Тёмный

"NI UONGO, NIFUTENI, WEWE NDO NAKUTAKA" MVUTANO MKALI, UFISADI WAFICHUKA MBELE YA MAKONDA 

Uhondo TV
Подписаться 581 тыс.
Просмотров 315 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

23 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 289   
@costantinejohn-xn6lw
@costantinejohn-xn6lw 5 месяцев назад
Magufuli kwenye mwili wa Makonda..... Eeh mungu tunakushukuru!!!!
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 5 месяцев назад
Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu Mwenez Ccm inogile
@KogaDenha-yy8lt
@KogaDenha-yy8lt 5 месяцев назад
Mweshimiwa makonda mwenyezi mungu Akulinde Akukinge na Kila baya Akutunze uendelee kusaidia watanzania tunakuomba sana
@jaylossiame3077
@jaylossiame3077 5 месяцев назад
Huyu mwamba 🎉🎉❤❤ Ungewai kuja hiki cheo walikuwa walikuwa wapi kukupatia. Mungu akupe uhai mrefu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 месяцев назад
Uhakika hao wengine akina pole pole walikuwa wapiga mapambio
@dennishyera5448
@dennishyera5448 5 месяцев назад
Duu! Tanzania tunakazi kuna mijitu haina upendo, Mh Makonda big up,kazi nzuri ila uko pekeyako. God bles you.
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 5 месяцев назад
Ww hayuko pekeake uyo ..kapewa kazi maalum na ana watu uyo..na Ujue watu walimbeza sana mwanzoni
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 5 месяцев назад
Mh makonda nakupenda sana na siku nikikuona nitapambana nikushike mkono ata kwa kupigwa na walinzi wako💯💯
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 5 месяцев назад
Hahahaaaa
@kosherasengasu5093
@kosherasengasu5093 5 месяцев назад
Hongera Sana mheshimiwa Makonda Kwa utendaji wako uliotukuka.
@user-qz7dk1tt2e
@user-qz7dk1tt2e 5 месяцев назад
mungu akulinde siku zako zote
@EmmanuelMwakyendenge-fd2mz
@EmmanuelMwakyendenge-fd2mz 5 месяцев назад
Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 5 месяцев назад
Safi kabisa Paul na mungu akutangulie.
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 5 месяцев назад
Kama ndivyo askari wako walikua wanamkamata diwani kwa lipi
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 5 месяцев назад
Au wanamuweka ndani au kumuita ili iweje
@MathewPhilip-cf4xw
@MathewPhilip-cf4xw 4 месяца назад
​@@omaryjudasymwanga7172❤❤❤❤❤❤❤❤
@kulwaemmanuel2875
@kulwaemmanuel2875 5 месяцев назад
Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.
@beatrice4780
@beatrice4780 5 месяцев назад
❤AMEN. Mungu azidi kumuinua.
@user-xh5ds2mb5w
@user-xh5ds2mb5w 5 месяцев назад
Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.
@margaretkato5178
@margaretkato5178 5 месяцев назад
Hata mimi machozi yamenitoka
@MichaelJames-tp6co
@MichaelJames-tp6co 5 месяцев назад
Mh. Makonda hongera umakua matumaini tena kwa watanzania
@user-hx3mq5fg7v
@user-hx3mq5fg7v 5 месяцев назад
Cheo ulichonacho Ndg Makonda nahisi n kidogo na hakina meno. Nakuombea kwa Mungu upande zaid ya hapo hili utusaidie Watanzania.
@spendjulius-qz9mt
@spendjulius-qz9mt 5 месяцев назад
Good Mr. Makonda the next President 💪🏿
@gracewayanga7509
@gracewayanga7509 5 месяцев назад
Mh Makonda mungu akupe maisha marefu
@njuka3515
@njuka3515 5 месяцев назад
The coming presdent paul makonda❤
@saimonntani6831
@saimonntani6831 5 месяцев назад
Sasa mazungumzo yanini wakati mnasema mwekezaji alifutiwa kweli bongo nyoso😂😢😅
@user-qq3fg3kq5j
@user-qq3fg3kq5j 5 месяцев назад
Mh Rais tunashukuru Kwa kumteua Makonda ombi langu kama itakupendeza mteue na polepole washirikiane na huyu mwamba
@user-jf1sq7lk4g
@user-jf1sq7lk4g 5 месяцев назад
Hongera sana mh. Makonda kazi yako ni nzuri sana Mungu akulinde usiku na mchana.
