Inaonyesha dida alikuwa mtoaji sio mchoyo alikuwa na huruma...basi mungu amsamehe kwa madhambi yake na mungu amfanyie wepes kwenye kaburi lake amuondolee adhabu ya kaburi.Mwenyezi Mungu alitanue kabuli lake aliangaze na kabuli lake liwe miongoni mwa viwanja vya pepo inshallah amin
Kwakweli naamini kweli mlikua karibu maana nakumbuka nilikua na shughuli y mdogo wng nikamuimba dida awe MC lakini alikwambia ww ndo uje alikupa tenda maskini ukaja kuifanya shughuli yetu
Watu wa aina hi kama Dada Didah hua hawaishigi miaka mingi kwani mungu anajua huenda akatleza ko anawachukua mapema ili aware sitaiki yake dada didah mumzika kwa amani