchi yetu ni ya amani tuache uoga wapinzani wapo kwa ajili ya maendeleo ya nchi kama CCM wote ni wanasiasa na ni watanzania.Tujifunze kwa wamarekani leo upinzani kesho chama tawala wanabadilishana
@alfredmarti3131
@alfredmarti3131 Год назад
Sijui kama watakuelewa. Ni fact.
@stateofart1089
@stateofart1089 Год назад
@@alfredmarti3131 Bro wabongo Mungu aturehemu tu hakika nadhani bora kupaza mawazo yetu tu, ni wachache tunaelewana tuwaombee na wengine wengi wafungue macho yao na tuendelee kuipenda nchi yetu.
@khadijaomary9324
@khadijaomary9324 Год назад
Kiongozi hongera hakika unapamba juu ya chama na mungu akuongezee baraka tele wanyooshe unajuwa serikali hii imejaa mafisadi weng Sana rushwa Kama zote adi tulishaachoka
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 Год назад
Dah story hii imeniumiza sanaa😭😭😭😭kwel Mungu akiamua kukupigania anakupigania kwel kwel,,kwel vita ya Mwanadamu mwachie Mungu,,Lisu Mungu amekuacha kwa sababu kubwa sanaa,,,aliyetaka ufe yy katangulia,sijui leo anajibu nn hko?Acha Mungu aitwe Mungu
@edmundrutahiwa
@edmundrutahiwa Год назад
Different days months and years but same story...kupigwaa risasi kupigwaa risasi mzee tushajuaa tushakuombea na thanks umerudi bongo salama...weka sera mezani sasa na acha kutafuta huruma...kura hupati kwa kuonewaa huruma kura unapata kwa nn utafanyaa au nn umefanya
@ms_teeonly
@ms_teeonly Год назад
Pole sana Mungu ni mwema
@bellasi349
@bellasi349 Год назад
Pumbavu zako iki kijamaa kinatetea ushoga sibora ungekufa hizo hadisi zako zimepitwa n'a wakati n'a uo mwandishi jinga lingine izo habari nani hazijui kwani mpaka muweke iyo kipindi nyumbu wakubwa
@the_white_43.
@the_white_43. Год назад
@@bellasi349 wewe ni mkundu kama mikundu mingine,....Lissu hajawahi kutetea ushoga hizo siasa za maji taka peleka matakoni ...mkundu wewe ... mmekazana ushoga ushoga ushoga unatombwa nini /....
@the_white_43.
@the_white_43. Год назад
@@bellasi349 wewe ni kamkundu tu.
@danielmatya373
@danielmatya373 Год назад
Mungu Mkali Kafa yeye kamuacha mwamba bdo anahema Glory to God
@TheRonoTV2024
@TheRonoTV2024 7 месяцев назад
Kosa kubwa sana;Ukihisi au kuona inafuatwa na watu wasio julikana usielekee nyumbani au kokote unakoeenda maana unajiingiza mtegoni wanakokutaka maadui. Badilisha mkondo na uelekee kwa kasi kati nafasi yoyote ya umma mfano hospitali,duka kuu,kituo cha polisi etc.hapo utawanyima maadui nafasi ya kukushambulia faraghani.
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Год назад
Kazi ya Magufuli hiyo... Huyo Mshikaji wa kisukuma alikuwa mpumbavu sana
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
Alikua na roho mbaya sana
@becare2300
@becare2300 Год назад
Nikweli magufuli alikuwa Ana mambo ya ajabuuu san
@pendaelimkumbo
@pendaelimkumbo Год назад
pole sana ila malipo ni hapa hapa duniani ..... mwache mungu aitwe mungu
@farajasallah2338
@farajasallah2338 Год назад
Pole Sana jamani, niliumia mnoo, karibu Tz kazi iendelee
@shedracklyamuya9670
@shedracklyamuya9670 Год назад
Mungu anakupenda ❤️❤️
@laurenceekway9451
@laurenceekway9451 Год назад
Pole mteule wa mungu Gina la mungu liimidiwe amemi
@danielmushi5755
@danielmushi5755 Год назад
Pole sana Lissu,Mungu ni mwema wakati wote.🙏🙏
@esterpius7423
@esterpius7423 Год назад
Mungu atukuzwe na aendelee kukutunza. Waliofanya hicho kitendo Mungu ahusike nao
@amosmichael8986
@amosmichael8986 Год назад
Mungu atupe mwisho mwema
@mwl.frankmadembo7472
@mwl.frankmadembo7472 Год назад
Mungu amekusaidia tafsiri yake Kuna mask mbele. Jipange lakini tengeneza mahusiano Yako na Mungu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Huyo hana mahusiano na mungu katawaliwa na matusi na kumkashifu mwendazake magufuli na marais wengine hauwezekani kila Rais mbaya yeye nani anatumiwa huyo
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt Год назад
We imekuaje kuwa hana mahusiano na Mungu
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Год назад
Huyu ni mteule tayari..na nchi tutajiuliza wakati wake ukifika,atafanya mambo mengi ya kuishangaza dunia .God I hope it will be soon.niliomba sana upone,sasa naomba tena
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 Год назад
Mungu yupo pamoja na wewe mwamba
@emmanicko1535
@emmanicko1535 Год назад
Inauma sana 😭😭 ila Mungu mwema kwakweli
@geoffreykilawe3953
@geoffreykilawe3953 Год назад
Mungu anakupenda sana Tundulisu, azidi kukutunza. Tunatamani urudi bungeni mwaka 2025.