@dassustephen731
@dassustephen731 5 месяцев назад
Huyu so Rais WA nchi Hana mamlaka yoyote.Hayo NI maigizo Tu Magufuli ndo aliweza hayo na alikuwa na mamlaka akiwa Rai's WA nchi
@user-uz9kn3kv8t
@user-uz9kn3kv8t 5 месяцев назад
Mh pomakonda nakupenda sana umenikumbusha mbalisanaa
@user-rd8cg7su6v
@user-rd8cg7su6v 5 месяцев назад
Kweli makonda anafanya nyayo za hayati magufuli
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome 5 месяцев назад
Ni kweli kabisa wafanyakazi wa ardhi ndiyo chanzo cha migogolo na hata Mkoa wa Kagera mpaangalie kwa jicho la pili
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂Makonda Oyeeeeeeeee kuwaa.uyaonee😂😂😂😂😂😂😂 Manyaraa nziiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂
@mbematv7588
@mbematv7588 5 месяцев назад
Good too! 🇹🇿
@MwanneHussen
@MwanneHussen 5 месяцев назад
Safi sana Makonda wakomeshe watanyooka tu hao mungu akulinde❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@deogratiusmgute5983
@deogratiusmgute5983 5 месяцев назад
Excellent Dc
@mistahkeytvkenya4211
@mistahkeytvkenya4211 Месяц назад
Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr 21 день назад
Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 5 месяцев назад
Diwaani pita hapa Safiiii..mh MAKONDA.❤❤❤❤
@user-cu3dg8xd7q
@user-cu3dg8xd7q 5 месяцев назад
Makinda amebadilika sana utoto umemtoka amekua sasa anajua majukumu . Kudoss to his mentor hayati magufuli😢
@ndayizigasamson665
@ndayizigasamson665 4 месяца назад
Aise mweshimiwa Makonda MUNGU akupemaisha marefu yakuwasaidia wananchi. Mwenyewe nimeipenda.
@kantategodwin6627
@kantategodwin6627 22 дня назад
Hongera sana Makonda ❤
@LalasalamaBB
@LalasalamaBB 27 дней назад
Mungu akulinde makonda sio rahisi kazi unayoifanya maadui wko.kma ungekuwa kwetu Kenya ungekuwa zaidi ya ruto
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 27 дней назад
M.mungu atakubariki makonda
@Pastorsteverotali
@Pastorsteverotali 5 месяцев назад
MAKONDA UNASTAHILI KABISA KUONGOZA HII NCHI NA WATU WAKANYOOSHWA KAMA ALIVYO WANYOOSHA MAGUFULI
@user-kd3ky8tb4v
@user-kd3ky8tb4v 5 месяцев назад
Hapa kwa makonda nakiona kiatu alichokua akikivaa magufuli taar kimepat mrithi . Mungu akulinde mh makonda
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 5 месяцев назад
Mwenyezi mungu akubariki na akulinde saana 🎉❤paul makonda
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 5 месяцев назад
Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen
@costantinejohn-xn6lw
@costantinejohn-xn6lw 5 месяцев назад
Duuuuuh kwenye kazi Kuna kazi
@user-vf6qm9ek7r
@user-vf6qm9ek7r 5 месяцев назад
Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 3 месяца назад
Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 17 дней назад
Namimi pia❤
@BrunoMakweta-dm5sb
@BrunoMakweta-dm5sb 5 месяцев назад
Diwan naomba apande cheo
@margaretkato5178
@margaretkato5178 5 месяцев назад
Diwani anafaa sana, anaongea vyema..bigup....na kijana Makonda you are doing wonders.
@annejacobilkiuyoni2971
@annejacobilkiuyoni2971 5 месяцев назад
Mungu akulinde🙏
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 4 месяца назад
Hii kazi ilipendeza aifanye waziri mkuu ila ccm mjitafakari muda ni mrefu miaka zaidi ya 60 hatukupashwa kuyasikia haya ya enzi za ukoloni
@hassanyohna6121
@hassanyohna6121 5 месяцев назад
Makonda Ukuje na kwetu Kunamajizi hatareee
@Ms05195
@Ms05195 5 месяцев назад
Diwani upo sawa sana nice one
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 5 месяцев назад
Kazi ipo sana
@SuzanaPokella
@SuzanaPokella Месяц назад
Uko vizuri sana kiongozi
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 месяцев назад
Watalaam wengi ni biashara binafsi.Wanamezwa na,kwenye ukwasi Kuishi eneo moja kwa miaka mingi mtumishi mtalaam nalo nitatizo.
