Тёмный

Kuna vitu ukielezwa na wakubwa usiulize kwanini wewe Fanya Tu- Sheikh Walid Alhad 

Kalamutz
Подписаться 147 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 118   
@IddyFundi-vn7ik
@IddyFundi-vn7ik Месяц назад
Nimezinduka wallahi uendelee kutizindua inshaallah Mungu akupe maisha marefu
@AshamanenoYusuph-rd3eq
@AshamanenoYusuph-rd3eq 11 месяцев назад
Mashaallah wallah sheh upo vzr saaana asiyekuelewa ana dini ila yupo kimaslahi ya dunia tu Allah akuongoze sheh wetu.
@zubedaallymuhammed8465
@zubedaallymuhammed8465 2 месяца назад
Sheikh wetu.mashallah allah akupe umri mrefu uzidi kuwazindua waislam.hao wanaokupinga tumeshawazoea. Ni watu wafitna .
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 5 месяцев назад
Sheikh langu usiumize vichwa Mtume ( s a w)alituambia itafika siku watu watataka kujua nasaba ya Mumba wetu.Ghafuru Rahim .Astagfirullah.Yarrabi tufanye kuwa samiina wa twaana,Amin.
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 6 месяцев назад
Huyu shekhe nampenda sana yaani akizungumza kama hataki sio wale mashekhe wengine wanasema kama wanagombana mungu akulinde shekhe wetu inshaallah
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 5 месяцев назад
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@KhadijaHamadi-v7n
@KhadijaHamadi-v7n 8 месяцев назад
Tumekuelewa sana wasiokuelewa Wana shida zao Allah akulinde kama alivyo mlinda MTUME pangoni lnshaa Allah
@KhadijaHamadi-v7n
@KhadijaHamadi-v7n 8 месяцев назад
Maashaa Allah Shekhe wetu tunavuna hekma zako Allah akulinde na maadui pembe zote duniani❤
@UessoSalimo-cd3mw
@UessoSalimo-cd3mw Год назад
Mashallah from Mozambique
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 11 месяцев назад
Walaa taquulu limayyuqutalu fii sabilillah amuwaat, bal ahyaaa uwwalaakillaa tash'whuruun. Swadakallah kheyr.
@hajiissa9200
@hajiissa9200 10 месяцев назад
Masha allah from kijitonyama
@abdulhalim5950
@abdulhalim5950 2 месяца назад
Tatizo ushahidi wa hadeeth hamna ndo mana tunawakata. Pia MASUfi hamjafunzwa kuuliza kwanini ndo mana nynyi Hamdai dalili nyny mupo tu kansema shekhe
@hanspop6961
@hanspop6961 9 месяцев назад
Mashallah from USA
@moanamessi1749
@moanamessi1749 Год назад
Mashaallah tabaraka llah
@issaathumani-je7iy
@issaathumani-je7iy Год назад
masha allah allah ni mkubw
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 7 месяцев назад
baraqal llahu fi qum
@OsamaMada
@OsamaMada 9 месяцев назад
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq
@Yusuphmazohany
@Yusuphmazohany 4 месяца назад
Umedanganywa nn
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 4 месяца назад
Wanatumia kiarabu kuhalalisha bidaa
@warshysaid8564
@warshysaid8564 11 месяцев назад
Allah anasema mtume haongeei kwa matamanio yake bali ni wahyi kukoka kwa mola wake sasa anaejuwa ghaibu ni allah pekee mtume anapewa wahyi tuu kwa kilacho au kitakachotokea mbele ili kuwaelimisha waislamu waliopo muda huo ambao ni maswahaba na hajao mbele mpka sisi wasasa na watakao kuja baada yetu ili kujitasimini kwa kila kinachotokea ktk maisha yetu sasa kusema mtume anajuwa ghaibu unakosea sheikh wetu
@khadijamohamed8919
@khadijamohamed8919 Год назад
Mashaallah Mashaallah
@MasoudKamaliza
@MasoudKamaliza 4 месяца назад
Endelea shekheee ivyo ivyooo ukosahihi kabisaaaa
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 11 месяцев назад
Angalia watu wazama za Mtume Muhammad s.a.w walipokua wakiabudu masanamu wakiulizwa kwa nini muna fanya hivo wanasema tuliwakuta wazee wakifanya na ss ndio tunafanya..Nabii Ibrahim a.s alimuuliza babake mbona mwaabudu haya masanamu na yenywe hayadhuru wala hayanufaishi kwa lolote walijibu kua waliwakuta wazee wao wakifanya na wao wanaendelea nayo hivo hivo..kwahio Sheikh usizungumze kuputia hawaa zako ama kufaya inadi kwa wanao pinga Maulidi..na kuna baadhi ya watu ukiwauliza kwa nni munasoma Maulidi wanasema hvo hvo kua wazee wao walikisoma na wao pia wanasoma yai mtu hataki kujua ni sawa au si sawa yy anafanya maadamu mzee wangu alifanya na mm nafanya. Subhana_Allah Mungu atuongoze sote jamii Islam
@hamisiramadhani14
@hamisiramadhani14 11 месяцев назад
Ufahamu wako haujawa bado na uwezo wa kuelewa na kuchanganua kinachokusudiwa
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 11 месяцев назад
Umetumia akili kuongea❤
@rajabmembe6695
@rajabmembe6695 11 месяцев назад
Sheikh wa mkoa kakosea kusema hapo, kakosea sana aajichunguze kauli sake kama kiongozi
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 11 месяцев назад
@@rajabmembe6695 kavuruga vuruga yaani anajiona kasoma lakini msikilizaji anaweka 100% hajui lolote ingawa kasoma
@mohammedseif3072
@mohammedseif3072 11 месяцев назад
🤔
@SaidMgeni
@SaidMgeni 6 месяцев назад
Swala Allahu alaihi wassallam Waalaalihi
@fay9687
@fay9687 Год назад
Hivi hawa ndio viongozi wetu kweli sijui wamesomea wapiii
@salehislem671
@salehislem671 Год назад
Tulia wewe majnoon...huna ulijualo
@rydertz3372
@rydertz3372 Год назад
Kakosea nn katika maongez yake!!!?
