dada witness napenda the way unavowapa watu maskio ya kuwasilikiliza wakat ukiwa unawauliza maswali ni jambo zuri hauwakatishi mazungumzo yao ila pia huyu dada anaongea taratibu na anachambua vizur kwa vituo so ni jabo jema ila ivi ufaransa kuna fursa gani iwe kimasomo (scholarship) au kazi, internship and all of that maana hakuongea kiundani aligusa tu kidg kwenye masuala ya kazi🙂
Habari wapendwa. Naombeni mumsapoti dada yangu kwa kusubscribe kwenye channel yake ya youtube . Ili ujumbe uwafikie wengi kuhusu kazi ya jamii anayofanya. Link hii hapa youtube.com/@mauaasc3750
❤️ Nimejifunza kitu, kuhusu kuchangamka , Kwakuwa najuwa kusuka na kushona kumbe naweza changamka hata na ufundi wangu huu, 🙏 Ubarikiwe cic Witness, God bless you all thanks
❤️ Nimejifunza kitu, kuhusu kuchangamka , Kwakuwa najuwa kusuka na kushona kumbe naweza changamka hata na ufundi wangu huu, 🙏 Ubarikiwe cic Witness, God bless you all thanks
@@Witnessvlog Kwahiyo hata Kama najuwa lugha kidogo naweza ingia ughaibuni na kujifunzia huko? Na kama kipato changu Cha kawaida naanzaje kuja na mdogo mdogo na mwisho kupata paper za kazi, ukaazi na kundeleza ujuzi wangu huko? Naomba idea kipenzi