@obedwilliam5906
@obedwilliam5906 Год назад
Vibaraka wa ccm hao ila mungu ni mwema malipo ni hapa hapa dunian pole sana Mr lisu
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Год назад
Polesana. Binadamu tunaunyama sana
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
Huyu baba ana maisha marefu sana..
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 Год назад
anaejua siri ya maisha marefu ya mjawake ni Mungu / Kuna watu wamepigwa mabomu hasa kenye vita ya kagera na pia wako hai sio yeye tuu
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 Год назад
NAHAKUNA MAISHA MAREFU KWA MJA NABII SULEIMAN AMEISHI ZAIDI YA MIAKA MIA NANE LAKINI ALIKUFA MUDA ULIPOFIKA SASA WEWE USITABIRI YA MUNGU
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
@@moodyzanzibar4336 kwa kupigwa kule,kuvuja damu kule kumenifanya niamnini ataishi sana....
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Год назад
@@moodyzanzibar4336 Na atakufa kwa wakati wa Mungu sio binadamu.
@mussakasela1937
@mussakasela1937 Год назад
Halafu hato kufo milele
@josephkulija293
@josephkulija293 Год назад
Acha Mungu aitwe Mungu. Jina la Mungu lihimidiwe.
@festohaule9716
@festohaule9716 Год назад
Amini usiamini Mungu yupo..pole lisu pole chadema.. pole Demokrasia!!!!!?
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Pole SN brother yote hii kutetea wananchi wako Ila MUNGU NDO ANAJUA MWISHO WAKO NIMEKUSIKILIZA HUKU MWISHO NIMETOA MACHOZI MUNGU AKAFANYE JAMBO KWA WALIOFANYA UNYAMA HUUU..
@RosemaryNjiku
@RosemaryNjiku Месяц назад
Mhe. Tundu lissu mungu atakulipia Kwa yote waliokufanyia
@lucaskuseroi119
@lucaskuseroi119 Год назад
Kweli mshukuru mungu alikulinda Kwa bidii Mrs
@asnathmasegenya9890
@asnathmasegenya9890 Год назад
Pole sana storyimeniumiza mno
@aishaswalehe6848
@aishaswalehe6848 Год назад
Mungu yupo kamanda tunazidi kukuombea 🙏🏾🙏🏾
@msabahaali758
@msabahaali758 Год назад
pole my lissu kura yangu nilikupa na nabaki na imani nawe sitaangalia dini wala u zanzibar nitaangalia gonna zako
@KUBANDA53
@KUBANDA53 Год назад
Pole Sana kaka machoz yamenitoka walai,
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Год назад
LISSU hilo tukio lilikua baya sana hua anaongea kwa uchungu mpaka wengne wanalia MUNGU akusimamie akupe nguvu akulinde Sana kama alivokupingania kwenye uhai wako
@jonasg5630
@jonasg5630 Год назад
Aliyetaka kukuua yuko wapi?? Kama Mungu hajaamua ufe, hautakufa. Naendelea kukupa pole sana Lisu.
@lissagalla7839
@lissagalla7839 Год назад
Bado hatujamalizana nae...ameisaliti sana nchi yetu huyu.
@vicentsalum4884
@vicentsalum4884 Год назад
Mungu azidi kukutia nguvu Mh. Tundu Lissu
@ludatoke2451
@ludatoke2451 Год назад
Pole sana kamanda tuvushe lisu CCM wameshachoka
@renatusdeogratias2108
@renatusdeogratias2108 Год назад
Lissu pole sana machozi yananitoka
@jonathanmnyone4003
@jonathanmnyone4003 Год назад
Kuna kazi bado hujaifanya hapa duniani -Tanzania Mungu anataka uifanye. Vinginevyo angeruhusu uondoke. Msikilize Mungu atakueleza cha kuifanyia hii nchi.