@IssaFumo-o7j
@IssaFumo-o7j 11 месяцев назад
Ww umesomea wp mwehu?hata baba Yako hampati ki elimu
@harithally2264
@harithally2264 11 месяцев назад
Kasomea kwa baba yako
@saidilaay9490
@saidilaay9490 2 месяца назад
Katika barazanji anayezungumziwa ni mtume Muhamad S.A.W kufuata quran na suna sifa zake alizonazo. Tusiwe wabishi turejee darasani.
@HassanSalmin-u7r
@HassanSalmin-u7r 5 месяцев назад
سبحان الله hayamaneno yamlmungu mnasema uwengo muogopenemlungu
@abdalahaby3658
@abdalahaby3658 2 месяца назад
Kajifunze kuandiaka ndugu
@azzahrau
@azzahrau 11 месяцев назад
❤mashaLLAH
@hasnaly
@hasnaly 4 месяца назад
😂😂 hii kabisa inamuhusu mood bachu
@mattarmattar3026
@mattarmattar3026 3 месяца назад
Shekhe Mimi ninasuali ambalo najaribu kuliulizia ulizia lkn sijabahatika kuona nimejibiwa, Suala ni hii elimu inayoitwa BARAHATII jee ni elimu isiyo na mashaka yeyote juu ya muisilamu kama ataiamini na kuitenda,? Hebu naomba unifafanulie faida zake za jumla na kama Kuna hasara zake pia unifafanulie Ili nijuwe ukweli wake
@selemaniselemani591
@selemaniselemani591 11 месяцев назад
Mtume s.a.w hasifiwi, anafwatwa.
@mahmoudally3906
@mahmoudally3906 9 месяцев назад
Allah ndiye aliyeanza kumsifia na pia ndiye aliyeamrisha tumfuate. Na alisifiwa hata kabla ya watu kujua kuwa yeye ni Mtume. Sasa utajipa tabu kuzuia asisifiwe, sema tu kuwa asisifiwe sifa zitakazopelekea watu kumuabudu au kumfananisha na Mungu.
@IbraFareed
@IbraFareed 5 месяцев назад
Sele umesoma wap 😂😂
@mansoursaid8
@mansoursaid8 10 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 2 месяца назад
Kinachoulizwaa nani alisikiaa hiyoo habari kuwqa ngombe kasikiaa wakti kulikuwaa hakunaa nabi walaa nn sasa nanikapokeaa hiyoo tufahamishee barazanji kapokeaa kutokaa wapi
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂utatunzwa sana 😂😂😂😂
@RakiaRiadi
@RakiaRiadi 10 месяцев назад
A/alaikum shekh samahani nilikuwa naswali nje yamada Yako nilitakakujuwa hekma yakutoa sauti katika swala ya mag'haribi,ishaa,na alfajiri?
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Masuni wengine wanafungia sala tumboni wengine kifuani wengine baina ya kifua na tumbo na wengine wa nyanyua mikono na kushusha je nani yu sahiih?