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 5 месяцев назад
Makondakm magufuli wetu jmniii Mungu mwema akubariki Sanaaaa Baba....maombi yetu hayatakuwa bureeeee aminaaa
@florencemeza6540
@florencemeza6540 5 месяцев назад
Wananchi wanateseka saana leo hii mtu kama Rostam anawekwa ni tajiri Africa kupitia uwekezaji wa ajabu
@misembe
@misembe 5 месяцев назад
Safi sana makonda
@cvaginga9956
@cvaginga9956 5 месяцев назад
HONGERA SANA MHESHIMIWA MAKONDA. MTU KAZI. HUNA MBA MBA MBA. TUPO NYUMA YAKO. KAZI IENDELEE
@MichaelRobert-ot9zh
@MichaelRobert-ot9zh 5 месяцев назад
Uko vizuri Sana mueshimiwa makonda
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 5 месяцев назад
Jiwe walilolikataa wash @Makonda Mwenyez Mungu akutie nguvu ndugu yangu
@AnoliasiKope
@AnoliasiKope Месяц назад
Mungu nimwema
@bonifacemushijoseph9382
@bonifacemushijoseph9382 Месяц назад
Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine
@npiperito19
@npiperito19 29 дней назад
Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 месяцев назад
Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge
@HamadSwaleh-f9i
@HamadSwaleh-f9i 23 дня назад
Next president bila kupingwa
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 3 месяца назад
wakisema unakiherehere bora uwajibu nawatengenezea nchi nzuri watoto na kizazi endelevu waishi kwa haki na furaha na kuichukia tamaa"
@allyfutto8763
@allyfutto8763 5 месяцев назад
Big up to makonda watu wabadirike wawache Ufisadi 🇹🇿💪🏿
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 месяцев назад
Hii nchi haki haipo yan kuna uozo sana wananchi wanalia
@ev.manassehbayori8560
@ev.manassehbayori8560 4 месяца назад
Kwa kwerli mzimu wa Magu umerudi katika nafsi ya Makonda
@dorcusnkwao5714
@dorcusnkwao5714 5 месяцев назад
Big up katibu mwenezi
@user-pz9by1ml2x
@user-pz9by1ml2x 5 месяцев назад
Yani nchi hii watu kama Makonda yatakiwa muwe kama mia mbili ndo mtaiweza hii nchi
@robertmbuji1903
@robertmbuji1903 5 месяцев назад
Kidum chama chetu hicho chuma sasa, Mungu akujalie
@akidabakary9198
@akidabakary9198 5 месяцев назад
Semaa,usiogope semaa
@chalespamagila4783
@chalespamagila4783 5 месяцев назад
Makonda ipo siku mungu utaongoza hii inchi
@user-ho7er6en5x
@user-ho7er6en5x 5 месяцев назад
Mungu akulinde makonda namimi nimezurumiwa ardhi namwanangu
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu Месяц назад
Sasa mwana kakudhulum au kachukuwa cha mzee wake
@user-yr1cb2ql1h
@user-yr1cb2ql1h 5 месяцев назад
No ya mheshimiwa makonda inapatikana
@henrykanyumi6882
@henrykanyumi6882 5 месяцев назад
Mungu aifariji family na watanzania wote
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад
Haya ndio tunayataks,
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 5 месяцев назад
Pole sana diwani wewe nimsema kweli
@an-noormedia2881
@an-noormedia2881 5 месяцев назад
Dc mzuri saana maashallah
@user-yc1tm4hp4n
@user-yc1tm4hp4n 3 месяца назад
Mh. Mungu akulinde kwa kila baya. Na hao wanaokushutumu Mungu awalani. Mh.Makonda Tanga umepita lakini hukusikiliza kero. Tanga kumeoza ofisi ya ardhi ndio chanzo kikubwa cha migogoro. Lugha zisizo ridhisha. Mh. Kuhamisha sio suluhu yeyote ahusikae na tatizo awajibishwe ili iwe funzo kwa wengine. Kwani huwa wanafubwa macho na wanazibwa masikio na wenye hela na kushikiana na baadhi ya wenyeviti ambao husema umechelewa Magufuli amekufa. Hii sijui inamanisha nini.
