Shukran sana shekh kwa elimu Kuna baadhi ya watu hawana maarifa hufanya hakika baada ya miaka 2 kisa tu babake yupo safarini kwahivyo anangojewa arudi ndio mtoto achinjiwe mnyama
Yafuatayo ni mambo ya kizushi na Itikadi za kutungwa ambazo huenda zikasababisha shirk: 1. Nyama ipikwe kwa kuchanganywa na sukari au vitu vitamu au kuliwa na asali kwa madai kwamba mtoto awe na tabia nzuri. 2. Mifupa ya nyama isivunjwe, eti na mifupa ya mtoto huenda ikapata ajali ya kuvunjika, n.k. 3. Mifupa ya nyama ifukiwe baada ya kuliwa, au ikazamishwe baharini. Huwezi kupata aya wala hadithi wala aathaar inayoamrisha mambo hayo matatu.
wew toa aya au hadithi inayo kataza maan kila jambo shirk na sijui kama shirk inajulikana au unazijua vizur kwa upana wake shirk? kaziyetu ni kukufurishana na kuingizana moton na kutoana au kuchagulian milango yapepo na milango ya mto nikam tumeimilik hiyo pepo au moto je kunashirk kubwa zaid ya hii?
@@drimaz2692 Wewe ni pocho Hapo sijataja motoni wala Peponi na wala sijamuita mtu kafiri wala mshirikina, bali nimevitaja vitendo tu. Sasa wewe endelea kushajahisha ujinga na upumbavu.
Asalaam alaikum, Je kama wakati huo uliotaja hakuwa na uwezo wa kuchinja?! je unaweza ukamfanyia hata kwa badae mathalani mtoto akiwa ametimiza miaka 2 au 3?!
Ni uzushi tu hauna dalili kua usivunje mifupa si laxima iwe ndani ya siku saba ni muda wowote utakaponafasika nywele aziitwi akika akika ni kichinjo kile kinachochinjwa ndio akika kwa lugha ya.kiarabu