@issaathmet
@issaathmet 7 месяцев назад
Wote
@HassanSalmin-u7r
@HassanSalmin-u7r 5 месяцев назад
Nifuate nikuelekeze ishaallah
@HassanSalmin-u7r
@HassanSalmin-u7r 5 месяцев назад
@@issaathmet siwote
@HassanSalmin-u7r
@HassanSalmin-u7r 5 месяцев назад
Didi SI Rai soma ndugu
@fay9687
@fay9687 Год назад
Hhhh hata kama anakupoteza kwani wakubwa hawakoseiii
@fikafikan8484
@fikafikan8484 Год назад
Hawakupotezi kwa sababu wao wakuelekeza kupitia quran na hadithi sasa utakosea vp wakati watumia quran na hadithi
@rydertz3372
@rydertz3372 Год назад
Umesoma tuu caption au umeskiliza mpka mwsho!!???
@saydouside9468
@saydouside9468 11 месяцев назад
mwambie hata wahuni wanazeeka...Barzanji imezua mambo...na waislam hataki kusoma..akisoma yoyote akitoka na kiarabu ..huyo no shekh duuuuuh
@fikafikan8484
@fikafikan8484 11 месяцев назад
@@saydouside9468 ww ndio hutaki kusoma na bachu wako ungesoma ungemuelewa barzanji kumbe muko wengi mahasidi wa mtume Allah atawashinda insha Allah
@abdalahaby3658
@abdalahaby3658 2 месяца назад
Kwa wenye D mbili tu ndo hawajamuelewa Waleed hapa.
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Ibadh ndio dheheb pekee ambalo hawavutani juu ya aqida wanamsimo mmoja tu sasa masuni kwanini kila mmoja anaaqida yake?
@mahmoudally3906
@mahmoudally3906 9 месяцев назад
Kuna mambo hutengenezwa ili yapatikane makundi kuugawa ummah wa kiislam. Na dhamira ni ili usiweze kuungana wakawa na nguvu.
@SamMus-qn1pu
@SamMus-qn1pu Год назад
Sasa hapa ndio pakuonekana uongo wa watu wa maulidi sasa mbona haikutajwa khabar io ya barazanji katika qur an na suna uzushi mtupu
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 Год назад
Hongera Wew mkweli... KILA LA kheri
@harithally2264
@harithally2264 11 месяцев назад
Na ww uzushi mtupu
@nshimirimanadjibril
@nshimirimanadjibril Год назад
unashindwa kuchunga mapenzi yake kwa mtume
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 Год назад
Hicho kisa cha Israi Wal Miraj kina dalili zote Shiekh na hatukatai kua jambo lolote kwa mtume swala Allahu Alaihi Wasalam linaweza kufanyika ila musimsingizie kwa mambo ambayo hayakutokea kwake..hilo jambo lakua wanyama waliongea hamuna dalili zozote...na usiseme kua ukisikia jambo kua ntume kafanya au kasema usibishane ww amini tu huo ni ujinga kwa sababu mwamsingizia na kwenye Dini usitie mila na tamaduni hizo mila na tamaduni Zina shirki kubwa sna..Sheikh wazee wazamani kweli ni wazee wetu na tunawaheshimu ila kuna mambo sio katika Dini walikua wakifanya
@mahfoudhally2879
@mahfoudhally2879 11 месяцев назад
Hhhhh basi wewe pia huamini pale sisi mizi walipomuona nabii suleiman wakaongea suleiman akawasikia
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 11 месяцев назад
Ndugu hapo hatumuongelei Nabii Suleiman A.S na hakuna ambae ana shaka juu ya hilo kwamba aliwasikia sisimizi wakiongea.
@yes_yes1310
@yes_yes1310 11 месяцев назад
Kwa hio Nabii suleiman na Mtume Muhammad swalaa llahu alay wa salama, nani bora?
@herimsham3459
@herimsham3459 11 месяцев назад
Said kakosa jibu.😊
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 11 месяцев назад
Sio kwamba sina jibu hapa hatuangalii mambo ya ubora..kwahio kma Mtume Muhammad s.a.w ni bora ndio mumuekee mambobya urongo?