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 3 месяца назад
nyoosha mzeee usiwe na huruma kwa wasiotenda haki " usiogope kulogwa wala kufa maana kufa kupo tuu" piga kazi kaka
@FelgusShija
@FelgusShija 5 месяцев назад
Wanazingua
@amosmangura
@amosmangura 5 месяцев назад
Tanzania
@fidahusseinkassim9778
@fidahusseinkassim9778 5 месяцев назад
Huyu si ndo yule fisadi
@kingmartine0158
@kingmartine0158 5 месяцев назад
Naamini na lazima itatokea na siyo muda, "President Makonda" ndiyo ataiweza hii nchi, Sisi wasukuma tunajua kuongoza na kutawala
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 месяцев назад
Mh Mwenezi kuna box limefungwa la siri(Ebu wasaidie wananchi hao na diwani wao box hilo lifunguliwe.
@user-rz2qs6or3w
@user-rz2qs6or3w 5 месяцев назад
Wekizizi!!!!
@user-bv4mi2wo8o
@user-bv4mi2wo8o 5 месяцев назад
Safi sana makonda wanyoshe sana
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 5 месяцев назад
Kazi hii pia ingefanywa na wazili ofisi ya rais temisemi tukupe hongera
@user-on2ob2jf1x
@user-on2ob2jf1x 5 месяцев назад
Kimeumana
@maigarasamwel8441
@maigarasamwel8441 3 месяца назад
Huyu ndo diwani sasa👏
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 24 дня назад
Kihalali kabisa sioni haja kuwapora Wananchi Mali zao zozote hasa hata haya mashamba, thamani ni mwenye shamba auze shamba lake kwa anaemtaka, au kwa anaowataka.
@alishamlan7434
@alishamlan7434 5 месяцев назад
Makonda deserves to be the world president
@ElizabethFesto-fv2ku
@ElizabethFesto-fv2ku 5 месяцев назад
Hao ndiyo wanao haribu sifa ya serikali yetu
@user-sy3qw2zk1b
@user-sy3qw2zk1b 5 месяцев назад
Msaidie mama kuondoa madudu haya makonda.!!!
@stevenshija2848
@stevenshija2848 5 месяцев назад
Huyu mkuu wa wilaya safi sana 🔥🔥🔥
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 5 месяцев назад
Mungu akutunze mweshimiwa makonda mama wetu akukosea pia uwaminifuhuo uwedaima mpa upate kitichauraisi
@ev.manassehbayori8560
@ev.manassehbayori8560 4 месяца назад
Makonda umenifurahisha kwa kweli naona utendaji kazi wa Magufuli
@boazmvellah6286
@boazmvellah6286 5 месяцев назад
SISIEMU WANATUCHEZEA KAMA PS2😂😂😂😂😂
@dassustephen731
@dassustephen731 5 месяцев назад
Maigizo ya kitoto sana
@sabinamachange6040
@sabinamachange6040 5 месяцев назад
Ccm wanatuchezea akili ili tuendelee kuwaamini waigizaji hao hamna lolote 😂😂😂
@user-kf6gy9tc9v
@user-kf6gy9tc9v 5 месяцев назад
Siasa weee nakukubari mzee siasa
@BrunoMakweta-dm5sb
@BrunoMakweta-dm5sb 5 месяцев назад
Daa mngu akulinde muheshmia unakiatu kzto mtu mngne hawez kukivaa mngu skulinde mheshmiwa
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 5 месяцев назад
Ona mzee anavyowanyoosha viongozi kwamba uongozi haupo vizuri kwenye maamuzi
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 5 месяцев назад
Makonda makonda makonda ardhi huwa ni ya serikali na Rais ana mamlaka ya kuigawa kwa wananchi ili waendeleze sasa sijajua kama cheo chako kiko juu ya Rais
@MalakiGerald-bh5jv
@MalakiGerald-bh5jv 5 месяцев назад
Serikali ya CCM inatesa sana wananchi...haya yote yanatendeka chini ya serikali ya CCM.AIBU SANA
@ikajiissa6556
@ikajiissa6556 4 месяца назад
Makonda mungu akulinde wewenimwamba
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 месяцев назад
Jibu ndio au hapana sio maelezo.
Далее
Beautiful game!😍
00:20
Просмотров 2,4 млн
CHEKI HAYO MAPOKEZI YA LEKAITA SUNYA KAMA MAKONDA VILE
4:33