@ramadhanimtambo6755
@ramadhanimtambo6755 Год назад
Hapa tutayasikia mengi huyu mh nadhani mungu alimuweka makusudi Ili tujue maovu yaliyofanywa .
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 Год назад
Mungu ni mwema
@habibukassam9702
@habibukassam9702 Год назад
Mungu anakupenda kwa utetezi wa nchi kafa yy we upo hai na mungu atakulinda
@meggygitau4079
@meggygitau4079 Год назад
Mungu ni Mungu na maajabu yake jamani 🙏
@lemausontz3513
@lemausontz3513 Год назад
Mh T Lisu home boy Mungu anakulinda na Bado anakulinda kusudi utimize kusudi alilokupa maana Yote haya yeye anayajua Sabu yeye anakujua tangu upo tumbon mwa Mama Anajua utapti mapito magumu lakin kusudi lake litatimia Wala maadui hataweza Tena na utakaa juuu yaoo
@erastomadary2891
@erastomadary2891 Год назад
Mungu mkubwa hiyo siku hata chakula kilikuwa haliki
@kassim1262
@kassim1262 Год назад
Ukiona mtu anapingana na tundu lissu kwanza huyo nimiongoni mwawatu wasiojuilikana wauwaji ambao hawana utu wapo tayari kuua kwakisingizio chamaendeleo kibaya zaidi hata mipango yamungu hawaiyamini manaake wanajua tundu lissu kapigwa risasi nyengi tu lakin kwamipango tu yamungu bado anaishi lakin watu wasiojuilikana bado wanapinga mipango yamungu wanaanza kujuilikna mitandaoni watu hatari sana kwataifa
@FaustinaWarioba-zq2tx
@FaustinaWarioba-zq2tx 11 месяцев назад
Mbeee! Mungu anajua kuhuisha uhai wake....
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 Год назад
God's enormous power is definitely unlimited.
@PPLPPL-ld3vu
@PPLPPL-ld3vu Год назад
Mungu,mkubwa,naomba,umtegemee,sana,ishalla,ataendelea,kuwa,fedhesha,hataakhera,pole,nduguyangu.
@davidelisha4455
@davidelisha4455 Год назад
Pole Sana baba Mungu yupo pamja nawe
@ngasarichard1443
@ngasarichard1443 Год назад
Mungu akusaidia walio panga kukuua mungu atakuja kuwafanyia kibaya nawao zaidi yahicho walicho kufanyia mwamba
@samsonsakwa-sg4du
@samsonsakwa-sg4du 8 месяцев назад
Pole sana umenitoa machoz umepita magumu sana
@opiyowilson3640
@opiyowilson3640 Год назад
God is OMNIPRESENT.
@unt_folly
@unt_folly Год назад
Magufuli alijaribu kukuua ila akafa yeye mbele yako. Twamshukuru Maulana kwa kumpokonya Uhau dikiteta Magufuli.
@danielntengwi7699
@danielntengwi7699 Год назад
Pole sana Tundu .
@asteriamtui219
@asteriamtui219 Год назад
Mungu Ni mkuu, sitakaa nikasahau hili tukio la huyu baba, Mungu hatakuacha
@maxcharles5436
@maxcharles5436 Год назад
mungu mkubwa sasa aliye fanya ivo yy yupo wap
@mumbesophia-jd3lt
@mumbesophia-jd3lt Год назад
Daa pole sana mungu yupo nawe
@wilfredjohn4829
@wilfredjohn4829 Год назад
Kuna muda nasema MUNGU YUPO NAWE HAKIKA..
@joaneskailembo4485
@joaneskailembo4485 Год назад
Alichokipanga Mungu kwa ajili yako kitatimia tu na wote watashangaa HASA CCM na watajulikana waliofanya unyama huo
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Год назад
Ndio maana limetangulia lenyewe kule. Mungu ni mkubwa.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Год назад
Venance unachekesha😆😆😆eti ndio maana limetagulia lenyewe kule😂😂
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Год назад
@@bonnyngowo7567 Chuki ni mbaya sana. Jitu unakuwa na chuki halafu hushauliki ni hatari sana. Mbaya zaidi unapojiinua zaidi kuliko Mungu aliekuumba ,hapo lazima utangulie tuu.
@brother_majesty
@brother_majesty Год назад
Wanamtega..ajichanganye. Na yeye yuko makini haswa
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Год назад
Duhuuuuu akia mungu mwendazake attopokelewa mbinguni kamwe muuaji yule