@fay9687
@fay9687 Год назад
Huo ni dalili ya ujinga
@FAIDHARASHID-h7z
@FAIDHARASHID-h7z 9 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mtume na suti
@TwahaKaoneka
@TwahaKaoneka 11 месяцев назад
Hayo.mambo.unayoongea.hayana.mashiko.hata.kwamjinga
@SaidMgeni
@SaidMgeni 6 месяцев назад
Sisi tuliumbiwa chumvi ni dawa ya mbonga
@fay9687
@fay9687 Год назад
Porojoooo
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 Год назад
Kuna Aya za Allah zinatajwa na jila la rasulullah latajwa hapo
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 11 месяцев назад
😂 Ngoja nicheke tu sina chakuongea.... Kwahiyo babu yako akikwambia uchawi ulikuwepo tangu na tangu shika tunguli tupae usiulize tii tu!... Usitake kufananisha zama ya Mtume na zama hii. Enzi zile huenda wengi kati yetu tungekuwa makafiri kwamtazamo huo wakusema mkubwa akisema usiulize. Kwani wao siwaliabudu masanamu kwasababu walikuta mababu zao wanaabudu!?. Walimkataa Mtume kwahoja yako hiyo hiyo yakusema Mkubwa akisema fuata tu. Ushahidi wa Mtume (S.A.W) kwa miujiza aliyopewa na Allah na Allah kuwaongoa watu ndipo wakafaa dini. Dini inaenda kwa dalili sio kwakuambiwa tu unafata
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi 10 месяцев назад
Kwani kila usichokiuliza unakuwa umekipokea
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 10 месяцев назад
@@HusseinKoja-ww7gi sikiliza video yake kwanza kisha soma comment yangu utaelewa nini naongea
@HassanAlly-k2p
@HassanAlly-k2p 7 месяцев назад
😢 x
@mahmoudsultan3445
@mahmoudsultan3445 6 месяцев назад
Wee si nabii unamiujiza yako yakupinga endelea kupinga tu
@saidhmuhammad5567
@saidhmuhammad5567 11 месяцев назад
Sheikh hayo maneno yako yakua ukiambiwa wazee jambo usiulize ww ufanye tu sio sawa kabisa. Nivlazima ujue uulize uambiwe maana kisha uyapime katika mizani ya dini..hicho kisa cha Israi Wal Miraj Abubakar r.a aliamini moja kwa moja kwa sababu ni maneno ya Mtume Muhammad s.a.w...na sisi tumeletewa dalili zote ndani ya Quran na kwa Hadith lazima tuamini..kwahio maneno ya wazee ikiwa sio katika misingi ya Dini usifuate na utajua vp ikiwa haiko katika misingi ya Dini ni lazima uulize
@AminCoaf
@AminCoaf 11 месяцев назад
Kwa fikra zako ungekuwa ww usinge kubali pia muelewe vizuri anavyosema utapata faida ukiskiliza kiupizani autaelewa kamwe
@AminCoaf
@AminCoaf 11 месяцев назад
Anaezungumziwa hapo ni mtume hayo mnayoyatilia mashaka ni madogo sana
@harithally2264
@harithally2264 11 месяцев назад
Unajua mizan ww
@mahmoudsultan3445
@mahmoudsultan3445 6 месяцев назад
Tatizo lako umekaa kiushabik alipoanzia wee hutak unachukua mfano kua ndio ujumbe alichokisema maneno ya mtume hayatiwi hoja hago maneno ya wakubwa n mfano tu wa utiifu juu ya viumbe lakn Kwa mtume hamtak kutii ukisikiliza kiushabik hutaelewa
@mkemiawarap3645
@mkemiawarap3645 6 месяцев назад
كاذب
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Год назад
Hata akikwambia ukalewe? Huyu alipoteuliwa ushekh wa bakwata ndio amezidi kuboronga
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 Год назад
Wewe huyu umemjua juzi.. Tunaomjua tumetulia.. Toka lini mwanachuoni (sheikh) akakuamrisha ukalewe?? Tuliolelewa na wachamungu tunamuelewa NYIE WA KILA KITU KUBISHA ENDELEE.
@rydertz3372
@rydertz3372 Год назад
Kakosea nini katika maongezi yake!!??
@hamisiramadhani14
@hamisiramadhani14 11 месяцев назад
Kukaa kimya ni hekima sana kuliko kuzungumza bila elimu na ufahamu
@harithally2264
@harithally2264 11 месяцев назад
Na ww bidaa mkubwa sn tena mzushi
@harithally2264
@harithally2264 11 месяцев назад
Usimseme usie mjua sheikh wetu tunamkubali na ana Haki ya kulindwa na watu kama nyinyi
@OsamaMada
@OsamaMada 9 месяцев назад
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq.
@abdalahaby3658
@abdalahaby3658 2 месяца назад
Kadanganya nini hebu tujuze asee
@zubedaallymuhammed8465
@zubedaallymuhammed8465 2 месяца назад
Acheni mzozo,katika dini . We unathubutu kumwambia sheik muongo ninyi mnaojifanya mnajua dini .si lolote hamjasoma wala hamna elimu ndo maana mnajigonga .tu .walid yupo vizuri na Allah atamlipe pepo tena firdaus yarabi Ammiyn
Далее
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Hii ndio siku ambayo Waislamu walisema inatosha
16:25
Просмотров 3,6 тыс.
Bro's Using 3 Weapons
00:36
Просмотров 3,4 млн
SAIKOLOJIA YA MWANAMME
53:34
Просмотров 41 тыс.
HISTORIA YA SHEIKH WALID NA WALII WA MUNGU
5:57
Просмотров 1,5 тыс.
BAKWATA: Mwiba mzito kwa Waislam Tanzania
43:19
Просмотров 17 тыс.
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
Просмотров 135 тыс.