yan bhas tu sina cha kusema ..maana rahaaa mpaka sijui ufanyaje..kama mbinguni vile..kumbe mwendo bado.. jaman Mungu awabariki sana na mzidi kudumu katika kazi hii njema ya Bwana
🇮🇩 trima kasih buat teman teman di tanzania telah mempersembahkan kidung kidung indah. salam kenal dari saya di indonesia, pengagum lagu lagu rohani dari Tanzania, walaupun tak mengerti, namun sangat indah di dangar. trima kasih, Tuhan Yesus memberkati.
Aminaaaa ❤️❤️❤️ hata babu mwenyewe anafurahia huu wimbo mbinguni na malaika 🎶, Hongera Sana Patiu mcherazi, Despina Mimi nakupenda ❤️❤️❤️💕 Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu ,na Jina la Mungu lihimidiwe.
Hope mnafanya utaratibu wa kuimnba nyimbo zote za John Mgandu, utunzi wake ulikuwa na upako kama Mt. Paulo. Imbeni kwa ukamilifu kama alivyotunga ili kulinda kile ambacho Mungu alimshuhudia.
Amazing Team !!!(Blessed Despina and The Men of GOD). Here I am to do Your will My FATHER. Wonderful Song. Blessings upon you for this and much more ahead.